Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Umejua kunichekesha usiku huu, na kweli hebu niachane na huu uzi, kubishana na vitoto ni aibu [emoji119][emoji3]Yaani jf siku hizi hovyo kabisa Unaweza ukaumiza kichwa kumbe unabishana na kitoto cha 2006 kinamtetea rolemodel wake chinomanawan [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Ni kijiji kilichojaa Ist nyingiNi Jiji
Eti nani Chino Kid? hahaha madogo hawaYaani jf siku hizi hovyo kabisa Unaweza ukaumiza kichwa kumbe unabishana na kitoto cha 2006 kinamtetea rolemodel wake chinomanawan 😅😅😅😅
Show yake ya Heshima kwa Legends wa Bongo Fleva inayosimamiwa na Sugu alijaza fresh tu na maokoto ni 20,000/- kwa kichwa sasa unampaje 500,000/- yeye akiingia chaka moja huko bush anaibuka na maokoto kuzidi hio 500,000/- tena kwa zile zile album zake, ikipigwa 'Mtoto Idd' watu wote wanasimama 😆Kiingilio kikiwa buku siwezi kwenda kweli sababu najua itajua ni local show, ila akiweka kuanzia elfu 50 naenda tena na familia yangu,
Angekua hana jipya Wasafi wasingemualika.
Hata kama dharau imezidi Sasa kaaahLegend kama yeye anapewaje laki tano, kweli dharau aisee.
Wakati Wasafi ni Clouds Ndogo, haujui?So nikajua Wasafi imekuja kutatua kero za Unyonyaji wa Clouds.
Siyo kweli,Hata ukiita wasanii bora ishirini hapa nchini yeye hatakuwepo.alishaapitwa na wakati,Kwa majukwaani bado sir nature anauwezo wa hali ya juu mno ambao haujafikiwa na msanii yoyote yule
Ila Chinowamanyani ndio msanii wenu Bora au sio?Siyo kweli,Hata ukiita wasanii bora ishirini hapa nchini yeye hatakuwepo.alishaapitwa na wakati,
Wasafi wamemvalue kwa hicho kiasi kulingana na soko na yeye Ndio ana choice na yeye ameona sio kiasi kizuri sijaona shida ni nini?Wakati Wasafi ni Clouds Ndogo, haujui?
Umesema ukweli dada,laki Tano Ndo alikua analipwa miaka ya elf 2 Leo Tena wampe laki TanoWashamba wengi humu hawamjui Nature, wala sio utoto ni vile kipindi hicho wao walikua sigimbi wanalima magimbi,
Vyuo ndio vimewaleta wengi jijini, basi wanajikuuuuta na wao wamo, ndio utaona michango mingi ya walugaluga wanaona kiroboto anastahili hiyo laki 5.
Shida yeye ni legend na ana wapenzi wengi wa nyimbo zake kwa hio ni kivutio cha show mwingine anaenda kwenye show kumuona Nature tu akiperfom alafu basi akishuka na yeye anaondoka au hujui?Wasafi wamemvalue kwa hicho kiasi kulingana na soko na yeye Ndio ana choice na yeye ameona sio kiasi kizuri sijaona shida ni nini?
Hawamjui nature hawa Leo hii kwenye show nature anafunika balaa ...ana balaa kirobotoKwenye trend ndio wapi?
Unaelewa hata vibe la show?
Nature anaweza asiwe kwenye top ten zenu za kwenye maredio ila hao wote walioshika namba za juu wasiweze kumfikia kwenye show tena kwa ngoma zile zile za miaka ya nyuma.
PoleHuenda akastahili zaidi ya hiyo, ila wasafi nao ni wafanyabiashara, hivi kweli watoe mamilioni kwa juma nature? Mtu wimbo wake wa mwisho hata hatujui ulitoka lini, kwanza kibiashara kabisa asingefikiriwa kabisa
FactNa huyo ni kwasababu tu ya aibu ndio wameamua kumtunuku tano.
Wale kina boshoo wanaosaka kujulikana sidhani kama hata laki wanapewa.
Wengine wakilipwa msosi tu na kupandishwa kwenye flight basi hiyo inatosha.
Kwasababu malengo ya wasanii wengi chipukizi ni kuanza kutengeneza fanbase. Sasa wanaona kupitia hii festival na ukubwa wa Diamondi basi anaweza kupata fans wengi wakumsapoti.
Ni ngumu sana kuwaona wakina P Mawenge, Nikki Mbishi kwenye hii festival kwasababu wako smart sana kwenye ishu ya malipo.
Hawawezi kuacha familia zao nyumbani wao wakaruke ruke mikoani halafu warudi home bila hela au kufanya show kwa dau la kitonga.
Nime edit Tajiri 🙌🙌Maradhi🥶🥶
Wenye jipya ndio wamekubali malipo ya kausha damu ambayo Nature kayaona hayana maslahi kwake.Cha ajabu ww hata Nature akitangaza kiingilio buku hutothubutu kuudhuria hiyo show, nature alikuwa zamani sasa hivi Hana jipya kwanza hao wasanii wenyewe unafikir kipi Cha ajabu ambacho Huwa wanafanya stejini zaidi ya kugandamizia kwenye playback na Kila muda kuwaambia mashabiki mikono juu!! Sema yeiaaaa, sema yoyoyo.