Jumuiya ya Ulaya na baadhi ya balozi za nchi za Magharibi kutoa tamko juu ya uchaguzi Serikali za Mitaa

Jumuiya ya Ulaya na baadhi ya balozi za nchi za Magharibi kutoa tamko juu ya uchaguzi Serikali za Mitaa

Mbona hizo jumuia hatuzioni kwenye maswala kama ya mauaji ya Raia kule Syria, kuuawa kwa Ghadafi, kuuwawa kwa Sadam, au uchaguzi wa marekani, wanatafuta nchi ambazo zimetulia tu na kutaka kuzivuruga. Shame on them. Hypocrites.
Kula like zangu kama yote.
 
Fuatilia vizuri kwenye mipango madhubuti ya maendeleo, nchi za kusini magharibi mwa Asia zimetusaidia nini. Anza na Qatar, Iran, Saudi Arabia, Kuwait, Lebanon, Bahrain, Emirates nk
Zaidi ya tende na mafuta ya mkopo tulipoishiwa na dollars, kingine kipi?
 
Uachage upumbavu wewe, nchi hii ni kubwa na muhimu kuliko ccm na chama chochote, endeleeni na maujinga yenu tu iko siku
 
Hao watu wa nje waishie huko huko na jumuia zao...

Mambo yetu watuachie wenyewe, tutayamaliza wenyewe...



Cc: mahondaw
 
Wewe! Shika adabu. Nyumbu wewe!!

Huu uzi ni wako, ni vyema ukauheshimu na sio ww kuwa sehemu ya matusi. Nina hakika matusi unayotoa watu wakiamua kuweka matusi humu utaukimbia. Kama umeishiwa hoja ni vyema ukae kimya watu waendelee kuchangia kuliko ww kugeuka sehemu ya kuupaka shombo uzi wako.
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.
Uzi unavyoanza na unavyomaliza ni vitu viwili tofauti. Unaanza kwa kung'ata unamaliza kwa kupuliza. Andika uzi wenye rangi moja.
2019-11-10%2019.13.38.jpeg
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.
Hujielewi hata nukta
 
Hahaha kuna moja alikuwa anazunguzukia media za mabeberu kuichafua Tanzania

Je alifanikiwa?

“Anazunguzukia”?????

Mzee your Kiswahili is in ICU!

Malamba matako ya mawe hua ni majinga sana,shule yalifeli mamaaeeee!

Kiswahili hujui,Kiingereza hujui,lugha ya kabila lako hujui,bure kabisa!
 
Kushindwa kumuuwa TLisu sasa mnamsingizia kila kitu??
Tunataka katiba mpya na tume huru ya uchaguzi!!
Tanzania sio ufalme wala himaya ya kidikteta.
Hata SA makaburu walitoa uhuru itakua CCM na vibaraka wake!!
 
Halo JF siasa.
Habari za uhakika kutoka chanzo cha uhakika ndani ya wizara ya nje, zimenidokeza juu ya ujio wa taarifa kutoka jumuiya ya Ulaya na baadhi ya Balozi za nchi za Magharibi kushutumu mwenendo wa uchaguzi wa serikali za mitaa.

Chanzo hicho kimegoma kutaja nchi hizo licha tu ya kuniambia naisubiri tamko lao muda wowote. Hata hivyo chanzo kimetaja jumuiya ya ulaya moja kwa moja kuwa itakuwa ya kwanza kulaani kusiginwa kwa demkrasia nchini.

Naona Tundu Lisu huko alipo Brussels Ubelgiji anataka kutuchonganisha na Mabeberu. Ikumbukwe Brussels ni makao makuu ya EU na huko ndipo mdiaspora Lisu asiyeipenda asiyeitakia nchi hii mazuri anaokoishi kwa sasa.

Pia Lisu amekuwa akitunanga kupitia mataifa makubwa hivyo sishangai hata hao mabalozi uchwara wakiandaliwa cha kusema na mtu kama huyu.
China, Russia, India, chi za kiarabu bado ni wadau wetu wakubwa wa maendeleo.

Mabeberu/Boers tupa kuleeeeeeeee.
Magufuli kanyaga twende baba.
Nonsense let them do in their own countries.
Ni wendawazimu tu Leo wanadikiliza Susan's magaribi.
 
Tamko La Nini Sasa Hivi Wakati Uchaguzi Bado
Ccm Ipo Kwenye Wakati Mzuri Inangoja Wapinzani Warudi Iweke Mpira Kwapani!!!!
Ikimbie Nao Kwenye Goli La Upinzani Na Kushinda Kwa Kishindo


Chama Dola!!
Ccm Hoyee!!!
 
Kuna watu wanatamani hii nchi ichafuke siku moja! Ila watachafuka wao,Muda utasema.
 
Nchi inachafukaje? Athar za kuchafuka kwa nchi unazijua? Kwa taarifa yako haya makaburu walijenga kila kitu kama hayo Maleri lakini walichafuliwa kwa matendo ya kipuuzi kama anavyofanya Hugo kichaa
aliuza nyumba za umma kwa hawala zake na nduguze, anajifungia ndani na watengeneza ndege na kuagiza azitakazo we unajua 10% take no shilingi ngapi au mnadhani Hugo malaika?/mbona haya mile kivuko kibovu kilinunuliwa akiwa wazir na sasa kipo jeshini ? Mbona alijenga hotel I kulee. Chato na kujenga uwanja wa ndege na mbuga ili hotel I ipate wateja
Ndivyo walivyo madikteta wote!
IMG-20191110-WA0004.jpeg
 
Back
Top Bottom