Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
SubhanAllah!πHuyu hata nukta anaweza kutoa ili wanawe wapate mlo. Bure kabisa hii kenge maji
Sidhanii hivyo."Hawa" wa sasa ni wapya.Wana upendo wa kweli. ππKwa hiyo ina maana hata huyu wa sasa, wanampa Εifa ambazo sio za ukweli, ili watoto wao waende shule.
Jamaa angetoa kWa roho safΔ± kabisaβ¦Nkamia ni dhaifu anajulikana hivyo angeambiwa atoe ile hela ya zamani ya mjerumani yenye tundu ili watoto wende shule asingekataa tuwakatae watu wa hivyo kwenye uongozi jamaa dhaifu sana!
Anavyozeeka ndivyo anavyojionesha ni bangi kiasi gani alikuwa anavuta.Jamaa angetoa kWa roho safΔ± kabisaβ¦
Ingekuwa wewe kwenye nafasi yake ungefanyaje?Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema π
Hauwezi kujuaβ¦ hata wa Magufuli walikuwa wapya, na tulijua wa naongea kWa Upendo - sasa hayupo, na wao hawako kwenye system, sasa wanaongea ukweli wao. Hivyo kWa huyu wa sasa, Tutajua ukweli akishatoka madarakani.Sidhanii hivyo."Hawa" wa sasa ni wapya.Wana upendo wa kweli. ππ
Wewe ulidhani wanamaanisha πΌKwa hiyo ina maana hata huyu wa sasa, wanampa Εifa ambazo sio za ukweli, ili watoto wao waende shule.
ππππSamia pia aangalie Hili,Wana CCm wengine sio wakweli aliwemo Lucas Mwashambwa
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema π
Hawa hawa ndio wanaomuharibia serikali yake.Ni Kweli Rais Samia awaangalie kwa jicho la 3 wale praise team na Chawa
Yuko TBC πΌCCM Ina Uchafu Sana
Nkamia Yupo Chemba Huko Anakunywa Pombe Ya Asali Na Choya
Mnajitahidi sana kumchafua marehemu lakini mnashidwa.Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema π