Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.

Dah! Pole kaka, Mimi nilikuwa nao mguu kwa mguu. Sasa huko Turin kinapigwa kigodoro mpaka kuchee
 
Tunashuhudia fainal moja mbovu sana ambayo haijawahi kutokea, fainal yenye Magoal mengi zaidi.

mimi sio mshabiki wa juve ila nilianza kuishangilia baada ya kufika nusu fainal na baadae fainal ikiisha narudi kwa timu yangu.
sasa basi kwakuwa umesema fainal mbovu,tusubili siku hiyo na muda kama huu upite tena ili uje kyniambia hayo magoli mengi kafungwa nani...!?
team juve.
 
Congratulations Allegri.Naomba msamaha kwa kukutukana sana mwanzo wa msimu. You gave us a life lesson.I'm proud of you and the lads.Ahsante...ahsante...since 90's...tears..tears!


Hahahahaaa umefufuka Mkuu?
Usipotee sn kaka.
 
mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.
Suarez anakwenda kukutana na maadui zake wawili Evra na yule aliyemng'ata bega nimemsahau jina,anaitwa nani vile?
 
mimi sio mshabiki wa juve ila nilianza kuishangilia baada ya kufika nusu fainal na baadae fainal ikiisha narudi kwa timu yangu.
sasa basi kwakuwa umesema fainal mbovu,tusubili siku hiyo na muda kama huu upite tena ili uje kyniambia hayo magoli mengi kafungwa nani...!?
team juve.

Huyu naeee sasa ndio umeandika nini? Soma mwanzo wa maneno yako na mwisho.
 
Hongereni juve japo mmeruka mkojo sasa mmekanyaga mavi VIVA MSN
 
ImageUploadedByJamiiForums1431552545.334643.jpg

Andrea Pirlo...
 
nipo kaka.kuna pilau nimekuwekea kule international forum naomba ukatupie japo matonge mawili matatu mkuu.

Mbona hujaniita Mkuu ktk hilo pilau? Ntalipata nikiinda mwenyewe kulitafuta au mpk uniite Mkuu?

Hongereni sn kwa kuingia fainali uzembe Wa Madrid ndio umewapa nafasi.
 
mimi naomba unipe pole mama.Ndio natoka uvunguni saa hizi.Madrid walipopata penati nilizima tv.nikasikia watu wanashangilia huko nje,nikavaa headphone.dogo akawa anakuja chumbani kugonga mlango anipe updates,nikaingia chini ya uvungu na kutulia huko na saa yangu nikisubiri saa tano na dk 40.Ndio natoka sasa.Nimeambiwa tumeingia final ndio presha imenipanda kabisa.Sijui ushabiki gani huu nashindwa kutazama mechi za Juve roho inahamiaga kooni.

Aiseee!!! Pole sana ila niliwawakilisha vyema maana leo niliuvaa ujuve haswaa!!!!!! Duh Mourinho naye yuko wapi???
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom