Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Nan...
Umesema kweli "legacy" ya Mwalimu ni kubwa.

Kitabu cha Abdul Sykes kimepata umaarufu sababu yake ni Nyerere.

Kitabu kimeeleza yale ambayo Nyerere mwenyewe hakupata kuyasema wala mwanahistoria yeyote kuyaandika.

Hiki ndicho kilichowavutia watu wengi.
Lakini wako waliofadhaishwa na kitabu hiki kwa kuona kuwa Nyerere anagawana historia yake na watu ambao wao hawakupata kuwasikia hata siku moja.

Wako waliojiuliza mbona historia hii tunayosoma leo haikusomeshwa?

Iweje kadi za TANU tatu za mwanzo mbili ni za ndugu wawili khalis Abdulwahid na Ally Sykes?

Nini maana ya jambo hili?

Hili si suala la uadilifu au uzalendo wa Nyerere.

Maswali ninayoulizwa kote vyuoni ninapozungumza ni imekuwaje taifa likapoteza historia yake yote ya wazalendo wake waliopigania uhuru?

Prof. Haroub Othman hili lilimtatiza.

Angalia video hiyo namzungumza Prof. Haroub alivyotafuta maelezo kutoka kwa Mwalimu Nyerere:


View: https://youtu.be/lCyNc0C46Zo?si=X11DvnNUTCtbaOak

Lazima ukubali kuwa kila movie ina starring wake.Nyerere hawezi kugawana historia na wanaharakati mzee!
 
Sihutaji kuyajua hayo Mkuu wangu.Nachojua historia huwakumbuka wafalme tuu.Bahati mbaya sana mashujaa kama babu zako hawawezi kuongelewa kwa gravity kama ya nyerere hilo lazima ukubali.Nyerere ana mchango mkubwa sana kwa ustawi wa taifa hili kuliko wazee wako.
Nan...
Mimi nitajuaje unachohitaji na usichohitaji?

Ila nitakachokuwekea kinakuwa kwako na kwa wasomaji wengine hamjapata kukisoma popote.

Leo wazee wangu tuko hapa muongo mmoja tunajadili historia yao niliyoandika mimi mjukuu wao.

Wewe ni mmoja wa watu wengi ambao wameshindwa kujinasua na historia hii.
 
Mwalimu Julius Nyerere historia yake ni kubwa sana.

Walioandika maisha yake wameandika vitabu vitatu zaidi ya kurasa 1000.

Bahati mbaya sana kitabu hiki hakikuweka mengi ambayo yalihusu historia ya Mwalimu na Waislam wa Tanganyika.

Sijui kwa nini.

Kukosekana kwa hili kumeondoa utamu na ladha katika maisha na historia ya Baba wa Taifa kama alivyoishi na watu wa Dar-es-Salaam.

Historia ina kawaida ya kujirudia.

Wakati mwingine mapenzi ya watu kwa viongozi wao yanafika mbali sana.

Sikiliza kisa cha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958:


View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=cT3yTTxutMuBv5Gb


Mzee wa ajabu sana wewe. Hii heading yako inaelezea kila kitu kuhusu wewe. Kusoma sio lazima kuelimika. Na ukidhani umesimama, wahenga wanasema angalia usianguke.

Hao unaowapigania sababu ni dini yako, ndio wanaharibu Tanzania. sababu watanzania kama mimi hatuangalii mtu sababu ni dini gani, tunamsema sababu ameharibu.
Utakatifu wa mtu si kazi yako kuhukumu maana hata wewe utahukumiwa. Nina hakika Mungu unayemtumikia hana urafiki na wanafiki na waongo. Jipime na kujitafakari.
Kitu kimoja nina hakika. You are a failure. Umeshindwa hata usema au ufanye nini
 
Nan...
Umesema kweli "legacy" ya Mwalimu ni kubwa.

Kitabu cha Abdul Sykes kimepata umaarufu sababu yake ni Nyerere.

Kitabu kimeeleza yale ambayo Nyerere mwenyewe hakupata kuyasema wala mwanahistoria yeyote kuyaandika.

Hiki ndicho kilichowavutia watu wengi.
Lakini wako waliofadhaishwa na kitabu hiki kwa kuona kuwa Nyerere anagawana historia yake na watu ambao wao hawakupata kuwasikia hata siku moja.

