Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Ujinga umepata nafasi kwasababu modern generation inapenda vitu rahisi haipendi kushirikisha ubongo.

Kitu kingine ni namna ambavyo sex imepewa mileage.

Kuna msemo unaitwa "Sex sells"

Hii inamaanisha audience inapenda kusikia, kuhisi, kuona na kuonja kila kitu kinachohusu sex.

Sex becomes bait for catching fans
 
Wasani wa sahv wao wanakuambia rushamikono juu
Say yeah yeahw3ka mkono juu
Upuz mtupu
Mara sjui honeyy honeyyy inama nkuweke kunywa bia sijui
[emoji1]

Ova
Kuna mwanangu anaitwa Nala aliwahi kuchana

Alisema

Kwanza huyu msanii amekuja amelewa, halafu hajasema samahani kwa kuchelewa.../

Show imeanza saa sita ye amefika saa nane, kila mtu amekunja ndita anatamani amtukane.../

Amemuambia Dj ashike si tupige kelele, wakati ye mwenyewe anapiga makelele.../

Makelele mchezaji au makelele chuo?, kama kawaida yenu show imejaa mizinguo.../

Amevua shati inaonekana ana usongo, hizi Gym za ukubwani zina waharibu ubongo.../

Tunataka show ye anaonesha mwili, na muda unazidi kwenda inakaribia alfajiri..../

Ni nyooshe mikono juu vipi wakinisachi simu, acha ujinga wako we msanii una wazimu.../

Tutakupiga wakubebe na machela, usilete utani hii show tumelipa hela.../
 
Nawaelewa wana jukwaa.

Sawa mnataka alipwe shilingi ngapi, maana wengine mmeanza zile afrikan kalakta zenu!.
Ishu sio alipwe shilingi ngapi, ishu ni kua ameikataa laki tano sababu kaona haina thamani kwake.... kama angeona inamtosha basi angeshiriki kiroho safi, shida imekuja chawa wa Mondi wanamind kwanini ameikataa wakati yeye ni wa zamani, wanaona kama Mondi amemsaidia ila jamaa hasaidiki wakati Kiroboto anajijua amesimama wapi.
 
Nadhani Kuna wasanii wawili tu naweza kusema walipitia mkono wa chuma wa clouds na bado wakatoboa 1. Jay Dee 2. Sugu. Ni hawa tu wawili japo kwa sasa wakati umeshawatupa mkono ila Diamond hapana mitandao ya kijamii imemsaidia.
True mkuu, inabidi umuangalie mtu kama Jide alivyopambana bila mitandao ndio utajua ugumu wa kuzishinda media tena kama zote zikiungana
 
Wakati Diamond anagombana na clouds sidhani kama alikuwa kafikia mafanikio aliyokuwa nayo lady jay dee..

Hivi hao waliopita mnadhani hawakuwa na fanbase, okey utasema Diamond alikuwa top artist, vipi kuhusu mb dog aliyekuwa anasimamisha kijiji East Africa yote bila skendo wala mitandao ???...

Mtu anaesema mitandao haisaidii angeanza kuangalia kwa nini Diamond kahakikisha familia yake ina online brand kubwa na pia watu kama juma lokole kwa nini kawaweka karibu. Leo hii Diamond anatoa wimbo, kesho watu wakubwa wamepost, bodaboda zote zinapita na hizo nyimbo etc

Mkuu Ogopa taasisi kama clouds ilivyokuwa inacontrol music supply, sidhani kama Diamond ni exptional talent kuzidi wote walioangushwa Ila muda ulimshika mkono na pia akawa agressive kibiashara. Ndo maana kabaki hapo
 
Legend kama yeye anapewaje laki tano, kweli dharau aisee.
Kimuziki, Juma nature ana thamani zaidi ya laki tano ila kibiashara ya muziki sioni akizidi laki tano.

Ni vyema tukatofautisha, kati ya Nature na hadhi ya yake ya ukongwe na uwezo wake wa kale dhidi ya hitaji la biashara ya muziki wa Sasa.
 
Point zako zote zipo valid Ila kama wanaona kibiashara haipo vizuri walimfuata wa nini ??.....
 
Hiyo bongo fleva honour yenyewe inadhaminiwa na Wasafi
 
Kama ameikataa kulikuwa na umuhimu gani wakapiga kelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…