Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ingekuwa wewe kwenye nafasi yake ungefanyaje?
 

Watu dizaini ya kina Mkamia wamejaa katika serikali ya chama Dola kongwe kwa jina chama cha CCM na wasifiaji bungeni.

Hawajawahi kukosoa wao ni kusifia, kuimba na kusujudu mkubwa wao hata akikosea kuuza nchi au kusita kufanya marekebisho ya katiba.


Kwao uzalendo wanatafsiri ni kumpamba mkubwa wakati uzalendo uhalisi ni kwa nchi na ndiyo maana kiongozi akibadilika nao hubadilisha upepo.

Wangekuwa wazalendo kwa nchi basi kubadili misimamo ingekuwa endelevu, gonjwa hili limewakumba hadi wasomi maprofesa wanasiasa na hata wasomi wa ngazi ya kati waliopo ndani ya bunge na serikali awamu ya 5 na sasa awamu ya 6.
 
Mnajitahidi sana kumchafua marehemu lakini mnashidwa.
Poleni sana
Ni Tanzania pekee yenye watu wanaopigana na maiti (marehemu)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…