Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?[emoji2][emoji2]Mkongwe wa muziki wa bongofleva, Juma Kassim Kiroboto maarufu kama Juma Nature anasema watu waache kumzushia kama amezeeka wakati ndio kwanza ana miaka 37 hajafika hata miaka 40. Yeye bado kijana mdogo wasimuite mzee.
My take:
Nature ameingia kwenye mkumbo wa dada yetu Wema Sepetu, ambae hajawahi kuvuka miaka 28 tangu mimi nikiwa mdogo. Kwanini mastaa wanapenda kurudisha miaka nyuma?
Aisee!!Nature awezi kuwa wa 80 nature ni wa 70s niko tayari kugharamia vipimo vya umri na mifupa kama yuko tayari
Namuelewa nature, mwenyewe hapa nshafikia hiyo steji ya kukataa umri wangu
😂😂😂😂😂Ni alama za utupishe na mtu unajiona badobado umo😂😂😂😂😂kumbe sura haifichi ila nafsi haitaki yaaani tafran.Hivi ukubwa unauma au unawasha? Mbona watu hawautakii.......[emoji119]
Loooh kumbe ukizeeka yanabadilika yanakuwa meupe?[emoji23]Mm ni mtanzania pekee ambaye sifichi umri wangu mara zote nawaambia vijana kuwa nimestaafu utumishi lakini bado niko fiti sana kuanzia kichwani hadi kunyandua.
Huyo Kiroboto analeta fix za kindezi ni around 50 kinachombeba ni mwili mdogo wa kukomaa lakini naamini hakosi mavyuzii meupe kama niliyo nayo mm mstaafu.
Mvi kijana wangu..Loooh kumbe ukizeeka yanabadilika yanakuwa meupe?[emoji23]
Nimegundua Wema na Necha ni nduguWema Sepetu hayupo chini ya 35
Kivipi toka 2006 hadi 2023 ni miaka 17.
Tuchukulie alikuwa miss akiwa na miaka 18.
17+18=35
Kwa hiyo, Wema ana 35
AiseeMvi kijana wangu..
Kua uyaone.
Nkiwa form five jumanature na kundi lake walipita shuleni kweli na tukawapa ugali wetu wakala tena kwa upendo!
Na kipindi hicho jumanature alikuwa mkubwa katuzidi form five yote tena zaidi ya miaka 12 ukimuangalia tuu…
Sasa leo hii ninaposikia jumanature ana miaka 37 kweli ni habari ya mshituko kwangu pengine wazazi wangu walinidanganya kuhusu umri wangu
🤣🤣Bila shaka atakuwa amemaanisha miaka 47, badala ya 37!
AiseeNature na kina Prof Jay ni age mate.
🤣Mimi nina 33 mwaka huu ila nimeamua kupunguza 10 yrs, mwezi wa 10 ntafikisha miaka 23.
Hahaha............mbona wengine tumezeeka na tumekiri wazi🤪Jf members hawazeekagi
Ova