JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Tumekuwa watu wa kulalamika mno.
Ni vema tukaja na solution ya matatizo.
Mfano;kipaumbele kipi maboresho ya jeshi kwa gafla au maboresho ya jeshi kwa hatua kutokana na mahitaji ya wakati na uwepo wa rasilimali pesa?
pili,kuongeza bajeti y jeshi au kuongeza bajeti ya huduma za jamii.
Tatu,kuboresha mahusiano na kukusanya taarifa na kuzichakata na uvumbuzi wa kisayansi au kuboresha vifaa na teknolojia ya kupambana vitani?

Hayo ni machache ya kutafuta majibu kutokana na kipato chetu km taifa.

Kila mtu ana umuhim wake
 
We mpumbavu kweli wew ...

Hyo israel na parestina ni kama ilala na Temeke.... Town city center tuu!!

Uwez linganisha kwa ukubwa wa nch!!!

Halafu hizo rocket hazipigi zaid ya mail 50 .. . ni jiran mnoo!!!!

Kama uamin!!! Njoo chombon field tukuonyeshe vitu ambavo ujawah kuvifikilia!! M*MAE
 
We mpumbavu kweli wew ...

Hyo israel na parestina ni kama ilala na Temeke.... Town city center tuu!!

Uwez linganisha kwa ukubwa wa nch!!!

Halafu hizo rocket hazipigi zaid ya mail 50 .. . ni jiran mnoo!!!!

Kama uamin!!! Njoo chombon field tukuonyeshe vitu ambavo ujawah kuvifikilia!! M*MAE
Anacheza huyu. Hakuna akijuacho
 
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
Unawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,
Unasema tu hiiiiiiiii unanyamaza. Vita leo hii ni sayansi tupu, vita kubwa haziganwi kwa SMG, AK 47 nk, leo hii watu wanacheza na computa Dude linakufata huko huko.
Vita ya bunduki ni kwa ajili ya kupambana na vikundu vya waasi lkn nchi kwa nchi taifa kwa taifa hatuhitaji askari wa kuvunja matofali kwa mikono wala kwa vichwa.
 
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
Wanafua wanajeshi kupeleka UN
 
Mleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?

Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?

Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
 
Mkuu iyo teknolojia ya kulinda anga ina uzwa ni fedhaa tu. Ata mwaka janantaifa kubwa la Turkey walinunua mitambo ya warusi .

Cha msingi ni kuwa na elimu iliyo bora
Nimependa sana huo mstari wa mwisho. Nashukuru kwa maoni yako!!
 
We mpumbavu kweli wew ...

Hyo israel na parestina ni kama ilala na Temeke.... Town city center tuu!!

Uwez linganisha kwa ukubwa wa nch!!!

Halafu hizo rocket hazipigi zaid ya mail 50 .. . ni jiran mnoo!!!!

Kama uamin!!! Njoo chombon field tukuonyeshe vitu ambavo ujawah kuvifikilia!! M*MAE
Mkuu inawezekana unapitia magumu sana. Pole sana kwa yanayo kusibu.
 
Sikatai some time uko sawa.

Ila sasa ujiangalie Hali ya Uchumi wako pia ujue kufika kule sio rahisi ikiwa wewe ulie post tuu huna hata cha ajabu ulicho kifanyia Jamii.

Mabadiliko mapinduzi yananzia na kwako hapo ulipo.Sasa kama kila mtu anatumia mitandao kukosoa lihali yeye mhusika nae ni mzigo katika taifa letu kwakuto kugundua tuu jinsi ya kutengeneza battery ya simu tuu ya Nokia ya Tochi si mzigo huo.

Kuhudumia Meli makombora na ndege vita kwa Budget yetu bado ni ndogo.

Sasa wewe unapokuja na Na wazo njoo na scientifically solution na sio porojo na siasa.

mkulima halisi
Uchumi wa kati hautoshi kununua makombora?
 
Kwahiyo hata wakitaka kwenda kukamata majambazi watumie technology? Au unataka watoe siri za kambi? Hivi bila mazoezi Askari si watakuwa na vitambi kabisa, acha wapasue siku ukikutana na wale wazee [emoji123] au ndoo ndiyo utajua

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
 
Mleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?

Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?

Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
Hujaelewa nilicho andika.
 
Back
Top Bottom