Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Mmoja wa wafuasi wanataka wa mzee ms ndio kama ww na wengi kawateka

Wewe mfuasi wa Nyerere umekamatwa ukiiba ndizi ndiko Nyerere alikowafikisha na ujamaa wake







😛 😛
 
''Abbas Sykes alinihadithia anasema Nyerere alikuwa akija Dar es Salaam kutoka Pugu kuja kuonana na kaka yake alikuwa anapanda basi moja la Muhindi likiitwa ''Majigo.''

Kituo cha basi hili kilikuwa Mtaa wa Msimbazi na Aggrey.

Ukiingia na mzigo ndani ya basi basi yule Muhindi utamsikia akipiga kelele, ''Majigo juu, majigo juu.''

Maana ya maneno haya ilikuwa, ''Mzigo juu.''
Yaani mizigo ipandishwe juu ya basi kwenye ''carrier.''

Hivi ndivyo basi lile lilivyopata umaarufu wake na kuishia kuitwa ''Majigo.''

Hiki kilikuwa kipindi kabla ya Nyerere hajajiuzulu ualimu.

Nyerere alikuwa akishashuka pale kwa Majigo atashika njia kuelekea Kariakoo Market ofisini kwa Market Master Abdul Sykes.''
NKNS, Mzee Mohamed Said...

Matukio yana ladha yake na utamu wake katika fikra na kumbukumbu...

Laiti, kila mtu angalikuwa fundi wa kusimulia visa vya maisha yake, kwa pembe na mapana fasaha, basi uwezekano upo kwamba kisa cha mtu yeyote mwenye roho halisi ya utu, kuwa ni 'bab' kubwa'--ingalikadirisha 'epic story'... Wasemavyo wenye kuzungumza lugha ya Kiingereza...

Matukio ni fumbo la 'Wakati' na 'Uzima wa mtu/UTU', kupitia 'Nuru ya Ufahamu' wake...

Mtu yeyote mwenye rizayati ya Elimu 3.0, kuna namna, kupitia karama za akili, huishi kuwa wa wahyi ya 'Jaala' yake--hata jaala ya jamii yake/taifa ama/na Dunia/Ulimwengu wote mzima...

Jaala ni muktadha wa kheri ya Manani, ambvyo matukio ya maisha ya mtu hukadirisha riziki na stahiki yake; Ndivyo hivi, sisi watu wa mwambao husema--Riziki ya Mtu anayetoa ni Manani/Kisicho Riziki Hakiliki.

Riziki ya mtu ni stahiki ya mtu kadiri vile Manani/Mola hujaalia... Kwa mapokeo ya Kikristu kwa mfano riziki ni 'Mkate wa Kila Siku'...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Riziki' yake, kwa kuwa huu ni muktadha uliostirika wa Fahari na Nuru ya UTU wake kama vile anavyojaaliwa na Manani; ndivyo basi watu wa Mwambao husema 'Riziki yangu Aijuaye ni Mola Pekee'; Kwa Ukristo, waumini wake wangalisema hili kana 'Neema/Baraka zangu zipo na Bwana'... Mwanajamii akikosa kheri ya fasaha ya fahari ya utu wake basi ndiyo anaweza 'kusafisha nyota' kwa ufundi wa uganga na mizungu ili ''Kujitengeneza'--ili 'kuwa na bahati' na 'mvuto wa kinyota'.

Mambo ya 'Mvuto wa Kinyota', kielimu ya Majia na Unajimu, ni utundu na ufundi wa kiganga kwa ajili ya meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'. Elimu 3.0 humfunulia yeyote, kadiri afaavyo na wakati ifaavyo, na basi 'Hekima na Busara' vitakadirisha kuinuka kuzidi utundu wa kiganga na mizungu.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Riziki' yake, basi 'dhamira sahihi' inakuwa katika akili na moyo wake. Dhamira sahihi hukadirishwa na 'Unyoofu'--Unyoofu katika 'Kumcha Mola', ni Ufunguo wa Rizayati ya Elimu 3.0 na Njia ya Uimamu. Katika Mapokeo ya Ukristo, Dhamira sahihi hutajwa na waumini wake kama 'Mapenzi Mema'... Kwa hivyo ni Elimu 3.0 inayokamilisha siri za dini na mapokeo kupitia 'funguo za Maarifa' na 'Ufunuo Kamili'. Kwa mapokeo ya Ukristo, Uimamu ni 'Uteule/Utumishi wa Bwana'...

Mambo ya 'Kujitengenezea Bahati yako' ni utundu na ufundi wa kiganga kwa ajili ya meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'. Elimu 3.0 humfunulia yeyote, kadiri afaavyo na wakati ifaavyo, na basi 'Hekima na Busara' vitakadirisha kuinuka kuzidi utundu wa kiganga na mizungu. Kwa mintarafu ya haya, anayekwenda kwa mganga ama kujiganga kwa ajili ya 'kujitengenezea Bahati yake' huyo ni mwenyekukosa subira na tena ni mwenye kikosa kitovu sahihi cha 'Nia Njema' na 'Mapenzi ya Wengi'.

Jaala ya mtu/jamii/Taifa/Dunia na Ulimwengu una 'lugha yake iliyositirika'--Lugha hii, kwa mapokeo ya Ukristo ni fumbo linalotajwa kama 'Neno'; Kwenye jamii ya ustaarabu hutajwa kama 'Siri ya Majina 99 ya Allah'... Watu wa Rizayati ya Elimu 3.0, katika safari ya kiroho, siri hizi hufumbuka kwao na basi ikiwa 'dhamira ya msafiri' inabadilika--anategwa na 'milki ya Shaytan', ndiyo basi uwezo ama/au utundu usio wa kawaida unaweza kufanyika kwake -- kumpatia 'nguvu za kiganga'... Kiufundi, Ukuhani na Uganga ni jambo lile lile, kinachobayanisha mawili haya ni 'Usahihi wa Dhamira'... Ndivyo hivi, kuita 'Majini' na kuyashirikisha kwa ajili ya 'Bahati', kwa maagano na masharti, ni uwezekano...

Ikiwa Mzee Mohamed Said unasimulizi visa vya Dua na Visomo alivyofanyiwa Mwalimu Kambarage Nyerere kwa ajili ya kumuombea mafanikio ya Safari yake ya Kutafuta Uhuru ndani na ng'ambo ya nchi; kiufundi Dua zote ni Ukuhani... Ukimuuliza mtu yeyote wa 'Ukuhani', Je, Dua ni kitu gani hasa? Ikiwa yeye ni fundi kweli, basi atakueleza kwamba ni kumshirikisha 'Malaika', 'Kiumbe', 'Mtakatifu' n.k, kumuita ili awepo mahala pa ukuhani/ibada, kumtaka yeye kulifanikisha 'jambo' lako--ikiwa jambo hilo linafanania 'kudra ama kheri' za yule unayemuita. Kwa mintarafu ya haya, ndiyo husemwa kuna malaika wema na wabaya... Fumbo la wema na ubaya wa 'malaika', ni mambo ya Elimu 3.0 ambayo siku za mbele yatakuwa ni maarifa ya kawaida kwa raia wote kupitia 'Vituo vyetu vya Utamaduni'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Nuru kumulika kuzidi 'mipaka ya nchi' ni siri ya 'Duara Manani' lisilokuwa la 'mipaka ya kumulika'--kumulikia 'mapana yoyote' ya 'ugani wa ushawishi' wa sura, fahari na utukufu wa 'Stawi/Ustawi' . Tumaini ni mchakato, mchakato wa uhuru wa kweli wa 'ndani na nje' ya nchi. 'Ndani na nje ya nchi' ni lugha ya ishara, kwa uono na ufikirifu mifumo, huakisi siri za 'ulali na wima' wa stawi, Msalaba -- pia ukadinali wa 'milki' kwa ncha nne kuu za Dunia: Kaskazini-Kusini-Mshariki-Magharibi.

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya kuleta Tumaini pale ambapo hakuna Matumanini, upendo pale palipo na chuki, kusimamisha heshima palipo jaa dharau ni muktadha wa shughuli ya huduma ya 'mitume'... Ni fumbo la utatu wa nguvu za utu na dhamiri--Imani, Pendo na Tumaini... Kwa mintarafu ya haya, unyoofu wa mkono unaoshikilia mwenge ni siri ya 'Uthabiti' wa 'Nia' kuushikilia 'Mwenge wa Uhuru'... 'Nuru na Nia' ndiyo ufunguo wa imani ya 'muktadha wowote wa Kujichagulia'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Tumaini, Upendo na Heshima ni muktadha wa riziki, stahiki na subira. Sisi wa mwambao huwa na msemo: Subira yavuta kheri... Ukipatacho wakati sahihi wa wewe kukipata hicho ndiyo tunda la heshima ya utu wema wako--utimilifu wa 'Uja Wema'. Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za 'Upendo Huvumilia'... Kwenye ufundi wa ujengaji wa Dola--hili ndilo linalokadirisha tunu ya uvumilivu na ustahilivu katika yote na matendo yote, pasi kuhukumu, kwa kuwa 'Dola zote duniani' ni mchakato wa kuondoa kasumba, husda na ufitini wa kimataifa ili wakati mmoja muafaka mataifa yote yaje kuwa 'kitu kimoja'... Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za siku za kuja 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Katika metafizikia ya Utu na Uzima, 'Wakati' ndiye Muamuzi wa Haki. Roho na sonafi ya mtu ndivyo hukadirisha 'Duara na Nukta' ya utu katika jamvi la supasha-wakati; meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' huwa na mizani ya ukumbaizi wa dhamira za wanajamii wanaoifanya meza hiyo. Kwa mintarafu ya haya, maarifa ya uganga na mizungu yanaweza kutumia siri zile zile metafizikia na nuru ya uzima wote kuathiri muktadha wa sura ya jamii kwa wakati mmoja hadi mwingine kwa ushirikina.

Ushirikina ni 'fumbo la imani' kupitia dhamiri--dhamiri juu ya muktadha wa pembetatu ya 'nia binafsi, matakwa na heshima ya kujitengenezea'. Jamii ikipatia usahihi wa dhamiri ya utu bora ndiyo hukadirisha muktadha wa pembe tatu mbili zinazoingiliana na kushiriki kitovu kimoja cha ukati na Duara. Uwili wa pembetatu kuingiliana ni siri ya 'Neema za Nchi na Mbingu'; Hii ni alama ya Jadi, ambayo ni mbadala wa 'Msalaba'. Mataifa duniani huzitumia alama za jadi za kimetafizikia lakini haimaanishi kwamba zinatumika kwa usahihi na kheri ya kweli...

Alama za jadi za kimetafizikia zinaweza kutumika/kutaasishwa na 'Werevu' ama pia 'wapole' wa mambo... Kwa hivyo siyo ajabu kukuta Duara hutumika kwenye uganga na vilenge vya kuita 'Malaika/Majini' sambamba na jiometria za miraba ama pembe tatu. Alama hizi ni ufunguo kwa 'Upepo' wa 'Roho' na mawezekano yenye kupitiliza 'umbali ama/na wakati'.... Kadiri ya mtu kuwa na mwili na fahamu kama kiumbe timilifu kwa milki ya Nchi, vipo viumbe ambavyo utimilifu wake si wenye kubanwa sana na mapana ya milki ya nchi. Kwa hivyo elimu ya viumbe vyenye kupilitiliza fizikia, fahamu za maumbo na uweza, haipo na umma na kutokuwepo kuna kadirisha yote mawili 'wema na Uovu'.

