JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Paratroopers wa Marekani sio wa kike tu mkuu.
 
hata kama unailinda dhidi ya makombora kikosi cha makomandoo cha adui chaweza vamia physically .Unasubiria kombora lije unasikia watu wakishambulia ardhini hapo hapo kilipo na mibomu na mirisasi na askari wa ardhini
Wanajeshi wako vitengo tofauti, so hakuna vile mnavamiwa bila kutarajia, sehemu ya Tech ni specific kuwapa uongozo jeshi la ardhini, la anga hata la majini na pia tech yenyewe ikiwa kwenye vifaa mnavyotumia kama nchi, yaani vifaa viwe advanced kulingana na kisomo cha ujeshi mlichonacho, itakuwa salama kwa taifa kujitetea siku hizi!
 
nenda jerusalemu Israel uone kila ukipishana na watu 10 wanne ni askari waliovaa nguo za kijeshi wakiwa na bunduki kabisa pamoija na teknolojia yao

Hakuna jiji lenye askari wengi kama Jerusalem ISRAEL
Israel, military training is compulsory to every youth. National military service is mandatory for all Israeli citizens over the age of 18, although Arab (but not Druze) citizens are exempted if they so please, and other exceptions may be made on religious, physical or psychological grounds.
Regular Service
Permanent Service
Reserve Service
Special Service
Ndio maana Akari hadi Jeshi wako wengi, na almost kila mtu yuko fit kutumia silaha if needed.
 
Sasa huyo wa kuvunja matofali, ndio ataacha jiwe limpate sababu ni sugu ama ni vipi? 😂
Once uko ground battle, ni kuoteana tu, rusha jiwe, narusha risasi, nakuzima. Rusha risasi, nami nikujibu na risasi, kwani iko nini. Vita ni vita, physical fitness inakusaidia kukufanya uvumilie kwa mda mrefu hata ukiwa umejeruhiwa, unaweza kufikiria timamu sio ku panic ka mtu asiyejielewa. 😂
 
Wakati vitoto vya juzi vinaunda ma rocket ya hataree kule! 🤣 🤣 🤣
 
Mkuu watu tumezoeshwa "afande katere ova, tumefika LZ ova n out".... 😂 😂 😂 Hawajui vikosi vya nchi developed sahi wanacheza na tactical gear za maana, digital tech equipments na skills hataree.
 
Mkuu T1, nimekupata sana hapo ila kakako anaongelea Military Modernization sio air defence tu bali vikosi vyote kuwa Advanced kiteknolojia na kuwa na uwezo wa kuvitumia, labda wakipelekwe mafunzo.
 
Ni wapi nimesema tununue iron dome? Hoja yangu ni kwamba tuwekeze kwenye tech na kuwekeza kwenye tech sio lazima kununua iron dome!!
Inaweza anza pole pole kweli, kama kununua vifaa latest na ku replace zile old ones, moja baada ya moja.
 
Vita ni kama game plan ya mechi za mpira wa miguu

Hao waisrael walienda Uganda kimyakimya kuwaokoa watu wao na kuondoka nao kimya kimya mbona hawakuenda na makombora yao
Israel vs Palestine... Sio Uganda, ile ilkuwa spec op kuokoa raia, makombora si ni kuhatarisha maisha ya captives, huoni hilo? Na pia spec ops huwa kimya kimya, sio nchi waenda pigana nayo ni bali kikundi cha watu
 
Tech inaweza kutumika kwa njia tofauti tu sio lazma iwe kombora au drones. Hata intelligence inatumia tech nyingi sana, sababu bila tech ya Intel kupitia spy drones, Osama hangejulikani pahali yuko. Hadi siku anauliwa, Waamerika walikuwa na info tayari kwamba jamaa bado ako ndani ya lile jumba, hajatoka, hiyo yote thanks to technology. Kuna spec ops spy's walikuwa kwa ground in disguise kama wenyeji, walikuwa wanapiga picha pia kila siku ile nyumba Osama alikuwepo, kitakachoingia na kutoka, wakitumia Camera yenye kuvuta picha kwa ukaribu, wao wenyewe wilikuwa wamekodi jirani mbali kiasi tu na Osama. Picha zote wanazituma HQ kutumia hiyo hiyo tech, so tech ni muhimu sana kurahisisha kazi ya usalama.
 
Area51 marekan wanakuua kabisa

We unasema kulishwa wali na kuogeshwa lita1..
Aliyewahi kufa ni mmoja na yote hayo sababu hakutii sheria. Ila hawaui watu ukikaribia pale, tayari ushatumiwa wanajeshi wanakuja kukushika na kukupeana kwa polisi ama wakurudishe pahali umetoka.
 
Izo technology zinauzwa lakini kama taifa tukiamua kuwekeza kwenye kuunda zakwetu inawezekana. Control system engineering ni ile ile dunia nzima tatizo ni mtaji na rasilimali watu kutekeleza hayo bahati mbaya sana taifa letu au watu wenye mamlaka wanaamini vitu hivyo ni lazima vinunuliwe nje. Nimeshangaa sana hata mfumo wa luku hatujaunda sisi inamaana vijana wetu tuliwapeleke shule kushangaa vimbeta. China imepeleka chombo mars lakini 80% ya workforce wako below 30 kwa hivyo ni muhimu taifa kuwaamini vijana wake na kuwapa majukumu muhimu na sio kutunanga bila sababu majukwaani bila kuwapa majukumu makubwa Kama hayo
 
Una pwenti mwanangu. Hata karate tulishaachana na kuoteshana manundu. Mwenye akili na atie akilini.
 
Jeshi ni siri . Naongea kwa uzoefu
acha kudanganya watu, dunia sasa usiri wa jeshi unabaki kwenye tactics and strategy ila sio kwenye technology.

jeshi linapokuwa na teknolojia yake ni rais kuitangaza teknolojia hiyo kwenye mataifa mengine na kuiuza.

marekani, israeli, urusi na china wanaingiza mapato makubwa kwa kuuza zana za kivita na mifumo ya kiulinzi kwa mataifa mengine.

biashara hii haijawahi kuwa siri. ndio maana mwaka 2014 jwtz iliponunua zana za kivita kutoka china, kila kitu kiliwekwa wazi na dunia ikajua.
Tanzania acquires new amphibious tanks, rockets and other weapons from China - defenceWeb

kuonyesha kwamba ktk dunia ya sasa hakuna usiri unaousema kwenye masuala ya jeshi, mwaka 2019 jwtz ilinunua helicopter za kijeshi na dunia nzima ilijua.
African Aerospace - Tanzania takes delivery of new helicopters
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…