June 30, 1993 alifariki Gavana Rutihinda na kuzikwa Buguruni Malapa. June 15, 2024 anafariki Balozi Ruhinda na kuzikwa Kinondoni

June 30, 1993 alifariki Gavana Rutihinda na kuzikwa Buguruni Malapa. June 15, 2024 anafariki Balozi Ruhinda na kuzikwa Kinondoni

Hili hua la msingi sana tatizo wengi watoka vijijini hujifanya kwao mjini
Kuna Vijiji vya kujenga.Kuna maeneo ukijenga unajiwaisha mapema.Hawataki Kuna hata bati.Usione watu hawataki kujenga kwao ukawaona mafala.Kijana wangu Baada ya kupata kazi yake ya ualimu akapangiwa Mwanza,mshahara wake wa kwanza akaja kurekebisha kijumba Cha wazazi wake kukandika Tena na udongo kupiga ripu,akayatoa makuti na kupiga bati.kiasi kilichobaki akaoa na kuanza safari ya kurudi kazini,kufika Tabora kipere chini ya pua kimeiva ghafra tu mkewe si kamtumbua wakiwa kwenye basi.Kichwa kichwa ikabidi washuke njiani kwenda Hospital akutoboa kafia Tabora njiani.Msimba unarudi Pwani Kwa Mazishi kumbe Shangazi ndio Sterling.
 
Sidhani kama kuna haja ya mtu kujenga kijijini kisa ataenda kuzikwa. Kuna familia ninaifahamu, wote wako vizuri kiuchumi kuanzia baba yao. Ina maana hawa wote kila mtu akamiliki nyumba kijijini kwao? Atakaa nani?
Kisa tu kuimpress jamii kwenye msiba wako?
Kwani marehemu anajisikia aibu?
Mwanangu maiti inasikia aibu! Unasutwa msibani mpaka unahisi joto kwenye jeneza! Jitahidi ujenge kwenu mkuu!
 
Kuna Vijiji vya kujenga.Kuna maeneo ukijenga unajiwaisha mapema.Hawataki Kuna hata bati.Usione watu hawataki kujenga kwao ukawaona mafala.Kijana wangu Baada ya kupata kazi yake ya ualimu akapangiwa Mwanza,mshahara wake wa kwanza akaja kurekebisha kijumba Cha wazazi wake kukandika Tena na udongo kupiga ripu,akayatoa makuti na kupiga bati.kiasi kilichobaki akaoa na kuanza safari ya kurudi kazini,kufika Tabora kipere chini ya pua kimeiva ghafra tu mkewe si kamtumbua wakiwa kwenye basi.Kichwa kichwa ikabidi washuke njiani kwenda Hospital akutoboa kafia Tabora njiani.Msimba unarudi Pwani Kwa Mazishi kumbe Shangazi ndio Sterling.
Haya mambo yamekwamisha sana watu aisee! Miaka ile Usukumani ukiona mtumishi amejenga kwao basi ujue nyumbani kwao nao wako vizuri kwenye ndumba! Ilikuwa shida sana, tena hawa hawa shangazi zetu ndio walikuwa wanatushughulikia! Mwanga tumeanza kuuona miaka ya 2000, sasa hivi mambo mazuri vimebaki vijiji vichache sana!
 
Huko unapooaota kwenu unamjengea nani? Mnaona ni busara mtu anayetafuta hela yake kwa jasho machozi na damu atumie hela yake kwenda kujenga sehemu ambayo hatoishi?
Narudia kusema hili...angalia mifano mbali mbali ya viongozi wengi na watu mashuhuri mbali mbali wakifarik Wana prefer kuzikwa kwenye ardhi ya nyumbani kwao..

NB.
Humu Jf tunapishana umri,dini,mitazamo,kipato, upeo,maono, malezi, experience N.K

Wengine humu unakuta mama alikua changudoa au barmaid au housegirl akapigwa PAIPU Bahati mbaya ikatunga mimba na ikakataliwa na akazaliwa mtoto so unakuta mtoto anae zaliwaa Hana IDENTITY & vise versa is true..
 
Narudia kusema hili...angalia mifano mbali mbali ya viongozi wengi na watu mashuhuri mbali mbali wakifarik Wana prefer kuzikwa kwenye ardhi ya nyumbani kwao..

NB.
Humu Jf tunapishana umri,dini,mitazamo,kipato, upeo,maono, malezi, experience N.K

Wengine humu unakuta mama alikua changudoa au barmaid au housegirl akapigwa PAIPU Bahati mbaya ikatunga mimba na ikakataliwa na akazaliwa mtoto so unakuta mtoto anae zaliwaa Hana IDENTITY & vise versa is true..
Hakika tunatofautiana UMRI na MITAZAMO.
Sasa inakueaje unataka wengine woye waishi kwa preference za wengine?
Mwenye mama Changudoa au Barmaid unadhani hana Identity au unadhani maisha yake ni pungufu kuliko wewe? Au unadhani wewe una ukamilifu kuliko wenyewe?
Hujui inawezekana unayemuita Babu kumbe ndiye baba yako mzazi? Au inawezekana kweli wewe ni wa Kishua na wazazi wako wanaishi pamoja kwenye ndoa lakini yule babu wa kazi au wa shamba, au mlinzi, au yeyote hapo mtaani ndiye baba yako.

