Juma Nature: Nina miaka 37 sijafika hata 40

Nature awezi kuwa wa 80 nature ni wa 70s niko tayari kugharamia vipimo vya umri na mifupa kama yuko tayari
 
Hata mimi nature kaanza kuimba namsikia niko primary zaidi ya miaka 18 ago.
Naye kawa kama maslay na wachezaji wa mpira.
Inawezekana kipindi icho alikuwa na miaka 19 so ukijumlisha na hyo 18 inakuja 37
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
 
niishie tu kusema pombe ngumu Sigara, Bangi na maisha Bwete vinazeesha!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…