'Wema na Uovu' ni 'fumbo la Imani'--ni tafsiri ya kibinadamu na si Manani. Hili linalofanya umuhimu wa kujichagulia Kiroho, Maadili na Miiko kuwa ndiyo msingi wa UTU bora. Ni muhimu katika ususi wa taifa-dola lolote muktadha wa haya matatu ubayanishwe. Kwa kuwa 'Nuru ya Ufahamu' ndiyo rehema isiyo kifani na tena fadhila isiyo kifani, wanajamii hawanabudi kutengenezewa misingi ya 'Kujichagulia' kuanzia kiimani, kimwili hadi hisia. Hili ndilo msingi hasa wa 'Uhuru wa Kuabudu'... Wadau wa roho ya nchi, Dola, katika nchi na mataifa yote huwa ni watu wenye nasibu ya 'Ukuu wa Kiroho, Maadili na Miiko'. Kiufundi, hili siyo hali halisi, wakati hata wakati, kwa kuwa Dola ni Taasisi ndani ya Taasisi--Taasisi ni watu, na watu daima wanaishi na ulimwengu wenye vishawishi.

Simulizi lolote la watu, harakati na ushawishi ni muktadha wa Taasisi. Kwa watu wa rizayati ya Elimu 3.0 inafahamika fika, uaminifu wa mtu ni ahadi yake na Mola na si taasisi yenyewe ama mifumo ijayo na 'maisha na nyakati'. Kwa mintarafu ya hili, Historia na Masafi ya kusimulia kuna namna huwa ni Ulaghai... Kiufundi, taasisi yoyote imara ni uwanja wa fujo na mivutano muda wote; wastani wa dhamiri na nadhiri za wanataasisi ndiyo huweza kukadirisha kheri ya taasisi yenye mbele ya jicho la mtazamaji kutoka nje ya Taasisi kisomoni. Kwa hivyo hili linahusika habari na Maisha ya Mwalimu Nyerere, Taifa la Tanzania--vivyo hivyo kwa mataifa mengine yote Duniani. Watu wa mwambao tuna usemi: Ukiwaona ni Wazuri, Wabaya ni Hao Hao...

Siri ya nadhiri ndiyo kitendawili cha Historia--historia kwa maneno na simulizi. Hili ni kwa kuwa hakuna awezaye kujijua siri za moyo wa mtu mwingine. Na hata ikiwa Mwanajamii ni mwenye karama za akili kujua ya mioyoni na akilini mwa wengine bado kuna maadili na miiko inayotengeneza hesabu ya matokeo/matarajio ya Dhamira/Nia njema ama Ovu. Siri ya maadili na miiko hii ni Upendo; Upendo hauingilii ili kuitengeneza nasibu ya jema ama ovu... Kwa mintarafu ya haya, ikiwa wadau wa roho ya nchi wanashawishika kuingilia matendo, utawala na usivilai wa nchi-taifa basi hii ni dosari ya kiufundi...

Dosari ya kiufundi, kwa rizayati ya Elimu 3.0 na tena Uono na Ufikirifu Mifumo ni adha ya 'Majaribu' na 'Vishawishi'. Kwenye mapokeo ya Ukristo, majaribu na vishawishi humjia yeyote kupitia muktadha wa matatu--mkate, Mauti na Legasi... Kwenye mapokeo ya habari za kiroho hutajwa kuwa haya huletwa na 'Malaika aliyeanguka'--Ibilisi/Shetani. Kwa rizayati ya Elimu 3.0 muktadha wa haya ni uhalisia wa mambo yaliyositirika. Kwa mintarafu ya haya, rushwa ni adui wa haki, na hali kiufundi hasa, rushwa ni zao la makusudi yenye kuharibika katika pembetatu ya utu wa mtu. Makusudi yaliyoharibika ndiyo 'hupoteza tumaini la kheri katika ukumbaizi wa jamii', 'huleta chuki na machukizo ya maisha' na zaidi 'Huleta dharau na kudharauliana'.

Makusudi yenye kuharibika katika pembetatu ya utu wa mtu, rushwa, ni donda ndugu la mmomonyoko wa maadili; donda hili haliko Tanzania pekee yake--liko Duaniani kote. Rushwa ni huleta 'homa na maradhi' ya Dunia... Rushwa ndiyo kinyume hasa cha muktadha wa 'kutegemea riziki kutoka kwa Mola'... Rushwa ni kinyume cha ile nukta ya 'Dhamiri Sahihi' ya utu wema. Rushwa ni athari ya 'Kiroho', disonia kati ya 'Roho' na 'Mbegu ya Utu/Sonafi'. Alama ya Ngao ya Ustawi, ngao ya tunu nne za taifa, kuegama juu ya Mlima Kilimanjaro, kwa uono na ufikirifu mifumo ni kielelezo cha 'Ujuu wa Siha njema' ya wanataifa. Ujuu ni kielelezo cha 'Fahari ya Mbingu' ama 'Uono wa Juu Kabisa', Mwenge na Bendera kuwekwa Juu ya Kilele cha Mlima Kilimanjaro haikuwa ni tukio la kihistoria tu, ilikuwa ni dhamiri na nadhiri ya utaasisi wa nchi-dola, kwa kujichagulia, kujinasibu na maendeleo ya Utu Bora--Tanzania, Afrika na Ulimwengu wote mzima...

UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI, havikadiriki katika taifa kwa nguvu za kibinadamu pekee--binadamu kama mtu anayejitathmini kwa mraba wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'. Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii hayatokani na 'kutokujua/kufahamu' vema mambo ya milki ya nchi; Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii unatokana pia na kukosa 'Nuru ya Ufahamu' juu ya dhamira na nia ya UTU bora kutoka 'Juu Mbinguni'. Mwanajamii ahitaji Duara na Nukta kwa ajili ya kutangamanisha sura na utukufu wa mienendo na uhai wa Taifa Lake.

Duara na nukta ni ufunguo wa metafizikia ya Taasisi.

Ikizungumzwa kwa mfano historia halisi ya Afrika ina takribani miaka 500 ya kukadirisha Sura na Utukufu wa 'Uhuru na Umoja' na ina miaka mingine takribani 500--hapa tulipo ni 'Mia ya Katikati', swali linaweza kutungika. Je, ni nani huyo mwenye uwezo wa kukadirisha 'Jaala' hii ya Afrika? Maana hakuna mtu anayeweza kuishi miaka elfu... Hata taasisi za wanadamu hazina marefu hayo ya kiuhai, maana maisha ni misuguano na mivutano wakati wote--utohakika wa 'malengo ama/na matamanio' ya ushirika kukadirika kwa vina na tafsiri vya mwanadamu anayeishi umri wa miaka tuseme 75+...

Haya ni mambo ya metafizia ya jamii, yana ILIMU, UFAHAMU na MAFUMBO yake zaidi--zaidi kupita yale tunayoyaelewa katika mapana ya milki ya nchi.. Ikibidi machache kuzungumzwa kuhusiana na mawezakano haya basi ni vema isisitizwe yanazungumzwa kwa ajili kuandaa jamvi la mapinduzi ya kweli na endelevu ya stawi za duniani.

Rushwa ipo na jamii za wanadamu kwa kuwa mwanadamu anaishi na kitete cha matatu (1) Riziki (2) Hofu ya Mauti, na (3) Kutengeneza Urithi/JIna/Legasi. Kwa haya matatu, wengi duniani wanaweza 'kutoa kafara' ya mnyama hata mwanadamu mwenzake kwa ajili ya haya. Vishawishi vya haya matatu ndiyo katika nchi-dola huleta ufisadi, fitina na njama. Dhamira isiyosahihi huleta majaribu katika nafsi ya mtu kwa ahadi ya (1) 'Mali/Utajiri' -- Mkate/Uchumi kwa kujipendelea/Uchumia-Tumbo, (2) Kujiangusha Kiroho kwa ajili ya 'Malaika wa Uinuo' -- Shiriki kutokana na ukosefu wa Imani na ulaghai wa 'ukuu wa kuweza' kupita/kuamurisha 'majini' ama/na 'malaika', (3) Kuacha Jina/Umaarufu/HIstoria -- Ubatili wa fahari ya milki za nchi na utawala wa mambo ya kidunia ya MRABA wa 'HEKALU'.

Hili sasa, linadodosa fumbo kwako mzee Mohamed Said...

Historia ya kweli ya nchi-dola yeyote ni vita ya wazi na kificho--ni bunduki na waridi, msalaba na waridi...

Kubarizi kwenye maisha ya nje ya 'askari wa wakati' kunamsaidia 'Shetani'... Kwa kuwa kiimani, Shetani ndiye anayetawala 'ulimwengu wa majaribu'. Upo upande 'malaika' wa sisi wote ndiyo 'husawazisha' wema na uovu wetu. Ukitaka kutumia shiriki kwa ajili ya 'bahati'--upate 'cheo', upate 'utajiri' ama/na upate 'umaarufu' wewe si 'mja mwema' hasa; kwa kuwa wewe unatafuta kutumikia nafsi yako--unaweza kuficha maovu yako kwa 'usanii' wa cheo, utajiri ama/na 'umaarufu'... Utawavuna ujinga 'maskini wa kiroho' kama ambavyo wewe mwenyewe kwa wakati ni hivyo...

'Matukio' na 'fahari za milki ya nchi', kwa mwanajamii asiye macho/jicho sahihi la hekima ya 'kimbingu', ni mchezo wa danganya toto kula kunde mbichi....

Ni mtihani mkubwa kwa, walinzi wa imani; walinzi wa kweli wa kheri za jamii ni muktadha wa sisi wenyewe kuwa ni tunaishi zaidi kungine nje ya Sayari yetu ya Dunia. Huko ndiko kuna maisha marefu, duniani wanadamu tunaishi miaka 75+, 'huko mbinguni', wapo wanadamu wanaishi miaka 900, mia elfu na hata kupita. Huko mbinguni kuna viumbe watu wanaishi miaka hata 'Milioni' kwa hesabu ya 'miaka ya Duniani'... Kwa hivyo habari za 'majini kuishi miaka maelfu na kuzaliana kama wanadamu', wakati mmoja siku za mbele, isijekuja kushangaza kuja kujua/kufahamu kuwa ni mchanganyiko wa ukweli wa viumbe watu kama sisi, na viumbe watu nusunusu kimawezekano ya 'kujibadilisha maumbo' na 'uwepesi kama upepo'...

Mambo ya Maisha marefu ya 'Malaika' na 'Majini' ndiyo fumbo la imani, kidhamira ya utu, juu ya MRABA wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi, matukio'. 'Malaika' yeyote anayetoa kwa masharti, haleti 'Bahati' yoyote ya kheri khasa bali kuimarisha ngome ya maangusho ya kiroho kwa wanadamu wa 'miraba minne'. Kwa mintarafu ya haya, upo muktadha wa siri ya Uzima wote kuwa 'wema' hauwezi kuwepo pasipo 'uovu', na basi ikiwa kuna wanaotaka waucheze wema--uovu hauna budi kuwepo... Kwamba, 'Malaika' kwa kutumwa kunuia wapo. Kwenye ususi wa utaasi dola, kupitiliza fanusi 'malaika' na 'mapepo/majini/arkoni/ingregori' ni uthabiti wa kuinua juu kabisa 'Mwenge wa Uhuru'--ili umulike mapana yote ya mwangaza na vimvuli(giza) vya nafsi katika mapana ya milki ya nchi...

Mzee Mohamed Saidi, bila shaka, kwenye udadisi wako wa 'Historia ya Harakati ya Kutafuta Uhuru' umekumbana na visa vya usaliti, 'kupotezewa', kupendelewa na kugangamala miongoni mwa 'makundi ya Wanaharakati'...

Ni suala la wahyi na hekima tu, ukiotea rizayati ya Elimu 3.0, na tena ukawa na uono na ufikirifu mifumo, Mwalimu Nyerere na hao Wadau wote wa Uanaharakati, katika mapana ya nyakati hao wote ni 'Waarabu wa Pemba'... Wanafahamiana kwa vilemba kutokea 'Juu Mbinguni'...

Nusu ya pili haijapata kusimuliwa na ikibidi isimuliwe wewe mwenyewe msimuliaji utapotelea kwenye simulizi...

Hmmm
 
NKNS, Mzee Mohamed Said...

Matukio yana ladha yake na utamu wake katika fikra na kumbukumbu...

