Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Nyerere alikuwa charismatic na alikuwa na vigezo.Hakupewa favor!Hao wazee wako walimhitaji Mwalimu kuliko Mwalimu alivyowahitaji wao.Mtu charismatic aina ya Nyerere ndo pekee alisikilizwa na jamii yote ya watanzania regardless ya ethnicity na religious orientations
SAHIHI

Na mtu yeyote asipotoke kwa tafsiri za nje za matukio na usukukaji wa mashauri.

Ambacho hakijafahimika katika jamii na umma, kinakuja na muktadha wa ELIMU 3.0, ni uwezekano wa watu kuzaliwa kwa wito maalum na 'kunata na biti' mwanzo hadi mwisho...

Nusu ya kisa/visa haijapata kusimuliwa na ikibidi kusimuliwa 'siyo fungu la kumfaa kila mtu'...

Watu wote kwa imani, makundi na makabila--wa siku za mwanzo za uhuru walikuwa ni 'mapindikizi ya mchakato'...

Safari ya taifa la Tanzania/Afrika ina takribani miaka 500 ya matengenezo na matayarishona bado mchakato unaendelea...

Anayechagua segmenti fulani ya matukio kujengea mashauri na hoja, hayo ni 'nia na mapenzi' yake kujikadirisha 'upatano na maelewano' na wengine wenye nasibu ya mapano hayo ya vina vya tafsiri juu ya muktadha wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' --namna moja ama ingine...

Mwalimu Kambarage Nyerere, ni mmoja wa watu dhamiri na nadhiri kuzaliwa... Ni mmoja tu anayefahamika, lakini wapo wengine wengi tu waliopata kufahamika na wengine wasiopata kufahamika--wengine ambao hawapaswi kufahamika na wala hawana mpango wa kupenda/kutaka kufahamika...

Wanaotajwa na Mzee Mohamed Said kwa majina, mitaa na harakati, ni moja wa watu ufunguo na tena wa kweli hasa ilivyo ni sehemu ya 'upana wa mchakato'... Mchakato wa kutekeleza muktadha wa 'Uhuru na Umoja' ndani na nje ya nchi-taifa ya Tanzania--mchakato wa kudumisha 'Uhuru na Umoja' kwa 'Hekima na Umoja' kuwa ni ngao yetu, Tanzania na basi Afrika nzima....

NKNS, Mzee Mohamed Said naye ni mdau... awe hajijui hivi ama anajijua/afahamu...

In Shaa Allah, tuombe kheri nuru, nia njema na mapenzi viwe nasi.

Amani
 
Mtume wako alikuwa mlevi na mzinzi sema suu nikuthibitishie
Ulitaka tuingie kwenye huyo mungu wako mbona biblia imeandika alikuwa mlevi na mlafi ? Nakuwekea mistari ukimbie hoja ukitaka?
 
SAHIHI

Na mtu yeyote asipotoke kwa tafsiri za nje za matukio na usukukaji wa mashauri.

Ambacho hakijafahimika katika jamii na umma, kinakuja na muktadha wa ELIMU 3.0, ni uwezekano wa watu kuzaliwa kwa wito maalum na 'kunata na biti' mwanzo hadi mwisho...

Nusu ya kisa/visa haijapata kusimuliwa na ikibidi kusimuliwa 'siyo fungu la kumfaa kila mtu'...

Watu wote kwa imani, makundi na makabila--wa siku za mwanzo za uhuru walikuwa ni 'mapindikizi ya mchakato'...

Safari ya taifa la Tanzania/Afrika ina takribani miaka 500 ya matengenezo na matayarishona bado mchakato unaendelea...

Anayechagua segmenti fulani ya matukio kujengea mashauri na hoja, hayo ni 'nia na mapenzi' yake kujikadirisha 'upatano na maelewano' na wengine wenye nasibu ya mapano hayo ya vina vya tafsiri juu ya muktadha wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' --namna moja ama ingine...

Mwalimu Kambarage Nyerere, ni mmoja wa watu dhamiri na nadhiri kuzaliwa... Ni mmoja tu anayefahamika, lakini wapo wengine wengi tu waliopata kufahamika na wengine wasiopata kufahamika--wengine ambao hawapaswi kufahamika na wala hawana mpango wa kupenda/kutaka kufahamika...

Wanaotajwa na Mzee Mohamed Said kwa majina, mitaa na harakati, ni moja wa watu ufunguo na tena wa kweli hasa ilivyo ni sehemu ya 'upana wa mchakato'... Mchakato wa kutekeleza muktadha wa 'Uhuru na Umoja' ndani na nje ya nchi-taifa ya Tanzania--mchakato wa kudumisha 'Uhuru na Umoja' kwa 'Hekima na Umoja' kuwa ni ngao yetu, Tanzania na basi Afrika nzima....

NKNS, Mzee Mohamed Said naye ni mdau... awe hajijui hivi ama anajijua/afahamu...

In Shaa Allah, tuombe kheri nuru, nia njema na mapenzi viwe nasi.

Amani
Mose,
Nakuwekea hapo chini historia ya Ali Msham:


View: https://youtu.be/qgDTWzRRE9A?si=HuSXudlc9Tvzmdh_
 
Mose,
Nakuwekea hapo chini historia ya Ali Msham:


View: https://youtu.be/qgDTWzRRE9A?si=HuSXudlc9Tvzmdh_

Nimeona...

Ahsante,

Wewe kama kama mtu una kipaji kikubwa katika sanaa ya usimuliaji, tushukuru.

Kumbukumbu ni msaada kwa 'vina vya tafsiri' kwa mawazo katika kujiuliza-uliza na kujipatia majawabu ya haja ili kukidhi kiu ya maarifa/kujua/ufahamu.

Kumbukumbu inaweza kuwa nyezo ya muktadha wa kujitambua na kujichagulia...

Kumbukumbu inaweza kuwa ni silaha ya kumong'onyolea/kusukia 'miundo dhibiti' ya ustawi na ustaarabu jamii lengwa--utundu wa kujenga ushawishi kwa muktadha mmoja hadi mwingine wa 'sura na utukufu wa jamii'--kulingana na mashauri yenye kugusa 'nguzo shikiliazo jamii'...

Ikiwa tunataka kulijenga taifa kwa sanaa za kimasimulizi, ufahamu na upeo, yatupasa kuwa na dhamira safi/njema na nia njema...

Ufundi wetu wa masimulizi huvaa uhusika wetu wa kiimani ili kuathiri vina vya tafsiri kwa 'maadili'; na basi masimulizi yetu hubeba mbegu za mafundisho... Ili simulizi lisiwe tupu, muundo kamili wa visa na vionjo vyake havina budi kukadirisha mapana yenye kutuacha na ujuzi wa jema ama ovu...

Ali Msham, na Nyumba yake iliyokuja kuwa ni Tawi la TANU; Jukwaa la harakati za kudai Uhuru na mashamsham ya jamii yenye hamasa ya 'UHURU SASA/Leo' Je, hivi vyote vinatupelekea kubaini yepi katika kukadirisha muktadha wetu wa leo wa Utu na Kujichagulia?

Hadhira ya Simulizi hili na lingine lolote la namna hii, uteshelevu wa maudhui ama mapengo ya udadavuaji, vina/vitakadirisha muktadha wa 'dhima kamili' ama 'isiyo kamili' ya makusudi ya simulizi...

Vyovyote vile, wadau wenye 'utashi' na 'hekima' wanaweza kubaini mara moja dhima kamili/isiyo kamili na basi hata pia makusudi ya kheri ama utata kwenye simulizi lolote lile...

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika na wadau wa mchakato wa utu na maendeleo ya kweli waliasisi na kutaasisha nchi-dola yenye misingi ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI; ikiwa msimuliaji yeyote ataotea uhalisia wa haya manne basi simulizi lake litakuwa na utamu zaidi na kheri...

Kujenga msingi na mwongozo wa kukadirisha masimulizi yenye kusadifu dhima za Uhuru, Udugu, Haki na Amani, kunataka tu masimulizi ya kimatukio yaambatane na kukadirisha dhamiri na muonekano wa nadhiri ya yule 'mhusika mkuu' kwenye simulizi--kadiri msimuliaji anavyoiotea, kuipatia na kuifungamanisha na simulizi zake na 'mhusika mkuu' basi na 'yeye aingia moja kwa moja kwenye kuitengeneza historia ya kweli kwa wakati'...

Jamaica, watu wake kubaini jambo/mambo kwa muktadha wa 'His-Story' ama 'I-Story'...

Katika ulimwengu huu wa mchangamano wa nia njema na ovu, kutangamanisha 'His-Story' na 'I-Story' ni 'fumbo la Imani'...

Hmmm
 
Nimeona...

Ahsante,

Wewe kama kama mtu una kipaji kikubwa katika sanaa ya usimuliaji, tushukuru.

Kumbukumbu ni msaada kwa 'vina vya tafsiri' kwa mawazo katika kujiuliza-uliza na kujipatia majawabu ya haja ili kukidhi kiu ya maarifa/kujua/ufahamu.

Kumbukumbu inaweza kuwa nyezo ya muktadha wa kujitambua na kujichagulia...