Wako waliojiuliza mbona historia hii tunayosoma leo haikusomeshwa?

Iweje kadi za TANU tatu za mwanzo mbili ni za ndugu wawili khalis Abdulwahid na Ally Sykes?

Nini maana ya jambo hili?

Hili si suala la uadilifu au uzalendo wa Nyerere.

Maswali ninayoulizwa kote vyuoni ninapozungumza ni imekuwaje taifa likapoteza historia yake yote ya wazalendo wake waliopigania uhuru?

Prof. Haroub Othman hili lilimtatiza.

Angalia video hiyo namzungumza Prof. Haroub alivyotafuta maelezo kutoka kwa Mwalimu Nyerere:


View: https://youtu.be/lCyNc0C46Zo?si=X11DvnNUTCtbaOak

Uwongo tu ndiyo umeusimamia. Nyerere ni true African Nationalist anayeshindanishwa na akina Kwame Nkrumah na Mandela tu, wala huwezi ku UNDO legacy yake hata uandike kitabu kikubwa kama Quran au ukafanye mhadhara Mecca wakati wa Eid ya kuchinja.

Ungefurahi sana nchi ya Tanzania iwe ya kiislamu ili muishi peke yenu lakini bahati mbaya nchi yetu ni secular, madhehebu yote yapo. Utulivu tulio nao ni kwa kazi kubwa ya J K Nyerere unaye mnanga kutwa kucha
 
Uwongo tu ndiyo umeusimamia. Nyererer ni true African Nationalist anayeshindanishwa na akina Kwame Nkrumah na Mandela tu, wala huwezi ku UNDO legacy yake hata uandike kitabu kikubwa kama Quran au ukafanye mhadhara Mecca wakati wa Rid ya kuchinja.

Ungefurahi sana nchi ya Tanzania iwe ya kiislamu ili muishi peke yenu lakini bahati mbaya nchi yetu ni secular, madhehebu yote yapo. Utulivu tulio nao ni kwa kazi kubwa ya J K Nyerere unaye mnanga kutwa kucha
Anamshindanisha Mwalimu na Abdul Sykes Kweli?
 
Katika viongozi waliokuwa na maono na walio litendea haki hili taifa ni JK.Nyerere.

Hata akiitwa mtakatifu haina ttzo,bila yeye tungekua tuna chinjana na kutengana kwa minajili ya dini,ukanda na kubila kama wewe mzee mudi unachotaka kulileta katika taifa
 
Mzee wa ajabu sana wewe. Hii heading yako inaelezea kila kitu kuhusu wewe. Kusoma sio lazima kuelimika. Na ukidhani umesimama, wahenga wanasema angalia usianguke.

Hao unaowapigania sababu ni dini yako, ndio wanaharibu Tanzania. sababu watanzania kama mimi hatuangalii mtu sababu ni dini gani, tunamsema sababu ameharibu.
Utakatifu wa mtu si kazi yako kuhukumu maana hata wewe utahukumiwa. Nina hakika Mungu unayemtumikia hana urafiki na wanafiki na waongo. Jipime na kujitafakari.
Kitu kimoja nina hakika. You are a failure. Umeshindwa hata usema au ufanye nini
Tanga...
Ningeandika kitabu cha Abdul Sykes kwa minajili ya kupigania dini yangu kitabu hiki kungekuwa hakina uhai kwani kingekufa siku nyingi.

Kitabu hiki nimeandika kusahihisha vitabu vyote vilivyotangulia ambavyo waandishi wake kwa makusudi au kwa kutokujua waliandika historia iliyojaa upungufu mkubwa.

Kitabu changu kilipotoka kilisababisha kishindo kikubwa.

Historia ya TANU haikuanza na Julius Nyerere.

Kitabu changu nilianza historia ya TANU mwaka wa 1924 Dr. Kwegyr Aggrey kutoka Achimota College, Ghana alipokutana na Kleist Sykes.

Hapa kuna miaka 30 hadi kufikia kuundwa kwa TANU mwaka wa 1954.