Laiti, kila mtu angalikuwa fundi wa kusimulia visa vya maisha yake, kwa pembe na mapana fasaha, basi uwezekano upo kwamba kisa cha mtu yeyote mwenye roho halisi ya utu, kuwa ni 'bab' kubwa'--ingalikadirisha 'epic story'... Wasemavyo wenye kuzungumza lugha ya Kiingereza...

Matukio ni fumbo la 'Wakati' na 'Uzima wa mtu/UTU', kupitia 'Nuru ya Ufahamu' wake...

Mtu yeyote mwenye rizayati ya Elimu 3.0, kuna namna, kupitia karama za akili, huishi kuwa wa wahyi ya 'Jaala' yake--hata jaala ya jamii yake/taifa ama/na Dunia/Ulimwengu wote mzima...

Jaala ni muktadha wa kheri ya Manani, ambvyo matukio ya maisha ya mtu hukadirisha riziki na stahiki yake; Ndivyo hivi, sisi watu wa mwambao husema--Riziki ya Mtu anayetoa ni Manani/Kisicho Riziki Hakiliki.

Riziki ya mtu ni stahiki ya mtu kadiri vile Manani/Mola hujalia... Kwa mapokeo ya Kikristu kwa mfano riziki ni 'Mkate wa Kila Siku'...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Riziki' yake, kwa kuwa huu ni muktadha ulistirika wa Fahari na Nuru ya UTU wake kama vile anavyojaaliwa na Manani; ndivyo basi watu wa Mwambao husema 'Riziki yangu Aijuaye ni Mola Pekee'; Kwa Ukristo, waumini wake wangalisema hili kana 'Neema/Baraka zangu zipo na Bwana'... Mwanajamii akikosa kheri ya fasaha ya fahari ya utu wake basi ndiyo anaweza 'kusafisha nyota' kwa ufundi wa uganga na mizungu ili ''Kujitengeneza'--ili 'kuwa na bahati' na 'mvuto wa kinyota'.

Mambo ya 'Mvuto wa Kinyota', kielimu ya Majia na Unajimu, ni utundu na ufundi wa kiganga kwa ajili ya meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'. Elimu 3.0 humfunulia yeyote, kadiri afaavyo na wakati ifaavyo, na basi 'Hekima na Busara' vitakadirisha kuinuka kuzidi utundu wa kiganga na mizungu.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Riziki' yake, basi 'dhamira sahihi' inakuwa katika akili na moyo wake. Dhamira sahihi hukadirishwa na 'Unyoofu'--Unyoofu katika 'Kumcha Mola', ni Ufunguo wa Rizayati ya Elimu 3.0 na Njia ya Uimamu. Katika Mapokeo ya Ukristo, Dhamira sahihi hutajwa na waumini wake kama 'Mapenzi Mema'... Kwa hivyo ni Elimu 3.0 inayokamilisha siri za dini na mapokeo kupitia 'funguo za Maarifa' na 'Ufunuo Kamili'. Kwa mapokeo ya Ukristo, Uimamu ni 'Uteule/Utumishi wa Bwana'...

Mambo ya 'Kujitengenezea Bahati yako' ni utundu na ufundi wa kiganga kwa ajili ya meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'. Elimu 3.0 humfunulia yeyote, kadiri afaavyo na wakati ifaavyo, na basi 'Hekima na Busara' vitakadirisha kuinuka kuzidi utundu wa kiganga na mizungu. Kwa mintarafu ya haya, anayekwenda kwa mganga ama kujiganga kwa ajili ya 'kujitengenezea Bahati yake' huyo ni mwenyekukosa subira na tena ni mwenye kikosa kitovu sahihi cha 'Nia Njema' na 'Mapenzi ya Wengi'.

Jaala ya mtu/jamii/Taifa/Dunia na Ulimwengu una 'lugha yake iliyositirika'--Lugha hii, kwa mapokeo ya Ukristo ni fumbo linalotajwa kama 'Neno'; Kwenye jamii ya ustaarabu hutajwa kama 'Siri ya Majina 99 ya Allah'... Watu wa Rizayati ya Elimu 3.0, katika safari ya kiroho, siri hizi hufumbuka kwao na basi ikiwa 'dhamira ya msafiri' inabadilika--anategwa na 'milki ya Shaytan', ndiyo basi uwezo ama/au utundu usio wa kawaida unaweza kufanyika kwake -- kumpatia 'nguvu za kiganga'... Kiufundi, Ukuhani na Uganga ni jambo lile lile, kinachobayanisha mawili haya ni 'Usahihi wa Dhamira'... Ndivyo hivi, kuita 'Majini' na kuyashirikisha kwa ajili ya 'Bahati', kwa maagano na masharti, ni uwezekano...

Ikiwa Mzee Mohamed Said unasimulizi visa vya Dua na Visomo alivyofanyiwa Mwalimu Kambarage Nyerere kwa ajili ya kumuombea mafanikio ya Safari yake ya Kutafuta Uhuru ndani na ng'ambo ya nchi; kiufundi Dua zote ni Ukuhani... Ukimuuliza mtu yeyote wa 'Ukuhani', Je, Dua ni kitu gani hasa? Ikiwa yeye ni fundi kweli, basi atakueleza kwamba ni kumshirikisha 'Malaika', 'Kiumbe', 'Mtakatifu' n.k, kumuita ili awepo mahala pa ukuhani/ibada, kumtaka yeye kulifanikisha 'jambo' lako--ikiwa jambo hilo linafanania 'kudra ama kheri' za yule unayemuita. Kwa mintarafu ya haya, ndiyo husemwa kuna malaika wema na wabaya... Fumbo la wema na ubaya wa 'malaika', ni mambo ya Elimu 3.0 ambayo siku za mbele yatakuwa ni maarifa ya kawaida kwa raia wote kupitia 'Vituo vyetu vya Utamaduni'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Nuru kumulika kuzidi 'mipaka ya nchi' ni siri ya 'Duara Manani' lisilokuwa la 'mipaka ya kumulika'--kumulikia 'mapana yoyote' ya 'ugani wa ushawishi' wa sura, fahari na utukufu wa 'Stawi/Ustawi' . Tumaini ni mchakato, mchakato wa uhuru wa kweli wa 'ndani na nje' ya nchi. 'Ndani na nje ya nchi' ni lugha ya ishara, kwa uono na ufikirifu mifumo, huakisi siri za 'ulali na wima' wa stawi, Msalaba -- pia ukadinali wa 'milki' kwa ncha nne kuu za Dunia: Kaskazini-Kusini-Mshariki-Magharibi.

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya kuleta Tumaini pale ambapo hakuna Matumanini, upendo pale palipo na chuki, kusimamisha heshima palipo jaa dharau ni muktadha wa shughuli ya huduma ya 'mitume'... Ni fumbo la utatu wa nguvu za utu na dhamiri--Imani, Pendo na Tumaini... Kwa mintarafu ya haya, unyoofu wa mkono unaoshikilia mwenge ni siri ya 'Uthabiti' wa 'Nia' kuushikilia 'Mwenge wa Uhuru'... 'Nuru na Nia' ndiyo ufunguo wa imani ya 'muktadha wowote wa Kujichagulia'...

Bahati ni 'fumbo la imani' ambalo adha yake inaweza kuwekwa bayana na 'Nuru ya Ufahamu'--Maarifa ya 'Mwenge wa Uhuru'. Dhana ya Tumaini, Upendo na Heshima ni muktadha wa riziki, stahiki na subira. Sisi wa mwambao huwa na msemo: Subira yavuta kheri... Ukipatacho wakati sahihi wa wewe kukipata hicho ndiyo tunda la heshima ya utu wema wako--utimilifu wa 'Uja Wema'. Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za 'Upendo Huvumilia'... Kwenye ufundi wa ujengaji wa Dola--hili ndilo linalokadirisha tunu ya uvumilivu na ustahilivu katika yote na matendo yote, pasi kuhukumu, kwa kuwa 'Dola zote duniani' ni mchakato wa kuondoa kasumba, husda na ufitini wa kimataifa ili wakati mmoja muafaka mataifa yote yaje kuwa 'kitu kimoja'... Katika mapokeo ya Ukristo, waumini hupata habari za siku za kuja 'Mbingu Mpya, Nchi Mpya'...

Katika metafizikia ya Utu na Uzima, 'Wakati' ndiye Muamuzi wa Haki. Roho na sonafi ya mtu ndivyo hukadirisha 'Duara na Nukta' ya utu katika jamvi la supasha-wakati; meza ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' huwa na mizani ya ukumbaizi wa dhamira za wanajamii wanaoifanya meza hiyo. Kwa mintarafu ya haya, maarifa ya uganga na mizungu yanaweza kutumia siri zile zile metafizikia na nuru ya uzima wote kuathiri muktadha wa sura ya jamii kwa wakati mmoja hadi mwingine kwa ushirikina.

Ushirikina ni 'fumbo la imani' kupitia dhamiri--dhamiri juu ya muktadha wa pembetatu ya 'nia binafsi, matakwa na heshima ya kujitengenezea'. Jamii ikipatia usahihi wa dhamiri ya utu bora ndiyo hukadirisha muktadha wa pembe tatu mbili zinazoingiliana na kushiriki kitovu kimoja cha ukati na Duara. Uwili wa pembetatu kuingiliana ni siri ya 'Neema za Nchi na Mbingu'; Hii ni alama ya Jadi, ambayo ni mbadala wa 'Msalaba'. Mataifa duniani huzitumia alama za jadi za kimetafizikia lakini haimaanishi kwamba zinatumika kwa usahihi na kheri ya kweli...

Alama za jadi za kimetafizikia zinaweza kutumika/kutaasishwa na 'Werevu' ama pia 'wapole' wa mambo... Kwa hivyo siyo ajabu kukuta Duara hutumika kwenye uganga na vilenge vya kuita 'Malaika/Majini' sambamba na jiometria za miraba ama pembe tatu. Alama hizi ni ufunguo kwa 'Upepo' wa 'Roho' na mawezekano yenye kupitiliza 'umbali ama/na wakati'.... Kadiri ya mtu kuwa na mwili na fahamu kama kiumbe timilifu kwa milki ya Nchi, vipo viumbe ambavyo utimilifu wake si wenye kubanwa sana na mapana ya milki ya nchi. Kwa hivyo elimu ya viumbe vyenye kupilitiliza fizikia, fahamu za maumbo na uweza, haipo na umma na kutokuwepo kuna kadirisha yote mawili 'wema na Uovu'.

'Wema na Uovu' ni 'fumbo la Imani'--ni tafsiri ya kibinadamu na si Manani. Hili linalofanya umuhimu wa kujichagulia Kiroho, Maadili na Miiko kuwa ndiyo msingi wa UTU bora. Ni muhimu katika ususi wa taifa-dola lolote muktadha wa haya matatu ubayanishwe. Kwa kuwa 'Nuru ya Ufahamu' ndiyo rehema isiyo kifani na tena fadhila isiyo kifani, wanajamii hawanabudi kutengenezewa misingi ya 'Kujichagulia' kuanzia kiimani, kimwili hadi hisia. Hili ndilo msingi hasa wa 'Uhuru wa Kuabudu'... Wadau wa roho ya nchi, Dola, katika nchi na mataifa yote huwa ni watu wenye nasibu ya 'Ukuu wa Kiroho, Maadili na Miiko'. Kiufundi, hili siyo halisi kwa kuwa Dola ni Taasisi ndani ya Taasisi--Taasisi ni watu, na watu daima wanaishi na ulimwengu wenye vishawishi.

Simulizi lolote la watu, harakati na ushawishi ni muktadha wa Taasisi. Kwa watu wa rizayati ya Elimu 3.0 inafahamika fika, uaminifu wa mtu ni ahadi yake na Mola na si taasisi yenyewe ama mifumo ijayo na 'maisha na nyakati'. Kwa mintarafu ya hili, Historia na Masafi ya kusimulia kuna namna huwa ni Ulaghai... Kiufundi, taasisi yoyote imara ni uwanja wa fujo na mivutano muda wote; wastani wa dhamiri na nadhiri za wanataasisi ndiyo huweza kukadirisha kheri ya taasisi yenye mbele ya jicho la mtazamaji kutoka nje ya Taasisi kisomoni. Kwa hivyo hili linahusika habari na Maisha ya Mwalimu Nyerere, Taifa la Tanzania--vivyo hivyo kwa mataifa mengine yote Duniani. Watu wa mwambao tuna usemi: Ukiwaona ni Wazuri, Wabaya ni Hao Hao...