Unadhani wewe unaifahamu vizuri historia ya kupatikana kwako? Au unadhani unafahamu baba yako alimpata vipi mama yako?
Hakika humu tunatofautiana Umri, Dini na Mitazamo….pia uzoefu wa maisha.
 
Kigogo Kuna mtaa unaitwa Rutihinda,Kuna uhusiano wowote wa eneo Hilo na jina la Gavana??
Sio mtaa tu na shule ya msingi Gilman Rutihinda,vyote vipo kigogo karibu na kigogo sambusa,ndio vilipewa jina baada ya kifo cha huyo gavaba wa BOT
 
Unajenga kisa ukifa uonekane na wewe ama usidharaulike. Fanya Mambo yako Ila sio kuangalia ulimwengu. Wewe kwenu unakuja mjini una miaka 15 unakuja kurudipo una miaka 80+ yaani unasubiria Kufa ama ukiwa marehemu Sasa Hilo limjengo utakalowekeza hapo kwenu litatoa faida gani. Yaani ukazike bilioni of money with no return hata nyumba huwezi pangisha ikakupa return. Msifanye Mambo kwa mkumbo ama just to satisfy your environment. Elewa hata Elon musk akapanga hana nyumba na uelewe nyumba ni liability. Watt wako wenyewe ama wewe mwenyewe siku unazoishi ulipozaliwa zinahesabika.
Ukiangalia kusema kwenu wabantu tulioko east Africa asili yetu ni wapi. Kuna wengine tulitoka misri baada ya mwarabu kuivamia so inabidi turudi tukajenge misri. Yaani unaishi mjini zaidi ya miaka 60 kule unaenda once a year or even in ten years Halafu eti unapaita kwenu sure kweli una akili hata hupatumikii na watu wa kule hawakufaidi.
Ni sawa uende ulaya kijana urudi afrika mzee, utamu na vinono vyote umemalizia ulaya na ukiwa umeacha nyumba kweli utapangisha kwa pesa kubwa kuliko bongo.
Kule Kuna nyumba just two bedrooms like in New York unalipwa $8000- $15000 monthly Sasa hizo hapa bara la Giza utazipata wapi. Acheni ushabiki wa kimaandazi. Nyumba mnajenga wanabakia mende,buibui,wachunga ngombe, panya wanaishipo na huku umetumiwa above $20k to $100k ili iweje ukubalike kuwa unapenda kwenu Sasa si uiishipo huku mjini unafuata nini. Hata wanyama wanahama kufuata mahitaji yao. Pindi wakiyapata ndipo kazi yao. Kwani ukizikwa mjini huwezi fufuka ukaenda mbinguni.
Tukirudi miaka 3000 nyuma nadhani unapoishi ama unapopaita kwenu sio kwenu.
Umeandika Mambo mengi japo mengi ni ujinga.
Kwanza mi binafs cwalaumi wasiojenga kwao coz kuna sababu nyingi nyingine kulogana na ushenz kama huo. Lakini kusema kujenga home ni kupoteza inategemea na huko kwenu ni wapi. Mi kijijin nimejenga na nimepangisha tena wanaingia na kutoka maana nimeiweka Airbnb. Ni Kilimanjaro. Ishu ni kuwa unaweza kujenga wewe ukawasaidia wengine uthubuti wa kujenga na wao. Kwamba inakulipa nini inaweza isikulipe lakini ukaisaidia jamii yako kubadilika maana kuna watu wanajifunza kwa kuona zaid. Huwez kuwa mbinafs kias hicho kwa kujifikiria wewe tu kwamba utapata nini sio kila kitu utapata wewe vingine unaangalia namna ya kusaidia jamii kwa mapana. So ni muhim sana kujenga kwenu kwa mustakabali wa jamii yenu yenyewe.
 
Kwa bahati nzuri mimi nilimfahamu Personally ila tulipotezana wakati alipopata Stroke akakosa wa kumhudumia akaenda kijijini. You can't believe, rafiki yake kabla hajatutoka alikuwa akimtembelea mara kwa mara huko kijijini.

Nimefarijika mwandishi mmoja aliposema kuwa alioa baada ya kuambiwa hawezi kuwa balozi akiwa mhuni tu. Najua mke wake alikuwa Mchagga ila alipopata stroke .... mengine tuyaache Pascal Mayalla ili awe mkwe! Joke
Kweli wewe ulimfahamu.

