Juma Njemba: Sangoma aliyeishi maisha ya peponi akiwa duniani

Tililika mkuu
 
Njembaa!hakuwa wa spotispoti ubaya tu ni vitu ambavyo hatuwezi kuleta ushahid wakushikika au wakuonekana ila mh!Hv ujiji yote ile hyo elim inayotetewa alikuwa nayo peke yake?aliipata wap?kwa nn aliogopwa?something was not right 100%
 
MMH
UNAJARIBU KUFICHA UKWELI LAKINI BABA YAKO NJEMBA ALIKUWA MCHAWI MGANGA NA ALIUA WATU. AWE AMEUA KWA MATAKWA YA MTEJA AU KAMA SEHEMU YA MATIBABU LAKINI NI MUUAJI TU.
HAKUNA MGANGA WA JADI ASIYEKUWA MCHAWI, UNAFUNZWA UCHAWI ALAFU NDO UGANGA.
LAKINI KUKUBALI KWAMBA U MCHAWI HUWEZI MAANA NI AIBU
 
hata sheikh Yahya alifyekwa baada ya wakristo kumlilia MUNGU, Lakini haya ni mambo ya rohoni
 
mimi niluwahi kwenda kwa huyo mzee lakini niliogopa kumalizia zindiko la milango saba ya ziwa tanganyika, nikaondoka kwa kutoroka tukiwa mlango wa tatu , nadhani umenikumbusha mbali mno wala hujakosea kitu.
Waweza toa angalau mwanga kidogo namna yalivyofanyika hayo mazindiko hadi milango mitatu ikafikiwa??
 

Mkuu samahani.
Tukio hilo limetokea mkoani kigoma peke ake??

Kuna masimulizi mengine yanaonyesha tukio kama hilo lilitokea kati ya RPC wa Mbeya na Wazee wa Mbeya
 
Ila ukisema ufatilie majina ya hao watu wa Kigoma Mjini utakuja kugundua wengi ni Wacongomani kiasili mfano Lwamba, Yemba, Anzuruni, Nondo, Kabwe hayo ni majina ya Kikongomani typical tena ndugu zao wengi wapo Nyarugusu Refugee Camp,na wengine walikuwepo Lugufu Refugee Camp..
 
Hivi bado kuna magwiji kama zamani zama hizi kufikia nguvu za bibi fisi wa Igogo bugando Mwanza,au Juma njemba.
 
Huenda ukafuatwa utaje hiyo top 20 rank.
Jiandae mkuu
 

Swali la 1. Hata mie nasubiri majib yake baba faiza.

2. Hili swala lingemalizika kama wale wanaomjua wangeleta pia list ya majina ya wake zake pamoja na watoto.
Likud kasema idadi ya wake walikuwa 200 lakini sijaona sehemu angalau ametaja wake zake 10 tuu kwa majina yao (nilitegemea ningeona listi sababu hili swala alilifanyia utafiti zaidi)

3. Watu wanaomjua humu na wanaosema wameenda kwenye kilinge chake kusaka tiba pia wameshindwa kusema mazingira ya kilinge kama alivyohitaji baba faiza(AbuFizzer)

4. Nafikiri Likud akimalizia sehemu iliyobaki tutapata mwanga
 
Fanya dokezo la kuibiwa mwenge wa uhuru kiongozi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…