Juventus Special Thread

Juventus Special Thread

Poleni sana, na hivi mmemchokoza Messi kuwa magoli ya ku_dribble anafunga akiwa Spain tuu, mtamkoma.
Hata Manuer Neuer alisema kuwa atamuona Messi kuwa yeye ni nani, na matokeo yake uliyaona. Sasa subiri muone ngoma mtakayokwenda kuicheza.
aleyn hii gem messi atafanya kila hali ili ascore 1.awe mfungaji bora maana saivi ana magoli 10 na c.ronaldo ana 10
sasa hapo atataka yee ascore ili achukue gold shoes 2. atakapo chukua ndoo tayari kashajisafishia njia ya kuchukua kwa mara ya 5 Ballon d' or patam hapo 3. suarez anataka awaonyeshe evra na yule jamaa alie msababishia ban ya miezi 6 kiasi flani alikula hasara hapa atataka kuwaliza hapatoshi hapo 4. luis enrique (kocha) anataka aweke record one season triple cups patamu hapo 5 . mzee mzima xavi anatoka camp nou na heshima zote la liga copa del rey na uefa champions leage . @the team barca uspime!!
 
aleyn hii gem messi atafanya kila hali ili ascore 1.awe mfungaji bora maana saivi ana magoli 10 na c.ronaldo ana 10
sasa hapo atataka yee ascore ili achukue gold shoes 2. atakapo chukua ndoo tayari kashajisafishia njia ya kuchukua kwa mara ya 5 Ballon d' or patam hapo 3. suarez anataka awaonyeshe evra na yule jamaa alie msababishia ban ya miezi 6 kiasi flani alikula hasara hapa atataka kuwaliza hapatoshi hapo 4. luis enrique (kocha) anataka aweke record one season triple cups patamu hapo 5 . mzee mzima xavi anatoka camp nou na heshima zote la liga copa del rey na uefa champions leage . @the team barca uspime!!

cc Mourinho
 
Last edited by a moderator:
Poleni sana, na hivi mmemchokoza Messi kuwa magoli ya ku_dribble anafunga akiwa Spain tuu, mtamkoma.
Hata Manuer Neuer alisema kuwa atamuona Messi kuwa yeye ni nani, na matokeo yake uliyaona. Sasa subiri muone ngoma mtakayokwenda kuicheza.

Nini Nesi bana, watu tuna madoctor!?
 
Mimi huwa nawashangaa mnaposema hii Game haitabiriki, haitabiriki kiaje labda!!??
Hii Game Juventus anakaa bila wasiwasi kabisa, labda ni unpredictable sababu hatuwezi kujua Messi na Neymar watapiga ngapi, hatuwezi kujua Messi atawapiga matobo akina nani, hatuwezi kujua Messi atafunga kwa free kick/kwa driblling au kwa one-two.
Harafu siku hizi umekuaje yaani everlenk, umekuwa mzembe mzembe, hata wewe wa kusema hii Game haitabiliki, ni kweli everlenk!!?? Unanisikitisha kwa mtu kama wewe kusema hiv. Au kwa kuwa hauna imani na Man U unaona hata Barca vile vile, hii sio Man U. Barca hatuna mchezo kabisa.

Naona unajitutumua na hizi porojo wakati moyoni umejawa na hofu, sijui umepata wapi haka kaujasiri mwanakwetu, buguruni au?
Tushakwambieni magoli anayofunga Nesi huko Spain yataishia hukohuko, huyo kilikuu wenu ajiandae kufichwa kwenye makwapa ya Chiellini

#FinaAllaFinale
 
Last edited by a moderator:
huyu everlenk bado anachembe za kutoipenda Barca sababu yeye ana roho ya Man U, kuishabikia Barca ni kujikana. Unapaswa kuishabikia Barca tuu barani Ulaya na wala usiwe na timu nyingine.

Mmeanza kushikana uchawi wenyewe na buluda bado hajawapitia.
Kwi kwi kwi kwi.....eti kuishabikia Barca ni kujikana, lol
 
Last edited by a moderator:
The Uefa Champions League Trophy, nadhani nimeeleweka Mkuu

ha ha ha ha ha ha ha ha ha mwisho wa siku mtashia kusema barca kabebwa kwani hapo ndipo utakapozdsha chuki zako kwa messi kwani atawafanya vibaya na mshukuru Mungu yule Chellin kakimbia kujifanya majeruhi
 
Poleni sana ,vipi Barzagal naye amepona?

Barzagli jana na leo kafanya mazoezi vizuri tu, Chiellini ni pigo lakini wapo vijana wataziba pengo, Caceres na Ogbonna wapo fit wanasubiri kupewa namba tu
Ahsante mamy kwa pole
 
Back
Top Bottom