Kumbukumbu inaweza kuwa ni silaha ya kumong'onyolea/kusukia 'miundo dhibiti' ya ustawi na ustaarabu jamii lengwa--utundu wa kujenga ushawishi kwa muktadha mmoja hadi mwingine wa 'sura na utukufu wa jamii'--kulingana na mashauri yenye kugusa 'nguzo shikiliazo jamii'...

Ikiwa tunataka kulijenga taifa kwa sanaa za kimasimulizi, ufahamu na upeo, yatupasa kuwa na dhamira safi/njema na nia njema...

Ufundi wetu wa masimulizi huvaa uhusika wetu wa kiimani ili kuathiri vina vya tafsiri kwa 'maadili'; na basi masimulizi yetu hubeba mbegu za mafundisho... Ili simulizi lisiwe tupu, muundo kamili wa visa na vionjo vyake havina budi kukadirisha mapana yenye kutuacha na ujuzi wa jema ama ovu...

Ali Msham, na Nyumba yake iliyokuja kuwa ni Tawi la TANU; Jukwaa la harakati za kudai Uhuru na mashamsham ya jamii yenye hamasa ya 'UHURU SASA/Leo' Je, hivi vyote vinatupelekea kubaini yepi katika kukadirisha muktadha wetu wa leo wa Utu na Kujichagulia?

Hadhira ya Simulizi hili na lingine lolote la namna hii, uteshelevu wa maudhui ama mapengo ya udadavuaji, vina/vitakadirisha muktadha wa 'dhima kamili' ama 'isiyo kamili' ya makusudi ya simulizi...

Vyovyote vile, wadau wenye 'utashi' na 'hekima' wanaweza kubaini mara moja dhima kamili/isiyo kamili na basi hata pia makusudi ya kheri ama utata kwenye simulizi lolote lile...

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika na wadau wa mchakato wa utu na maendeleo ya kweli waliasisi na kutaasisha nchi-dola yenye misingi ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI; ikiwa msimuliaji yeyote ataotea uhalisia wa haya manne basi simulizi lake litakuwa na utamu zaidi na kheri...

Kujenga msingi na mwongozo wa kukadirisha masimulizi yenye kusadifu dhima za Uhuru, Udugu, Haki na Amani, kunataka tu masimulizi ya kimatukio yaambatane na kukadirisha dhamiri na muonekano wa nadhiri ya yule 'mhusika mkuu' kwenye simulizi--kadiri msimuliaji anavyoiotea, kuipatia na kuifungamanisha na simulizi zake na 'mhusika mkuu' basi na 'yeye aingia moja kwa moja kwenye kuitengeneza historia ya kweli kwa wakati'...

Jamaica, watu wake kubaini jambo/mambo kwa muktadha wa 'His-Story' ama 'I-Story'...

Katika ulimwengu huu wa mchangamano wa nia njema na ovu, kutangamanisha 'His-Story' na 'I-Story' ni 'fumbo la Imani'...

Hmmm
Mose,
Historia ya Ali Msham...


View: https://youtu.be/qv0W9p-tFh0?si=qT5Tp17gF4JTr3KD
 
Mzee Mohamed Said ana dharau sana
Ongezea ardhi na migofi

Desemba 1993

MJADALA unaendelea nchin kote juu ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika na muundo wa Muungano wa Zanzibar na Tanganyika. Inavyoelekea yapo matatizo, dosari na sababu za msingi zilizopelekea wananchi kuhoji muundo wa sasa wa Muungano na kuleta hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika ni yenye kuundwa kama si leo kesho.

Lakini wapo pia wanaopinga kabisa kuundwa kwa serikali ya Tanganyika.

Aliyejitokeza kwa nguvu na kwa ukali hadharani kupinga hoja hiyo ni Mwalimu Julius Nyerere, katika kupinga hoja hiyo Mwalimu anatoa hoja zifuatazo:

Hoja ya kuundwa kwa serikali ya Tanganyika imeletwa kwa kuwachoka Wazanzibari na Waislamu. Ufupi wa maneno Mwalimu Nyerere anadai hoja ya kuundwa Serikali ya Tanganyika imetokana na chuki za kidini - Wakristo kuwachukia Waislamu.

Hoja haipo katika sera za CCM na taratibu zimekosewa.

Kuundwa kwa serikali ya Tanganyika kutavunja Muungano na kutavunja Tanganyika pia.

Ukizingatia sifa nyingi ambazo Nyerere alijilimbikizia wakati wa utawala wake na sasa si vigumu kuelewa kwa nini anapinga kuundwa kwa serikali ya Tanganyika. Mambo yake yote aliyoyaanzisha kwa vishindo huku akisifiwa kuwa zidumu fikra zake, yamekuwa yakiporomoka moja baada ya jingine huku mwenyewe akiona. Lililosalia ni Muungano; nao ukiporomoka haitaleta picha nzuri katika historia yake katika siasa.

Lakini lililo gumu kueleweka ni hatua ya Mwalimu Nyerere kutumia Turufu ya udini kuwagawa Wabunge; wana-CCM na Wa-Tanzania kwa ujumla katika suala hili. Kauli hiyo ingesemwa na Muislamu ingepewa mtizamo tofauti na labda isingeeleweka hasa miongoni mwa Waislamu. Lakini kusemwa na Mwalimu Nyerere kunaleta mkanganyiko zaidi. Kwani ni;(udini ulikuwa umejengeka). Hali hiyo ilipelekea Masheikh kumlalamikia lakini akawanyamazisha kwa kuwashutumu kuwa wanachanganya dini na siasa. Miongoni mwa Masheikh hao wapo waliofukuzwa nchini; waliowekwa kizuizini,waliofukuzwa katika chama na kadhalika.

Sheikh Hassan bin Amir katika waraka wake kwa Waislamu mwaka 1963 aliutaja udini uliokuwa unajengwa Tanzania kwa kutoa mifano ifuatayo:

Kuingizwa nchini Tanganyika mara tu baada ya uhuru vimedali vidogo vidogo vyenye picha ya bendera ya Tanganyika usoni na katikati ya bendera hiyo amesimama Mama Maria na mtoto mchanga na nyuma yake maandiko 'MARIA MTAKATIFU ULINDE UHURU WA TANGANYIKA'.

Gazeti la KIONGOZI la tarehe 1/8/1963 lilimuonyesha Bwana George Kahama akipewa cheo cha dini na Pope kwa kuwakilisha serikali ya Tanganyika katika mkutano wa Makanisa ya Roma.

Mwaka huo huo wa 1963, mnamo tarehe 24 mwezi wa nane, Baraza Kuu la Makanisa ya Kilutheri Tanganyika lilitoa matangazo kuwa Uhuru wa Tanganyika ulikuwa 'Chini ya Msalaba'.

Tarehe 17/5/1963 Makanisa yalifanyia mkutano wao ndani ya Bunge.

Alipokufa Pope Yohana wa 23 bendera ya taifa ilipepea nusu mlingoti nchi nzima!

Kabla ya kifo chake Pope Yohana wa 23 alimletea Mheshimiwa Nyerere barua ya pongezi kwa kuupanua Ukristo- barua ambayo ilitiwa saini na Pope mwenyewe. Barua hiyo imetangazwa kwenye gazeti la Tanganyika Standard.

Gazeti la Reporter la Kenya la tarehe 20/6/1963 lilitangaza katika ukurasa wake wa mbele:"KUIBADILI AFRIKA YA MASHARIKI KUWA KATIKA DINI YA ROMANI CATHOLIC".

Ndani ya gazeti hilo ukurasa wa 18 liliwataja waliopewa dhamana ya kufanikisha jambo hilo kuwa ni: Uganda - Kiwanuka, Kenya - Mboya na Tanganyika Mheshimiwa Nyerere.
 

Watu wa Kawaida...

Ma Shaa Allah,

NKNS, Mzee Mohamed Said... Siri ya 'Mja Mwema' ni maisha ya kawaida, siyo lazima iwe 'Ukuu wa Kuona Machoni'...

Ali Msham kuwa 'fundi seremala tu...' -- mtu wa kawaida lakini mwenye kukadirisha/ kuwa sehemu ya jambo lenye kheri sana ni moja ya mafumbo ya 'wakati' na 'matukio'...

Labda pia, mambo ambayo sisi tunayatukuza na kuona ni makuu hayana ukuu wowote hasa--inapokuja kwenye mapeleko ya tafsiri kwa haiba, muonekano na amali za dunia; kufananisha hayo yote na mawezekano yenye kupitiliza kawaida tulioizoea...

Miye kama mtu, ninajisikia furaha kwa mambo madogo madogo labda kama kwa sasa: kuuza duka ama labda kumsaidia mke kwenye biashara ndogondogo za uchuuzi wa jumla/rejerea; kama kusambaza ubuyu na karanga--tukionana mahala, miye ni mzee/mtu wa makamo wa kawaida tu--Je, ikiwa historia ni kumsoma mtu kwa nje--tunaweza kuyaotea ya 'maajabu'?