Miaka 30 hii Ina historia ya kusisimua na ndani ya historia hii wapo wazalendo lukuki kutoka Dar es Salaam na majimboni waliosimama kupambana na ukoloni.

Nimewasoma wazalendo hawa katika Nyaraka za Sykes.

Kitabu kilikuwa kimekuja na historia ambayo haikupata kuandikwa.

Wapo waliofurahishwa na kitabu hiki na halikadhalika wako waliofadhaika.

Kitabu kimechapwa mara nne kwa Kiingereza na Kiswahili na sasa kinakwenda toleo la tano.
 
Katika viongozi waliokuwa na maono na walio litendea haki hili taifa ni JK.Nyerere.

Hata akiitwa mtakatifu haina ttzo,bila yeye tungekua tuna chinjana na kutengana kwa minajili ya dini,ukanda na kubila kama wewe mzee mudi unachotaka kulileta katika taifa hili.
Ni kweli kabisa. Apewe maua yake ila tatizo alituachia Katiba yenye mapungufu kadhaa yanayolitesa taifa mbaya zaidi viongozi wanatumia hayo mapungufu kwa faida zao binafsi
 
Anamshindanisha Mwalimu na Abdul Sykes Kweli?
Nan ...
Hapana sijawashindanisha.
Naeleza historia yao nikianza na historia ya Hamza Mwapachu na Nyerere.

Kisha naeleza historia ya Abdul Sykes na Chief David Kidaha Makwaia.
Halafu Abdul Sykes na Hamza Mwapachu.

Kisha historia ya Abdul Sykes na Julius Nyerere ambayo nimeieleza kwa kirefu hapa.

Huku si kushindanisha.
Nisikikilize katika video hapo chini:


View: https://youtu.be/OEjH23zFAog?si=qjltsX0xuFhCupiM
 
Hata kama ni uongo basi ni ule wenye faida, kupambana kuutafuta ukweli WA historia ya Tanzania ni ujinga ilihali aman ipo nchini, history ingekuwa tofauti Leo hii ingekuwa vita mwanzo mwisho, udini ungehusishwa kwenye ukombozi WA taifa letu, bas Tanzania ingekuwa ya dini flani, dini na amani havikai pamoja, sote tunafahamu kwenye udini ndiko chuki, zipo, history inatengenezwa, tutengeneze history yetu ambayo haitokuwa na mapungufu, kuendelea kujihusisha na yaliyopita ni kuutafuta chuki dhidi yetu.

Ikiwa kama Nyerere alifanya makosa kwenye utawala wake, basi Kwa wakati huu WA miaka 30 tangu ukomo WA utawala wake, tungesha fanya mabadiliko, lakini tunapoendelea kumlilia na kumwita majina mazuri mpaka Leo ni dhahiri hayupo aliyemzidi Kwa jitihada zake, kama ukishindwa kufahamu ukubwa WA mwalimu, fikilia madhara ya ukabila na udini katika baadhi ya nchi za Afrika na nje ya afrca huko Israel vs parestina,.

Pengine mifumo aliyotumia, ilifaa Kwa muda huo, ambayo Kwa sasa unaonekana ni ya kijinga, kwenye serikali ya wakati huo na wakati huu, wapo watu wote na wale ambao mnadai hawakuhusishwa kwenye harakati za kudai uhuru, ni wamefanya mabadiliko.


Sijui kama huu uchawa umetoka Kwa Nyerere
Na sijui kama kwenye matolea yajayo utauzungmzia vp
Utausifu kwakuwa umechipuka wakati huu?

Tutengeneze history yetu ambayo haitokuwa na mapungufu
 
Hata kama ni uongo basi ni ule wenye faida, kupambana kuutafuta ukweli WA historia ya Tanzania ni ujinga ilihali aman ipo nchini, history ingekuwa tofauti Leo hii ingekuwa vita mwanzo mwisho, udini ungehusishwa kwenye ukombozi WA taifa letu, bas Tanzania ingekuwa ya dini flani, dini na amani havikai pamoja, sote tunafahamu kwenye udini ndiko chuki, zipo, history inatengenezwa, tutengeneze history yetu ambayo haitokuwa na mapungufu, kuendelea kujihusisha na yaliyopita ni kuutafuta chuki dhidi yetu.

