JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

JWTZ badilikeni, dunia ya sasa hakuna vita ya kuvunja matofali kwa kichwa!

Nimekua nikifuatilia vita ya Israel na Hamas huko ukanda wa gaza. Ninachoshangaa hamna ngumi wala kareti ni makombora yanavurumushwa angani kama mvua!

Hiyo ni moja, mbili..

Nimevutiwa jinsi Israel inavyotumia "engineering na science" kulinda nchi yake... kombora zinarushwa kutoka gaza ila zinazo tua ardhini chache sana kutokana na nguvu ya technolojia ya kulinda anga ya IRON DOME.

Yani kombora kabla halija tua lina maliziwa huko huko angani..

Sasa najiuliza hayo makombora yaliyo rushwa kwenda Israel na yakamalizwa kabla hayajatua ardhini je yangetua pale Magogoni au pale posta au pale kariakoo kuna Mtanzania hata mmoja angepona kweli?

Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!!

Unaweza pigwa na kanchi kadogo kisa tu kanatumia technolojia wakati wewe umewekeza kwenye mabavu na kuvunja matofali kwa kichwa!

Dunia ya sasa ni bora uwe na jeshi la watu 1000 wenye IQ kubwa na wenye kuweza kutumia technolojia kuliko uwe na jeshi la watu milioni moja ambao hawajui hata kuwasha kompyuta!

Ajirini vijana wenye IQ/Akili kubwa ili muwatumie katika technolojia na tafiti mbalimbali za kitechnolojia!!

Acheni kuangalia TBC kila saa washa Aljazeera mjifunze kichoendelea huko gaza na jinsi wenzetu wanavyowekeza kwenye technolojia!!

Zindukeni dunia imebadilika hii!!

Naomba kuwasilisha!
Hiyo ya kuvunja tofali kwa kichwa hutumika kwenye show si practise za vitani sababu kuonyesha mafunzo yenu kisheshi ni uzaifu hivyo utampa adui nafasi ya kukujua.
Kwahiyo kile hakitumiki vitani, ukitaka kujua hakitumiki kawachokoze.
Kwa tulio pata mafunzo tunaelewa
 
Hiyo ya kuvunja tofali kwa kichwa hutumika kwenye show si practise za vitani sababu kuonyesha mafunzo yenu kisheshi ni uzaifu hivyo utampa adui nafasi ya kukujua.
Kwahiyo kile hakitumiki vitani, ukitaka kujua hakitumiki kawachokoze.
Kwa tulio pata mafunzo tunaelewa
Kama mnajiami kama taifa hata adui hawezi kukushtua akijua training zenyu. Nafkiri ushawahi ona "Surviving The Cut" ya America, documentary kuhusu training zao kwa vikundi tofauti tofauti za kijeshi. Sasa kama ingekuwa siri, wasingelitoa ile series, hii inamaana wanajiami. Na ukumbuke sio ati wamekuonyesha full training, la hasha, kuna zile training sensitive au za undani ndio hawaonyeshi lakini sehemu kubwa ya basic traning till first graduation wanakuonyeshaiv live.
Hao Alqaeda wenyewe wanakula training, nishaona video zao, na bado wanapepetwa tu kama vipi.
Afrika ndio tunaogopeana na kuwa na siri nyingi za utopolo ilhali hatujafika hata level zakuji mwambify.
Third world countries we're so much behind... 😂 😂 😂
 
Kaweke akili charge. Battery low.

Kwa hilo Boko ulilolitoa kama akili zako zingekua zinaCharge a bit......

America wasingekua na wale jamaa wa NAVY SEALS au MARINES ambao wao wanavunja nazi kwa ugoko.

Kacharge akili izo au battery haikai na chaji??????

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
Mbona umepanick sana? Umekutwa na nn? Lol [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
acha kudanganya watu, dunia sasa usiri wa jeshi unabaki kwenye tactics and strategy ila sio kwenye technology.

jeshi linapokuwa na teknolojia yake ni rais kuitangaza teknolojia hiyo kwenye mataifa mengine na kuiuza.

marekani, israeli, urusi na china wanaingiza mapato makubwa kwa kuuza zana za kivita na mifumo ya kiulinzi kwa mataifa mengine.

biashara hii haijawahi kuwa siri. ndio maana mwaka 2014 jwtz iliponunua zana za kivita kutoka china, kila kitu kiliwekwa wazi na dunia ikajua.
Tanzania acquires new amphibious tanks, rockets and other weapons from China - defenceWeb

kuonyesha kwamba ktk dunia ya sasa hakuna usiri unaousema kwenye masuala ya jeshi, mwaka 2019 jwtz ilinunua helicopter za kijeshi na dunia nzima ilijua.
African Aerospace - Tanzania takes delivery of new helicopters
Sawa kiongozi, siwezi kupinga mawazo yako..
 
