maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,749
- 2,319
Lucas hayupo kwenye list tafadhaliSamia pia aangalie Hili,Wana CCm wengine sio wakweli aliwemo Lucas Mwashambwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lucas hayupo kwenye list tafadhaliSamia pia aangalie Hili,Wana CCm wengine sio wakweli aliwemo Lucas Mwashambwa
Hii ni sawa na Mwanamke akisha achika kwenye Ndoa yake, ndiyo utaanza kusikia habari za kibamia!![emoji23][emoji1787][emoji1787]Hauwezi kujua… hata wa Magufuli walikuwa wapya, na tulijua wa naongea kWa Upendo - sasa hayupo, na wao hawako kwenye system, sasa wanaongea ukweli wao. Hivyo kWa huyu wa sasa, Tutajua ukweli akishatoka madarakani.
Sawa Ila Alitema Pumba Mno Bora Ally Kessy Aliposema Kuhusu Muungano Alikuwa SahihiNdio mwajiri wake
😂😂😂Hii ni sawa na Mwanamke akisha achika kwenye Ndoa yake, ndiyo utaanza kusikia habari za kibamia!![emoji23][emoji1787][emoji1787]
99.9999% ya wazazi watafanya hivi si huyo tuHata sasa hivi kuna kenge nyingine ziko busy kusifia upumbavu ili zipendwe na Samia. tuna nchi iliyojaa wapumbavu sijapata kuona
Mbona kama taifa tumeaminishwa Idd Amin alikuwa mtu mbaya na mpaka sasa tunaaminishwa hivyo.?Mnajitahidi sana kumchafua marehemu lakini mnashidwa.
Poleni sana
Ni Tanzania pekee yenye watu wanaopigana na maiti (marehemu)
Usichukulie tukio hili kama sababu ya kuwakaumu wanachama wote wa CCM. Hakuna kusanyiko lolote la kisiasa lenye mtazamo mmoja kwa kla jambo.. Hata huko upinzani kuna wenye tabia kama hizo za Nkamia. Katika chama cha siasa kuna moderates, extreme right, extreme keft nk.na tukisema wafuasi wa CCM ni nyumbu na wako extremely selfish huwa mnakataa, sasa huyu yuko tayari wengine waumizwe as far as watoto wake watakwenda shule. "Pumbufu" kabisa
Upo sawa ila kwenye upumbavu hatuwezi kunyamaza piaTell him to stay away from Magufuli legacy. Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo yanaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 300 mingine ijayo.
Ukienda mbali zaidi huenda Magufuli angekuwa mwenyeji wa pwani, Nkamia ange offer hata wowowo ili kunusuru kibarua chake.Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema 😃
Soko lipi hilo nikaunge teraHuyu mkewe huko Sokoni wanajipigia tu Ili arudi na mapochopocho ya watoto 🐼
Mbona hata kwenye taasisi za Umma wapo,wao wanaangalia shida zao kwanza,hata ikibidi wwe unyongwe ili yeye aishi vizuri, hilo halina shida kwake,na atashiriki kwenye dhambi!!Wengi walioko CCM wako hapo kutumikia matumbo yako
The point is "how low can you go " yess shida za ada zipo hatukatai!!Wanataka watoto waende shule.
Huyu ni miongoni mwa Wapuuzi wachache ambao wanaamini kwamba ukimtukana Magufuli unatunukiwa cheo na Hii Serikali ya SamiaHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema 😃
🤣 🤣 🤣Tell him to stay away from Magufuli legacy. Magufuli amefanya mambo makubwa ambayo yanaweza kuishi kwa zaidi ya miaka 300 mingine ijayo.
Hata hawa wanaosifia sana regime hii nao ni Neo-NkamiaHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema 😃
Kama wewe unavyofanya kwa Samia, et Samia ndio Rais bora na kafanya makubwa kuliko watangulizi wake.😂😂😂Na akisifiwa alikuwa anahemka na kujaa upepo 😁😁😁😁
Kana kwamba haitoshi yule Jamaa alikuwa anaamini yeye ndio ana akili kuliko wote kumbe wajanja wanacheza na saikolojia yake 🤣🤣🤣🤣
Naona umesahau kama hao ni CCMHizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga , ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!
Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela
View attachment 2987570
Godbless Lema
Mtandao wa X
====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu
Namuunga mkono Lema 100%
Nawatakia Sabato Njema 😃