Ikiwa kama Nyerere alifanya makosa kwenye utawala wake, basi Kwa wakati huu WA miaka 30 tangu ukomo WA utawala wake, tungesha fanya mabadiliko, lakini tunapoendelea kumlilia na kumwita majina mazuri mpaka Leo ni dhahiri hayupo aliyemzidi Kwa jitihada zake, kama ukishindwa kufahamu ukubwa WA mwalimu, fikilia madhara ya ukabila na udini katika baadhi ya nchi za Afrika na nje ya afrca huko Israel vs parestina,.

Pengine mifumo aliyotumia, ilifaa Kwa muda huo, ambayo Kwa sasa unaonekana ni ya kijinga, kwenye serikali ya wakati huo na wakati huu, wapo watu wote na wale ambao mnadai hawakuhusishwa kwenye harakati za kudai uhuru, ni wamefanya mabadiliko.


Sijui kama huu uchawa umetoka Kwa Nyerere
Na sijui kama kwenye matolea yajayo utauzungmzia vp
Utausifu kwakuwa umechipuka wakati huu?

Tutengeneze history yetu ambayo haitokuwa na mapungufu
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."

...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."

Mwaka huu wa 1950 Abdul Sykes akiwa Secretary wa TAA na mjumbe wa TAA Political Subcommittee, Abdul alikuwa na umri wa miaka 26.

Kijana mdogo sana.
Jomo Kenyatta alikuwa na miaka 56.

Jomo Kenyatta kazaliwa mwaka wa 1894 sawasawa na umri wa Kleist Sykes baba yake Abdul ambae alikuwa kafariki mwaka wa 1949.

Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha historia kama hii na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?

Kisha anatokea mtu anasema kuwa chama cha TAA kilikuwa chama cha starehe.

Ningeweza kueleza mengi katika uandishi wa historia ulifanywa na Chuo Cha CCM Kivukoni lakini tutosheke na haya.

Kila nipitapo mitaa ya Maktaba nakutana na kumbukumbu hizi.

Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.

Historia hii alinihadithia Mzee Ahmed Rashaad Ali tumekaa nyumbani kwake Ali Hassan Mwinyi Road tunazungumza.

Ahmed Rashaad Ali ni huyo kuliwa kwa Jomo Kenyatta.

Mzee Rashaad aliniomba nisimtaje jina katika kitabu cha rafiki yake Abdul Sykes nilichokuwa natafiti.

Wakati huo nilikuwa sijapata nyaraka hii ya Special Branch.

Siku nilipoletewa nyaraka hii nilinyanyua mikono juu kumshukuru Allah kwa kuthibitisha kile ambacho Mzee Rashad alinieleza.

Wakati huu Mzee Rashad alikuwa tayari keshafariki.

Huko tulikotoka miaka hiyo watu walikuwa wakihofu kueleza historia ya kweli ya TANU.

Hakika tumetoka mbali na leo ukweli umedhihiri:

1716912303514.png

1716912355199.png

1716912394016.png

 
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."

...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."

Mwaka huu wa 1950 Abdul Sykes akiwa Secretary wa TAA na mjumbe wa TAA Political Subcommittee, Abdul alikuwa na umri wa miaka 26.

Kijana mdogo sana.
Jomo Kenyatta alikuwa na miaka 56.

Jomo Kenyatta kazaliwa mwaka wa 1894 sawasawa na umri wa Kleist Sykes baba yake Abdul ambae alikuwa kafariki mwaka wa 1949.

Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha historia kama hii na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?

Kisha anatokea mtu anasema kuwa chama cha TAA kilikuwa chama cha starehe.

Ningeweza kueleza mengi katika uandishi wa historia ulifanywa na Chuo Cha CCM Kivukoni lakini tutosheke na haya.

Kila nipitapo mitaa ya Maktaba nakutana na kumbukumbu hizi.

Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.

Historia hii alinihadithia Mzee Ahmed Rashaad Ali tumekaa nyumbani kwake Ali Hassan Mwinyi Road tunazungumza.

Ahmed Rashaad Ali ni huyo kuliwa kwa Jomo Kenyatta.

Mzee Rashaad aliniomba nisimtaje jina katika kitabu cha rafiki yake Abdul Sykes nilichokuwa natafiti.

