Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Nyie mbona mnamtetea mudi mudi alisema alipaaa kwenda mbingun ivii wewe na akili yako punda anawezaa paaa kwenda mbinguni kweli bila rocket 🚀
Weka andiko la hilo unalo ongea usilete khabari za vijiweni
 
Hata mtume pia hakuwah kuwa mtume ni mjanja mjanja tuuu yule
Kwenye Qruan yapo maandiko kibao yanayo dhibitisha utume wake.
Sasa na ww nioneshe andiko linalo dhibitisha kuwa Yesu ni Mungu kutoka kwenye biblia.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
 
W
api ulipodhalilishwa ukristo? We wakristo mbona hamna akili? Yaani ninyi akili zenu ni kisoda
Mbona unaleta matusi Yako ya ajabu KUWA wakristo HATUNA akili sawa nyie wenye akili mbona mnashabikia kufirwa na kufirana na kujitoa muhanga hizo ndo akili!??!??
 
Mimi siwezi kuhangaika na Muhammad hana msaada wowote ,kwanza ni marehemu

Muhamadi anakiri hajui atakachofanywa siku ya kiama wala mtakachofanywa wafuasi wake
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Wakristo hawana haja ya kupigizana kelele kutete ukristo kwa imani yao Yesu Kristo ambaye ndio msingi wa imani yao anauwezo wa kujipigania.. tofauti na wakristo na waislam wakristo vita yao ya kiimani iko kiroho sio kimwili.. walikuwepo na wataendelea kuwepo watu ambao wako againts na Ukristo

As long as vita si ya kimwili kusema unapigana in self defence basi Mungu wanayemwamini anauwezo wa kujipigania rejea bible verses inasema "But I say unto you, Love your enemies, bless them that curse you, do good to them that hate you, and pray for them which despitefully use you, and persecute you"

Iwe mwislam au mkristo yeyote aneye attack mwingine iwe ya kiroho au kimwili in the name of God/Allah huyo anapigana vita yake mwenyewe ku satisfy his/her Egotism and greediness wala sio kwasababu ya imani
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Bro unacho hofia ni nini?
kuambiwa yesu sio Mungu?
Mungu hazai?
Basi na tuseme ukristo sio dini, dini ni hiyo yao pekee.
Sasa basi mbona wana hangaika na yasiyo ya kwao?

Je wajua hao hao ndio wanao jazana kwenye makanisa na mikesha ya mitume na manabii wa kikirsto sio kiislamu!
Wanatafuta nini kwa watu wasio na dini?
 
Kifupi mdahalo uwe wa wazi na wa haki..muhamad ana makando kando mengi sana,wachungaji wakianza kuyasema hamchelewi kuanzisha vurugu,maugomvi na kuandamana..midahalo ile ya akina ustadhi mazinge,sule,juma kinyogoli mlikuwa mnazima maiki bwana muhamad akipewa makavu..kuna mdahalo hadi mlitaka kurusha ngumi,ikapelekea serikali kufungia na kuipiga marufuku ile midahalo
 
Biblia yote inamtaja Yesu kristo ni Mungu
Kumbe ndio maana huwa mnaogopa midaharo kwa sababu mnajijua ni watupu vichwani.
Leta andiko kutoka kwenye biblia linalo sema kuwa Yesu ni Mungu.

Kuna maandiko kibao ndani ya Bible ambayo Yesu kwa kinywa chake mwenyewe anakataa kuwa yeye ni Mungu.
Lakini hakuna andiko linalo sema yeye ni Mungu.
Kiufupi nyinyi wakristo ni wafuasi wa paulo maana mna fuata mafunzo ya paulo na sio ya Yesu.
 
Mimi ni muislamu wa kuzaliwa na uislamu nimeusoma na kuusomesha.!
MUISLAMU WA KWELI HAWEZI KUMTUKANA KRISTO (MASIHI ISA MWANA WA MARYAM )
Kumtukana Kristo (MASIHI ) ni ukafiri na muislamu akimtukana MASIHI au mama yake masihi yaani Maryam muislamu huyo anakuwa kafiri na anakuwa amejitoa rasmi ndani ya uislamu. Hali ni hiyo hiyo muislamu akimtukana nabii Musa , Nabii Ibrahim, Nabii Saudi, Nabii Sulaymn au Nabii au mtume yeyote miongoni mwa manabii na mitume wa Allaah.
Pamoja na hayo Kuna tafauti kubwa kati ya kumtukana Kristo na kukosoa Imani na mafundisho ya kikristo kwa sababu sisi waislamu tunaamini kwamba Imani na mafundisho ya kikristo siyo Imani wala mafundisho ya Nabii Isa ambaye ndiye kristo au masihi mwana wa MARYAM. Kwahiyo kumtukana Masihi aliyepewa kitabu cha Injili (sio biblia ) au kumtukana mtume Musa aliyepewa kitabu cha Taurati ni ukafiri lakini kuyakosoa mafundisho na imani za kikristo au mafundisho na imani za kiyahudi inafaa kwasababu mafundisho na imani hizo viko kinyume na mafundisho ya asili ya mitume husika.
Ni kama vile waislamu wanapopinga sherehe za maulidi ( sherehe za kuzaliwa mtume Muhammad
صلى الله عليه وآله وسلم haimaanishi wanamchukia mtume bali wanapinga kuingizwa katika uislamu mambo ambayo siyo mafundisho ya mtume Muhammad صلى الله عليه وآله وسلم.
 
Hawezi kukubali... RELIGION TOLERANCE ya wa kristo ni kubwa Sanaa..

Refer kwenye mambo ya kuchinja mifugo yetu tumewaachia..

Ujue waislamu wa siasa Kali ni watu hatare Sanaa..ndio chanzo Cha POLITICAL TURMOIL IN ALL OVER THE WORLD 🌎

NIMAHARIBIFU, MACHAFUZI,MAJUAJI,KILA UOVU NI YAO UTAYAKUTA NA MABARAGASHIA YAO.
Zama zimebadirika,
We niletee siasa kali kama nitakubakiza.
ukija na kisu, utanikuta nacho
ukija na panga, utanikuta nayo
ukija na bomu, utanikuta nayo
ukija na bunduki, utanikuta nazo
 
Back
Top Bottom