Siri ya nadhiri ndiyo kitendawili cha Historia--historia kwa maneno na simulizi. Hili ni kwa kuwa hakuna awezaye kujijua siri za moyo wa mtu mwingine. Na hata ikiwa Mwanajamii ni mwenye karama za akili kujua ya mioyoni na akilini mwa wengine bado kuna maadili na miiko inayotengeneza hesabu ya matokeo/matarajio ya Dhamira/Nia njema ama Ovu. Siri ya maadili na miiko hii ni Upendo; Upendo hauingilii ili kuitengeneza nasibu ya jema ama ovu... Kwa mintarafu ya haya, ikiwa wadau wa roho ya nchi wanashawishika kuingilia matendo, utawala na usivilai wa nchi-taifa basi hii ni dosari ya kiufundi...

Dosari ya kiufundi, kwa rizayati ya Elimu 3.0 na tena Uono na Ufikirifu Mifumo ni adha ya 'Majaribu' na 'Vishawishi'. Kwenye mapokeo ya Ukristo, majaribu na vishawishi humjia yeyote kupitia muktadha wa matatu--mkate, Mauti na Legasi... Kwenye mapokeo ya habari za kiroho hutajwa kuwa haya huletwa na 'Malaika aliyeanguka'--Ibilisi/Shetani. Kwa rizayati ya Elimu 3.0 muktadha wa haya ni uhalisia wa mambo yaliyositirika. Kwa mintarafu ya haya, rushwa ni adui wa haki, na hali kiufundi hasa, rushwa ni zao la makusudi yenye kuharibika katika pembetatu ya utu wa mtu. Makusudi yaliyoharibika ndiyo 'hupoteza tumaini la kheri katika ukumbaizi wa jamii', 'huleta chuki na machukizo ya maisha' na zaidi 'Huleta dharau na kudharauliana'.

Makusudi yenye kuharibika katika pembetatu ya utu wa mtu, rushwa, ni donda ndugu la mmomonyoko wa maadili; donda hili haliko Tanzania pekee yake--liko Duaniani kote. Rushwa ni huleta 'homa na maradhi' ya Dunia... Rushwa ndiyo kinyume hasa cha muktadha wa 'kutegemea riziki kutoka kwa Mola'... Rushwa ni kinyume cha ile nukta ya 'Dhamiri Sahihi' ya utu wema. Rushwa ni athari ya 'Kiroho', disonia kati ya 'Roho' na 'Mbegu ya Utu/Sonafi'. Alama ya Ngao ya Ustawi, ngao ya tunu nne za taifa, kuegama juu ya Mlima Kilimanjaro, kwa uono na ufikirifu mifumo ni kielelezo cha 'Ujuu wa Siha njema' ya wanataifa. Ujuu ni kielelezo cha 'Fahari ya Mbingu' ama 'Uono wa Juu Kabisa', Mwenge na Bendera kuwekwa Juu ya Kilele cha Mlima Kilimanjaro haikuwa ni tukio la kihistoria tu, ilikuwa ni dhamiri na nadhiri ya utaasisi wa nchi-dola, kwa kujichagulia, kujinasibu na maendeleo ya Utu Bora--Tanzania, Afrika na Ulimwengu wote mzima...

UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI, havikadiriki katika taifa kwa nguvu za kibinadamu pekee--binadamu kama mtu anayejitathmini kwa mraba wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'. Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii hayatokani na 'kutokujua/kufahamu' vema mambo ya milki ya nchi; Ujinga, Umaskini na Maradhi ya wanajamii unatokana pia na kukosa 'Nuru ya Ufahamu' juu ya dhamira na nia ya UTU bora kutoka 'Juu Mbinguni'. Mwanajamii ahitaji Duara na Nukta kwa ajili ya kutangamanisha sura na utukufu wa mienendo na uhai wa Taifa Lake.

Duara na nukta ni ufunguo wa metafizikia ya Taasisi.

Ikizungumzwa kwa mfano historia halisi ya Afrika ina takribani miaka 500 ya kukadirisha Sura na Utukufu wa 'Uhuru na Umoja' na ina miaka mingine takribani 500--hapa tulipo ni 'Mia ya Katikati', swali linaweza kutungika. Je, ni nani huyo mwenye uwezo wa kukadirisha 'Jaala' hii ya Afrika? Maana hakuna mtu anayeweza kuishi miaka elfu... Hata taasisi za wanadamu hazina marefu hayo ya kiuhai, maana maisha ni misuguano na mivutano wakati wote--utohakika wa 'malengo ama/na matamanio' ya ushirika kukadirika kwa vina na tafsiri vya mwanadamu anayeishi umri wa miaka tuseme 75+...

Haya ni mambo ya metafizia ya jamii, yana ILIMU, UFAHAMU na MAFUMBO yake zaidi--zaidi kupita yale tunayoyaelewa katika mapana ya milki ya nchi.. Ikibidi machache kuzungumzwa kuhusiana na mawezakano haya basi ni vema isisitizwe yanazungumzwa kwa ajili kuandaa jamvi la mapinduzi ya kweli na endelevu ya stawi za duniani.

Rushwa ipo na jamii za wanadamu kwa kuwa mwanadamu anaishi na kitete cha matatu (1) Riziki (2) Hofu ya Mauti, na (3) Kutengeneza Urithi/JIna/Legasi. Kwa haya matatu, wengi duniani wanaweza 'kutoa kafara' ya mnyama hata mwanadamu mwenzake kwa ajili ya haya. Vishawishi vya haya matatu ndiyo katika nchi-dola huleta ufisadi, fitina na njama. Dhamira isiyosahihi huleta majaribu katika nafsi ya mtu kwa ahadi ya (1) 'Mali/Utajiri' -- Mkate/Uchumi kwa kujipendelea/Uchumia-Tumbo, (2) Shiriki kutokana na ukosefu wa Imani na ulaghai wa 'ukuu wa kuweza' kupita/kuamurisha 'majini' ama/na 'malaika' -- Kujiangusha Kiroho kwa ajili ya 'Malaika wa Uinuo', (3) Kuacha Jina/Umaarufu/HIstoria -- Ubatili wa fahari ya milki za nchi na utawala wa mambo ya kidunia ya MRABA wa 'HEKALU'.

Hili sasa, linadodosa fumbo kwako mzee Mohamed Said...

Historia ya kweli ya nchi-dola yeyote ni vita ya wazi na kificho--ni bunduki na waridi, msalaba na waridi...

Kubarizi kwenye maisha ya nje ya 'askari wa wakati' kunamsaidia 'Shetani'... Kwa kuwa kiimani, Shetani ndiye anayetawala 'ulimwengu wa majaribu'. Upo upande 'malaika' wa sisi wote ndiyo 'husawazisha' wema na uovu wetu. Ukitaka kutumia shiriki kwa ajili ya 'bahati'--upate 'cheo', upate 'utajiri' ama/na upate 'umaarufu' wewe si 'mja mwema' hasa; kwa kuwa wewe unatafuta kutumikia nafsi yako--unaweza kuficha maovu yako kwa 'usanii' wa cheo, utajiri ama/na 'umaarufu'... Utawavuna ujinga 'maskini wa kiroho' kama ambavyo wewe mwenyewe kwa wakati ni hivyo...

'Matukio' na 'fahari za milki ya nchi', kwa mwanajamii asiye macho/jicho sahihi la hekima ya 'kimbingu', ni mchezo wa danganya toto kula kunde mbichi....

Ni mtihani mkubwa kwa, walinzi wa imani; walinzi wa kweli wa kheri za jamii ni muktadha wa sisi wenyewe kuwa ni tunaishi zaidi kungine nje ya Sayari yetu ya Dunia. Huko ndiko kuna maisha marefu, duniani wanadamu tunaishi miaka 75+, 'huko mbinguni', wapo wanadamu wanaishi miaka 900, mia elfu na hata kupita. Huko mbinguni kuna viumbe watu wanaishi miaka hata 'Milioni' kwa hesabu ya 'miaka ya Duniani'... Kwa hivyo habari za 'majini kuishi miaka maelfu na kuzaliana kama wanadamu', wakati mmoja siku za mbele, isijekuja kushangaza kuja kujua/kufahamu kuwa ni mchanganyiko wa ukweli wa viumbe watu kama sisi, na viumbe watu nusunusu kimawezekano ya 'kujibadilisha maumbo' na 'uwepesi kama upepo'...

Mambo ya Maisha marefu ya 'Malaika' na 'Majini' ndiyo fumbo la imani, kidhamira ya utu, juu ya MRABA wa 'matukio-jamii-machaguo ya kitaasisi, matukio'. 'Malaika' yeyote anayetoa kwa masharti, haleti 'Bahati' yoyote ya kheri khasa bali kuimarisha ngome ya maangusho ya kiroho kwa wanadamu wa 'miraba minne'. Kwa mintarafu ya haya, upo muktadha wa siri ya Uzima wote kuwa 'wema' hauwezi kuwepo pasipo 'uovu', na basi ikiwa kuna wanaotaka waucheze wema--uovu hauna budi kuwepo... Kwamba, 'Malaika' kwa kutumwa kunuia wapo. Kwenye ususi wa utaasi dola, kupitiliza fanusi 'malaika' na 'mapepo/majini/arkoni/ingregori' ni uthabiti wa kuinua juu kabisa 'Mwenge wa Uhuru'--ili umulike mapana yote ya mwangaza na vimvuli(giza) vya nafsi katika mapana ya milki ya nchi...

Mzee Mohamed Saidi, bila shaka, kwenye udadisi wako wa 'Historia ya Harakati ya Kutafuta Uhuru' umekumbana na visa vya usaliti, 'kupotezewa', kupendelewa na kugangamala miongoni mwa 'makundi ya Wanaharakati'...

Ni suala la wahyi na hekima tu, ukiotea rizayati ya Elimu 3.0, na tena ukawa na uono na ufikirifu mifumo, Mwalimu Nyerere na hao Wadau wote wa Uanaharakati, katika mapana ya nyakati hao wote ni 'Waarabu wa Pemba'... Wanafahamiana kwa vilemba kutokea 'Juu Mbinguni'...

Nusu ya pili haijapata kusimuliwa na ikibidi isimuliwe wewe mwenyewe msimuliaji utapotelea kwenye simulizi...

Hmmm
Mose,
Abdul Sykes aliingiwa na hofu Waingereza wasije wakamdhuru Nyerere kwenye chanjo (vaccination) ya safari ya kwenda New York, UNO.

Akamwambia mdogo wake Abbas kuwa yeye ahakikishe kuwa Nyerere anapata "vaccination certificate," bila ya kudungwa sindano.

Akamsisitizia Abbas kuwa hiyo iwe siri kubwa.

Asijue yeyote katika TANU.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Ikabakia kuwa siri.

Sikiliza video hiyo naeleza kisa hiki:

View: https://youtu.be/gvymrDIUhgg?si=gC8FS0R9gbL5uKLv
 
ACHA KUNI'QUOTE MAUPUMBAVU NINA KAZI NYINGI WEWE MWEZANGU UPO HAPO MAGOMENI KIBARAZANI WALA KASHATA TU.

Karibu kula kashata ya chumvi maana sukari haikamatiki , Mzimu wa Nyerere unatutesa
 
ACHA KUNI'QUOTE MAUPUMBAVU NINA KAZI NYINGI WEWE MWEZANGU UPO HAPO MAGOMENI KIBARAZANI WALA KASHATA TU.