Wakati huo nilikuwa sijapata nyaraka hii ya Special Branch.

Siku nilipoletewa nyaraka hii nilinyanyua mikono juu kumshukuru Allah kwa kuthibitisha kile ambacho Mzee Rashad alinieleza.

Wakati huu Mzee Rashad alikuwa tayari keshafariki.

Huko tulikotoka miaka hiyo watu walikuwa wakihofu kueleza historia ya kweli ya TANU.

Hakika tumetoka mbali na leo ukweli umedhihiri:

Labda niulize shida yako kubwa Nini, au utume WA mwalimu😂
 
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s
"Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952":

"...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid Sykes has dispatched letters to all branches asking members for suggestions under the following heads for a memorandum to be prepared for the Royal Commission..."

...Abdul Wahid Kleist Sykes, Secretary of the African Association who, as reported in last month's summary (paragraph 20) was going on safari up country, visited Mwanza, where he met Paul Bomani, President of the Bukoba African Association, and accompanied him to Bukoba. Sykes then visited Kampala alone..."

Mwaka huu wa 1950 Abdul Sykes akiwa Secretary wa TAA na mjumbe wa TAA Political Subcommittee, Abdul alikuwa na umri wa miaka 26.

Kijana mdogo sana.
Jomo Kenyatta alikuwa na miaka 56.

Jomo Kenyatta kazaliwa mwaka wa 1894 sawasawa na umri wa Kleist Sykes baba yake Abdul ambae alikuwa kafariki mwaka wa 1949.

Utaweza vipi kuandika historia ya TANU na harakati za kudai uhuru wa Tanganyika ukaacha historia kama hii na wala usiwataje wahusika wa harakati hizi?

Kisha anatokea mtu anasema kuwa chama cha TAA kilikuwa chama cha starehe.

Ningeweza kueleza mengi katika uandishi wa historia ulifanywa na Chuo Cha CCM Kivukoni lakini tutosheke na haya.

Kila nipitapo mitaa ya Maktaba nakutana na kumbukumbu hizi.

Hizi ni taarifa kutoka Rhodes House Library, Oxford kutoka majalada ya kikachero ya Waingereza baada ya miaka 50 yanawekwa wazi kwa mtafiti yeyote kuyasoma na kufanya nakala akipenda.

Historia hii alinihadithia Mzee Ahmed Rashaad Ali tumekaa nyumbani kwake Ali Hassan Mwinyi Road tunazungumza.

Ahmed Rashaad Ali ni huyo kuliwa kwa Jomo Kenyatta.

Mzee Rashaad aliniomba nisimtaje jina katika kitabu cha rafiki yake Abdul Sykes nilichokuwa natafiti.

Wakati huo nilikuwa sijapata nyaraka hii ya Special Branch.

Siku nilipoletewa nyaraka hii nilinyanyua mikono juu kumshukuru Allah kwa kuthibitisha kile ambacho Mzee Rashad alinieleza.

Wakati huu Mzee Rashad alikuwa tayari keshafariki.

Huko tulikotoka miaka hiyo watu walikuwa wakihofu kueleza historia ya kweli ya TANU.

Hakika tumetoka mbali na leo ukweli umedhihiri:

Kioindi hicho Abdul Sykes alikuwa na elmu gani?
 
Katika viongozi waliokuwa na maono na walio litendea haki hili taifa ni JK.Nyerere.

Hata akiitwa mtakatifu haina ttzo,bila yeye tungekua tuna chinjana na kutengana kwa minajili ya dini,ukanda na kubila kama wewe mzee mudi unachotaka kulileta katika taifa hili.

, Toka lini mlevi akawa na kheri ?? Zanzibar mpaka leo tunateseka kwa uvamizi wake laanatullahi yule

Nyerere bia.jpg
 
Miaka zaidi ya 20 amakufa,na miaka zidi ya 30 tangu alipoacha na na uraidi,mbona huo utajiri siuoni,ach kulia lia pambana mtoto wa kiume utaolewa bure.

Mbona umechanganyikiwa unaandika vitu ambavyo huyo aliyeandika post hakuvitaja ??
 
Back
Top Bottom