Hii nayo ipo kwenye huo mdahalo?Mtume si alikuwa mhuni kama wahuni wengine mwenye ushawishi jombaa alikuwa anakula pisi hatari hadi vitoto ingekuwa miaka hii ya haki za kinjisia mwamba angepigwa ban kifungo Cha maisha , sospa 1998 ingetembea naye
🚮Pole mkuu
| Isa bin Mariam. | Yesu Kristo. |
|
|
|
|
| 3.Qurani haionyeshi kama Isa alitabiriwa na manabii kuwa atazaliwa |
|
| 4. Biblia inatujulisha kuwa Yesu alizaliwa Bethelehemu ya Uyahudi katika Mji wa Daudi umbali wa maili 5 toka kusini mwa Yerusalemu nchi ya israel Tazama Luka 2:8-16. Kuzaliwa kwake mahali hapo pia ni kutimiza unabii uliotowe na Nabii Mika miaka 750-686 kabla ya kristo kuja wakati wa wafalme – hawa wakitawala – Jotham, Ahaz na Hezekia wafalme wa Yuda. Yesu mwenyewe alizaliwa kama mwaka wa 4 wakati wa Mfalme Herode Mkuu akitawala Yuda tangu |
|
|
Hawataki kusikia ulichoandikaKuzuia utakua ni udikteta mkuu, maana yesu so far ni nabii wa pande zote, so hawezi ongelewa vibaya
Kuanza kufanya nini kukopi? Kama unajua mitume walikuwa wayahudi inakuaje wakristo wajimilikishe hiyo mitume pamoja na maandiko yao wakati haukuwepo ukristo kipindi cha hao mitume pamoja maandiko yao?Kati ya ukristo na usilamu upi umeanza?hapa ndio utapata jibu nani kakopy mwenyie...kaeni mbali na mitume maana motume wote walikua wayahudi kasoro muddy pedophile.
Kama ilivyo story ya mchongo ya kusema kuna malaika waliyoasi na kulazimisha malaika hao kuwa ndio majini, ukitizama sifa za majini haziendani kabisa na asili ya malaika ila mkristo analazimisha kuwa majini ndio hao malaika waliyoasi.Story ya issa ni yamchongo ilikopiwa hovyo na muddy ili kuharibu taswira halisi ya Yesu Kristo,wanacho fanana ni kimoja tu kuzaliwa na bikra maria kwengine kote ni uongo mtupu nahuna ufanano wa Yesu Kristo wa injili na Isa wa kurani.
Thibitisha uongo wake hapaHata wewe unajiona mjanja wakat dini ya mudi uongo tuu
Unamchanganya YESU na nabii issa mkuu,hawa ni watu wawili tofauti boss!Umekurupuka maana huo mdahalo hauitwi Mohammad vs jesus bali unaitwa muhammad and jesus- katika maandiko ya kisslamu, hakuna against wala vs yoyote hapo. Umekurupuka na unataka kuleta taharuki
Yani kwenye posti yako tu nasikia unavohema kwa kuhamaki umekuja mbiombio umekurupuka hebubksome vizuri posti za huo mdahalo.
Tambua kuwa Yesu yupo kwenye maandiko ya kiislamu, ni miongoni mwa mitume katika uislamu, hivyo hakuna baya analoenda kuzungumziwa ymYesu siku hiyo, punguza kukurupuka na kutuwazia unegative waislamu
Kama mngekuwa mnazingatia sana jina basi huyo Yesu asingekuwa anaitwa kwa majina tofauti tofauti kwa lugha tofauti.Kwenyw kurani hakuna Yesu kuna Isa,niletee aya yoyote ya kurwani yenye jina la Yesu/Yasu.
Ni better muendelee kumuuza isa na sio Yesu kristo mana mnaleta chuki na uhasama baina ya wakristo mana Kinachoemdelea kwenu ni kumdogosha kristo Wakati Kristo ndio Mwana wa Mungu aliye Hai naye anaishi.
Muddy alikufa kaoza na sasa yuko jehanam
Ni kweli Yesu na Issa wa waislamu ni watu wawili tofautiUnamchanganya YESU na nabii issa mkuu,hawa ni watu wawili tofauti boss!
Ulitakaje?Mtu alie iva kibibiria hawezi kuwa na maneno kama haya
Shida Iko Wapi?at
ata jirani yangu anaitwa MWAMEDI,alaf anauza supu ya mapupu!!!
Yesu Ni Kiswahili Halina Tofauti Yoyote Jesus Ukisema Jesus ya Yesu Sawa Na Kusema Barabara Ya Morogoro Road.Huyo siyo Jesus ya Yesu. Inamaanisha kitu kingine. Mfano ni yale majina ya warwanda kina binaMungu akaYesu ni majina yasiyo na uhusiano na Mungu au Yesu.
na wewe shida iko wapi?..Shida Iko Wapi?
Umepinga Kuhusu Kuingia Kwenye Misikiti Ya Wayahudi ila Hujapinga Kuwatawaza Wanafunzi Wake.Alafu Uislam Upo Toka Kuanzia Kwa Adam A.S, Huo mwaka wa 622 Ni mwaka Ambao Mtume wa Mwisho Alipata Kuishi Na Alikuwa Anafundisha Watu Wamwabudu Mungu Mmoja Bila Kumshirikisha Na Chochote Na ndio Mila Ya Ibrahimu A.S.Yesu hukuwahi ingia sehemu y ibada tofauti na Hekalu au masinagogi ya wa yahudi,wakati huo hata wazo la kuwa kutakuwepo na dini ya kiislam ulimwenguli halikuwepo.
Kumbuka uislam umeanza mwaka 622 baada ya Kristo.