Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Jumuiya za Kikristo toeni tamko la kupinga mdahalo unaolenga kudhalilisha ukristo

Yesu alikuwako kabla ya mitume wote
Yesu ndo aliumba wanadamubna vyote vilivyomo
Yesu ni Mungu
Hakuna mtume WA mwisho hizo ni story za kihuni
Yesu ndo Alfa na omega
Yaani mwanzo na mwisho.
Hakuna mtume atakuja baada ya yesu hao ni matapeli wakuitwa manabii na mitume wa uongo, na wanaashiria mwisho wa dunia
Yesu Na Yusuph Mkubwa Nani?
 
Shida dini ya kiislamu haijitoshelezi ikibaki peke yake ndo maana kila siku wanahainga na YESU KRISTO

Uislam hauna uwezo na hauna miguu ya kusimama peke yake na mungu wa kiislamu bila kupiganiwa ujue hamna kitu
Mkuu ukisema hivo unakosea.
Hujawahi kusikia mahubiri au mhubiri anasema toeni sadaka ili injili iende? Hapa inakuwa ana maana gani!?

Kila siku nasema shida ya sisi wengi huaga tunabebeshwa imani tusiyoweza kuzibeba.

Wewe subiria mdahalo kama utakuwa na aina yyt ya kebehi ndo ulete hapa.

Hakuna haja ya uwoga kwenye imani, jiamini na unachokiamin.

Kama mdahalo wake hautakuwa na hoja tunampiga marufuku asije tena hapa ila kama una manufaa twamkaribisha tena na tena.

Mim huaga nasikiliza saana mahubiri ya mapasta wengi akina mzee wa upako, hananja, na wale wachomoza ni mazuri mno na yanakujenga hata kama sio imani ya huko.
 
Kumbe ndio maana huwa mnaogopa midaharo kwa sababu mnajijua ni watupu vichwani.
Leta andiko kutoka kwenye biblia linalo sema kuwa Yesu ni Mungu.

Kuna maandiko kibao ndani ya Bible ambayo Yesu kwa kinywa chake mwenyewe anakataa kuwa yeye ni Mungu.
Lakini hakuna andiko linalo sema yeye ni Mungu.
Kiufupi nyinyi wakristo ni wafuasi wa paulo maana mna fuata mafunzo ya paulo na sio ya Yesu.
We chukua biblia soma kitabu chochote kimemtambua kuwa Yesu ni Mungu
 
We chukua biblia soma kitabu chochote kimemtambua kuwa Yesu ni Mungu
Kumbe ndo maana mna ogopa midaharo kumbe hata hiyo Bible mnayo jidai kuifuata hamuijui.
 
Inashangaza serikali kuruhusu mdahalo kama ule. Yaani serikali inakuwa kama kachanel fulani ka youtube
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Serikali inaongozwa na rais mwenye mwelekeo wa Udini ukimwangalia kwa jicho pevu, ndio maana hawa wahuni wanakuja kulianzisha
 
Kumbe ndo maana mna ogopa midaharo kumbe hata hiyo Bible mnayo jidai kuifuata hamuijui.
Sasa bible hata ukielekezwa utaaelewa Nini wewe mfuga majini
 
Mtume si alikuwa mhuni kama wahuni wengine mwenye ushawishi jombaa alikuwa anakula pisi hatari hadi vitoto ingekuwa miaka hii ya haki za kinjisia mwamba angepigwa ban kifungo Cha maisha , sospa 1998 ingetembea naye
Mary was likely in her early teens when she had Jesus, most probably around 12 to 14 years old.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Mimi ni mkristo lakini sioni shida kama utakuwa mdahalo kweli na si maigizo. Mtu mwenyewe anayekuja hajui kudebate vizuri ana nyota ya kuwa maarufu tu.

Hapa kapigwa swali dogo tu kapoteana.


View: https://www.youtube.com/watch?v=k3tkqSNIh_4

Hawawezi kumtukana Yesu kama ni waislamu wanaojielewa.
 
2 Timotheo 2:23
[23]Walakini uyakatae maswali ya upumbavu yasiyo na elimu, ukijua ya kuwa huzaa magomvi.
But foolish and unlearned questions avoid, knowing that they do gender strifes.
 
