JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Ujinga mzigo

Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Hujaelewa mada mkuu, tuliza akili usome uelewe kabla hujajibu.

Kwa akili yako kuna mwanajeshi anakua mwanajeshi bila kupitia mafunzo ya viungo? Hoja ni kwamba pamoja na mazoezi ni lazima hawa wanajeshi wanolewe kwenye matumizi ya technolojia na sio kutumia mabavu pekee.

Tuliza akili uelewe punguza haraka.
 
Mleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?

Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?

Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
Hiyo ni self defense sio vita

Mfano wako wa kariakoo haujalenga lengo la mada (vita)

Mtoa mada kazungumzia vita sio fujo
 
Unawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,
vitoto vya CHADEMA kwa kudanganyana hamjambo .Hapa ni jeshi la marekani hao mnaoita wenye teknolojia wakifanya mazoezi ya kijeshi

 
Hiyo ni self defense sio vita

Mfano wako wa kariakoo haujalenga lengo la mada (vita)

Mtoa mada kazungumzia vita sio fujo
Vita ya ardhini unafikiri unapigana wapi? MIJINI UTAINGIA mitaani pia.Au uNAFIKIRI VITA NI angani tu ? Unatekaje miji bila kushuka ardhini na kuingia mitaani na vichochoroni kwenye watu wengi?
 
Tech ya kijeshi hawauzii nchi hovyo wanapewa nchi rafiki tu kuna silaha US kawapa Israel na tech wengine hawapewi kuna hiz ndege F35 kama sikosei UAE kalilia sana mpaka juzi kapewa sharti asign uhusiano na Israel na kuwa hata dhuru wa Israel ndio kaahidiwa atapewa. silaha na tech tunayouziwa ujue hiyo imeshapitwa na wakati au haina madhara kwao. Silaha zisikokuwa na upinzani hawauzi kwa mtu. Hizo ndege tu mpaka Congress wapitishe kwa masharti. Vita vya siku hizi hawa jamaa wanaweza kukaa baharini tu na wakaangamiza nchi kwa masaa tu hawaingii ardhini mpaka wajue hali yako taabani wanakuja kusafisha tu mabaki. Sisi size zetu hawahawa jirani zetu.
 
Vita ya ardhini unafikiri unapigana wapi? MIJINI UTAINGIA mitaani pia.Au uNAFIKIRI VITA NI angani tu ? Unatekaje miji bila kushuka ardhini na kuingia mitaani na vichochoroni kwenye watu wengi?
Ardhini wataingia lazima lakini ukiona wameingia ujuwe wanajuwa huna madhara tena uko hoi taabani.
 
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Unaota nchi vita si zote zinahitaji teknolojia vinginevyo Congo nA somalia WAASI WANGESHAISHA SIKU nyingi na boko haramu Nigeria wangeshaisha!!! Majeshi ya umoja wa mataifa yamewekeza kila aina ya teknolojia lakini wapi hakuna kitu!! Inabidi wasakwe physcically sio digitally!!!!
 
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
Kula 5...
 
Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
hao wanaonyesha ukakamavu tu mkuu sio vita
 
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

MTU ANAAJIRIWA HADI KUSTAAFU HAJUI KUWASHA COMPUTER, HAKIKA KUNA SHIDA KUBWA SANA
Bastola na bunduki huwa haiwashwi na computer!!!! bomu la kutupa kwa mkono haliihitaji kujua computer!!

Kuvuka mito yenye mamba kuingia eneo la dui misituni huhitaji computer

Askari hahitajiki tu mwenye akili nyingi anahitajika mwenye nguvu nyiki kuanzia kichwa chake kiwe na nguvu ,mikono yake iwe na nguvu na miguu yake iwe na nguvu sio nyoronyoro anayejua tu kubonyeza keyboard!!! Hiyo compute centre yake ikitwangwa na kombora atakuwa mgeni wa nani wakati hata vimiguu vyake nyoronyoro hata kukimbia hawezi na akikutana na adui baada ya kituo chake cha computer kushambuliwa hawezi hata mrushia ngumi au mateke na vichwa kuokoa maisha yake wasije mteka akatoa siri?
 
Unawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,
Unasema tu hiiiiiiiii unanyamaza. Vita leo hii ni sayansi tupu, vita kubwa haziganwi kwa SMG, AK 47 nk, leo hii watu wanacheza na computa Dude linakufata huko huko.
Vita ya bunduki ni kwa ajili ya kupambana na vikundu vya waasi lkn nchi kwa nchi taifa kwa taifa hatuhitaji askari wa kuvunja matofali kwa mikono wala kwa vichwa.
VIKUNDU VYA WAASI
 
Vita ya ardhini unafikiri unapigana wapi? MIJINI UTAINGIA mitaani pia.Au uNAFIKIRI VITA NI angani tu ? Unatekaje miji bila kushuka ardhini na kuingia mitaani na vichochoroni kwenye watu wengi?
kwani ardhini hutumii silaha?

Hili swala linaweza kuonekana gumu kujadilika kulingana na technology ambayo tupo nayo, wenzetu wana military drones ambazo zinaweza kufanya survey mijini na kumpoint target pasipo mtu kuja phsically eneo hilo
 
Nchi zote ambazo zimekuwa kiteknolojia askari bado anafundishwa kuwa mkakamavu. Sijaelewa unachoongea kwa kweli, kwamba physical endurance isiwepo kwa askari ndo unachokisema?
 
Back
Top Bottom