juve2012
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 3,343
- 2,040
Mpira wa Italia umebadilika sana.
Jamaa walishaacha Catenachio kabisa. Jana nimefurahi kwamba nimeona mechi ambayo at least mtu unaweza kukaa chini ukatazama.
Milan walitupa wakati mgumu kwa pasi fupi fupi na kutukaba kwenye half yetu,sikutegemea Milan wacheze vizuri vile,ndio maana Ancelloti na warembo wake walikaa 4! Bahati mbaya yao kwa jana tu,ni kwamba Juve wako kwenye dunia yao misimu hii,ni wakali sana,kama jana walikuwa wakikamata mpira ni hekaheka kwa akina Alex na wenzie.
Kombinenga ya Tevez,Morata,Pogba,Marchisio,Vidal,Padoin na Evra ilikuwa kama circuit ya elektroniki vile,ukigusisha umeme kwenye njia moja,basi circuit nzima imejaa umeme!walikuwa fast paced na wanaelewana sana,yaani wakivuka half tu,goli la Milan linawaka moto!
Chiellini was on form pia.Ilikuwa mechi nzuri,kasoro Pirlo hakuniridhisha sana.Pia Pazzini bado mzuri,na Cerci na Honda wako njema sana.
Jamaa walishaacha Catenachio kabisa. Jana nimefurahi kwamba nimeona mechi ambayo at least mtu unaweza kukaa chini ukatazama.
Milan walitupa wakati mgumu kwa pasi fupi fupi na kutukaba kwenye half yetu,sikutegemea Milan wacheze vizuri vile,ndio maana Ancelloti na warembo wake walikaa 4! Bahati mbaya yao kwa jana tu,ni kwamba Juve wako kwenye dunia yao misimu hii,ni wakali sana,kama jana walikuwa wakikamata mpira ni hekaheka kwa akina Alex na wenzie.
Kombinenga ya Tevez,Morata,Pogba,Marchisio,Vidal,Padoin na Evra ilikuwa kama circuit ya elektroniki vile,ukigusisha umeme kwenye njia moja,basi circuit nzima imejaa umeme!walikuwa fast paced na wanaelewana sana,yaani wakivuka half tu,goli la Milan linawaka moto!
Chiellini was on form pia.Ilikuwa mechi nzuri,kasoro Pirlo hakuniridhisha sana.Pia Pazzini bado mzuri,na Cerci na Honda wako njema sana.