Unajua kuna kitu waZungu na watu wenye uwezo wao, wanakiita retirement homes. Yaani unakuwa na nyumba mji mwingine tofauti kabisa…siku ukistaafu unaelekea huko. Na hii inakuwa influenced na Hali ya hewa, huduma za jamii nk.

Kama pesa au kipato chako ni cha kuungaunga, basi wewe pambana ustaafie hapo hapo mwanagati au Mbagala, ulipoweka nyumba ya ujana wako.

Ila kama uko vizuri kiuchumi, mda ukifika jitahidi uondoke mjini. Maana umri ukienda hukawii ukaona vijana wote hawana adabu…just kwa sababu umekutana na kijana hajakusalimia. Au mmekutana benki hajakupisha kwenye foleni.
 
Duh, mkuu hii lugha yako hii haina staha kwa kweli, sijui wanajisikiaje watoto wa single mazeri?
Narudia kusema hili...angalia mifano mbali mbali ya viongozi wengi na watu mashuhuri mbali mbali wakifarik Wana prefer kuzikwa kwenye ardhi ya nyumbani kwao..

NB.
Humu Jf tunapishana umri,dini,mitazamo,kipato, upeo,maono, malezi, experience N.K

Wengine humu unakuta mama alikua changudoa au barmaid au housegirl akapigwa PAIPU Bahati mbaya ikatunga mimba na ikakataliwa na akazaliwa mtoto so unakuta mtoto anae zaliwaa Hana IDENTITY & vise versa is true..
 
Kweli wewe ulimfahamu.

Unajua kuna kitu waZungu na watu wenye uwezo wao, wanakiita retirement homes. Yaani unakuwa na nyumba mji mwingine tofauti kabisa…siku ukistaafu unaelekea huko. Na hii inakuwa influenced na Hali ya hewa, huduma za jamii nk.

Kama pesa au kipato chako ni cha kuungaunga, basi wewe pambana ustaafie hapo hapo mwanagati au Mbagala, ulipoweka nyumba ya ujana wako.

Ila kama uko vizuri kiuchumi, mda ukifika jitahidi uondoke mjini. Maana umri ukienda hukawii ukaona vijana wote hawana adabu…just kwa sababu umekutana na kijana hajakusalimia. Au mmekutana benki hajakupisha kwenye foleni.
Ukistaafu usikae zaidi ya 100 km kutoka muhimbili,maana kunavijiji vinginemafua tu unakufa,zahanati haina hata panadol,huo ni mtazamo wangu tu,mtanizika babati ila nitafia muhimbili
 
Unajenga kisa ukifa uonekane na wewe ama usidharaulike. Fanya Mambo yako Ila sio kuangalia ulimwengu. Wewe kwenu unakuja mjini una miaka 15 unakuja kurudipo una miaka 80+ yaani unasubiria Kufa ama ukiwa marehemu Sasa Hilo limjengo utakalowekeza hapo kwenu litatoa faida gani. Yaani ukazike bilioni of money with no return hata nyumba huwezi pangisha ikakupa return. Msifanye Mambo kwa mkumbo ama just to satisfy your environment. Elewa hata Elon musk akapanga hana nyumba na uelewe nyumba ni liability. Watt wako wenyewe ama wewe mwenyewe siku unazoishi ulipozaliwa zinahesabika.
Ukiangalia kusema kwenu wabantu tulioko east Africa asili yetu ni wapi. Kuna wengine tulitoka misri baada ya mwarabu kuivamia so inabidi turudi tukajenge misri. Yaani unaishi mjini zaidi ya miaka 60 kule unaenda once a year or even in ten years Halafu eti unapaita kwenu sure kweli una akili hata hupatumikii na watu wa kule hawakufaidi.
Ni sawa uende ulaya kijana urudi afrika mzee, utamu na vinono vyote umemalizia ulaya na ukiwa umeacha nyumba kweli utapangisha kwa pesa kubwa kuliko bongo.
Kule Kuna nyumba just two bedrooms like in New York unalipwa $8000- $15000 monthly Sasa hizo hapa bara la Giza utazipata wapi. Acheni ushabiki wa kimaandazi. Nyumba mnajenga wanabakia mende,buibui,wachunga ngombe, panya wanaishipo na huku umetumiwa above $20k to $100k ili iweje ukubalike kuwa unapenda kwenu Sasa si uiishipo huku mjini unafuata nini. Hata wanyama wanahama kufuata mahitaji yao. Pindi wakiyapata ndipo kazi yao. Kwani ukizikwa mjini huwezi fufuka ukaenda mbinguni.
Tukirudi miaka 3000 nyuma nadhani unapoishi ama unapopaita kwenu sio kwenu.
Maelezo meengi..ila umepuyanga
 
Back
Top Bottom