Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.
Tunashuhudia fainal moja mbovu sana ambayo haijawahi kutokea, fainal yenye Magoal mengi zaidi.
Congratulations Allegri.Naomba msamaha kwa kukutukana sana mwanzo wa msimu. You gave us a life lesson.I'm proud of you and the lads.Ahsante...ahsante...since 90's...tears..tears!
Barcelona kapata slope....mpira ungekua riadha hata bolt angesajiliwa man u
Suarez anakwenda kukutana na maadui zake wawili Evra na yule aliyemng'ata bega nimemsahau jina,anaitwa nani vile?mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.
Hahahahaaa umefufuka Mkuu?
Usipotee sn kaka.
mimi sio mshabiki wa juve ila nilianza kuishangilia baada ya kufika nusu fainal na baadae fainal ikiisha narudi kwa timu yangu.
sasa basi kwakuwa umesema fainal mbovu,tusubili siku hiyo na muda kama huu upite tena ili uje kyniambia hayo magoli mengi kafungwa nani...!?
team juve.
Tusiandikie mate bado masaa kadhaa tu nitarudi ku quote post yako usisite kuleta mrejesho.
Suarez anakwenda kukutana na maadui zake wawili Evra na yule aliyemng'ata bega nimemsahau jina,anaitwa nani vile?
Tunashuhudia fainal moja mbovu sana ambayo haijawahi kutokea, fainal yenye Magoal mengi zaidi.
Watu weeweeeeeeeeeeeeeeeeeeee
nipo kaka.kuna pilau nimekuwekea kule international forum naomba ukatupie japo matonge mawili matatu mkuu.
mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.
Huyu naeee sasa ndio umeandika nini? Soma mwanzo wa maneno yako na mwisho.
soma uelewe kwanza sio unakulupuka tu kama umetoka usingizini...!?
Forza bianconeri