Upumbavu ni huu wa mlevi wenu Nyerere

Devaluation Trend of the Shiling from post cue/Revolution till today:

1966-1972) 1USD = 5 TZS,
1973-1975) 1 USD =7 TZS,
1976 - 1 USD =12 TZS
1977 - 1 USD =12 TZS
1978-82 - 1 USD = 20TZS
1983 - 1 USD = 22 TZS
1984 - 1 USD = 23TZS
1985 - 1 USD = 102 TZS
1986 - 1 USD = 205 TZS
1987 - 1 USD = 207 TZS
1988 - 1 USD = 220 TZS
1989 - 1 USD = 226 TZS
1990 - 1 USD = 265 TZS
1991 - 1 USD = 300 TZS
1992 - 1 USD = 385 TZS
1993 - 1 USD = 434 TZS
1994 - 1 USD = 465 TZS
1995 - 1 USD = 500 TZS
1996 - 1 USD = 580 TZS
1997 - 1 USD = 665 TZS
1998 - 1 USD = 720 TZS
1999 - 1 USD = 800 TZS
2000 - 1 USD = 820 TZS
2001 - 1 USD = 880 TZS
2002 - 1 USD = 900 TZS
2003 - 1 USD = 900 TZS
2004 - 1 USD = 910 TZS
2005 - 1 USD = 1050 TZS
2006 - 1 USD = 1100 TZS
2007 - 1 USD = 1150 TZS
2008 - 1 USD = 1200 TZS
2009 - 1 USD = 1250 TZS
2010 - 1 USD = 1260 TZS
2011 - 1 USD = 1300 TZS
2012 - 1 USD =1450 TZS
2013 - 1 USD =1620 TZS
2014 - 1USD = 1650 TZS
2015 - 1USD = 2210TZS
2016 - 1 USD = 2200TZS
2019 - 1 USD = 2300TZS
2023 - 1 USD = 2502TZS
2024 - 1 USD = 2835TZS
 
Upumbavu ni huu wa mlevi wenu Nyerere

Devaluation Trend of the Shiling from post cue/Revolution till today:

1966-1972) 1USD = 5 TZS,
1973-1975) 1 USD =7 TZS,
1976 - 1 USD =12 TZS
1977 - 1 USD =12 TZS
1978-82 - 1 USD = 20TZS
1983 - 1 USD = 22 TZS
1984 - 1 USD = 23TZS
1985 - 1 USD = 102 TZS
1986 - 1 USD = 205 TZS
1987 - 1 USD = 207 TZS
1988 - 1 USD = 220 TZS
1989 - 1 USD = 226 TZS
1990 - 1 USD = 265 TZS
1991 - 1 USD = 300 TZS
1992 - 1 USD = 385 TZS
1993 - 1 USD = 434 TZS
1994 - 1 USD = 465 TZS
1995 - 1 USD = 500 TZS
1996 - 1 USD = 580 TZS
1997 - 1 USD = 665 TZS
1998 - 1 USD = 720 TZS
1999 - 1 USD = 800 TZS
2000 - 1 USD = 820 TZS
2001 - 1 USD = 880 TZS
2002 - 1 USD = 900 TZS
2003 - 1 USD = 900 TZS
2004 - 1 USD = 910 TZS
2005 - 1 USD = 1050 TZS
2006 - 1 USD = 1100 TZS
2007 - 1 USD = 1150 TZS
2008 - 1 USD = 1200 TZS
2009 - 1 USD = 1250 TZS
2010 - 1 USD = 1260 TZS
2011 - 1 USD = 1300 TZS
2012 - 1 USD =1450 TZS
2013 - 1 USD =1620 TZS
2014 - 1USD = 1650 TZS
2015 - 1USD = 2210TZS
2016 - 1 USD = 2200TZS
2019 - 1 USD = 2300TZS
2023 - 1 USD = 2502TZS
2024 - 1 USD = 2835TZS
Hapa napo analaumiwa mwalimu?
 
Upumbavu ni huu wa mlevi wenu Nyerere

Devaluation Trend of the Shiling from post cue/Revolution till today:

1966-1972) 1USD = 5 TZS,
1973-1975) 1 USD =7 TZS,
1976 - 1 USD =12 TZS
1977 - 1 USD =12 TZS
1978-82 - 1 USD = 20TZS
1983 - 1 USD = 22 TZS
1984 - 1 USD = 23TZS
1985 - 1 USD = 102 TZS
1986 - 1 USD = 205 TZS
1987 - 1 USD = 207 TZS
1988 - 1 USD = 220 TZS
1989 - 1 USD = 226 TZS
1990 - 1 USD = 265 TZS
1991 - 1 USD = 300 TZS
1992 - 1 USD = 385 TZS
1993 - 1 USD = 434 TZS
1994 - 1 USD = 465 TZS
1995 - 1 USD = 500 TZS
1996 - 1 USD = 580 TZS
1997 - 1 USD = 665 TZS
1998 - 1 USD = 720 TZS
1999 - 1 USD = 800 TZS
2000 - 1 USD = 820 TZS
2001 - 1 USD = 880 TZS
2002 - 1 USD = 900 TZS
2003 - 1 USD = 900 TZS
2004 - 1 USD = 910 TZS
2005 - 1 USD = 1050 TZS
2006 - 1 USD = 1100 TZS
2007 - 1 USD = 1150 TZS
2008 - 1 USD = 1200 TZS
2009 - 1 USD = 1250 TZS
2010 - 1 USD = 1260 TZS
2011 - 1 USD = 1300 TZS
2012 - 1 USD =1450 TZS
2013 - 1 USD =1620 TZS
2014 - 1USD = 1650 TZS
2015 - 1USD = 2210TZS
2016 - 1 USD = 2200TZS
2019 - 1 USD = 2300TZS
2023 - 1 USD = 2502TZS
2024 - 1 USD = 2835TZS
Hapa umethibitisha mwalimu was best kuliko waliomfuata...

Ameacha 1$ - 102 ila ndani ya mwaka mmoja tu ikafika 205...

Umeamua kumbagaza Mzee Mwinyi bila shaka.
 
Mwalimu Julius Nyerere historia yake ni kubwa sana.

Walioandika maisha yake wameandika vitabu vitatu zaidi ya kurasa 1000.

Bahati mbaya sana kitabu hiki hakikuweka mengi ambayo yalihusu historia ya Mwalimu na Waislam wa Tanganyika.

Sijui kwa nini.

Kukosekana kwa hili kumeondoa utamu na ladha katika maisha na historia ya Baba wa Taifa kama alivyoishi na watu wa Dar-es-Salaam.

Historia ina kawaida ya kujirudia.

Wakati mwingine mapenzi ya watu kwa viongozi wao yanafika mbali sana.

Sikiliza kisa cha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958:


View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=cT3yTTxutMuBv5Gb

Akikua mpuuzi km wapuuz wwngine
 
Hapa umethibitisha mwalimu was best kuliko waliomfuata...

Ameacha 1$ - 102 ila ndani ya mwaka mmoja tu ikafika 205...

Umeamua kumbagaza Mzee Mwinyi bila shaka.

Biblia inasema , by their fruits you will recognise them

nani alipanda mbegu ya CCM ??
 
Hebu angalia list hiyo vzr maalim.Mbona yakati za ndg zako katika imaan ndo devaluation inakuwa kubwa?Hapo napo kasababisha Mwalimu?

Nilifikiri utatumia akili japo ya inzi, Hivi hiyo sytem aliianzisha nani hata ikafika hivyo ?? au huelewi mtoto umleavyo ndivyo akuwavyo ?? Mbegu hiyo aliipanda huyo Padre Nyerere na matunda ndiyo tunayoendelea kuyavuna, Lissu kaelezea maranyingi lakini mumelewa ulevi wake bado hamwelewi
 
Huko madrasa wamekubraiwash vibaya sana.Mwalimu kafariki muda mrefu lakini bado legacy yake inaishi.
Kwa uadilifu na uzalendo unamlinganisha Mwalimu na rais yupi wa Tanzania?
Ndio, Huko Madrasa nimefundishwa kutokuwa muoga na fisi kama nyinyi mliuburuzwa kwenye umasikini wa kujitakia ulioletwa na huyo mshenzi,
Na pia kusoma elimu ya dunia ya kiwango cha juu ndani na nje ya nchi , na kukuzidi wewe na ukoo wenu wote, tunaweza kuweka ligi kuhusu hili hapa kama unajiweza ?
Ni kama Mzee Saidi tu alivyopeta kuizunguka dunia kwa usomi wake,
 
Mose,
Abdul Sykes aliingiwa na hofu Waingereza wasije wakamdhuru Nyerere kwenye chanjo (vaccination) ya safari ya kwenda New York, UNO.

Akamwambia mdogo wake Abbas kuwa yeye ahakikishe kuwa Nyerere anapata "vaccination certificate," bila ya kudungwa sindano.

Akamsisitizia Abbas kuwa hiyo iwe siri kubwa.

Asijue yeyote katika TANU.
Hivyo ndivyo ilivyokuwa.

Ikabakia kuwa siri.

Sikiliza video hiyo naeleza kisa hiki:

View: https://youtu.be/gvymrDIUhgg?si=gC8FS0R9gbL5uKLv

Nimeona/kusikia...

"Chama cha mapinduzi kuwa kitovu Sifa kwa Nyerere, na kusahau(?) mengi mazuri ya jamii na wadau wa 'uhuru' kutoka Kanda ya Ziwa, Tabora na Kilimanjaro..."

Ma Shaa Allah, kuna neno...

SASA, tufanye rizayati ya Elimu 3.0... Ikiwa shauri linatutaka 'Hekima, Umoja na Amani' kuwa ngao yetu...

Je, hapa tulipo KICHAMA, SERIKALI, JAMUHURI katika meza ya 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio' -- 'wema na ubaya' wetu unatukadirisha na yepi ya 'Jana, Leo na Kesho'?

Wewe uwe ndiye kwenye kwesti ya 'Ufunuo'...

Muktadha wa ingilio kwa 'ufunuo' ni kudra na kheri za watu, kwa sifa na hadhi ya mapana ya jamii, kulingana na nasaba zao, tuseme, watu wa magharibi/mashariki/kusini/kaskazini-- kanda ya kati, watu wa magharibi-Kaskazini, kaskazini-Mashariki, mashariki-Kusini na Magharibi-Kusini ya Tanzania yote...

Hili unalohitaji--hili la kufumbua kitendawili cha 'wema na ubaya' wa mapana ya jamii ya Tanzania 'kiwakati na matukio' laja kuwa ni 'kwesti'. Kiini cha 'Kwesti' basi sharti 'kitakaswe' kwa ajili ya 'usafi wa dhamira' ya kujua/kufahamu/iliyobora...

kwa hivyo 'UFUNUO' unaojinasibisha kuupata hauna bidi iwe ni 'tega ni nikutege' ya kitako/msingi wa shauri/mashauri kwa nukta ya juu ya 'pembe tatu' yenye kufanya 'kwesti'--nukta ya kutumbua kwa ajili ya 'damu ama/na usaha' wa jamii ya Watanzania katika mapana yaliyositirika ya matukio, machaguo ya kitaasisi--utu wa shoka, mkuki wa 'Jaala' na nyengo ya 'kuvuna na kupanda'...

Jenga taswira akilini yenye ubunifu wa matendo, nia na dhamira ya 'Ufunuo' kwa kadiri ya yafuatayo:

kwa kusudi la wewe kuwa ndiye mwenye kwesti, wewe kiufundi wawa ni ndugu wa 13 katika shughuli ya 'ukuhani'; na una ndugu wengine kumi na wawili ambao, kwa pamoja, mnashiriki kwa kheri na kudra la zingatio la matatu--Hekima, Umoja na Amani kwa taifa na mataifa.

Sifa za hawa kumi na wawili-- hawa ni nguzo kumi na mbili za imani, kusudi na Dhamiri-Upendo. Kwa asili ya haya matatu, hawa ni watu wa 'Sala'; na shughuli nzima ya kukadirisha 'Kwesti' ni 'Sala/Dua'...