Kwa kuwa wewe ni mdau unayetengeneza njia ya kuyafumbua mafumbo vitendawili vya 'maisha na harakati za Uhuru wa Nchi ya Tanzania', masimulizi yako yanatengeneza mizingo ya kutanabahi 'Mraba na Duara'--Duara na Mraba wa jamii ya Tanzania--japo 'si kwa ukamilifu'...

'Kuwaona watu', na tena hasa bila uweza wa kubaini 'nyuso halisi za roho zao', kunaweza kuleta kontrasti ya hamaki, mshangao, kupendezwa na mastaajabu katika kuzungumzia mjengo wa matukio yanayonasibika/nasibishwa na hao watu -- ikwa watu hawa kweli ni 'wenye unyoofu' ama/na 'mapenzi mema' kwa watu na taifa/mataifa...

Kwa hivyo iwe ni ndugu Ali Msham ama Mwalimu Kambarage Nyerere, nyota ya kheri zao ilikuwa/imo katika 'nyuso halisi za roho zao'...

Kuona kwamba Sheikh Ali Msham hakuendekeza kasumba yeyote dhidi ya Mwalimu Nyerere, ni ishara ya 'usafi wa roho na uono fasaha wa mambo ya ndani na nje ya nafsi' kulingana na 'udugu kiroho'--udugu wa kiroho ambao hupitiliza kasumba za ukabila, udini ama/hata pia unasaba.

Dua ya Sheikh Ali Msham, kumuombea Mwalimu Nyerere, kwa wadau wa rizayati ya Elimu 3.0 ni jambo la ujuzi na ufundi wa kujinasibisha na 'Duara na Nukta' -- duara na nukta kwa mambo ya 'Ugani wa Ushawishi' na 'Dhamiri'; 'Kushirikisha uwepo wa Manani' kwa ajili ya matakwa ya 'mapenzi na nia' za 'Waja Wema'...

Dua za 'Waja Wema' ndizo nguzo halisi za 'meza' ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'...

'Wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' hufuatisha utatusho wa 'Ontolojia ya Taasisi', Uono na 'Sura na Mienendo ya Jamii'; Dini na imani, ni mambo ya Elimu 3.0 na inayoufasaha wake unaopitiliza ule muktadha wa 'dini/imani' kwa 'mapokeo'... Dini kwa mapokeo bado ni ugani wa Elimu 1.0.

Elimu 2.0 ni 'Uono na Ufikirifu Mifumo' ambavyo 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' ndiyo huweza kubayanisha muingiliano wa 'Ugani wa Ushawishi' na 'Dhamiri kwa Mapenzi Mema/Nia Njema'.

Chachu, Shauku na Matamanio yanayochipukia kutoka katika 'usafi hasa wa dhamira na nia ya UTU wa mtu' hutengeneza nasibu ya rizayati ya Elimu 3.0...

Mtu yeyote anayeiishi dini yake iwe Ukristo ama Uislam, ikiwa anaiishi dini kwa usafi wa moyo na mapenzi mema kweli kweli --uweza hufanyika kwake kuwa na 'ufahamu unaoweza kupiliza kawaida'; Ufahamu unaoweza kumpatia 'nuru ya ufahamu' kuzijua siri za 'Majaaliwa' yake na 'makusudi' yake ya kimaisha.

Mazingira ya 'Imani' na 'Wito' binafsi wa Mwalimu Nyerere na wadau wengine kama Abdulwahid Sykes; na Wazee wa Dar es Salaam wengine maarufu ama wasio maarufu, wenyeji wa 'Kariakoo' na 'Upanga' -- wenye namna fulani ya 'ushawishi wa kuanzia mbali kiunasaba', kiunasaba wa pia hali na mali --hali na mali vya kuja kuwa ni 'baraka' kwa 'Jaala' zao zenye kukadirisha 'vuguvugu la kudai uhuru wa Waafrika'...

Kilichotumika kuwaunganisha, kutokea upande mwingine wa mambo, ni 'Moyo/Imani ya Uafrika' wao... 'Udugu katika Imani' nao ulitumika tena kwa manufaa makubwa ambayo bado wengi leo 'hawajafahamu' kheri yake; lakini Mwalimu Nyerere alikuwa anajua kwa 'kuambiwa kutokea ndani ya nafsi yake' na hata kuambiwa kupitia hao hao 'wadau wa harakati'... Kama inavyoonekana kwenye nakala ya Ushushushu wa mkoloni kwa wanaharakati, Kambarage Nyerere alikuwa na wito, dhamiri na nadhiri ya kupitiliza hata hatma ya 'Uafrika wa Ngozi' kiuhuru na Kujichagulia...

Wanaojua hakika ya haya ya usikirifu wa roho, ni kwa kuwa na wao wamepata/wanapata kuwa sehemu ya mchakato...

Ikiwa yoyote anataka kujinasibu na mchakato kwa namna hii wa 'kujua mambo kutoka ndani na nje', basi sharti afanye jitihada za kufumbua macho, masikio na fahamu zake zote kwa ajili ya uelewa uliobora kabisa wa hali halisi ya mraba wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'...

Hebu kwa mfano, tumulike na tuangazia...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini dhana ya 'UHURU', 'UDUGU', 'HAKI' na 'AMANI' ni ndiyo hasa mraba wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'--kuwa basi, ukweli wa haya ni mambo yenye kuingiliana...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini 'UHURU na UDUGU' hujenga mapana ya jamii kwa 'Duara na Nukta' ya 'Nuru ya Ufahamu'... Kwa mintarafu ya haya, ustawi na ustaarabu wa jamii huakisi 'ukumbaizi wa nyuso halisi za roho zao'...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri za 'UHURU na UDUGU' ndipo huujenga na kuukadirisha MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio' kwa 'HAKI na AMANI'... Kwa mintarafu ya haya, 'haki na amani' ni matunda ya 'Utu Wema' na utukufu wa siha bora ya kiroho...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini 'HAKI na AMANI' ni mapana ya riziki na ridhiko lenye shukrani; kwamba katika ulimwengu halisi, UCHUMI ndiye mama wa 'Haki na Amani'.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri za 'HAKI na AMANI' ndipo anaweza kutanabahi ni kwa vipi SIASA ni SI HASA juu miundo mushkeli ya Kiuchumi Jamii. Kwamba, uwepo wa mifumo isiyo na usawa na kheri ya kweli ndiyo huleta utaasisi wenye siasa kwa kuwa kukosa fasaha ya 'Duara na Nukta'; ilivyo ni maradhi-jamii ya ukafiri.

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Pembe za Ndovu' na basi akadhani anaishi katika nchi-dola isiyo na misingi ya imani na utu-bora. Kwa mintarafu ya hili, mwanajamii anakosa nasibu yakuotea mbegu, dhamiri na misingi ya 'Uhuru wa Kweli na Kujichagulia' katika mapana ya 'Ujamuhuri'. Na basi kumbe, ujamuhuri si chochote hasa bali muktadha wa 'ukumbaizi wa utu wenye kutafuta muafaka wa kheri ya pamoja'--kheri iliyo ni MRABA wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya ya 'Pembe za Ndovu' basi 'Uono na Ufikirifu Mifumo' katika yeye unampatia funguo za maarifa muafaka ya kubaini muktadha wa 'Utu na Maadili', vivyo hivyo pia 'Ukuu na Heshima', vivyo hivyo 'Ujazi na Umiliki'. Kwa mintarafu ya haya, 'Pembe za Ndovu' ni alama ya jadi kwa kudhihirisha 'kinga ya Kiustawi'; na basi mambo ya kinga ya kiustawi yana nasaba ya uchumi, kujiweza na kujikita katika fanusi ya MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'.

Uhuru uliopiganiwa na Mwalimu Nyerere ni Tumaini lililokuwa, na hali lingali pia hata sasa, na wadau wote shughuli ya 'kujichagulia kitaasisi'--Uhuru wa kinchi-dola. Ili simulizi lolote la wadau hawa liwe timilifu na lenye kuenea mapana yote ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' sharti basi liakisi nyanja zote za ustawi wa jamii; hali za jamii kiuchumi na mazingira. Simulizi bora na lenye kheri ni lile lenye kutumia 'Nuru ya Ufahamu' kutangamanisha mashauri ya jamii yenyewe, uchumi na mazingira. Shughuli ya kijamii itokanayo na 'Nuru ya Ufahamu' ni siri ya 'Mwenge wa Uhuru'... Siri ya Mwenge kuwa ni chombo cha kuangazia ndani na nje ya mipaka ya Ujamuhuri...

Shughuli ya kijamii itokanayo na 'Nuru ya Ufahamu' ili kutangamanisha 'HAKI na USAWA' katika UTU ndiyo msingi hasa wa kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi...

Kwa hivi, haitoshi kuzungumza matukio na watu pekee--kuzungumzia itikadi na dhamiri za wafanyataasisi ni ufunguo wa simulizi la kweli na timilifu la 'watu na nyakati'... Kwa mintarifu ya hili, ni vema kuzingatia TAA, TANU na baadaye Chama cha Mapinduzi ni mchakato... Huu ni mchakato wa watu katika shughuli walioidhamiria na kujitoa kwa hiyo bila hila, kasumba wala hiyana. Kwa namna hii, uono na ufikirifu mifumo ndiyo unaoweza kuongozea ujuzi wa kumulika mashauri na tafsiri za 'Kujichagulia', 'machaguo ya kitaasisi' na 'matukio'...

