Juma Nature akataa kushiriki Wasafi Festival kisa malipo kidogo ya laki tano

Kiingilio kikiwa buku siwezi kwenda kweli sababu najua itajua ni local show, ila akiweka kuanzia elfu 50 naenda tena na familia yangu,

Angekua hana jipya Wasafi wasingemualika.
Show yake ya Heshima kwa Legends wa Bongo Fleva inayosimamiwa na Sugu alijaza fresh tu na maokoto ni 20,000/- kwa kichwa sasa unampaje 500,000/- yeye akiingia chaka moja huko bush anaibuka na maokoto kuzidi hio 500,000/- tena kwa zile zile album zake, ikipigwa 'Mtoto Idd' watu wote wanasimama 😆
 
Umesema ukweli dada,laki Tano Ndo alikua analipwa miaka ya elf 2 Leo Tena wampe laki Tano

Hawamjui nature Hawa wanaropokwa tu
 
Wasafi wamemvalue kwa hicho kiasi kulingana na soko na yeye Ndio ana choice na yeye ameona sio kiasi kizuri sijaona shida ni nini?
Shida yeye ni legend na ana wapenzi wengi wa nyimbo zake kwa hio ni kivutio cha show mwingine anaenda kwenye show kumuona Nature tu akiperfom alafu basi akishuka na yeye anaondoka au hujui?
 
Fact
 
Wenye jipya ndio wamekubali malipo ya kausha damu ambayo Nature kayaona hayana maslahi kwake.

Wakina Bilnas ambao wewe unaweza kuwaona wapo kwenye peak ndio wamekubali malipo hayo.

Unaweza ukawa una nyimbo zilizo trend lakini zisikusaidie kuamsha kwenye show.

Mfano mzuri tu Wakazi sio msanii ambaye nyimbo zake zinaingia kwenye trend lakini kwenye show ya live band sijamuona msanii wa Hip Hop Afrika mashariki wakumfikia.

Kuburudisha kwenye show hakutegmeani na jinsi nyimbo zako zipo kwenye currently peak.

Nimeweka mfano wa Best Nasso aliyefanya show kwenye jukwaa na wasanii wengi ambao wapo kwenye mainstream.

Lakini ilipofika muda wake wakupanda stejini aliwafunika wote tena kwa ngoma zile zile za zamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…