ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
๐๐๐๐จKuna kauli unaongea ukidhani kuna jambo la maana unatengeneza,kumbe unaonekana umejaza mavi kichwani.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐๐จKuna kauli unaongea ukidhani kuna jambo la maana unatengeneza,kumbe unaonekana umejaza mavi kichwani.
Ndugu yangu ni kweli kabisa zaidi ya 80% ya wana ccm wako hivyo mifano ni mingi Sana ya wasomi wanaojifyatua akili akishapata cheo na kubaki mtupu. Prf Kabadi, PhD kituko, akina Mwakiyemba na wengine wengi. Ila akishaondolewa anarudisha akili yakena tukisema wafuasi wa CCM ni nyumbu na wako extremely selfish huwa mnakataa, sasa huyu yuko tayari wengine waumizwe as far as watoto wake watakwenda shule. "Pumbufu" kabisa
Swali langu kwako ni hili;Huyu Juma ni alhaj ujue
Sasa Mwislamu gani muoga hivi?!! ๐
Kwa kauli hii maana yake tumbo kwanza Taifa baadae, huyu ni mtu hatari sana kwa maslahi ya Taifa, Mangungo wa msowero unaweza kumsamehe kwa kutojua alichokuwa anasaini, lakini mtu kama Nkamia hafai kwa kuwa kwenye kila kitu ataamua kwa kuangalia tumbo lake.Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema ๐
Kuliko nyie Nusu Degree ๐๐Na akisifiwa alikuwa anahemka na kujaa upepo ๐๐๐๐
Kana kwamba haitoshi yule Jamaa alikuwa anaamini yeye ndio ana akili kuliko wote kumbe wajanja wanacheza na saikolojia yake ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Kauli si ya kipambavu kama alivyo mpumbavu LemaHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema ๐
Uliwahi ona Samia anajaa gesi kama yule Jamaa yenu ropo ropo? ๐คฃ๐คฃKuliko nyie Nusu Degree ๐๐
Kwani sasa ana nafasi gani?Swali langu kwako ni hili;
Jiweke kwenye nafasi ya Nkamia, ungekubali kupigwa chini uukose mshara na mapesa ya nafasi uliyokuwa nayo?
Tuacheni unafiki.
Watoto wenyewe mwisho wa siku wanaishia kua Mashoga au Mateja,laana ni laana tu hata kama una vaa suti!!Kwa hiyo ina maana hata huyu wa sasa, wanampa ลifa ambazo sio za ukweli, ili watoto wao waende shule.
๐Kwani sasa ana nafasi gani?
Wanawe hawaendi Shule?
Juma ni mswahili sana Hata pale Simba alikuwaga anamsifia sana Azim
Jamaa ana Ukike mwingi ๐ผ
Yeye Nkamia angefanyaje kwenye mazingira yale? Au kosa lake ni kuwa muwazi?Kuna kauli unaongea ukidhani kuna jambo la maana unatengeneza,kumbe unaonekana umejaza mavi kichwani.
Ngoja Mtikila amalize phase 1Uliwahi ona Samia anajaa gesi kama yule Jamaa yenu ropo ropo? ๐คฃ๐คฃ
Anafanya Nini? TBC DodomaYuko TBC ๐ผ
Ndio mwajiri wakeAnafanya Nini? TBC Dodoma