Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Pre GE2025 Juma Nkamia: Hayati Magufuli alipenda sana sifa hivyo nilimsifia ili Watoto wangu waende Shule

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
Najikaribisha kwa akina Nape na Makamba
 
Mtoto wa kiume aidha unamwambia mtu mbele ya uso wake au uchague kukaa kimya.

Lakini kuongea wakati mtu hayupo hizo ni tabia za kike.

Lissu mwanaume hata kama unakubaliana au ukubaliane nae.
 
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
Na huu ujumbe umfikie saa100 na chawa wake
 
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
uchawa ndipo ulipoanza
 
Yapi? Kuua, kutesa, kitojali utu. Kitopnadish mishahara, kutoajiri, kuua biashara ndo mambo makubwa hayo
Naona shutuma zenu ni zilezile zisizokuwa na mashiko wala facts za kueleweka.

Wenye akili tumejifunza kupitia kwa Lowasa.
 
Naona shutuma zenu ni zilezile zisizokuwa na mashiko wala facts za kueleweka.

Wenye akili tumejifunza kupitia kwa Lowasa.
Kwani kipindi kile serikalo haikuwepo? Serikali kazi yake na kuchunguza matukio kama hayo. Unless kama hakujua kazi yake ama alipata urais kwa bahati mbaya
 
Saa nyingine mtu ni bora afunge domo lake afiche ujinga wake.
 
Hizi kauli za KIPUMBAVU kabisa. Unawezaje kutoa hoja ya kuharibu Nchi kisa uendelee kuwa CCM na kulipa ADA!!! ? Wasio CCM watoto wao hawasomi ? Huu ni ujinga, ni kama uwe mahabusu halafu mkeo aseme nilitembea na OCD ili upate dhamana kwenye shitaka lako la kuendesha gari ukiwa umelewa!!

Maisha yetu yanapaswa kufundisha watoto wetu TABIA thabiti na utu wema na misimamo ktk mambo mema na kuwa tiyari kulipa gharama muhimu.R.I.P Nelson Mandela

View attachment 2987570

Godbless Lema
Mtandao wa X

====
Hii ni Kauli ya mtanganyika ambaye aliwahi kuwa Naibu Waziri wa Habari

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema ameiita Kauli hii ni ya Kipumbavu

Namuunga mkono Lema 100%

Nawatakia Sabato Njema 😃
Ni mtu mnafiki na mjinga tu ndio anaweza kufikiri kuna rais hapendi sifa. mwenyewe hapo kama mwanasiasa anatafuta sifa. Hapo kwa ujinga anafikiri kwa kauli kama hiyo mama atampenda. Huenda anajua ya moyoni kwa mama..Mjinga sana huyu mtu.
 
Wanasiasa wanajijali, hawajali kuhusu taifa.

Hapo kaishaumiza wangapi? Wachawi nchi hii nao ni kenge, hawana faida na taifa, kenge kama hawa ni kupiga radi moja tu, kesho saa 7 tunazika.
 
Juma Nkamia amefungua njia. Ipo siku Humphrey Polepole naye ataongea kilichomfanya kuendesha operesheni ya kununua wabunge wa upinzani.

Na pia Makonda kuna siku ataeleza kilichomsukuma kuendesha operesheni ya:-
1. Kutaka kumpiga Nape na bastola.
2. Kuvamia kituo cha cloudstv.
3. Kumshambulia Lisu kwa risasi.
4. Kupora nyumba ya GSM.
5. Kuwabambikia watu kesi za kuuzia madawa ya kulevya mfano Ridhiwan Kikwete, Mbowe, Manji, n.k.
6. Kuteka watu, mfano Mo, Roma, Azory Gwanda, Ben Saa8, n.k.
7. N.k.

Siku hazigandi, jiwe aliyekuwa anasifiwa kila kona, sasa ananangwa kila kona.
Jiwe alikuwa shetani mwenye umbo la binadamu.
 
Back
Top Bottom