ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Hatutaki makabaila NchiniKama Singapore au Korea Kusini,
Elimu Elimu Elimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatutaki makabaila NchiniKama Singapore au Korea Kusini,
Elimu Elimu Elimu
Hao si ndio mnawataka mnawaitaga akina Chuma 😆😆😆😆😆Mwalimu alichukia wenye nacho. Alifikia kutamka kwamba mtu kuwa na nyumba za kukodisha ni unyonyaji. Kwa hoja hii akahalalisha kuchukua nyumba za watu.
Hii sio Nchi ya makabaila 🤣🤣Mwalimu alichukia wenye nacho. Alifikia kutamka kwamba mtu kuwa na nyumba za kukodisha ni unyonyaji. Kwa hoja hii akahalalisha kuchukua nyumba za watu.
Enzi zile ilikuwa ZIDUMU FIKRA ZA MWENYEKITINi central committee na siyo Nyerere alikata jina lake. Usionee watu.
Mke wa Mfalme hatakiwi kushukiwa achilia mbali kutenda kosa.Ok sawa twende kwa hoja mkuu wangu..
UFisadi wake ni upi?
Nitajie ufisadi wake alioufanya mwaka 1995..
Na pia nitajie ufisadi wake alioufanya Muda wowote ule..
Kujiuzuru kwa ajili ya kuwajibika ni mawaziri na viongozi waadilifu pekee hufanga hivyo..
Kipindi cha Mwalimu watuhumiwa wengi sana walikufa walipokuwa wamewekwa mahabusu..
Kitemdo kile kilifanya Ali hassan mwinyi ajiuzuru uwaziri wa Mambo ya ndani..
Unataka kusema mwinyi aliwaua Mahabusu yeye?
Jifunze kuna kitu kinaitwa Accountability ni kuwajibika kutokana na nyadhifa uliyopo..
Tanzania ya Sasa inakosa uadilifu na accayntability..
Na ndo maana sishangai watu wanahoji kuhusu Lowasa kujiuzuru kama angebaki ingechafua Taswira ya Rais..
Umewahi kujiuliza kwanini Nyerere aling'atuka (Kujiuzuru urais) na Kuacha Tanzania?
Kweli Nyerere kama kiongozi alikuwa na upungufu mwingi pamoja na kutuingiza kwenye ujamaa na vita na Amini. Aliachia Urais 1985 na Uenyekiti 1987 na kifo chake 1999. Hiyo ni miaka mingapi imepita na tutaendelea kumlaumu mpaka lini, au ndio uvivu kwa kufikiri.Nyerere zaidi ya uhuru wa mchongo toka kwa Waingereza na kutuingiza vita visivyo na kichwa wala miguu vya Uganda, kitu gani cha maana alikifanya kwa taifa hili zaidi ya kuliacha taifa kwenye madeni na umaskini uliopindukia? 🤔
Kuna adhabu za kinidhamu na Kimahakama ,huyo alikuwa anaachwa atumie pesa then anakatwa Ili ajifunze.Kwanini hamkumpeleka mahakamani kwa ushahidi ili afungwe jela?
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Bado tuDuh aiseee
Unaelewa maana ya BABA WA TAIFA?Kweli Nyerere kama kiongozi alikuwa na upungufu mwingi pamoja na kutuingiza kwenye ujamaa na vita na Amini. Aliachia Urais 1985 na Uenyekiti 1987 na kifo chache 1999. Hiyo ni miaka mingapi imepita na tutaendelea kumlaumu mpaka lini, au ndio uvivu kwa kufikiri.
Tanzania haiwezi Kuruhusu kabila kuwa Rais 😆😆Watu hawajui Masai ni matajiri sana... Anafuga ng'ombe wa kutosha. Sasa kama vile lowasa alikuwa na exposure lazima Ile mifugo na mazao yake yalimletea fedha nyingi sana za kigeni.... TANU NA CCM ZILIKUWA HAZINA HELA YOYOTE YA KUIBWA...WIVU TU ULIKITHIRI KUONEA WIVU MATAJIRI NA WAJANJA
Unaweza ukanipa idadi ya kura mkuu!Naomba nikurekebishe kidogo
1) Unasema wakati wa kumtangaza Benjamin Mkapa kuwa Mgombea Urais 1995 idadi ya kura haikutangazwa, si kweli kura zilitangazwa mara zote mbili, kwny duru ya kwanza JK aliwazidi Mkapa na Msuya na kwny duru ya Pili ya JK na Mkapa, Hayati Mkapa akaibuka kidedea
2) Cleopa Msuya hakuwa kwny Cabinet ya Mkapa na hata Edward Lowassa hakuingia kwny Cabinet kwny duru ya kwanza, baada ya miaka kama miwili ndipo Edward akateuliwa Waziri
Kwamba wakati huo Tanu ilikuwa na pesa? Umaskini ñi kitu kibaya mno hakika umaskini ni kansaAlipokosa uaminifu akiwa Tanu Youth League sio kwamba alitajirika. Mtu asiye mwaminifu hata kalamu ya kuandikia ataisogeza tu
Utajiri unapatikana kwa kujituma au kurithi mkuu😅😅,Kuna utajiri wa bila kuwa mwizi? Masai si wanapora mifugo ya watu?
Kwani Lowassa aliiba mali ya CCM au ya taifa?Kuna adhabu za kinidhamu na Kimahakama ,huyo alikuwa anaachwa atumie pesa then anakatwa Ili ajifunze.
Kwani alikuwa hajui kina Kambona walikimbia Nchi Kwa sababu zipi?
Mzee kuna watu wanapata utajiri wa kujitusu sana bila wizi na wanafanya kazi kama watumwa na wanaweka akiba sana wakifungua kibubu ndo unakuta mtu anafungua biashara kubwa mnaanza kumuita Freemason au mwiziKuna utajiri wa bila kuwa mwizi? Masai si wanapora mifugo ya watu?
Ata kwa mwinyi walikua mawaziri,mpaka tunaeleka kwenye uchaguzi 1995 kikwete ndiye alikua waziri wa fedhaSio kweli nyerere alijitoa kwenye maamuzi alikuwa mshauri tu. Na kama angekuwa anaamua lowasa jk wasingekuwa mawaziri awamu ya mkapa
Bado tu
Huo utajiri aliupataje?Alikuwa mwizi au Tajiri kuna vitu huwa hamvielewi..
Kulikuwa na pesa gani Huko CCM kipind cha TANU za kuibiwa
Lowasa amezaliwa kwenye Familia yenye pesa na mali pia Baba yake alikuwa mfanyakazi wa Serkalini..Huo utajiri aliupataje?
Wenzake wengine waliupataje?Huo utajiri aliupataje?