Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
Kauli ya kuudhi sana.
Lakini naona umeamua kumtumia huyo.
Kuna kauli ngapi za watu kama hao hao ndani ya CCM hadi hii leo?
Akina Kitila Mkumbo; Kafulila; Kinana; Kalamaganda na wengine wengi sana ambao nyimbo yao mashuhuri wakati huu ni "Nani kama Mama."
 
Na huo ndio uhalisia wa viongozi wa wakati ule. Jamaa alikuwa anapewa sifa ambazo hana ili tu maisha yasonge. Tulilisema sana humu ila kwa vile propaganda ilikuwa ishaenea sana miongoni mwa wapumbavu wengi ikawa ni ngumu sana kukuelewa. Wanaanza kutoka kuusema ukweli sasa. Glory to God, na bado
 
Na huo ndio uhalisia wa viongozi wa wakati ule. Jamaa alikuwa anapewa sifa ambazo hana ili tu maisha yasonge. Tulilisema sana humu ila kwa vile propaganda ilikuwa ishaenea sana miongoni mwa wapumbavu wengi ikawa ni ngumu sana kukuelewa. Wanaanza kutoka kuusema ukweli sasa. Glory to God, na bado

Ndege, bwawa, SGR ni propaganda? Wewe huzioni?

Hivi shule mlienda kusomea ujinga?
 
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
Nkamia bado ana watoto wanaosoma?

Huyu jamaa nimemsiliza nikiwa Mdogo RTD
 
Tell him to stay away from Magufuli legacy. Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo yanaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 300 mingine ijayo.
Makubwa gani? Kwani kuna Rais aliyemtangulia hajawahi kufanya kuliko yeye? Mseme hapa nikuwekee mambo yake
 
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
Nkamia ameusema ukweli ule uliosemwa na wapinzani miaka 6 iliyopita
 
Mkuu hata kama angekuwa wewe usingekubali kitumbua chako kitiwe mchanga! Katika awamu ile kila mtu alilazimika kusifu na kuabudu!
 
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
Watu wanafiki na waoga kama Juma Nkamia wangetangulia kuzaliwa Tanganyika, Uhuru tungeusikia kwa majirani.
 
Tell him to stay away from Magufuli legacy. Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo yanaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 300 mingine ijayo.
Although ametenda mengi but he had his dark sides. Huyu former mp ame highlight namna gani ame survive kwa kutumia weakness ya jpm. And si yeye tu wengi walimzunguka walaianza kutumia same tactic ili mzee awanusuru, and walifanikiwa
 
Kawaida ya waswahili, unafiki mwingi sana. Sio wanasiasa tu hatu jamaa yetu imejaa walamba viatu
Yaani kisa mtu ana hela utasikia majina ya kila aina
 
I hope Rais Samia kasikia, nae ajifunze.

ajue na yeye wanamtumia tu, washamjulia, ukitaka kutongoza cheo msifie sifie tu huyu Mama analainika
 
Back
Top Bottom