Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Malcolm, juzi majuzi hapa ktk uzinduzi wa sera ya Chadema nilisikia kwa mbali Mbowe akimsema Nyerere na sera ya ujamaa nilikuwa kwa mbali na sijapata muda wa kuisiplkiliza yote ktk you tube. Hivi huyu m ribelari angeweza kuendesha nchi na kujenga alichojenga Nyerere kwa u reliberali au ni danganya toto?Achana na hiyoo sasa, kuna kitabu alikiandika kabla ya kufa unaambiwa lilikuwa ni bomu moja baya sana.
Yule Mmakonde aliagiza kipigwe moto chote na wala kisitoke nje. Tena kuna baadhi ya maneno yake aliyoyasema miaka ya 1990's nilyasoma kwa mtu niliogopa na kusema kama watanzania watayasikia haya kuhusu Serikali basi wataumia sana na mtu kama Raisi Mkapa hawawezi kumpenda kamwe.
Huyu hap jamaa nimempataHahahahaha, daaah!
Unaambiwa kipindi hiki Mzee Nyerere alikuwa na the highest desire for belligerency.
He often made bellicose statements hadi unaweza kubaki mdomo wazi tu na kusema huyu ndiyo Raisi ?
Sasa na ukichangia na ujana ndiyo kabisaa, Too much Testosterone Burning ndiyo kabisaa alikuwa mkaksi.
Tupe mfano mkuuHiki ni kweli kabisa na ndicho kinachotokea.
P.
Hicho kitabu hakikutoka wala kuwafikia raia.Naomba title mkuu kama hutojali hata PM
Watamkubalije wakati Mmakonde na baba yake Fatma wa TLS walienda kuitishia famili nzima ?Naomba title mkuu kama hutojali hata PM
da unaonekana unamwazo mazuri sana ila tu ndugu naweza kujua kama wewe ni mtanzania au mzungu? maaa mmm lugha ulizotumiaSasa na ukichangia na ujana ndiyo kabisaa, Too much Testosterone Burning ndiyo kabisaa alikuwa mkaksi.
Mkuu spare yourself some disappointment.Malcolm, juzi majuzi hapa ktk uzinduzi wa sera ya Chadema nilisikia kwa mbali Mbowe akimsema Nyerere na sera ya ujamaa nilikuwa kwa mbali na sijapata muda wa kuisiplkiliza yote ktk you tube. Hivi huyu m ribelari angeweza kuendesha nchi na kujenga alichojenga Nyerere kwa u reliberali au ni danganya toto?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106]Tunao wanasiasa leo hii, malaya malaya. Tunawajua. Wananunulika wanahama chama kwa pesa. Malaya malaya hawa.
Wapo, naweza kuwaweka hapa chini, wapumbavu hawa, wendawazimu. Malaya watupu hawa.
Tuperekee ujumbe nghwanone!!Hiki ni kweli kabisa na ndicho kinachotokea.
P.
Alishasema ccm itaanguka , huu unabii wake umeanza kutimia , sasa hivi tegemeo la ccm siyo wananchi tena , ni polisi .ukisikia manabii ndo huyu nyerere!hadi nimesisimka
Ukweli mchungu sana !!Kosa lake kubwa kabisa ni kutuachia katiba mbovu sana tena kwa maksudi kabisa!!
Kwa hilo ninauhakika anajilaumu sana huko aliko.
Ni kweli Mkuu? Maana angekichapisha nchi za nje tu. Najua Ben alikuja kuwa adui vibaya sana, ugomvi ukianzia na kubinafsisha na suala la ten percent ya kubinafsisha NBCAchana na hiyoo sasa, kuna kitabu alikiandika kabla ya kufa unaambiwa lilikuwa ni bomu moja baya sana.
Yule Mmakonde aliagiza kipigwe moto chote na wala kisitoke nje. Tena kuna baadhi ya maneno yake aliyoyasema miaka ya 1990's nilyasoma kwa mtu niliogopa na kusema kama watanzania watayasikia haya kuhusu Serikali basi wataumia sana na mtu kama Raisi Mkapa hawawezi kumpenda kamwe.
Si kweli, maana hawa hawakuhama kwa kupewa fedha. Labda kwa mbali Lowasa ambaye alihama kwa ajili ya uraisi, lakini Sumaye na Nyalandu ni kuwaonea. Ila ukweli ni kwamba CCM kuna malaya malaya wengi mno!Lowasa, Sumaye na Nyalandu ni miongoni mwa wanasiasa wa aina hii. Wamenunulika na chadema.
Tungesema mzee anataka kiki.
Hata wewe wamefika bei.Hiki ni kweli kabisa na ndicho kinachotokea.
P.
Ha ha ha, kila siku mnasema hivyo hivyo. Hakuna jipya.Si kweli, maana hawa hawakuhama kwa kupewa fedha....