conservative3
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 1,129
- 790
Anacheza huyu. Hakuna akijuachoWe mpumbavu kweli wew ...
Hyo israel na parestina ni kama ilala na Temeke.... Town city center tuu!!
Uwez linganisha kwa ukubwa wa nch!!!
Halafu hizo rocket hazipigi zaid ya mail 50 .. . ni jiran mnoo!!!!
Kama uamin!!! Njoo chombon field tukuonyeshe vitu ambavo ujawah kuvifikilia!! M*MAE
Unawaza kama mimi na hakuna nimekuwa nikikidharau kama kuona wanaoitwa makomandoo wetu wakishindana kuvunja tofali pale taifa, na kuruka kwenye ndege kwa kutumia parachuti,Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!
Wanafua wanajeshi kupeleka UNNimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!
Hiyo ni moja, mbili..
Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.
Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..
Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!
Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!
Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!
Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!
Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!
Zindukeni dunia imebadilika hii!!
Naomba kuwasilisha!
Nimependa sana huo mstari wa mwisho. Nashukuru kwa maoni yako!!Mkuu iyo teknolojia ya kulinda anga ina uzwa ni fedhaa tu. Ata mwaka janantaifa kubwa la Turkey walinunua mitambo ya warusi .
Cha msingi ni kuwa na elimu iliyo bora
Ujinga mzigoVita leo hii ni sayansi tupu, vita kubwa haziganwi kwa SMG, AK 47 nk, leo hii watu wanacheza na computa tu
Mkuu inawezekana unapitia magumu sana. Pole sana kwa yanayo kusibu.We mpumbavu kweli wew ...
Hyo israel na parestina ni kama ilala na Temeke.... Town city center tuu!!
Uwez linganisha kwa ukubwa wa nch!!!
Halafu hizo rocket hazipigi zaid ya mail 50 .. . ni jiran mnoo!!!!
Kama uamin!!! Njoo chombon field tukuonyeshe vitu ambavo ujawah kuvifikilia!! M*MAE
Uchumi wa kati hautoshi kununua makombora?Sikatai some time uko sawa.
Ila sasa ujiangalie Hali ya Uchumi wako pia ujue kufika kule sio rahisi ikiwa wewe ulie post tuu huna hata cha ajabu ulicho kifanyia Jamii.
Mabadiliko mapinduzi yananzia na kwako hapo ulipo.Sasa kama kila mtu anatumia mitandao kukosoa lihali yeye mhusika nae ni mzigo katika taifa letu kwakuto kugundua tuu jinsi ya kutengeneza battery ya simu tuu ya Nokia ya Tochi si mzigo huo.
Kuhudumia Meli makombora na ndege vita kwa Budget yetu bado ni ndogo.
Sasa wewe unapokuja na Na wazo njoo na scientifically solution na sio porojo na siasa.
mkulima halisi
Sawa sawa.hata kukamata wezi napendekeza watumie chopa...
yaaan vuuuuuuuuu
Kwa hiyo unamaanisha yale mafunzo ya JWTZ ni special kwa ajili ya kukabiliana na vibaka wa mtaani?Ujinga mzigo
Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Labda atarudi kwenye mtambo akabonyezeUjinga mzigo
Kwa hiyo mfano ukiwa mwanajeshi uko doria mtaani akija akija kibaka kwa nyuma yako akakukaba utabonyeza computer? kuumchomoa kwenye shingo yako kiteknolojia mjinga wewe?
Hujaelewa nilicho andika.Mleta mada hujui usemacho chulia watu wamekuteka nyara wamekunyanganya silaha utapigana kwa teknolojia ipi zaidi ya kutumia ngumi mateke karate na kichwa chako?
Chukulia watu wanaleta vurugu eneo kama kariakoo ,gari haiwezi ingia je utatumia bunduki kuwapiga risasi wote kwenye vichochoro na mitaa iliyobanana ambayo ina vichochoro vingi?
Vita za ardhini mbali na kutumia silaha zinatuimia ngumi ,mateke na vichwa na karate.Wewe unawaza vita tu ya teknolojia utakuja tekwa mjini ulambwe makofi ubaki unalia tu kama bwege usiyeweza hata kujitetea kwa vichwa ,ngumi na mateke
hata hiyo bado tupo nyuma sana kwa speed ya lightSisi tunapigana vita kubwa zaidi, vita ya kiuchumi na mabeberu