Kumi na Wawili, hawa ni 'Waja Wema' na wanasimama kama mbadala wa wengine wote kokote walipo, Duniani ama Mbinguni, wakati wa leo, jana na kesho; pia 'alimwengu zisizo idadi za Utu na matendo' ilivyo ni simultali kiwakati wowote, popote na momote.

Kwa sifa mahsusi, kiimani-makusudi-dhamiri-upendo, hawa wanawakilisha (1)Ujasiri, (2)Moyo wa Kina na (3)Huruma; na halafu (4)Subira, (5)Moyo wa Kutoa na (6)Moyofuraha; na halafu (7)Hekima, (8) Ujazi na (9)Uono Fasaha; na halafu (10) Uhakika, (11) Pendo litumikialo na (12)Moyo wa Uelewa.

KABLA YA KULIINGIA TUKIO la ajili ya KWESTI:

Kabla ya Zamu ya kuingia katika chumba cha agano--chumba cha agano ni 'Hekalu' ; ni vema kulibaini fumbo la Hekalu

Hekalu ni jambo kama kwenye kile kisa cha Musa, Hema la makutano na 'mambo ya Walawi'.

Kimetafizikia Hekalu ni mahala pa kutaniko la 'Utukufu' wa mambo ya mwili na roho ili kufanya muafaka wa imani, kusudi na dhamira.

Kiimani, makusudi na Dhamira: hekalu ni mahala pa kuwakilisha utaasisi wa patakatifu pa patakatifu... Ni 'Wateule' pekee ndiyo wanaofaa kwa mambo yake; si mtu mwingine ama watu wengine wowote wasio na 'maandalizi wala sifa na hadhi' za kuwepo humo...

Maandalizi, Sifa na Hadhi za kufaa kuwepo katika 'mambo ya Walawi' ni wito wa kipekee wa kubidi na kufaa kuwa 'Mshauri wa mambo ya mila desturi na utamaduni wote mzima' wa jamii yako ya karibu na hata mbali duniani ama mbinguni...

Mambo ya Walawi ni mambo ya 'Ubalozi' kwa karama za mwili, akili na roho...

Kwa hivyo mtu mwenye 'Kwesti' hauna budi kuandaliwa kwa ajili ya 'Nguzo ya Ubalozi' kupitia 'Ufunuo'--Utakachokishuhudia, basi hilo katika "kwesti', kije kuyafanya (ma)shauri ya wewe kuleta na kufikisha ujumbe kwa wanajamii wako kutoka katika 'Kumbukumbu' la 'Uzima' wote...

INGILIO: Jenga taswira unafika malangoni pa Hekalu la Makutano; kutokea ndani unakaribishwa kwa heshima na adabu yenye kuakisia 'Unyenyekevu na Nidhamu yako Binafsi' katika kustahili 'Utumishi wako'.

Unapita hadi ndani ya Hekalu... Hekalu ni mfano wa KUBU, Mraba wa Wima, Mapana na marefu yake; kuna jukwaa mraba la kufikiwa kwa ngazi tatu katikati kabisa ya Chumba.

Ncha za kukwea mraba ni zenye kupishana na ncha za Hekalu... Ncha zinanyookea katikati ya mapana ya chumba basi kufanya Kaskazini, Mashariki, Kusini na magharibi ya chumba iakisike na Kaskani-Mashariki, Mashariki-Kusini,magharibi-Kusini na Kaskazini-Magharibi ya Jukwaa mraba.

Jukwaa Mraba ni lenye viambaza vya kuketi na masikilizano-- Wanandugu 12 kugawanyika mafungu mawili, wanasimama upande wa kuume na kushoto wa mapito ya wewe ndugu wa 13 kuelekea katikati ya chumba ukiingia kutokea upande wa Magharibi katikati.

Kuna milango Minne ya kuingilia kwenye Hekalu, mmoja upo Mashariki, mwingine Magharibi vivyo hivyo Kaskazini na Kusini. Ndugu 12 huingilia upande wa Kaskazini na kutokea upande kwa Kusini. Ndugu wa 13 hutokea mlango wa Mashariki...

Katikati ya chumba ni mahala pa Jukwaa mraba wa ndani ya chumba wenye vile viambaza 12 vya kuketi.

Kuna kigoda katikati ya chumba ambapo ndugu wa 13 unaweza kuketi kueleza, kusikiliza ama 'kusali'... Kuelezana, kusikilizana na kusali waja wema 13.

[Wanandugu 13 ni watu wa upeo, karma na mapaji; watu wa Elimu 1.0, Elimu 2.0 na Elimu 3.0... si kila jambo la hoja ni lenye kwenye kukadirisha ufaulu kwa muendelezo wa 'kufanyika kwesti'-- hili shauri la 'CCM ya watu' na Historia ni mfano tu, halina chochote cha kufikia 'daraja' khasa...

Ichukuliwe tu labda kuna 'wasi wasi fulani' kuhusu uwingi wa watu wenye 'dhamira mbovu' anaoweza kuathiri 'machaguo ya kitaasisi' kwa kiasi kikubwa; kwa kuwa ni kulingana na mashauri/shauri fulani la 'uongo na kweli' wa mambo ndivyo huweza kubidi 'kwesti ili kubaini mawezeakano ya 'mpasuko' ama 'vurugu' zinazoweza kusambaratisha taifa/mataifa...]


... Ndugu wa 13 unakaribishwa hadi kwenye kigoda, wanandugu 12 na wao wanaelekea kwenye 'vigoda' vyao.

ZAMU YA KAZI: KULIINGIA TUKIO la ajili ya KWESTI:

Mara baada ya kukaribishana na 'kuchukua nafasi' katika vigoda stahiki kwa kila mwanandugu, ndugu wa 13 unaowasaa wa kuwasilisha 'Kwesti' yako--kueleza, kusikilizwa na kisha na wewe kupokea maelezo na kusikiliza.

Masikilizano yana kusudi kwa ajili ya nia moja: 'kutakasa dhumuni la kutaniko' na basi kulijenga kusudi la kusaka 'vina sahihi vya uono na tafsiri kwa uono/ufunuo' wa jambo linalokadirisha 'kwesti'.

UTAKASO WA DHUMUNI KATIKA KULIINGIA TUKIO la ajili ya KWESTI:

Mfano, Ndugu wa 13 na hoja ya kudai "Chama cha mapinduzi kuwa kitovu Sifa kwa Nyerere, na kusahau(?) mengi mazuri ya jamii na wadau wa 'uhuru' kutoka Kanda ya Ziwa, Tabora na Kilimanjaro..." Je, kuna lolote linaloweza kusahihisaha muktadha wowote wa tafsiri jambo/mambo/matukio kuwa hivyo?

Sikilizano la ndugu namba moja (Ujasiri): Shauri hili ni lenye uhitaji wa kujitafakari misingi ya utu wetu kwa taifa, mataifa na mbingu; Kwa kusudi ya hili hatuna budi kurejea kwenye misingi ya nchi na tawala--ipi ni sifa, hadhi na daraja la wanajamii, machaguo ya kitaasisi na hali ilivyosasa kulingana na shauri lenyewe?

Sikilizano la ndugu namba mbili(Moyo wa Kina): Shauri hili ni lenye uhitaji wa kujitafakari juu ya 'jamii kisomoni', Je, inatokea wapi na ipo wapi katika muktadha wowote wa kujichagulia?...

Kitaifa, kheri na fanaka yake iko kwenye utaasisi dola wenye kujichagulia 'Maendeleo ya Utu' kupitia fanusi ya Elimu--ya madarasa na ya watu wazima, elimu ya Uraia na Kijamii -- kukadirisha taifa la watu huru wenye serikali yenye uwezo, sifa na utukufu wa wanajamuhuri yenyewe. Sasa je, shauri la Chama cha Mapinduzi kudaiwa kufunika 'mengine mengi mazuri ya wanaharakati' --ni wanaharakati wepi hasa?

Jana siyo leo na vivyo hivyo leo siyo kesho; kuchagua lipi likumbukwe na lipi lisahaulike ni kazi ya wale wote wanaopenda ama watakaopenda kuchimbua 'habari za jana' japo na wao hawanabudi kujiuliza Je, hayo mazuri yalisahaulika hayana wawakilishi wengine leo ambao 'nia na dhamira' zao ni zile zile za wale 'waliosahaulika'?

Hali kadhalika, leo inatengeneza mkunjuruko wa kesho--ya kubidi kukumbukwa na yale yasiyo na ulazima wa kukumbukwa moja kwa moja... Je, kukumbuka na kusahau kunakazanisha yepi ya kuchagua na kujichagulia?

Je, muktadha wa Kuchagua na kujichagulia, kwa minajili ya sura na tawala ya Chama, Serikali na Dola ni wenye kulandana? na je, kuzingatia ukweli wa kwamba chama ni watu na dola ni watu pia, kuchagua na kujichagulia kwao ni kwenye kulandana na azma na dhamira ya ujamuhuri wenyewe ama vuta nikuvute vya 'kutunushiana misuli' taasisi moja dhidi ya ingine?

Sikilizano la ndugu namba tatu(Huruma): Shauri hili ni lenye uhitaji wa kujitafakari juu ya 'jamii kisomoni', Je, kuna aina yeyote ya 'utunushianaji misuli' miongoni mwa wanajamii katika jamii hii kisomoni?

Ndani ya dola limeshawekwa angalizo kubayanisha kwamba: 'Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo zinaondolewa nchini';

Ikiwa kuna lolote la kuzingatia -- ikiwa kuna 'ubayana wa utunushianaji wa misuli ndani ya nchi-dola' basi 'kwesti' hainabudi kutengeshwa kwa misingi ya vilivyomo katika kulitunga na kuliunda taifa...

Sikilizano la ndugu namba nne(Subira): Shauri hili ni lenye uhitaji wa kujitafakari juu ya 'jamii kisomoni', Je, jamii iko kwenye uchanga kiasi gani ama ukomavu kiasi gani katika kubaini misingi ya UTU na maendeleo yake...

Ikiwa kuna uchanga, basi kwesti itegeshwe kwenye kuyabaini mashauri ya ustahimili, kukaza moyo na kujikumbusha misingi ya nchi-dola kama jamii yenye maridhiano ya kiustawi, utii kwa miongozo yake bora ya tunu za utu na utaifa.

Ikiwa kuna ukomavu, basi kwesti itegeshwe kwenye kuyabaini mashauri ya kukaza moyo, kujisahihisha ya nyuma yaliyopata kuwa nje ya 'makusudi' ya Kitaifa na maridhiano ya Ujamuhuri wa watu wake--wake, waume na watoto...

Sikilizano la ndugu namba tano (Moyo wa kutoa): Shauri hili ni lenye uhitaji wa kujitafakari juu ya 'jamii kisomoni', Je, jamii imepokea yote ya tunu za utaifa wao--UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI? Uchanga ama ukomavu wa jamii kisomoni na matunda ya tunu hizi nne--hauwezi kupanda pili pili ukaja kuvuna parachichi...

Mbegu ya utaifa ilipandwa kwa ajili ya haya manne--manne haya ndiyo asili milango yetu minne na tena sehemu nne za 'Ngao ya Ustawi'... Yapasa kuzingatia tunu kama kipimo cha UTU na Maendeleo--yaliyopwaya ama kukaza ndiyo yatumike kutafsiri kuzingatiwa ili meza ya 'wakati, jamii, machaguo ya kitaasisi na matukio' iwe imewambwa vema kwa ngozi ya ustawi wa jamii...

