ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Ndio ni Bora na kafanya makubwa kushinda watangulizi.Kwani unabisha?Kama wewe unavyofanya kwa Samia, et Samia ndio Rais bora na kafanya makubwa kuliko watangulizi wake.😂😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio ni Bora na kafanya makubwa kushinda watangulizi.Kwani unabisha?Kama wewe unavyofanya kwa Samia, et Samia ndio Rais bora na kafanya makubwa kuliko watangulizi wake.😂😂😂
Mbona wapo walioshikilia misimamo yao na hadi wakapoteza kazi/vyeo vyao.Swali langu kwako ni hili;
Jiweke kwenye nafasi ya Nkamia, ungekubali kupigwa chini uukose mshara na mapesa ya nafasi uliyokuwa nayo?
Tuacheni unafiki.
Wala sina hata muda wa kumshindanisha Samia na marais waliyomtangulia ni kupoteza muda tu, muda wake utaisha nae tupo hapa.Ndio ni Bora na kafanya makubwa kushinda watangulizi.Kwani unabisha?
Mbona?????!Mbona wapo walioshikilia misimamo yao na hadi wakapoteza kazi/vyeo vyao.
huyo ni mbunge wa wapi kwani?Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema 😃
Nchi ya hovyo sana hii mkuuHata sasa hivi kuna kenge nyingine ziko busy kusifia upumbavu ili zipendwe na Samia. tuna nchi iliyojaa wapumbavu sijapata kuona
Wafuasi wa ccm ni chawa, nyumbu ni wafuasi wa chadema bwashee.na tukisema wafuasi wa CCM ni nyumbu na wako extremely selfish huwa mnakataa, sasa huyu yuko tayari wengine waumizwe as far as watoto wake watakwenda shule. "Pumbufu" kabisa
Kawaida ya wanaccm hawana uelekeo maalum.Kuna kauli unaongea ukidhani kuna jambo la maana unatengeneza,kumbe unaonekana umejaza mavi kichwani.
AH WAPI! Lucas na wengine ni wachumia tumbo.Akija Rais mwingine mama atakuwa hana thamani tena.Sidhanii hivyo."Hawa" wa sasa ni wapya.Wana upendo wa kweli. 😂😂
Nikishajizungumzia mimi halafu ndio nini? Hata mimi nikisema kwamba ningefanya kama alivyofanya bado hiyo haina maana kuwa hakuna njia nyengine na ndio maana nikasema wapo watu ambao wao katika mazingira kama hayo hawakujali matumbo yao na vyeo vyao wakashikilia misimamo yao.Mbona?????!
Jizungumzie wewe. Ungekuwa wewe ungefanyaje? Simple
Alijichafua mwenyewe na wapambe wake.Mnajitahidi sana kumchafua marehemu lakini mnashidwa.
Poleni sana
Ni Tanzania pekee yenye watu wanaopigana na maiti (marehemu)
Lucas Mwashambwa aka ephen_Hata sasa hivi kuna kenge nyingine ziko busy kusifia upumbavu ili zipendwe na Samia. tuna nchi iliyojaa wapumbavu sijapata kuona
Kama unataka mapambano basi pambana na mimi lakini niachie ephen bila kumgusa.
Sasa kinachokufanya ushangae hapo ni nini? 😡😡😡Ohoooo
Hahaha mmeoana nyie mashoga kumbeKama unataka mapambano basi pambana na mimi lakini niachie ephen bila kumgusa.
Unadhani mama Hawajui? Mama ni mjanja na hakuna mwanasiasa mwenye akili kama mama kutokea Tanzania. Anawajuwa wote kuwaacha tu wajifurahisheNi Kweli Rais Samia awaangalie kwa jicho la 3 wale praise team na Chawa
Mambo makubwa ya kudhulumu haki za watu kuishi!?Tell him to stay away from Magufuli legacy. Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo yanaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 300 mingine ijayo.
ephen ndio mboni yangu na ndio chemchemi ya furaha ya moyo wangu.Hahaha mmeoana nyie mashoga kumbe