Taasisi ni muktadha wenye kina kwa utatusho wa dhamiri, nadhiri na makusudi ya matendo kupitia michakato ya mifumo rasmi--inayoridhiwa katika mapana ya jamii na ustawi; kwa uono fasaha wa haya, badala ya kuwaona watu na matukio ni vema kubayanisha Taasisi na Muitikio wa wanajamii--wanajamii husika katika visomo na basi kulingana na ule 'Ugani wa Ushawishi wa Kimuundo ya Udhibiti'. Kwa namna hii, mifumo ni zao la michakato ya Taasisi na 'Wakati'... Je, kwa kiasi ama namna gani tunaweza kuyabayanisha matendo ya Mwalimu Nyerere na Utaasisi aliyokuwa kafungamana nao kihuduma?

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Uhuru ni Kazi' na basi akadhani 'Chama cha Mapinduzi' ni chama cha Kisiasa tu... Kwa mintarafu ya hili, anakuwa amejipiga ngwala na kukosa kusimama na dhamiri ya unchi-dola yake. Kwamba, misingi ya maendeleo ya nchi ni maendeleo ya UTU, na kazi kuwa kipimo cha utu--Kazi kukadirisha hatua chanya za kimaendeleo kutathminika kwa MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio. Kuwa basi, 'Mapinduzi' ni machakato endelevu wa kulijenga taifa lenye nasibu ya kusimama kipekee na kujitegemea--Ujamaa kuwa ni matokeo ya matendo na kujichagulia-- kwa kadiri ya 'nyuso halisi za roho za Wanajamuhuri'...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya ya 'Uhuru ni Kazi' basi, kupitia Uono na Ufikirifu Mifumo, atatambua misingi imara ya UTU ipo katika kujitegemea. Kwa mintarafu ya hili, Ujamaa ni jambo la uono na ufikirifu mifumo ambavyo shauri la 'Usawa' huenda sambamba na 'Haki'--Haki ya Mtu kupata riziki yake na pasi ya ghiriba zozote za mtu kumnyonya mwenzake kwa jina la 'Uchumi na Maendeleo'... Kwa hivyo, Uchumi ni uzalishaji na ulaji mali ambavyo -- ni kama vile 'kujishibisha' huja kwa 'kujihangaisha' na kutengeneza 'akiba/hazina' ya chakula ama mali. Vyote viwili, chakula na mali ni msingi ya 'vita ama/na amani' katika jamii.

Kiuono na ufikirifu mifumo, kitendo cha kula kina muktadha wa tafsiri ya zinazoshabiana kwa vitendo vingine vya kadiri ya vita/mamezano/uhalali wa riziki. Kisicho riziki, hakiliki--vivyo hivyo shauri kwa kuepukana na migogoro ikiwa riziki inaambatana na uhasama ama/uhasimu. Riziki ya mtu ni halali yake kadiri anavyopewa na Manani... Kwa mintarafu ya haya, Elimu 3.0 ndiyo inaweza kumpatia 'Mja Mwema' mwangaza wa busara ya 'Meno ya Tembo'... Je, ni kwa nini Tembo huangushwa kwa ajili ya 'Vipusa'?

Kijadi, meno ya tembo hufangamanishwa na 'Utajiri', 'Ukuu' na 'Bahati ya Mali zaidi'... Uhalali ama Uharamu wa biashara ya vipusa hautofautiani na 'Tamaa ya Mali' inayoweza kumnufaisha huyu kwa 'madhila' ya mwingine... Pembe za wanyama wakubwa ni hirizi kwa mali, ilivyo kwa alama na vielelezo vya 'nguvu na uwezo'. Mazishi ya jadi, miongoni mwa makabila ya wengi duniani kuambatana na kuweka pembe kaburini pa mwili wa mtu mkuu, kizito, mtawala wa jadi aliyeanguka mautini. Pembe za Ndovu, ndiyo kuu kuliko zote-- za nyati ama faru-- kuwa alama ya 'Ukuu, Uzito wa Mtu na Nguvu' Lakini chakushangaza, pembe za ndovu ni 'Meno' na si 'Pembe' hasa... Tembo huzitumia pembe zake kujitengenezea mazingira ya 'Riziki' yake--kula hadi kuwa 'Mzito' hasa...

Pembe za Tembo si alama ya Utajiri wa Maliasili tu, kwa uono na ufikirifu mifumo, hizo pia ni kielelezo cha Ukuu, Uzito na Mamlaka ya Ustawi wa Ujamuhuri. Tembo kuwa mkuu wa Nyika kwa Uzito na Nguvu za kujitafutia riziki, uwepo wake katika mfumo-iko wa msitu ama nyika unaamuru Mamlaka na kushinda maadui. Nguvu na Mamlaka si uharibifu wa vingine vyenye nguvu na tawala bali kujijengea nishi yako katika mazingira mapana ya maisha na ustawi wenye kujumuisha na wengine... Ujamaa ni Udugu katika maisha ya harakati na kujitafutia riziki, katika uchumi unaoruhusu haya.

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika hawakuasisi na kutaasisi nchi-dola kwa utashi-pofu kuhusiana fizikia na metafizikia ya jamii.

Sura na Utukufu wa nchi-dola ya Tanzania umezingatia dhamiri na nadhiri ya kuinuka kwa taifa kamili la Afrika--Tanzania kuwa kitovu... Kwa mintarafu ya hili, ni vema tazama upya sura ya matendo ya Mwalimu Nyerere na wadau wanaojulikana wazi; lakini kuwepo na akiba ya staha, kwa wale ambao wameifanyakazi kubwa na bado wanaifanyakazi kubwa pasipo kulazimika 'kufahamika'... Mzizi ya 'Mti wa Uzima' huwa na maisha marefu kuzidi 'shina' na 'matawi ya Mti wa Ustawi na Utamaduni' wa nchi-dola...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' na 'Pembe za Ndovu' na basi kukosa kubaini uhusiano kati ya MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio' na 'Duara lenye Nukta'; kukosa kufahamu maisha yote ya mwanajamii ni utatuisho wa Mraba uliokwenye Duara. Kwamba, ustawi wa jamii una 'ncha nne'... Ncha nne zifanyazo UTAMADUNI na USIVILAI wa jamii kuwa na 'nuru ya ustawi' wenye fahari ya kuweza kutanukia 'Mbingu' na 'Nchi'--Msalaba wa Nyakati zote na Matukio yote. Ngao ya ustawi ni sura ya kike ya msalaba, kuakisi muktadha wa 'wakati-jamii-machaguo ya Kitaasisi-matukio'. Kwa namna hii, mbingu na nchi huwakilishwa kwa 'Maji ya Ujumuishi wa Yote-Mbingu na Nchi', 'Udongo mwekundu wa ardhi onayoweka msingi wa Kazi na Utu', 'Upepo wa Bendera ya Usovereini wa Nchi-Dola, na 'Moto wa Nuru ya Ufahamu kuhakikishia upyaishaji wa jamii ili kuwa ang'aavu kama Dhahabu'...

Kiuono na Ufikirifu Mifumo na funguo za Ufunuo za Elimu 3.0, 'Nuru ya Ustawi' ya jamii sovereini, ilivyo ni Ujamuhuri, ni kadiri ya 'Pembe za Ndovu' na "Mwenge wa Uhuru' ilivyokusadifu topografu tafsiri kwa MRABA kwenye DUARA. Kwa mintarafu ya hili, Pembe za Ndovu hutawala 'UTU na Kazi' wakati 'Mwenge wa Uhuru' ni muktadha wa 'Maendeleo kwa Kujichagulia'. Shoka na Nyengo ni alama kwa 'kuyatawala mazingira' na 'Subira na ustahamilivu'--siha ya kiume na ya kike kwa Dhamiri ya Utu Bora.

Kimetafizikia shoka ni alama ya 'Supasha' na Nyengo ni alama ya 'Wakati'; alama ya 'X' ni muktadha wa dhamiri--'shika neno, tenda neno'. Supasha na Nyengo ni Mlango wa kupitilizia vikomo cha 'fahari ya nchi' na basi kuweza kubozea kwenye mambo ya 'fahari za mbingu'. Muktadha wa 'UTU-uwepo' katika nia inayopitiliza fahari ya 'mbingu na nchi' ni alama ya 'Mkuki'...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' na 'Pembe za Ndovu' basi huyu awa na Uono na Ufikirifu mifumo unaomuwezesha kutambua UZALENDO ni utamaduni na usivilai ilivyo no fahari ya 'Mja Mwema'; Kwa mintarafu ya hili basi yawa kwamba 'HAKI' na 'USAWA' ni zao la jamii yenye uzalengo kwa misingi ya nidhamu, mila na desturi zinazoakisi utukufu wa Kheri ya Mambo ya Nchi na Mambo ya Mbingu--uisho kulingana na misingi ya uhuru wa nje na ndani ya mwanajamii... Kwa namna hii, Sheria ni Mizania kutokana na Nukta katika Duara la 'ugani wa ushawishi'--PENDO MOJA.