Manne ya mapana ya kukazwa katika meza hii ni:-

(1) KASKAZINI: Mapana ya 'Mwenge wa Uhuru kushikiliwa juu ya Kilimanjaro'; hii ni alama ya nia na mkazo kwa Uhuru wa ndani na nje ya nchi... Mwanga wa njano ya dhahabu ni kode ya mwangaza wa utu bora -- mwangaza wa dhahabu kwa ajili ya 'ustawi wa dhahabu'--hadhi ya maisha Kiroho, maadili na miiko ya wanajamii yapaswa kuakisi utu wa thamani kwa yote -- hali na mali... [MOTO]

(2) KUSINI: Mapana ya 'Shoka, Mkuki na Nyengo' ilivvyo ni msingi wa Kazi na kujichagulia; kazi ni moyo na pia kazi ni kipimo cha utu. Rangi Nyekundu ni rangi ya Moyo, damu na ardhi yenye rutuba. Wema ama Ubaya wa UTU wa mtu unakadirishwa na mwanajamii mwenyewe kadiri anavyojichagulia nia na dhamira kwa matendo yake juu ya Ardhi. Anachopanda mtu ndicho akivunacho--akipanda mbegu ya kujipenda na kuchukia wengine machukizo yatajirudishia kwa mapatilizo ya ubaya ilivyo ni mikosi na karaha kutokea katika jamii; akipanda mbegu ya ujivuni na kujisifu na kuona wengine 'hawatoshi' basi dharau na madharau yatafunua aibu yake ya 'Kukosa ama kulazimisha Heshima' miongoni mwa wanajamii wanaoakisi adha za machanganyiko wa hayo hayo... Akipata mbegu ya kujikweza atateseka na kutafuta kununua 'mafanikio' kwa mchanganyiko wa njia halali na haramu... [ARDHI]

(3) MAGHARIBI: Mapana ya 'Jamii katika mseto wa hisia na fahamu' kwa ajili ya wima wa dhamiri na matendo. Rangi ya Kijani ni rangi ya 'Udugu' wa mifumo mifumo hai ambavyo kijani ndiyo asili ya chakula, uzima wa miili na nishati yake. Kijani ni pacha na mwanga wa dhahabu katika kuvibariki viumbe hai kwa kudra na kheri zake. Kwa hivi rangi ya kijani ni rangi ya jamii iliyofanyika kupokea mwangaza wa uhai... Jamii ya kisomoni, watu wake kwa asili walipewa 'mamlaka ya nchi' kwa utaasisi wa 'Chama cha Wanachi', Chama cha Umma wenye hamasa na tashtiti ya 'Kimapinduzi' kwa makusudi ya 'Usawa, Ukomeshaji wa Unyonyaji na Ujamaa'... Bendera yake ni yenye rangi ya 'Kijani na Njano' kuwakilisha Jamii na Kujichagulia kwenye asili ya 'Moyo wa Kijani wa Nuru UTU wa Dhahabu'... Kwa hivyo Wananchi ndiyo wenyenchi..[UPEPO]

(4) MASHARIKI: Mapana ya UTU wenye UJAMAA wa kweli; kiufundi , Mashariki ni pahala ambapo jamii hukutana na Pambazuko; jamii kisomoni ni jamii mchakato wa kujichagulia ili kufanya 'Zama ya Mapambazuko' ya UTU wema. Utu wema ni fumbo la imani ambavyo 'UTU na UFUNUO' haunabudi kuwepo ili mchakato endelevu kati ya 'Jamii', 'Mabalozi wa Mbingu na Nchi' na 'Kujichagulia' miongoni mwa wanajamii wenyewe... Shughuli ya Kwesti ina kusudi kuu la kuijenga nguzo ya 'Tumaini' ambavyo Mashariki ya 'Nchi Mpya, Mbingu Mpya' ni 'Kheri na Tumaini la Vizazi Vyote'...

Na hivyo basi katikati kabisa pa patakatifu pa patakatifu ni jukwaa jeupe pee la usafi wa moyo, kusudi na dhamira ya 'UFUNUO wa TUMAINI KUU' na 'mitihani' ya makandokando ya 'Kujichagulia' katika kheri ama mkosi...

Kwa mintarafu ya haya, Kwesti hainabudi kuzingatia mapana ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI ambavyo tumaini huleta 'LIBERTI, U-MOJA, UJAZI na UTANGAMANO'. [MAJI]

UHURU na UDUGU umejengwa kwa misingi ya Kutaasisi 'Chama cha MbogaMboga'; ikiwa hichi kitafaulu mitihani yake katika mapana ya Nyakati na machaguo ya Kitaasisi basi Wananchi walio ni wenyenchi wanaishi kuja kuwa na ujasiri wa kutoka kwenye Uchanga na kuingia katika Ukomavu.

Ukomavu wa jamii kisomoni unakuja kukadirisha sura na hadhi ya Ushujaa, Ujasiri na Umahiri/Hodari’ kwa yale yote ya kujichagulia na maamuzi ya moja kwa moja juu ya hatma ya maisha yao. Udugu katika itikadi ya 'Mbegu-Ujamaa' una hadhi na utamaduni wa mavazi jeshi ya kijani; Udugu katika Ujamaa 'Parachichi' una hadhi na utamaduni wa mavazi jeshi ya khaki ya Simba...

Maajabu ya Kupanda Pilipili na kuja kuvuna Parachichi yanawezekana kupitia 'Sala katika Tumaini' pekee na si kwa ujanja wa kibinadamu... Linawezekana ikiwa 'Utani wa Jadi' wa Yanga na Simba; unakoma na kujakuwa 'Yuniani ya Pwani/Mashariki' kama si 'Nyota Nyekundu'...

Utani wa Jadi ni fumbo la imani kwa 'Mkate na Sarakasi'...

Haki na Amani ndiyo asili vidole viwili vilivyomacho juu na vitatu kufumbia chini, ikiwa watu wa jamii kisomoni wataendekeza ukanda ama udini kwa wazi ama kificho kamwe hawatafanikiwa kutengeneza umadhubuti wa mraba wa Uhuru, Udugu, Haki na Amani hata kama wanaasili Mlima wa Tunu ama tena chachu ya Mwangalizi wa Hazina ama ndivyo vile vile kusema: 'wanatoka Pwani' na 'wazaliwa wa Mjini'... Lakini kadiri vile asidi na besi hufanya chumvi na maji, asili ya mbogamboga na nyama nyekundu vinafanya 'mchuzi bora' kabisa wa 'Ustawi wa Jamii' kisomoni... Watani wote wawili wanalao jambo...

Kwesti haina budi kuakisi hatma ya 'mchuzi' na si maslahi ya 'Sauti ya hawa na wale tu' katika mchakato wa Tumaini; kwa kuwa hata hao wawili ni 'Ndugu Moja' na hali wamezaliwa matumbo mbalimbali...

Sikilizano la ndugu namba sita (Moyo wa Furaha): SASA, ni furaha iliyoje 'mbili kufanyika moja'? Utangamano ni ufunguo wa kupitiliza madanganyo ya uhasimu. Jamii kisomoni hainabudi kujengewa shauri ya yenyewe kujitathmini Furaha yake iko wapi(?) Moyo wa mtu ulipo ndiko furaha yake hububujikia juu kutoka katika jasho ama damu yake ya uhai, faraja na tumaini...

Ufisadi, fitina na njama havina kambi sehemu moja katika mwili wa jamii; katika jamii hivi hutia nyongo ya ustawi kwa kuvuruga akili, kuathiri misingi ya kujichagulia na kudumisha rushwa za namna zote...

Kwesti hainabudi kujichonga ncha kwa kusudi kuakisi kutumbuka upepo wa ubatili ama kimiminika cha usaha wa majipu ya ufisadi, fitina na njama ili mwili na ustawi wa jamii upate nafuu na kheri ya kuwa na afya bora hali kadhalika ustawi.

Sikilizano la ndugu namba Saba (Moyo wa Hekima): SASA, Utangamano katika 'jamii kisomoni' ni matunda ya uhuru kufanyika Liberti. Jamii kisomoni haina budi kujengewa upeo wa kutangamanisha fikra hasimu kwa ajili ya usanisi wa mambo -- badala ya uhasama, ama 'Utani wa Jadi' usiyokosa mwisho wa 'mkate na sarakasi' kati ya watawala na watawaliwa; na tena kwa ahadi na hadaa ya mbwa mwitu wenye kujivika kwa ngozi za kondoo-- za mafundi wa ufisadi, fitina na njama.

Ufisadi ni mbolea ya tamaa, kutafuta kukwezwa na mfumo/mifumo kwa ajili ya ubatili wa nafasi juu ya (1) 'riziki/mkate', (2) mali za kuponda--kuponda mali kabla 'kifo hakijaja' na pia (3)madanganyo ya legasi kwa kuacha 'historia ya mchongo' inayouza kwa vipofu wengine wa kiroho...

Ufisadi ni sumu kwa Uchumaji mali na Ulaji; hatma za 'matunda ya kazi' ama 'huduma', kufahamika kama 'Uchumi'...

Fitina ni kuchukua huku ama kule neno fulani ili kupandikiza chuki/machukizo dhidi ya jambo fulani kwa maslahi binafsi na tena kuathiri muktadha kuchagua/kujichagulia/kuchukua hatua wa mtu, wanajamiii, jumuiya ya watu, viongozi na watendaji. Fitina ni sumu kwa 'Imani' na 'Msimamo' wa jamii na wanajamii...

Njama ni shughuli ya kutegesha mwelekeo wa dhamira ya jamii ama mwanajamii kwa ajili ya kujenga ushawishi katika 'Machaguo ya Kitaasisi'. Njama ni sumu ya 'Matukio Halali' kwa kuvuruga 'Haki na Amani' kupitia usaliti wa 'Uhuru na Udugu' wa wanajamii...

Kwesti haina budi kuakisi 'Hekima, Umoja na Amani' ya jamii kisomoni...

Sikilizano la ndugu namba Nane (Moyo wa Ujazi): SASA, akili ya kimaskini katika 'jamii kisomoni' ni chanzo cha 'umaskini wa kiroho' unaowatengenezea wanajamii 'shauku la kuzificha aibu za utupu wao'. Ufisadi, Fitina na Njama ni kisebusebu na kiroho papo; kukataa na kujikataa 'kuinuka kiroho' na huku kupenda 'kuinuliwa' na kusifiwa 'Wanajamii' katika lindi lilelile la 'Umaskini wa Kiroho'...

Kwa kutafuta Cheo, Umaarufu na Legasi wanajamii hutafuta vinyago vya kuficha sura zao mbaya za tamaa, mauti na Kukumbukwa kwa mazuri ama mabaya--mazuri ama mabaya yanayofurahishana na umaskini wa kiroho--umaskini wa kiroho unaosabustuti 'madanganyo ya fahari za kimwili' kwa 'Utukufu wa miili ya Uweza na Uzima wa Milele'...

Ujazi ni kheri ya 'Imani' na 'Msimamo' kwa kile ambacho kwa hicho sisi wote tunao huu uzima--hiki kiko na sisi na daima kiko nasi, ila tu kwa 'madanganyiko ya kiutu' wakati mmoja ama hata mwingine 'tunajikataa' kwa kuwa tunavutwa chini na dhamira za wengi tuliowakuta duniani, kwa kuzaliwa, tayari wamejikataa...

Kwesti haina budi kuleta mwongozo wa kile kijacho ili jamii iwe na 'Ujazi'--kwa kuwa ujazi hukamilisha 'haki na amani' ya kweli katika jamii... Ujazi unaleta ahadi ya kweli na tumaini kwa vizazi vyote ya kwamba: Aina zote za dhuluma, vitisho, ubaguzi, rushwa, uonevu au upendeleo si lolote bali matunda mabovu ya akili na ufikirifu wa Kimaskini kutokana na 'umaskini wa kiroho'... Kujisahau na kuendekeza 'mafungu ya kukosa'...

Sikilizano la ndugu namba Tisa (Uono Fasaha): SASA, Haya yote tuyazingatiayo katika mashauri na sala ni kwa kuwa Uono wetu Fasaha unafanyika kwa Ujuzi na Ufundi wa kuitumia fremukazi ya Uono na Ufikirifu Mifumo; Jamii kisomoni haina budi kujengewa uwezo kwa ajili ya 'Uono Fasaha' kwa kila neno na kila tendo--kila muktadha wa machaguo ya kitaasisi.

