Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Tundu lissu amepigwa risasi na chadema wenzie issue ya uenyekiti,alphonso mawazo waulize watu wake wa karibu hakua na matatizo ben saanane Mbowe anajua zaidi jamaa yuko wapi anzory kwani alikua ni mwanachama wa chadema?waajiri wake wanayo majibu!
sweeping satatements . only a stupid person can say
 
Kwa nini mlishindwa kuwafunga kama walimpiga Tundu Lisu risasi,hiyo inaonyesha udhaifu wenu kiuongozi na kisiasa kwa sababu mlikuwa mnapambana na kesi za uchochezi tu lakini uharifu mwingine hamkuwa na haja nao.
Yanayoendelea ndani ya chadema ukihadithiwa wala usingeandika haya!
 
Angekaa kimya angepungukiwa na Nini?
Hapana mkuu alikuwa anafafanua jinsi wateuliwa wengi wa ccm walivyo.Kipindi rais fulani akiwa madarakani ni mapambio na misifa kibao akishatoka tena wanabadilika na kuunga yule aliyepo madarakani na kumponda vilivyo yule waliyekuwa wanamsifia.
 
Mmechelewa tu kung'amua, ila WanaCCM wengi ndio wapo hivyo,..kwa mfano kwa sasa, wote wanajua Muungano wetu unashida+ hitaji la Katiba Mpya ila wapo kimyaaa.., wamemuachia Mzee Warioba tu pekee yake
 
Yanayoendelea ndani ya chadema ukihadithiwa wala usingeandika haya!
Mimi sifanyiii kazi HEARSAY RUMORS mimi ninachofanyia kazi ni current issues na visible issues.Kwa muktadha huo yanayoendelea ndani ya CHADEMA sina taarifa nayo zaidi ya uzushi kutoka upande wa pili.
 
Mambo makubwa ya kudhulumu haki za watu kuishi!?
Siasa hizi kijana.. Hata kwa Lowasa tuliaminishwa yasiokuwa ya kweli.

Japo sijui umri wako, lkn inajulikana wazi kuwa ni mtoto wa miaka 14 pekee, tena yule asiefahamu propaganda uchwara za nchi hii ndo anaweza kukubaliana na hiki ulichokiandika.
 
Siasa hizi kijana.. Hata kwa Lowasa tuliaminishwa yasiokuwa ya kweli.

Japo sijui umri wako, lkn inajulikana wazi kuwa ni mtoto wa miaka 14 pekee, tena yule asiefahamu propaganda uchwara za nchi hii ndo anaweza kukubaliana na hiki ulichokiandika.
Vibaraka wa Magufuri mpo tayari kuvuja damu ila ukweli wa maovu ya Magufuri hamtaki.
 
Ni kweli jiwe kafanya makubwa yakutisha sana. Ameua, ameteka, amefilisi na alipga watu risasi. In short mjinga huyu alilinajisi taifa.

Asante sana Nkamia kwa kusema ukweli.
Upuuzi mtupu.
 
Vibaraka wa Magufuri mpo tayari kuvuja damu ila ukweli wa maovu ya Magufuri hamtaki.
Mkuu soma comment yangu namba #152. Utanielewa.

Sintapinga mabaya yake kama kutakuwa na facts za kueleweka. Hii ya kukubali kumshutumu mtu bila kuwa na uhakika wa 100 kwa 100 juu ya kile anachoshutumiwa mtu, ndo kilipelekea Lowasa adhalilishwe, atukanwe, achekwe, aonekane fisadi papa na mtu asiefaa katika jamii kwa muda wa miaka takribani 7.

Toka 2008 hadi 2015 alipopewa tiketi ya kugombea uraisi na wale wale waliomdhalilisha, ndo tulipokuja kugundua au kuambiwa kuwa jamaa (Lowasa) hakuwa fisadi kama walivyokuwa wanasema.

So i learnt from there. Siwezi kukubali kila ninachosikia unless mtu anipe prove ya kueleweka katika akili yangu.
 
Mkuu soma comment yangu namba #152. Utanielewa.

Sintapinga mabaya yake kama kutakuwa na facts za kueleweka. Hii ya kukubali kumshutumu mtu bila kuwa na uhakika wa 100 kwa 100 juu ya kile anachoshutumiwa mtu, ndo kilipelekea Lowasa adhalilishwe, atukanwe, achekwe, aonekane fisadi papa na mtu asiefaa katika jamii kwa muda wa miaka takribani 7.

Toka 2008 hadi 2015 alipopewa tiketi ya kugombea uraisi na wale wale waliomdhalilisha, ndo tulipokuja kugundua au kuambiwa kuwa jamaa (Lowasa) hakuwa fisadi kama walivyokuwa wanasema.

So i learnt from there. Siwezi kukubali kila ninachosikia unless mtu anipe prove ya kueleweka katika akili yangu.
Sawa.Umeeleweka mkuu.
 
Back
Top Bottom