Duara ni asili ya Nuru ya Ufahamu, kutokea kwenye 'Ngao ya Ustawi', Mwenge wa Uhuru ni alama ya 'Nuru ya Ufahamu' kumulikia 'mila, desturi' na basi "SHERIA" ili HAKI ya Mbingu idhihiri kwenye Ujamuhuri--iwe mchakato wa 'Maendeleo ya UTU' na si vitu hasa... Iwe mwangaza wa kuweza kukadirisha mapana kujichagulia na basi tena mipaka ya pumzi ya kukadirisha ujengaji ama uzoroteshaji wa jamuhuri...

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika hawakuasisi na kutaasisi nchi-dola kwa 'Utukufu Binafsi' ama 'Dhamira ya Ubeberu' wa kimataifa. Hili linafanya misingi ya Amani ya nchi-dola ya Tanzania kuwa ni kitendawili cha Unyonge ama Uimara wa wanajamii wenyewe katika kuielewa na kuishi misingi ya Nchi na Tawala. Wanajamii ndiyo hukadirisha misingi ya simulizi la taifa kwa mapana ya kiroho, maadili na miiko. KIsa chote kizima cha alegori ya 'Adamu na Hawa', wanajamii hukiona kwenye nembo ya Utaasisi nchi-dola; ikiwa hawafahamu maana yake basi hata wao hawajifahamu maana zao katika ujamuhuri... Ikiwa wanafanyika kukifahamu, basi hakuna simulizi lolote linaloweza kuwayumbisha kutoka kwenye wima sahihi wa msalaba wa kujichagulia...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' kuwa juu ya 'Mlima Kilimanjaro' na basi yeye atajiangusha chini badala ya kuukwea Mlima wa Uono wa juu--juu zaidi katika kutoka katika usawa wa sura ya nchi na Tawala -- ya Tanzania na Bara lote la Afrika... Atakosa kumaizi umuhimu wa koherensia vya kitendo cha wake kwa waume kuukwea Mlima unaobeba tunu za maagano ya mapinduzi ya utamaduni na usivilai kwa Tanzania, Afrika na Dunia yote kwa ujumla...

Uhuru na Umoja ni shughuli ya mapinduzi endelevu kutokea kwenye unchi-dola wa mawazo ya utengano kwa kimataifa na tamko la dhamiri kwa msingi wa kuijenga, kuiishi na kuidumisha miongozo ya Hekima, Umoja na Amani...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' kuwa juu ya 'Mlima Kilimanjaro' kupitia uono na ufikirifu mifumo, huyu ataweza kutangamanisha harakati za maisha yake na yanayobidi kufanywa kwa wakati kwa ajili ya riziki na hapo hapo kwa ajili ya ulinzi--viwili hivi kwa ajili ya ustawi wa Taifa jipya katika kufanyika--Taifa la Afrika...

Mapinduzi ni mchakato wenye kuhitaji ushirikiano wa jamii ya ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, ndivyo hivi Chama cha Mapinduzi kinaloagizo la kitaasisi kujenga mashirikiano ya 'siasa za kimapinduzi' na jumuiya yote ya kimataifa... Na basi Chama cha Mapinduzi kama taasisi 'hakijastuka ifaavyo' juu ya 'tatizo la kimfumo' kuhusiana na 'dhamiri za unasaba' wa kweli katika imani ya Chama... Roho ya Nchi iko na Waja Wema wenye kustirika na 'nyuso halisi za roho ya mapenzi mema' pasipo kuhadaika na 'matukio'...

Je, Tunaweza kubaini vielekezi na vioneshi vya mapinduzi ama/na hatua za kimapinduzi katika dhamira na nadhiri ya Mwalimu Kambarage Nyerere, Washirika na wadau wote wa 'UTU na Maendeleo na Kujichagulia'?

Hmmm
 
Watu wa Kawaida...

Ma Shaa Allah,

NKNS, Mzee Mohamed Said... Siri ya 'Mja Mwema' ni maisha ya kawaida, siyo lazima iwe 'Ukuu wa Kuona Machoni'...

Ali Msham kuwa 'fundi seremala tu...' -- mtu wa kawaida lakini mwenye kukadirisha/ kuwa sehemu ya jambo lenye kheri sana ni moja ya mafumbo ya 'wakati' na 'matukio'...

Labda pia, mambo ambayo sisi tunayatukuza na kuona ni makuu hayana ukuu wowote hasa--inapokuja kwenye mapeleko ya tafsiri kwa haiba, muonekano na amali za dunia; kufananisha hayo yote na mawezekano yenye kupitiliza kawaida tulioizoea...

Miye kama mtu, ninajisikia furaha kwa mambo madogo madogo labda kama kwa sasa: kuuza duka ama labda kumsaidia mke kwenye biashara ndogondogo za uchuuzi wa jumla/rejerea; kama kusambaza ubuyu na karanga--tukionana mahala, miye ni mzee/mtu wa makamo wa kawaida tu--Je, ikiwa historia ni kumsoma mtu kwa nje--tunaweza kuyaotea ya 'maajabu'?

Kwa kuwa wewe ni mdau unayetengeneza njia ya kuyafumbua mafumbo vitendawili vya 'maisha na harakati za Uhuru wa Nchi ya Tanzania', masimulizi yako yanatengeneza mizingo ya kutanabahi 'Mraba na Duara'--Duara na Mraba wa jamii ya Tanzania--japo 'si kwa ukamilifu'...

'Kuwaona watu', na tena hasa bila uweza wa kubaini 'nyuso halisi za roho zao', kunaweza kuleta kontrasti ya hamaki, mshangao, kupendezwa na mastaajabu katika kuzungumzia mjengo wa matukio yanayonasibika/nasibishwa na hao watu -- ikwa watu hawa kweli ni 'wenye unyoofu' ama/na 'mapenzi mema' kwa watu na taifa/mataifa...

Kwa hivyo iwe ni ndugu Ali Msham ama Mwalimu Kambarage Nyerere, nyota ya kheri zao ilikuwa/imo katika 'nyuso halisi za roho zao'...

Kuona kwamba Sheikh Ali Msham hakuendekeza kasumba yeyote dhidi ya Mwalimu Nyerere, ni ishara ya 'usafi wa roho na uono fasaha wa mambo ya ndani na nje ya nafsi' kulingana na 'udugu kiroho'--udugu wa kiroho ambao hupitiliza kasumba za ukabila, udini ama/hata pia unasaba.

Dua ya Sheikh Ali Msham, kumuombea Mwalimu Nyerere, kwa wadau wa rizayati ya Elimu 3.0 ni jambo la ujuzi na ufundi wa kujinasibisha na 'Duara na Nukta' -- duara na nukta kwa mambo ya 'Ugani wa Ushawishi' na 'Dhamiri'; 'Kushirikisha uwepo wa Manani' kwa ajili ya matakwa ya 'mapenzi na nia' za 'Waja Wema'...

Dua za 'Waja Wema' ndizo nguzo halisi za 'meza' ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'...

'Wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' hufuatisha utatusho wa 'Ontolojia ya Taasisi', Uono na 'Sura na Mienendo ya Jamii'; Dini na imani, ni mambo ya Elimu 3.0 na inayoufasaha wake unaopitiliza ule muktadha wa 'dini/imani' kwa 'mapokeo'... Dini kwa mapokeo bado ni ugani wa Elimu 1.0.

Elimu 2.0 ni 'Uono na Ufikirifu Mifumo' ambavyo 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' ndiyo huweza kubayanisha muingiliano wa 'Ugani wa Ushawishi' na 'Dhamiri kwa Mapenzi Mema/Nia Njema'.

Chachu, Shauku na Matamanio yanayochipukia kutoka katika 'usafi hasa wa dhamira na nia ya UTU wa mtu' hutengeneza nasibu ya rizayati ya Elimu 3.0...

Mtu yeyote anayeiishi dini yake iwe Ukristo ama Uislam, ikiwa anaiishi dini kwa usafi wa moyo na mapenzi mema kweli kweli --uweza hufanyika kwake kuwa na 'ufahamu unaoweza kupiliza kawaida'; Ufahamu unaoweza kumpatia 'nuru ya ufahamu' kuzijua siri za 'Maajaliwa' yake na 'makusudi' yake ya kimaisha.

Mazingira ya 'Imani' na 'Wito' binafsi wa Mwalimu Nyerere na wadau wengine kama Abdulwahid Sykes; na Wazee wa Dar es Salaam wengine maarufu ama wasio maarufu, wenyeji wa 'Kariakoo' na 'Upanga' -- wenye namna fulani ya 'ushawishi wa kuanzia mbali kiunasaba', kiunasaba wa pia hali na mali --hali na mali vya kuja kuwa ni 'baraka' kwa 'Jaala' zao zenye kukadirisha 'vuguvugu la kudai uhuru wa Waafrika'...

