conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,129
- 790
Tumekuwa watu wa kulalamika mno.
Ni vema tukaja na solution ya matatizo.
Mfano;kipaumbele kipi maboresho ya jeshi kwa gafla au maboresho ya jeshi kwa hatua kutokana na mahitaji ya wakati na uwepo wa rasilimali pesa?
pili,kuongeza bajeti y jeshi au kuongeza bajeti ya huduma za jamii.
Tatu,kuboresha mahusiano na kukusanya taarifa na kuzichakata na uvumbuzi wa kisayansi au kuboresha vifaa na teknolojia ya kupambana vitani?
Hayo ni machache ya kutafuta majibu kutokana na kipato chetu km taifa.
Kila mtu ana umuhim wake
Ni vema tukaja na solution ya matatizo.
Mfano;kipaumbele kipi maboresho ya jeshi kwa gafla au maboresho ya jeshi kwa hatua kutokana na mahitaji ya wakati na uwepo wa rasilimali pesa?
pili,kuongeza bajeti y jeshi au kuongeza bajeti ya huduma za jamii.
Tatu,kuboresha mahusiano na kukusanya taarifa na kuzichakata na uvumbuzi wa kisayansi au kuboresha vifaa na teknolojia ya kupambana vitani?
Hayo ni machache ya kutafuta majibu kutokana na kipato chetu km taifa.
Kila mtu ana umuhim wake