Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary)

Julius Nyerere: Tunao wanasiasa wana tabia za kimalaya malaya, heshima yao inauzwa na ina bei (mercenary)

Huwa nafuatilia sana 'usia wa baba' hii hotuba TBC sijui kama waliwahi kuicheza.

Nilichogundua ni kuwa kwa sasa TBC wanacheza hotuba nyingi ambazo hatukuwahi kuzisikia, hapo nyuma walikuwa wanarudia rudia tu hotuba zake.
 
Achana na hiyoo sasa, kuna kitabu alikiandika kabla ya kufa unaambiwa lilikuwa ni bomu moja baya sana.
Yule Mmakonde aliagiza kipigwe moto chote na wala kisitoke nje. Tena kuna baadhi ya maneno yake aliyoyasema miaka ya 1990's nilyasoma kwa mtu niliogopa na kusema kama watanzania watayasikia haya kuhusu Serikali basi wataumia sana na mtu kama Raisi Mkapa hawawezi kumpenda kamwe.
Malcolm, juzi majuzi hapa ktk uzinduzi wa sera ya Chadema nilisikia kwa mbali Mbowe akimsema Nyerere na sera ya ujamaa nilikuwa kwa mbali na sijapata muda wa kuisiplkiliza yote ktk you tube. Hivi huyu m ribelari angeweza kuendesha nchi na kujenga alichojenga Nyerere kwa u reliberali au ni danganya toto?
 
Hahahahaha, daaah!
Unaambiwa kipindi hiki Mzee Nyerere alikuwa na the highest desire for belligerency.
He often made bellicose statements hadi unaweza kubaki mdomo wazi tu na kusema huyu ndiyo Raisi ?
Sasa na ukichangia na ujana ndiyo kabisaa, Too much Testosterone Burning ndiyo kabisaa alikuwa mkaksi.
Huyu hap jamaa nimempata
FB_IMG_15369214856460693.jpg
 
Sasa na ukichangia na ujana ndiyo kabisaa, Too much Testosterone Burning ndiyo kabisaa alikuwa mkaksi.
da unaonekana unamwazo mazuri sana ila tu ndugu naweza kujua kama wewe ni mtanzania au mzungu? maaa mmm lugha ulizotumia
 
Malcolm, juzi majuzi hapa ktk uzinduzi wa sera ya Chadema nilisikia kwa mbali Mbowe akimsema Nyerere na sera ya ujamaa nilikuwa kwa mbali na sijapata muda wa kuisiplkiliza yote ktk you tube. Hivi huyu m ribelari angeweza kuendesha nchi na kujenga alichojenga Nyerere kwa u reliberali au ni danganya toto?
Mkuu spare yourself some disappointment.
Usipende kuwaamini wala kuwategemea wanasiasa wa Tanzania.
Hasa hawa wa kizazi chetu, ndiyo kabisaaa usipoteze muda sanaaaa.
 
Tunao wanasiasa leo hii, malaya malaya. Tunawajua. Wananunulika wanahama chama kwa pesa. Malaya malaya hawa.

Wapo, naweza kuwaweka hapa chini, wapumbavu hawa, wendawazimu. Malaya watupu hawa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji106] [emoji106]
 
Achana na hiyoo sasa, kuna kitabu alikiandika kabla ya kufa unaambiwa lilikuwa ni bomu moja baya sana.
Yule Mmakonde aliagiza kipigwe moto chote na wala kisitoke nje. Tena kuna baadhi ya maneno yake aliyoyasema miaka ya 1990's nilyasoma kwa mtu niliogopa na kusema kama watanzania watayasikia haya kuhusu Serikali basi wataumia sana na mtu kama Raisi Mkapa hawawezi kumpenda kamwe.
Ni kweli Mkuu? Maana angekichapisha nchi za nje tu. Najua Ben alikuja kuwa adui vibaya sana, ugomvi ukianzia na kubinafsisha na suala la ten percent ya kubinafsisha NBC
 
Back
Top Bottom