Kilichotumika kuwaunganisha, kutokea upande mwingine wa mambo, ni 'Moyo/Imani ya Uafrika' wao... 'Udugu katika Imani' nao ulitumika tena kwa manufaa makubwa ambayo bado wengi leo 'hawajafahamu' kheri yake; lakini Mwalimu Nyerere alikuwa anajua kwa 'kuambiwa kutokea ndani ya nafsi yake' na hata kuambiwa kupitia hao hao 'wadau wa harakati'... Kama inavyoonekana kwenye nakala ya Ushushushu wa mkoloni kwa wanaharakati, Kambarage Nyerere alikuwa na wito, dhamiri na nadhiri ya kupitiliza hata hatma ya 'Uafrika wa Ngozi' kiuhuru na Kujichagulia...

Wanaojua hakika ya haya usikirifu wa roho, ni kwa kuwa na wao wamepata/wanapata kuwa sehemu ya mchakato...

Ikiwa yoyote anataka kujinasibu na mchakato kwa namna hii wa 'kujua mambo kutoka ndani na nje', basi sharti afanye jitihada za kufumbua macho, masikio na fahamu zake zote kwa ajili ya uelewa uliobora kabisa wa hali halisi ya mraba wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'...

Hebu kwa mfano, tumulike na tuangazia...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini dhana ya 'UHURU', 'UDUGU', 'HAKI' na 'AMANI' ni ndiyo hasa mraba wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'--kuwa basi, ukweli wa haya ni mambo yenye kuingiliana...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini 'UHURU na UDUGU' hujenga mapana ya jamii kwa 'Duara na Nukta' ya 'Nuru ya Ufahamu'... Kwa mintarafu ya haya, ustawi na ustaarabu wa jamii huakisi 'ukumbaizi wa nyuso halisi za roho zao'...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri za 'UHURU na UDUGU' ndipo huujenga na kuukadirisha MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio' kwa 'HAKI na AMANI'... Kwa mintarafu ya haya, 'haki na amani' ni matunda ya 'Utu Wema' na utukufu wa siha bora ya kiroho...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini 'HAKI na AMANI' ni mapana ya riziki na ridhiko lenye shukrani; kwamba katika ulimwengu halisi, UCHUMI ndiye mama wa 'Haki na Amani'.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri za 'HAKI na AMANI' ndipo anaweza kutanabahi ni kwa vipi SIASA ni SI HASA juu miundo mushkeli ya Kiuchumi Jamii. Kwamba, uwepo wa mifumo isiyo na usawa na kheri ya kweli ndiyo huleta utaasisi wenye siasa kwa kuwa kukosa fasaha ya 'Duara na Nukta'; ilivyo ni maradhi-jamii ya ukafiri.

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Pembe za Ndovu' na basi akadhani anaishi katika nchi-dola isiyo na misingi ya imani na utu-bora. Kwa mintarafu ya hili, mwanajamii anakosa nasibu yakuotea mbegu, dhamiri na misingi ya 'Uhuru wa Kweli na Kujichagulia' katika mapana ya 'Ujamuhuri'. Na basi kumbe, ujamuhuri si chochote hasa bali muktadha wa 'ukumbaizi wa utu wenye kutafuta muafaka wa kheri ya pamoja'--kheri iliyo ni MRABA wa 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio'.

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya ya 'Pembe za Ndovu' basi 'Uono na Ufikirifu Mifumo' katika yeye unampatia funguo za maarifa muafaka ya kubaini muktadha wa 'Utu na Maadili', vivyo hivyo pia 'Ukuu na Heshima', vivyo hivyo 'Ujazi na Umiliki'. Kwa mintarafu ya haya, 'Pembe za Ndovu' ni alama ya jadi kwa kudhihirisha 'kinga ya Kiustawi'; na basi mambo ya kinga ya kiustawi yana nasaba ya uchumi, kujiweza na kujikita katika fanusi ya MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio'.

Uhuru uliopiganiwa na Mwalimu Nyerere ni Tumaini lililokuwa, na hali lingali pia hata sasa, na wadau wote shughuli ya 'kujichagulia kitaasisi'--Uhuru wa kinchi-dola. Ili simulizi lolote la wadau hawa liwe timilifu na lenye kuenea mapana yote ya 'wakati-jamii-machaguo ya kitaasisi-matukio' sharti basi liakisi nyanja zote za ustawi wa jamii; hali za jamii kiuchumi na mazingira. Simulizi bora na lenye kheri ni lile lenye kutumia 'Nuru ya Ufahamu' kutangamanisha mashauri ya jamii yenyewe, uchumi na mazingira. Shughuli ya kijamii itokanayo na 'Nuru ya Ufahamu' ni siri ya 'Mwenge wa Uhuru'... Siri ya Mwenge kuwa ni chombo cha kuangazia ndani na nje ya mipaka ya Ujamuhuri...

Shughuli ya kijamii itokanayo na 'Nuru ya Ufahamu' ili kutangamanisha 'HAKI na USAWA' katika UTU ndiyo msingi hasa wa kuanzishwa kwa Chama cha Mapinduzi...

Kwa hivi, haitoshi kuzungumza matukio na watu pekee--kuzungumzia itikadi na dhamiri za wafanyataasisi ni ufunguo wa simulizi la kweli na timilifu la 'watu na nyakati'... Kwa mintarifu ya hili, ni vema kuzingatia TAA, TANU na baadaye Chama cha Mapinduzi ni mchakato... Huu ni mchakato wa watu katika shughuli walioidhamiria na kujitoa kwa hiyo bila hila, kasumba wala hiyana. Kwa namna hii, uono na ufikirifu mifumo ndiyo unaoweza kuongozea ujuzi wa kumulika mashauri na tafsiri za 'Kujichagulia', 'machaguo ya kitaasisi' na 'matukio'...

Taasisi ni muktadha wenye kina kwa utatusho wa dhamiri, nadhiri na makusudi ya matendo kupitia michakato ya mifumo rasmi--inayoridhiwa katika mapana ya jamii na ustawi; kwa uono fasaha wa haya, badala ya kuwaona watu na matukio ni vema kubayanisha Taasisi na Muitikio wa wanajamii husika katika visomo na basi kulingana na ule 'Ugani wa Ushawishi wa Kimuundo ya Udhibiti'. Kwa namna hii, mifumo ni zao la michakato ya Taasisi na 'Wakati'... Je, kwa kiasi ama namna gani tunaweza kuyabayanisha matendo ya Mwalimu Nyerere na Utaasisi aliyokuwa kafungamana nayo kihuduma?

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Uhuru ni Kazi' na basi akadhani 'Chama cha Mapinduzi' ni chama cha Kisiasa tu... Kwa mintarafu ya hili, anakuwa amejipiga ngwala na kukosa kusimama na dhamiri ya unchi-dola yake. Kwamba, misingi ya maendeleo ya nchi ni maendeleo ya UTU na kazi kuwa kipimo cha utu--Kazi kukadirisha hatua chanya za kimaendeleo kutathminika kwa MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio. Kuwa basi, 'Mapinduzi' ni machakato endelevu wa kulijenga taifa lenye nasibu ya kusimama kipekee na kujitegemea--Ujamaa kuwa ni matokeo ya matendo na kujichagulia kwa kadiri ya 'nyuso halisi za roho za Wanajamuhuri'...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya ya 'Uhuru ni Kazi' basi, kupitia Uono na Ufikirifu Mifumo, atatambua misingi imara ya UTU ipo katika kujitegemea. Kwa mintarafu ya hili, Ujamaa ni jambo la uono na ufikirifu mifumo ambavyo shauri la 'Usawa' huenda sambamba na 'Haki'--Haki ya Mtu kupata riziki yake na pasi ya mtu mnyonya mwenzake kwa jina la 'Uchumi na Maendeleo'... Kwa hivyo, Uchumi ni uzalishaji na ulaji mali ambavyo ni kama vile kujishibisha huja kwa kujihangaisha na kutengeneza 'akiba/hazina' ya chakula ama mali. Vyote viwili, chakula na mali ni msingi ya 'vita ama/na amani' katika jamii.
Kiuono na ufikirifu mifumo, kitendo cha kula kina muktadha wa tafsiri ya zinazoshabiana kwa vitendo vingine vya kadiri ya vita/mamezano/uhalali wa riziki. Kisicho riziki, hakiliki--vivyo hivyo kwa kuepukana kwa migogoro ikiwa riziki inaambatana na uhasama ama/uhasimu. Riziki ya mtu ni halali yake kadiri anavyopewa na Manani... Kwa mintarafu ya haya, Elimu 3.0 ndiyo inaweza kumpatia 'Mja Mwema' mwangaza wa busara ya 'Meno ya Tembo'... Je, ni kwa nini Tembo huangushwa kwa ajili ya 'Vipusa'?

Kijadi, meno ya tembo hufangamanishwa na 'Utajiri', 'Ukuu' na 'Bahati ya Mali zaidi'... Uhalali ama Uharamu wa biashara ya vipusa hautofautiani na 'Tamaa ya Mali' inayoweza kumnufaisha huyu kwa 'madhila' ya mwingine... Pembe za wanyama wakubwa ni hirizi kwa mali, ilivyo kwa alama na vielelezo vya 'nguvu na uwezo'. Mazishi ya jadi, miongoni mwa makabila ya wengi duniani kuambatana na kuweka pembe kaburini pa mwili wa mtu mkuu, kizito, mtawala wa jadi aliyeanguka mautini. Pembe za Ndovu, ndiyo kuu kuliko zote-- za nyati ama faru-- kuwa alama ya 'Ukuu, Uzito wa Mtu na Nguvu' Lakini chakushangaza, pembe za ndovu ni 'Meno' na si 'Pembe' hasa... Tembo huzitumia pembe zake kujitengenezea mazingira ya 'Riziki' yake--kula hadi kuwa 'Mzito' hasa...