Serikali inaongozwa na rais mwenye mwelekeo wa Udini ukimwangalia kwa jicho pevu, ndio maana hawa wahuni wanakuja kulianzisha
Kapitia pia Uganda na Kenya vipi na penyewe kuna viongozi wenye milengo ya kidini?
 
Sasa bible hata ukielekezwa utaaelewa Nini wewe mfuga majini
Umeanza kashifa ina maana umeshashindwa hoja ,sasa mtu kama ww ni lazima uogope midaharo kwa sababu huna elimu wala kifua cha kujadiliana kwa hoja.
Leta andiko linalo onesha Yesu ni Mungu.
 
Umeanza kashifa ina maana umeshashindwa hoja ,sasa mtu kama ww ni lazima uogope midaharo kwa sababu huna elimu wala kifua cha kujadiliana kwa hoja.
Leta andiko linalo onesha Yesu ni Mungu.
Hiyo
 

Attachments

  • Screenshot_20241230-181535.png
    Screenshot_20241230-181535.png
    606.4 KB · Views: 1
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Mkuu Wala usiumize kichwa,Bwana Yesu hapiganiwi,la maana Ni kuilinda imani na kupiga injili,yaani ktk huo mdahalo ,Yesu atajipatia utukufu,na kuna nafsi zitavutwa kwake.
Vita yetu sii juu ya damu na nyama.
Walibezwa mitume na kuuliwa bado injili ikasonga mbele,sembuse mdahalo.
Yesu ni mfalme wa wafalme,Mungu wa miungu na ndiye atahukumu dunia yote.
Kila goti litapigwa kwake na kila ulimi utakiri kuwa yeye Ni Bwana,(kitaeleweka tuuu)
 
Kwa hiyo hilo andiko ndo linatoa uhalali wa Yesu kuwa Mungu?
Hilo andiko halina nguvu ya kudhibitisha kuwa Yesu ni Mungu.
Yesu mwenyewe kwa kinywa chake alisha kataa mara kibao kuwa yeye si Mungu.

Ya kwamba Mungu ana kula ,anaenda chooni kujisaidia,anajampa,anachoka,anakufa,ana sahau? Maana Yesu alikuwa na hizo sifa zote, aisee hii ni kufuru kubwa sana.

Wakristo wengi hamna elimu juu ya kitabu chenu na ndio maana viongozi wenu wana waburuza wanavyo taka na kuwageuza kuwa vyanzo vya mapato kwa sababu wana wajua kuwa waumini wao ni weupe kuhusu dini yao.
 
Ulimsindikiza huko?
Jibu swali uganda na Kenya nao kuna viongozi wa milengo ya dini ndo maana karuhusiwa kufanya muhadhara huko?
Yaani nyinyi wagaratia huwa mnajihesabia kwa kila kitu haki ndani ya nchi.
 
Natoa wito Kwa jumuiya na taasisi zote za kikristo, kujumuisha TEC, CCT, CCPT n. K kupinga mdahalo utakaongozwa na shehe wa kihindi uwanja wa Taifa, uliopewa jina la Jesus vs Muhammad

Yaani hizi taasisi zimefanya vyema kupinga mambo ya ovyo kisiasa, Sasa zikikaa kimya Kristo akidhalilishwa hadharani na waislamu

Hili suala limekaa kichokozi, hawa wenzetu wameona upole wetu kama silaha ya kudhalilisha na kututukana hadharani

Waislamu hawaamini ukiristo, kwanini wajadili Imani wasioitaka
Huo mdahalo wa upande mmoja itakuwaje? Kama sio matusi na kebehi tu
Na sisi wakristo tukiamua kuweka mdahalo wa kumtukana Muhammad wao itakuwaje?

Nitashangaa kama taasisi za Kikiristo zitakata kimya, Kristo ambaye ni tumaini letu atatukanwa hadharani uwanja wa Taifa na kwenye TV na waislamu

Serikali ipige marufuku huu mdahalo wa kichochezi, ukifanyoka serikali iwe tayari Kwa mdahalo mingine itayohusu dini nyingine
Waislamu hawawezi kumsemea Yesu. Hivyo, huo mdahalo lazima Wataalamu wa Kikristo washiriki vinginevyo itakuwa ni uchochezi wa kidini. Lakini sisi Yesu wetu huwa anajitetea maana yupo hai. Mohamed anatetewa na wafuasi wake maana ni mfu.
 
Back
Top Bottom