Juma Nkamia amefungua njia. Ipo siku Humphrey Polepole naye ataongea kilichomfanya kuendesha operesheni ya kununua wabunge wa upinzani.
Na pia Makonda kuna siku ataeleza kilichomsukuma kuendesha operesheni ya:-
1. Kutaka kumpiga Nape na bastola.
2. Kuvamia kituo cha cloudstv.
3. Kumshambulia Lisu kwa risasi.
4. Kupora nyumba ya GSM.
5. Kuwabambikia watu kesi za kuuzia madawa ya kulevya mfano Ridhiwan Kikwete, Mbowe, Manji, n.k.
6. Kuteka watu, mfano Mo, Roma, Azory Gwanda, Ben Saa8, n.k.
7. N.k.
Siku hazigandi, jiwe aliyekuwa anasifiwa kila kona, sasa ananangwa kila kona.