Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Nan...
Huwa kuna mambo mengine napata shida kuyaeleza kwani najisikia vibaya.

Haya ni yale ambayo wengi mmeyaamini kutokana na mliyojifunza katika historia iliyokuwa si ya kweli.

Hapajakuwa na tatizo baina ya makabila.

Hayo mengine uliyoeleza inahitaji usome hizo rejea nilizoweka: Bergen, Sivalon na Njozi.

Utakutana na mambo ambayo hukuwa unayajua.
Vizuri ungetujia nivit
Mpaji...
Hapana si lazima usome kitabu changu.

Unaweza ukasoma kitabu cha Bergen (1981), Sivalon (1992) na Njozi (2002).

Kitabu cha Njozi kilipigwa marufuku na serikali.

Hivyo viwili vimeondolewa kimya kimya.

Havitakuwi visomwe.

Observation ni sehemu ya vipengele vinavyotumika katika utafiti lakini kusoma tafiti ni muhimu sana.
Vitabu vina majina? Vinaitwaje tafadhali?
 
Vizuri ungetujia nivit

Vitabu vina majina? Vinaitwaje tafadhali?
Adili...

1729190449073.jpeg

1729190504305.jpeg

 
Back
Top Bottom