Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Julius Nyerere Mtume wa Afrika 1950s - Julius Nyerere Mtakatifu Mwenye Kheri 2000s

Mtakatifu Nyerere ndiye binadamu wa kwanza duniani kuyaunganisha zaidi ya makabila 120 kuwa kitu kimoja.
Mtakatifu Nyerere kila alilolifanya hata kama lilikuwa kosa lilikuwa na nia njema kwa maslahi ya taifa la Tanzania.
Hakuna mbaguzi wa kidini atampenda mtakatifu Nyerere kwa sababu mtakatifu Nyerere angependa kuibadili hii nchi iwe ya dini yake kusingekuwa na wa kumzuia.
Mtakatifu Nyerere alikuwa mzalendo kwelikweli na aliipenda nchi hii upeo.
Mtakatifu Nyerere ndiye nembo ya uadilifu ya bara la Afrika,hakujilimbikizia mali wala kuuza raslimali za taifa letu.
Alichukia wezi,mafisadi, wadini na wajinga wore wenye nia ya kuligawa taifa.
Fikra na mawazo ya mtakatifu Nyerere ziendelee kudumu

Mtakatifu wako anakunywa gongo

Nyerere bia.jpg
 
Let say aliharibu hao wote waliokuja wamerekebisha wapi?

Huwezi ukapanda mchungwa ukala mananasi wala huwezi kupanda mnazi ukachuma mapapai.

Mti alioupanda Nyerere ni mchongoma utategemea uvune apples ??
 
Ndio, Huko Madrasa nimefundishwa kutokuwa muoga na fisi kama nyinyi mliuburuzwa kwenye umasikini wa kujitakia ulioletwa na huyo mshenzi,
Na pia kusoma elimu ya dunia ya kiwango cha juu ndani na nje ya nchi , na kukuzidi wewe na ukoo wenu wote, tunaweza kuweka ligi kuhusu hili hapa kama unajiweza ?
Ni kama Mzee Saidi tu alivyopeta kuizunguka dunia kwa usomi wake,
Msomi huwa hajisifii.Kujisifia ni kutaka kukimbia kivuli chako.Wewe na huyo unayejilinganisha naye kwa usomi ni watu dhalili sana.Mnaotafuta huruma kwa mlango wa din.Huo umuhimu na usomi mnaotaka kujipa huna mzee.
Weka Cv
 
Msomi huwa hajisifii.Kujisifia ni kutaka kukimbia kivuli chako.Wewe na huyo unayejilinganisha naye kwa usomi ni watu dhalili sana.Mnaotafuta huruma kwa mlango wa din.Huo umuhimu na usomi mnaotaka kujipa huna mzee.
Weka Cv
Bozo !
CV yangu sio ya ajira portal
Kama unataka ligi, tunaweza kuanza na fani yangu ni uhandisi na sayansi
Uko tayari ?
 
Mwalimu Julius Nyerere historia yake ni kubwa sana.

Walioandika maisha yake wameandika vitabu vitatu zaidi ya kurasa 1000.

Bahati mbaya sana kitabu hiki hakikuweka mengi ambayo yalihusu historia ya Mwalimu na Waislam wa Tanganyika.

Sijui kwa nini.

Kukosekana kwa hili kumeondoa utamu na ladha katika maisha na historia ya Baba wa Taifa kama alivyoishi na watu wa Dar-es-Salaam.

Historia ina kawaida ya kujirudia.

Wakati mwingine mapenzi ya watu kwa viongozi wao yanafika mbali sana.

Sikiliza kisa cha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958:


View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=cT3yTTxutMuBv5Gb

Baadhi ya mabaya au ubovu wa Mwl. Nyerere:-
1. Kuiga, Kuanzisha na kuendeleza Sera na Itikadi Mbaya kabisa ya Siasa za Ukomunisti/Ujamaa hapa Tanzania.

Huu ndio ulikuwa mwanzo wa Kujenga Msingi mbovu wa Taifa la hovyo kabisa lililopo hivi sasa.
Itikadi na Sera ya Ukomunisti/Ujamaa ikaja kushindwa vibaya Sana huku yeye mwenyewe akishuhudia kwa macho yake kushindwa kwa itikadi yake aliyoileta hapa Tanzania kutoka kwa marafiki zake wa China, Urusi na Cuba.

2. Kutengeneza Taifa la Watu waoga, Wanyonge, dhaifu wa fikra wasiojitambua na Wala wasioweza kuhoji. Taifa la watu 'misukule'.

3. Kutengeneza au kuunda nchi isiyokuwa na Mipango-miji, hususani kupitia kwenye Sera yake mbaya kabisa ya ujamaa/Ukomunisti. Sera au Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti ndio ilikuwa chanzo Cha Kuanzishwa kwa Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, the Worse Operation that completely destroyed the Country and Town Planning process within the Country.
Arusha Declaration and Operation Vijiji also led to the Death of Real Estate Industry and its development.

Kupitia Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti, Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, Watu wengi sana walinyang'anywa Ardhi zao pamoja na majumba yao waliyokuwa wakimiliki. Nyumba nyingi sana za Watu zilitaifishwa, Leo hii nyumba hizo zinamilikiwa na Shirika la Nyumba (NHC).

4. Kutuletea Katiba ya nchi ambayo ni mbaya kabisa, isiyofaa na ambayo imesababisha na inaendelea kusababisha madhara makubwa sana kwa Raia. Katiba mbaya ambayo imewatengeneza Watawala wa nchi hii kuwa 'Miungu Watu.'
 
Baadhi ya mabaya au ubovu wa Mwl. Nyerere:-
1. Kuiga, Kuanzisha na kuendeleza Sera na Itikadi Mbaya kabisa ya Siasa za Ukomunisti/Ujamaa hapa Tanzania.

