Siyo kosa lake. Ni mabadiliko ya muda (time change and relevance of the constitution for the specific time). Hakuna nchi ambayo itamlaumu baba wa taifa kwa kuwaachia katiba mbovu. Katiba huwa inabadilishwa/ inatungwa mpya ama kuziba viraka. Katiba ya Tanzania ya 1977 haikutungwa iwe ya milele. Mwalimu asilaumiwe, aenziwe kwa kazi kubwa na ya mfano aliyofanya.Kosa lake kubwa kabisa ni kutuachia katiba mbovu sana tena kwa maksudi kabisa!!
Kwa hilo ninauhakika anajilaumu sana huko aliko.