Pembe za Tembo si alama ya Utajiri wa Maliasili tu, kwa uono na ufikirifu mifumo, hizo pia ni kielelezo cha Ukuu, Uzito na Mamlaka ya Ustawi wa Ujamuhuri. Tembo kuwa mkuu wa Nyika kwa Uzito na Nguvu za kujitafutia riziki, uwepo wake katika mfumo-iko wa msitu ama nyika unaamuru Mamlaka na kushinda maadui. Nguvu na Mamlaka si uharibifu wa vingine vyenye nguvu na tawala bali kujijengea nishi yako katika mazingira mapana ya maisha na ustawi wenye kujumuisha na wengine... Ujamaa ni Udugu katika maisha ya harakati na kujitafutia riziki, katika uchumi unaoruhusu haya.

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika hawakuasisi na kutaasisi nchi-dola kwa utashi-pofu kuhusiana fizikia na metafizikia ya jamii. Sura na Utukufu wa nchi-dola ya Tanzania umezingatia dhamiri na nadhiri ya kuinuka kwa taifa kamili la Afrika--Tanzania kuwa kitovu... Kwa mintarafu ya hili, tazama upya sura ya Mwalimu Nyerere na wadau wanaojulikana wazi lakini kuwepo na akiba ya staha kwa wale ambao wameifanyakazi kubwa na bado wanaifanyakazi kubwa pasipo kulazimika 'kufahamika'... Mzizi ya Mti wa Uzima huwa maisha marefu kuzidi shina na matawi ya Mti wa Ustawi na Utamaduni wa nchi-dola...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' na 'Pembe za Ndovu' na basi kukosa kubaini uhusiano kati ya MRABA wa 'Wakati-Jamii-Machaguo ya Kitaasisi-Matukio' na 'Duara lenye Nukta'; kukosa kufahamu maisha yote ya mwanajamii ni utatuisho wa Mraba uliokwenye Duara. Kwamba, ustawi wa jamii una 'ncha nne'... Ncha nne zifanyazo UTAMADUNI na USIVILAI wa jamii kuwa na 'nuru ya ustawi' wenye fahari ya kuweza kutanukia 'Mbingu' na 'Nchi'--Msalaba wa Nyakati zote na Matukio yote. Ngao ya ustawi ni sura ya kike ya msalaba, kuakisi muktadha wa 'wakati-jamii-machaguo ya Kitaasisi-matukio'. Kwa namna hii, mbingu na nchi huwakishwa kwa 'Maji ya Ujumuishi wa Yote-Mbingu na Nchi', 'Udongo mwekundu wa ardhi onayoweka msingi wa Kazi na Utu', 'Upepo wa Bendera ya Usovereini wa Nchi-Dola, na 'Moto wa Nuru ya Ufahamu kuhakikishia upyaishaji wa jamii kwa ngaavu kama Dhahabu'...

Kiuono na Ufikirifu Mifumo na funguo za Ufunuo za Elimu 3.0, 'Nuru ya Ustawi' ya jamii sovereini, ilivyo ni Ujamuhuri, ni kadiri ya 'Pembe za Ndovu' na "Mwenge wa Uhuru' ilivyokusadifu topografu tafsiri kwa MRABA kwenye DUARA. Kwa mintarafu ya hili, Pembe za Ndovu hutawala 'UTU na Kazi' wakati 'Mwenge wa Uhuru' ni muktadha wa 'Maendeleo kwa Kujichagulia'. Shoka na Nyengo ni alama kwa 'kuyatawala mazingira' na 'Subira na ustahamilivu'--siha ya kiume na ya kike kwa Dhamiri ya Utu Bora. Kimetafizikia shoka ni alama ya 'Supasha' na Nyengo ni alama ya 'Wakati'; alama ya 'X' ni muktadha wa dhamiri--'shika neno, tenda neno'. Supasha na Nyengo ni Mlango wa kupitilizia vikomo cha 'fahari ya nchi' na basi kuweza kubozea kwenye mambo ya 'fahari za mbingu'. Muktadha wa 'UTU-uwepo' katika nia inayopitiliza fahari ya 'mbingu na nchi' ni alama ya 'Mkuki'...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' na 'Pembe za Ndovu' basi huyu awa na Uono na Ufikirifu mifumo unaomuwezesha kutambua UZALENDO ni utamaduni na usivilai ilivyo no fahari ya 'Mja Mwema'; Kwa mintarafu ya hili basi yawa kwamba 'HAKI' na 'USAWA' ni zao la jamii yenye uzalengo kwa misingi ya nidhamu, mila na desturi zinazoakisi utukufu wa Kheri ya Mambo ya Nchi na Mambo ya Mbingu--uisho kulingana na misingi ya uhuru wa nje na ndani ya mwanajamii... Kwa namna hii, Sheria ni Mizania kutokana na Nukta katika Duara la 'ugani wa ushawishi'--PENDO MOJA. Duara ni asili ya Nuru ya Ufahamu, kutokea kwenye 'Ngao ya Ustawi', Mwenge wa Uhuru ni alama ya 'Nuru ya Ufahamu' kumulikia 'mila, desturi' na basi SHERIA ili HAKI ya Mbingu idhihiri kwenye Ujamuhuri--iwe mchakato wa 'Maendeleo ya UTU' na si vitu hasa... Iwe mwangaza wa kuweza kukadirisha mapana kujichagulia na basi tena mipaka ya pumzi ya kukadirisha ujengaji ama uzoroteshaji wa jamuhuri...

Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika hawakuasisi na kutaasisi nchi-dola kwa 'Utukufu Binafsi' ama 'Dhamira ya Ubeberu' wa kimataifa. Hili linafanya misingi ya Amani ya nchi-dola ya Tanzania kuwa ni kitendawili cha Unyonge ama Uimara wa wanajamii wenyewe katika kuielewa na kuishi misingi ya Nchi na Tawala. Wanajamii ndiyo hukadirisha misingi ya simulizi la taifa kwa mapana ya kiroho, maadili na miiko. KIsa chote kizima cha alegori ya 'Adamu na Hawa', wanajamii hukiona kwenye nembo ya Utaasisi nchi-dola; ikiwa hawafahamu maana yake basi hata wao hawajifahamu maana zao katika ujamuhuri... Ikiwa wanafanyika kukifahamu, basi hakuna simulizi lolote linaloweza kuwayumbisha kutoka kwenye wima sahihi wa msalaba wa kujichagulia...

Mwanajamii anaweza asiwe na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' kuwa juu ya 'Mlima Kilimanjaro' na basi yeye atajiangusha chini badala ya kuukwea Mlima wa Uono wa juu--juu zaidi katika kutoka katika usawa wa sura ya nchi na Tawala -- ya Tanzania na Bara lote la Afrika... Atakosa kumaizi umuhimu wa koherensia vya kitendo cha wake kwa waume kuukwea Mlima unaobeba tunu za maagano ya mapinduzi ya utamaduni na usivilai kwa Tanzania, Afrika na Dunia yote kwa ujumla... Uhuru na Umoja ni shughuli ya mapinduzi endelevu kutokea kwenye unchi-dola wa mawazo ya utengano kwa kimataifa na kuijenga, kuiishi na kuidumisha misingi ya Hekima, Umoja na Amani...

Mwanajamii akiwa na macho ya kuweza kubaini siri ya 'Ngao ya Ustawi' kuwa juu ya 'Mlima Kilimanjaro' kupitia uono na ufikirifu mifumo, huyu ataweza kutangamanisha harakati za maisha yake na yanayobidi kufanywa kwa wakati kwa ajili ya riziki na hapo hapo kwa ajili ya ulinzi--viwili hivi kwa ajili ya ustawi wa Taifa jipya katika kufanyika--Taifa la Afrika...

Mapinduzi ni mchakato wenye kuhitaji ushirikiano wa jamii ya ndani na nje ya mipaka ya Tanzania, ndivyo hivi Chama cha Mapinduzi kinaloagizo la kitaasisi kujenga mashirikiano ya 'siasa za kimapinduzi' na jumuiya yote ya kimataifa... Na basi Chama cha Mapinduzi kama taasisi 'hakijastuka ifaavyo' juu ya 'tatizo la kimfumo' kuhusiana na 'dhamiri za unasaba' wa kweli katika imani ya Chama... Roho ya Nchi iko na Waja Wema wenye kustirika na 'nyuso halisi za roho ya mapenzi mema' pasipo kuhadaika na 'matukio'...

Je, Tunaweza kubaini vielekezi na vioneshi vya mapinduzi ama/na hatua za kimapinduzi katika dhamira na nadhiri ya Mwalimu Kambarage Nyerere, Washirika na wadau wote wa 'UTU na Maendeleo na Kujichagulia'?