Huu ndio ulikuwa mwanzo wa Kujenga Msingi mbovu wa Taifa la hovyo kabisa lililopo hivi sasa.
Itikadi na Sera ya Ukomunisti/Ujamaa ikaja kushindwa vibaya Sana huku yeye mwenyewe akishuhudia kwa macho yake kushindwa kwa itikadi yake aliyoileta hapa Tanzania kutoka kwa marafiki zake wa China, Urusi na Cuba.

2. Kutengeneza Taifa la Watu waoga, Wanyonge, dhaifu wa fikra wasiojitambua na Wala wasioweza kuhoji. Taifa la watu 'misukule'.

3. Kutengeneza au kuunda nchi isiyokuwa na Mipango-miji, hususani kupitia kwenye Sera yake mbaya kabisa ya ujamaa/Ukomunisti. Sera au Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti ndio ilikuwa chanzo Cha Kuanzishwa kwa Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, the Worse Operation that completely destroyed the Country and Town Planning process within the Country.
Arusha Declaration and Operation Vijiji also led to the Death of Real Estate Industry and its development.

Kupitia Itikadi hiyo ya Ujamaa/Ukomunisti, Azimio la Arusha na Operesheni Vijiji, Watu wengi sana walinyang'anywa Ardhi zao pamoja na majumba yao waliyokuwa wakimiliki. Nyumba nyingi sana za Watu zilitaifishwa, Leo hii nyumba hizo zinamilikiwa na Shirika la Nyumba (NHC).

4. Kutuletea Katiba ya nchi ambayo ni mbaya kabisa, isiyofaa na ambayo imesababisha na inaendelea kusababisha madhara makubwa sana kwa Raia. Katiba mbaya ambayo imewatengeneza Watawala wa nchi hii kuwa 'Miungu Watu.'
Ni uhuru wako wa kujieleza tu ambao umeutumia hapa. Ila kwa taarifa yako hizo hizo hoja zako ulizoziweka zina mazuri mengi sana kuliko mapungufu.
1. Vijiji vya ujamaa viliwaweka watu sehemu moja ili iwe rahisi kuwapa huduma za jamii kama shule, zahanati, maji na umeme

2. Taifa la watu waoga halikutengenezwa na Nyerere bali ndiyo asili ya Waranzania. Sasa hivi 70% ya raia wa Tanzania wamezaliwa baada ya 1985 wakati Mwinyi ni Rais. Je Nyerere anahusikaje kuwafanya watu wawe waoga?

3. Nyumba zilizotaifishwa kwa 90% zilikuwa za Watanzania wenye asili ya Asia ma zikaundiwa Shirika la umma la NHC kuzisimamia. NHC inatoa ajira, inalipa kodi za Serikali na watu wanaishi kwenye nyumba hizo na zingine zinajengwa. Tatizo liko wapi ndugu lankutaifisha nyumba? Kwani baba yako alikuwa na nyumba ikataifishwa? Iko wapi?

4. Katiba ni Katiba tu cha muhimu ni kuiheshimu. Unaweza kuwa na Katiba nzuri na usiiheshimu. Mbkna yeye Nyerere alitumia katiba hiyohiyo nanhakuingilia mihimili mingine!!


Mwishowe nakushauri acha kushinda vijiweni na kusikiliza hadithi za walioshindwa maisha. Nenda kachape kazi dogo upate hela.
 
Mwalimu Julius Nyerere historia yake ni kubwa sana.

Walioandika maisha yake wameandika vitabu vitatu zaidi ya kurasa 1000.

Bahati mbaya sana kitabu hiki hakikuweka mengi ambayo yalihusu historia ya Mwalimu na Waislam wa Tanganyika.

Sijui kwa nini.

Kukosekana kwa hili kumeondoa utamu na ladha katika maisha na historia ya Baba wa Taifa kama alivyoishi na watu wa Dar-es-Salaam.

Historia ina kawaida ya kujirudia.

Wakati mwingine mapenzi ya watu kwa viongozi wao yanafika mbali sana.

Sikiliza kisa cha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958:


View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=cT3yTTxutMuBv5Gb

Mzee Said
Naomba unielekeze hiki kitabu nakipata wapi
 
Mwalimu Julius Nyerere historia yake ni kubwa sana.

Walioandika maisha yake wameandika vitabu vitatu zaidi ya kurasa 1000.

Bahati mbaya sana kitabu hiki hakikuweka mengi ambayo yalihusu historia ya Mwalimu na Waislam wa Tanganyika.

Sijui kwa nini.

Kukosekana kwa hili kumeondoa utamu na ladha katika maisha na historia ya Baba wa Taifa kama alivyoishi na watu wa Dar-es-Salaam.

Historia ina kawaida ya kujirudia.

Wakati mwingine mapenzi ya watu kwa viongozi wao yanafika mbali sana.

Sikiliza kisa cha Sheikh Suleiman Takadir Mwenyekiti wa Baraza la Wazee wa TANU 1954 - 1958:


View: https://youtu.be/cDXRaONNaCY?si=cT3yTTxutMuBv5Gb

Leo asubuhi my sweet Faiza kamnanga Baba wa Taifa
 
Ashapuuzwa sasa hata aandike nini watu hawasomi
Babu...
Post hii imesomwa na watu 3K.
Na wewe ni mmojawapo.

Video zangu zinaangaliwa na watu kufikia 80K and counting.

Unasema napuuzwa ilhali JF nimechaguliwa Mwandishi Bora mara mbili mfululizo?

Nina tuzo tano jumla katika uandishi.

Unaweza kuthibitisha yote haya ukipenda.
 
Back
Top Bottom