Hivyo vyote kwenye vita vinahitajika kwa sababu mazingira yote hayo kwenye uwanja wa vita yapo. Kuvunja matofali huko ni kuonyesha tu ukomavu wa mtu na hiyo hali ipo majeshi yote duniani.

Mazoezi ya kuvunja tofali yanaingia kwenye hand to hand combat. Hii inatumika kwenye vita ya ardhini. Muda mwengine mnaweza mkakamatwa kama mateka na maadui na hii inatokea kwenye vita ya ardhini.

Kuna hali mnafundishwa kwa kuangalia mazingira fulani ili kupambana na kujiokoa mikononi mwa adui. Hii hali unafikiri mtatumia nini kujiokoa? Ndiyo yale mfano wa maonyesho ya makomandoo!

Yaani usipokuwa na silaha bunduki utatumia silaha gani kujiokoa na kufanya shambulizi kwa adui yako? Hivyo silaha si makombora na bunduki pekee! Bali hata yeye binadamu (mwanajeshi) ni silaha.
 
Sawa kiongozi, siwezi kupinga mawazo yako..
Hahaha huyu jamaa bhana!
Hajui teknolojia inayotangazwa ni tofauti na aliyonayo mhusika. Yaani ni teknolojia ambayo kwake imeshapita.

Hafahamu pia biashara za silaha zinafanyika kwenye black market.

Halafu hizi silaha anazozisema mbona zilishaonyeshwa hata kwa raia kipindi cha Mwamunyange?

Huyu kijana anaongelea nini?
 
Kuna ukweli lakin nchi za wenzetu kuna wasomi wengi wamegundua mambo mengi sana sisi bado sana
 
Kuna ukweli lakin nchi za wenzetu kuna wasomi wengi wamegundua mambo mengi sana sisi bado sana
 
Kakwambia nani hivi?
Kwa hiyo mimi kila kitu mpaka niambiwe na nani maana sina akili, ndio shida ya wa Tanzania kila kitu kakwambia nani utasema sisi manyani hatuna akili ya kujuwa mambo. najuwa sana mambo ya vita ardhini wanaingia wakijuwa tu hatari ya kupoteza maisha ya askari ni ndogo vita ni mahesabu sio kukurupuka tu.
 
Mkuu special mission ya jeshi la merikani kumteka ama kumua Osama bin Laden, hawakutumia karate, wala uvunjaji wa matofali kwa kichwa, ilihusisha vifaa vya technologia ya kisasa ujuzi na usahihi wa hali ya juu, unao hitaji akili nyingi zaidi ya mabavu.
We Duwanzi kweli.

Waliommaliza Bin Laden walikua ni MARINES au NAVY SEALS??

If yes, kaangalie mazoezi yao au actions zao.

Hivi kumbe lishe duni utotoni ina madhara makubwa kiasi hichi mpaka uwezo wa kutumia kichwa unakua hakuna.

TFNC wanayo kazi

Sent from my SM-A505F using JamiiForums mobile app
 
Wanafua wanajeshi kupeleka UN

badala ya kuwapeleka kwenye nchi zilizopiga hatua kwenye teknolojia wakajifunze waje kufanya hapa sisi tumeushia tu hapo UN tena hao washua wakisha retire na kurudi home wanatuvimbia sana[emoji23] mimi huyo nilikuwa UN ujue. Yaan kazi kweli
 
Kulingana na hii website,Tanzania military power rank;24 kwa Africa na 109 kwa dunia eshi letu linajua tu kutishia upinzani
 
Yale ni mazoezi Ili hata ukitekwa ukipigwa tofali ni kama umepigwa na mkate kichwani
 
Sikatai some time uko sawa.

Ila sasa ujiangalie Hali ya Uchumi wako pia ujue kufika kule sio rahisi ikiwa wewe ulie post tuu huna hata cha ajabu ulicho kifanyia Jamii.

Mabadiliko mapinduzi yananzia na kwako hapo ulipo.Sasa kama kila mtu anatumia mitandao kukosoa lihali yeye mhusika nae ni mzigo katika taifa letu kwakuto kugundua tuu jinsi ya kutengeneza battery ya simu tuu ya Nokia ya Tochi si mzigo huo.

Kuhudumia Meli makombora na ndege vita kwa Budget yetu bado ni ndogo.

Sasa wewe unapokuja na Na wazo njoo na scientifically solution na sio porojo na siasa.

mkulima halisi
Hivi kwa nn Nyie kila kitu mnalalamika hamna uwezo , mbona wezi wa matrilioni ya pesa mnaficha huko ugaibuni
 
Nadhani ni wakati sasa TISS na JWTZ wakaanza kuwekeza kwenye technolojia zaidi maana vita vya kisasa ni technolojia na sio mabavu!
Weeeeeeee, acha uchokozi; fuatilia mafunzo ya NAVY SEAL Uone wanafanya nini
 
Back
Top Bottom