Trizaniamu itawezesha wanajamii kuzungumza, kushauriana na kuelekezana kwa umahiri, uhodari na makali ya hoja, tafsiri na upeo. Wanajamii wenye Uono fasaha wanakoma kuwa 'kondoo wa matoleo' ya kafara kwa ajili ya wadhalimu wa madaraka, vyeo, ukuhani na uganga.

Trizaniamu itawezesha wanajamii wasi hadaike tena na 'Njama' kulingana na mitego ya 'Historia za Mchongo' na lugha gonganishi ya Ubabiloni; kwa kuwa ufundi unafanyika kwao na kuwawezesha kubaini Je, 'kumbukumbu--nguvu ya masimulizi na hata pia propaganda' na 'ushawishi' vinaasili gani ya kuweza kutumika kama 'silaha'?-- Masimulizi malishazi hata kama ni kuchagua vipande mahususi vya kumbukumbu ili kujenga hoja za kupata kudai 'ukosekanifu wa haki fulani' ni kama mkuki wa usaliti dhidi ya uhuru na udugu wa kitaifa--udugu uliokatika mchakato ili haki na amani vije kutengeneza nukta ya mapinduzi ya kweli ya jamii kupitia UTU.

Kwesti haina budi kugemwa mapana na kheri ya ufunuo wake kwa Trizaniamu... Na tena iwe ufunguo wa maandalizi kwa wanajamii kisomoni juu ya uweza wa kujinasibu na 'teke linalowajia' la matumizi ya Akili Bandia--Kwa kuwa siku moja hata 'Kwesti' itakuwa inakuja kwa 'Taamuli ya Jicho la Tatu' ama sibanetia ya akili UTU na Akili Bandia yenye hadhi ya Ungamuzi wa Kikwantumu'...

Sikilizano la ndugu namba Kumi (Uhakika): SASA, kwa ujuzi wa Trizaniamu, kila tukio lina mbegu ya pembe tatu ya dhamiri, fikara na mfumo. Mfumo ni fumbo la Madhahirisho yote Katika Supasha-wakati. Mfumo hufanya mawezekano ya 'Kujichagulia' na 'Sovereini Jumuifu' kutokea kwenye misingi ya Utu wa Mtu Mmoja Mmoja hata Ukumbaizi wa nafsi... Kila fikara na tendo katika nafsi hukadirisha dhahiri ya 'hali' na 'uso sifa' wa fikara lenyewe... 'Tendo lolote' ni tunda la kujichagulia--wanajamii hawalazimiki kufosi kingi 'majina' wala 'sifa za kujipatia kwa minajili ya vyeo ama madaraka' kwa kuwa kwa matendo ya mtu yeyote, hayo yanaweza kubayanisha uweza, na nguvu na utukufu wa mtendaji ilivyo ni matunda ya jambo/asili gani(?)...

Imani ni kuwa na hakika ya jambo/mambo yatarajiwayo... Kuna jambo la mapenzi ya mwanadamu, na jambo la mapenzi ya 'kile' kupitia 'unyoofu' na 'mapenzi mema'--kile kilicho ni hichi--katika hichi tunao huu uzima; tunaweza na kutenda yote hata yale kimapenzi ya mwanadamu husemwa 'hayawezekani'... Ndiyo katika imani, uweza upo nasi kufanya pilipili kuwa parachichi; lakini kwa 'utukufu' wa nani khasa?--kama ni mapenzi ya mwanadamu hivyo ni batili ya 'Kujijaribu imani'...

Kwesti haina budi kuakisi hakika katika 'utu na heshima' ya wanadamu na viumbe vyote vyenye usentienti, dhamiri ya utambuzi kwa jema ama baya na Ufahamu--vinavyoonekana na visivyoonekana; kwamba kila mwanajamii ni sovereini kamili--katika yeye upo uweza kuishi na kuyatenda maajabu na kuyaishi maajabu; anahitaji tu 'Kukumbushwa' ili akumbuke, kujikumbuka na kukumbukwa--kama ilivyo basi, kwa sisi sote katika 'Mbingu/Nchi na Nyota'...

Sikilizano la ndugu namba Kumi na Moja (Pendo Litumikialo): SASA, 'unyoofu' na 'mapenzi mema' ni hadhi na sifa ya mja mwema. Ada ya Mja mwema ni uungwana na Uungwana ni vitendo. Kadiri ya muktadha wa 'Unyoofu na Mapenzi mema' ni zao la moja kwa moja la 'Imani' na 'Msimamo' wa Kiroho, Maadili na Miiko. Jamii kisomoni haina budi kujengewa kode za Nuru ya Ufahamu kwa ajili ya 'Ufahamu Dhahabu'...

Kode za Nuru ya Ufahamu ya ufahamu ni Mraba wa 'Liberti, U-Moja, Ujazi na Utangamano'... Ambavyo fahari ya Simba itaamusha kode za 'Upendo, Uzuri, Nguvu na Kukata Shauri Kusikosita'. Haya ni muhimu kwa mashariki ya 'Zama za Dhahabu' zinazongojea kutulaki wanadamu wote katika 'Sifa na Utukufu' wa Ushindi; ambako 'Simba atalala na Mwanakondoo' na hawatadhuriana tena...

Upendo hauingilii, na Upendo hutumikia, Upendo haujihesabiii Haki wala Kuhesabu makosa ya wengine bali husimama na yote kwa kuwa ni wenye 'nguvu' ya kweli kustahimili na kuwa na subira...

Upendo usiokifani ni nguzo ya rehema na fadhili zisizokifani na asili ya yote yenye kuonekana na yasiyokuonekana--Upendo unapitiliza unabii wote, lugha zote--za wanadamu na malaika...

Upendo ni primu kwake wenyewe, kwa namna hii ndiyo upendo wa Agape.

Kwesti haina budi kudhihiri ukweli wa subira, ustamilifu na kheri ya yote pasi kuhukumu yote yajiriyo katika meza ya 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'...

Sikilizano la ndugu namba Kumi na Mbili (Moyo wa Uelewa): SASA, yote yalizungumzwa ni mema na tena kwa kadiri ya wema wake Sala yetu kwa ajili ya Rehema na Fadhili katika Upendo Manani--Upendo Agape, Sala haina budi kuomba 'Mapenzi Yatimizwe Duniani kama Mbinguni'...

Ili mapenzi yafanyike Duniani kama mbinguni, wanajamii wote hawanabudi kuishi katika 'Sala'; sala ni Uelewa wa kwamba, mwanadamu kama mwanadamu si mwenyekuweza kila kitu; Katika 'Unyoofu na Mapenzi Mema' nia ya mwanajamii yoyote ndiyo huwa 'chumvi' na 'Nuru ya Ulimwengu' kuzaa 'Moyo wa Uelewa' kwa mambo ya kawaida na hata pia yanayopitiliza kawaida...

Katika sala kuna moyo wa shukrani na sifa kwa kile kilicho ni hasa asili ya Nuru ya Ufahamu wetu, UTU wetu na fahari yetu katika 'Nchi' na 'Mbingu'...

Na Basi SASA, tufanye kaida ya maandalizi ya Kwesti na kisha tusali katika ukimya na ukimya wa nafsi zetu kama ilivyo ada.

Kaida na Sala yetu vikadirishe kusudi Kwesti.

Kwesti litufikie kwa Usafi na Utukufu wa Ufunuo wa Nuru ya Uzima wote...

TUKIO la ajili ya KWESTI:

Kaida: Ndugu namba 13 unapatiwa 'Ngao' na 'Mkuki wa Jaala'--wakati wandugu kumi na wawili wanarejea katika 'vigoda vya kwa ajili ya Sala', ndugu namba 13 unaelekea na kuketi kwenye kigoda cha katikati ya Hekalu huku mkono wa Kushoto ukiwa umeshika 'Ngao ya Ustawi' na Mkono wa Kulia 'Mkuki wa Jaala' zana hizi mbili zinamaegemeo yake kuendana na nafasi ya kigoda na kuketi kwa Ndugu namba 13...

Hahujitaji kujikumbusha chochote--Roho ya Uzima wote itaongoza 'Ufunuo'...

Ikiwa ni mara ya kwanza kuwa zamu ya kuketi katika kigoda cha kati kati; unakuwa 'umeshahabarishwa' na 'usikirifu wa kigoda'... Ufumbapo macho na kusali, Kwesti huanza na mfano wa nyoka kudakwa na mwewe/Njiwa/Ndege anayetoka juu, kumchukua na 'kupaa naye mbali'--mambo ya 'nafsi ya juu kuanza kumudu unishati wa mwili na fahamu'...

Kuendesha mwanzo na matayarisho kwa Kwesti kutegemeana na kile kinacholeta ufanisi zaidi kwa mtu mwenyewe;

hii hapa ni namna moja:

... Jenga taswira, kutoka chini kwenye Mkuki wa Jaala, Nyoka wawili wanainuka huku wakiwa wanasokotana na macho yao manne kukazia mhimili, mkuki wa jaala.

... Nyoka hawa wanasokotana kilogarithimu, chini kuelekea juu-- 'Kutanuka zaidi'--kuna vitovu saba, katika Mhimili vichwa vya nyoka wawili kukaza macho manne kwenye kitovu cha sita...

... Kitovu cha sita kinaanza kuwa na mwangaza -- namna ya mwangaza usiyo mwanzo wala mwisho, usiyo na mbele wa nyuma... Hisia za kama 'Kuota Mbawa na Kutanukia katika Mapana yasiyo na Mwisho'...

... Maruwe ruwe ya picha, kumbukumbu na maono yataanza kutawala 'UONO na Kwesti ndiyo Basi inakaribia kuanza'...

... Maruweruwe yanapita zake kadiri kunavyokuwa na utulivu usiyoyumbishwa na maruwe ruwe... KWESTI INAIMARIKA NA KUJIDHIHIRI...

Kwesti huja kwa 'sura na utukufu wake'--Iiishi Kwesti na uwe Kwesti; na hiyo 'itaandika' habari, maarifa na ufahamu wa wewe kustahili 'kufunuliwa'...

OKAY OKAY OKAY...

Itoshe kwa leo....​
 
Upumbavu ni huu wa mlevi wenu Nyerere

Devaluation Trend of the Shiling from post cue/Revolution till today:

1966-1972) 1USD = 5 TZS,
1973-1975) 1 USD =7 TZS,
1976 - 1 USD =12 TZS
1977 - 1 USD =12 TZS
1978-82 - 1 USD = 20TZS
1983 - 1 USD = 22 TZS
1984 - 1 USD = 23TZS
1985 - 1 USD = 102 TZS
1986 - 1 USD = 205 TZS
1987 - 1 USD = 207 TZS
1988 - 1 USD = 220 TZS
1989 - 1 USD = 226 TZS
1990 - 1 USD = 265 TZS
1991 - 1 USD = 300 TZS
1992 - 1 USD = 385 TZS
1993 - 1 USD = 434 TZS
1994 - 1 USD = 465 TZS
1995 - 1 USD = 500 TZS
1996 - 1 USD = 580 TZS
1997 - 1 USD = 665 TZS
1998 - 1 USD = 720 TZS
1999 - 1 USD = 800 TZS
2000 - 1 USD = 820 TZS
2001 - 1 USD = 880 TZS
2002 - 1 USD = 900 TZS
2003 - 1 USD = 900 TZS
2004 - 1 USD = 910 TZS
2005 - 1 USD = 1050 TZS
2006 - 1 USD = 1100 TZS
2007 - 1 USD = 1150 TZS
2008 - 1 USD = 1200 TZS
2009 - 1 USD = 1250 TZS
2010 - 1 USD = 1260 TZS
2011 - 1 USD = 1300 TZS
2012 - 1 USD =1450 TZS
2013 - 1 USD =1620 TZS
2014 - 1USD = 1650 TZS
2015 - 1USD = 2210TZS
2016 - 1 USD = 2200TZS
2019 - 1 USD = 2300TZS
2023 - 1 USD = 2502TZS
2024 - 1 USD = 2835TZS
Wewe mwe.hu?! Mtu kafa 1999
 
Back
Top Bottom