Hmmm
Mose,

View: https://youtu.be/o_QH4B4ecCc
 

Nimeona...

Ahsante,

... Habari juu ya Mbinu zako za utafti na dizatisha za kiuanazuoni -- bahati yako ya kuwa unasaba wa moja kwa moja na Wazee waasisi wa TAA na TANU... Maisha na kumbukizi.

Pasi na shaka, shughuli yako kihistoria ya nchi ya Tanzania ina meriti, vigezo na daraja...

Inatengeneza benchimaki ya ubora wa kazi za utafiti wa kihistoria.

Inapokuja kwenye unasaba wa kidini, miye kwangu kama mtu sina shida na hilo kabisa...

Ikukupendeza na wewe kutaka kujua yale ya ziada-- yanayojumuisha dini na mengine mapana zaidi basi labda ninaweza kuwa mshirika kwako, haulazimiki lakini kujinasibu na mawanda ya visomo vya miye kama mtu juu ya jamii, stawi na ontolojia zake... Ila miye sina budi kuzitazama kazi zako kwa umakini mkubwa kadiri inavyonifaa... Pia kuchunguza 'disonia kognia'. cognitive dissonance, ya umma juu ya kazi na mawaidha yako ya Kihistoria....

Hmmm
 
Mwalimu Kambarage Nyerere na Washirika na wadau wa mchakato wa utu na maendeleo ya kweli waliasisi na kutaasisha nchi-dola yenye misingi ya UHURU, UDUGU, HAKI na AMANI; ikiwa msimuliaji yeyote ataotea uhalisia wa haya manne basi simulizi lake litakuwa na utamu zaidi na kheri...

Kujenga msingi na mwongozo wa kukadirisha masimulizi yenye kusadifu dhima za Uhuru, Udugu, Haki na Amani, kunataka tu masimulizi ya kimatukio yaambatane na kukadirisha dhamiri na muonekano wa nadhiri ya yule 'mhusika mkuu' kwenye simulizi--kadiri msimuliaji anavyoiotea, kuipatia na kuifungamanisha na simulizi zake na 'mhusika mkuu' basi na 'yeye aingia moja kwa moja kwenye kuitengeneza historia ya kweli kwa wakati'...
Mzee ms akifanyia kazi para hizi mbili atajitoa kwenye udini na China ya wazee wangu
 
Mzee ms akifanyia kazi para hizi mbili atajitoa kwenye udini na China ya wazee wangu
Inside...
Nimejibu mara elfu kuhusu suala la udini neno kwako likimaanisha Uislam.

Hakika nimeandika kitabu kuonyesha namna Waislam walivyokuwa mstari wa mbele katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Historia ambayo ilifutwa.

Sikuandika uzuri wa Uislam dhidi ya imani nyingine.

Laiti ningefanya hivyo ungeweza kunishtumu upendavyo.

Historia hii imewakamata wengi na mjadala haujasimama huu mwaka wa kumi na zaidi tuko hapa.

JF imenifanya nimekuwa maarufu.

JF imenitaja na kunizawadia mara mbili kama Mwandishi Bora mara mbili.

Haya nayakumbusha kila siku.

Nakuthibitishia upungufu mkubwa uliokuwapo katika vitabu vya historia vilivyopita.

Nisikilize katika video hiyo hapo chini:


View: https://youtu.be/8a0UyyCVyy4?si=mryiGoBxGiLcv2tu
 
Hahaaa akikujibu?
Naam.
Nimejibu.
Soma post #76 hapo juu.

Nakuwekea makala hii hapo shule ili uone vipi Kleist Sykes alivyoelimisha watoto wake.

Nataka uzingatie kuwa Abbas Sykes shule ya msingi kasoma King's College Budo, Uganda darasa moja na Kabaka Edward Mutesa wa Uganda.

Haya mengine yatakusaidia kukuongezea maarifa.

MIAKA MIWILI BAADA YA KIFO CHA BALOZI ABBAS SYKES

Nimeandika mengi hapa kuhusu Abbas Sykes.
Mengi sana.

Atakae kumjua Abbas Sykes atafute tu hapa na kwengineko ataisoma historia yote ya kupigania uhuru wa Tanganyika kwa undani wake.

''Hesabu yangu ya wanachama watatu waliobakia wa siku za mwanzo za TANU na harakati za kudai uhuru mwaka wa 1954 imepungua baada ya kufariki Abbas Sykes.

Yawezekana sana kuwa bado wapo waasisi wengi wa TANU walio hai lakini hawajulikani.

Daftari langu limebakia na Mama Maria Nyerere na Mzee Athmani Matenga wa Magomeni Mwinyimkuu.''

''Abbas Sykes alinambia, ‘’Nilimwambia Dossa lazima ahudhurie mkutano wa Kizota na nilihakikisha hilo.

Nilimwambia tutaondoka pamoja kwenda Dodoma kwa hiyo nilimnunulia nguo na viatu.’’

Balozi alinieleza maneno haya kwa shida sana na kwa hakika niliona kuwa historia ya Dossa ilikuwa imemuumiza sana.''

''Hapo King's College Budo ndipo Abbas Sykes ailipokuja kusoma na Freddie Mutesa ambae baadae akajakuwa Kabaka wa Buganda na Rais wa Uganda mwaka 1962 Uganda ilipopata uhuru.

Balozi Sykes anakumbuka kumuona mama yake Freddie Mutesa akiwa kavaa yale magauni ya Kiganda akija shule kumtembelea mwanae na jinsi shule nzima ilivyokuwa ikitetemeka kwa ujio wa bi. mkubwa yule kwani Freddie ndiye aliyekuwa akitegemewa kuwa Kabaka wa Uganda.''

''Ananihadithia safari yake ya London akiwa Mwenyekiti wa ATC alipokwenda kuchukua mwili wa ndugu yake, kama alivyomwita mwenyewe, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.

Abbas Sykes kamjua Nyerere mwaka wa 1952 na Nyerere alipoacha kazi ya ualimu akaja kuishi nyumbani kwa Abdul Sykes wakati wanamtafutia makazi yake.

Kifo cha Mwalimu na Abbas Sykes yumo ndani ya ndege ya ATC analiangalia jeneza la Nyerere.

Hili lilimrudisha nyuma sana wakati wako katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Fikra zake zilikarudi nyuma sana wako Mnazi Mmoja katika mkutano wa TANU yeye kijana wa kiasi cha miaka 24 hivi ikamjia picha Nyerere kaishiwa maneno anamwambia Bi. Titi, ''Titi hebu zungumza wewe.''

''Abbas Sykes alinihadithia anasema Nyerere alikuwa akija Dar es Salaam kutoka Pugu kuja kuonana na kaka yake alikuwa anapanda basi moja la Muhindi likiitwa ''Majigo.''

Kituo cha basi hili kilikuwa Mtaa wa Msimbazi na Aggrey.

Ukiingia na mzigo ndani ya basi basi yule Muhindi utamsikia akipiga kelele, ''Majigo juu, majigo juu.''

Maana ya maneno haya ilikuwa, ''Mzigo juu.''
Yaani mizigo ipandishwe juu ya basi kwenye ''carrier.''

Hivi ndivyo basi lile lilivyopata umaarufu wake na kuishia kuitwa ''Majigo.''

Hiki kilikuwa kipindi kabla ya Nyerere hajajiuzulu ualimu.

Nyerere alikuwa akishashuka pale kwa Majigo atashika njia kuelekea Kariakoo Market ofisini kwa Market Master Abdul Sykes.''
 
Mzee Mohamed Said uniwie radhi tu
Nyerere ni mshenzi tu kwa matendo yake na si kwa waislamu tu hata kwa yeyeto hata akiwa mgalatia kama alivyowafanya kina Kassanga Tumbo, Tuntemeke Sanga, Oscar Kambona, na wengine wengi tu, hana utume wala utakatifu
Na pia ni mpumbavu na siasa zake alizolazimisha na kuua uchumi wa nchi wakati akikabidhiwa tulikuwa sawa na South Korea,
 
Mzee Mohamed Said uniwie radhi tu
Nyerere ni mshenzi tu kwa matendo yake na si kwa waislamu tu hata kwa yeyeto hata akiwa mgalatia kama alivyowafanya kina Kassanga Tumbo, Tuntemeke Sanga, Oscar Kambona, na wengine wengi tu, hana utume wala utakatifu
Na pia ni mpumbavu na siasa zake alizolazimisha na kuua uchumi wa nchi wakati akikabidhiwa tulikuwa sawa na South Korea,
Huko madrasa wamekubraiwash vibaya sana.Mwalimu kafariki muda mrefu lakini bado legacy yake inaishi.
Kwa uadilifu na uzalendo unamlinganisha Mwalimu na rais yupi wa Tanzania?
 
Huko madrasa wamekubraiwash vibaya sana.Mwalimu kafariki muda mrefu lakini bado legacy yake inaishi.
Kwa uadilifu na uzalendo unamlinganisha Mwalimu na rais yupi wa Tanzania?

Kuliko ulikokuwa brainwashed huko Sunday school ukaambiwa mtu anayekunya na kutawazishwa mavi ndiye wa kuabudiwa?
 
Back
Top Bottom