JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

Urio angekuwa na baraka za jeshi MP (military police) angeenda mahakamani kutoa ushahidi.

Kifupi dogo kazi Hana tena Bora angekuwa other ranks lakini officer wa jeshi (comissioner) pumbafu sana unaenda kupeleka taarifa kwa raia police?

Kijeshi police ni raia mkakamavu
Mshenzi huyo jamaa, anyway wahusika jeshini ni MI (Military Intelligence) not MP (Military Police). Ambao kimsingi ni wanafanya kazi pamoja tu.
 
Mshenzi huyo jamaa, anyway wahusika jeshini ni MI (Military Intelligence) not MP (Military Police). Ambao kimsingi ni wanafanya kazi pamoja tu.
Kalichafua sana jeshi. Pale kutoa ushahidi angekuwa na MP nafikiri ndio utaratibu
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Kesi ilifunguliwa July 18 2020.

Urio alianza kuwasiliana na Mbowe kwajili ya kukusanya hao vijana julya 24 inamaana kesi ilifunguliwa kabla ya hawa wahusika kufanya kosa ?
 
Mpu
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
We Zezeta sana.Yaani Kama ni kweli huyo dci ni Mpumbavu wa kutosha pamoja na Urio wake. Yaani mtu awe gaidi alafu umpe mtu kwa miaka 12 ili upate taharifa zake. Miaka yote hiyo gaidi anakuchekea tu. hii nchi mbona Ina wapumbavu wengi kiasi hiki. Yule Musa aliyeua Askari wetu mlimpa mda gani kutosha kuwaonyesha alichokionyesha?. Mpaka mkaomba wazazi wazae watoto wema?. Huo mda alioachiwa Mbowe Kama angekua gaidi kweli huyo Urio mngemlaumu mpaka mnaenda kaburini. Ana ushujaa wowote zaidi ya Ujinga wa kutumika na wanasiasa. Alafu una sapoti ujinga sababu ya siasa mavi kunuka.
 
Gaidi
kama anatumika kunasa wahalifu, kuna shida gani hapo?
Umpe Gaidi miaka 12 anakuchekea tu siyo. Na Musa alipewa mda gani na Urio?. Kuwauwa wale Askari wetu?. Unalegeza pua anatumika kunasa waharifu. Unafikiri gaidi anaitaji kipele chako hicho hili kufanya Ugaidi. Ukijua Gaidi na tabia zao usingeongea upumbavu wa aina hii
 
Hawezi kukujibu inaitajika akili yenye uwezo wa kufikiri
Kesi ilifunguliwa July 18 2020.

Urio alianza kuwasiliana na Mbowe kwajili ya kukusanya hao vijana julya 24 inamaana kesi ilifunguliwa kabla ya hawa wahusika kufanya kosa ?
 
Wachangiaji wengi humu wanaendeshwa na mihemko ya ufuasi wa Mbowe.

Huku wakiwa hawajui mfumo mzima wa mambo mengi wanayoyajadili humu.

Wengi hawajui kwamba hata Jeshini kuna kitengo cha intelijensia za kijeshi.

Kitengo hiki kiko ndani ya makambi pamoja na uraiani pia.
Kinawajibika kuangalia na kufuatilia mienendo ya askari wake wote.
Tabia na Mienendo yao toka ndani ya makambi hadi huku uraiani,hufuatiliwa kwa umakini wa hali ya juu.
Na pale askari anapobainika kwenda kinyume na sheria za kijeshi,basi hukamatwa na kesi zao hufanyika huko huko jeshini kwenye mahakama zao za kijeshi.
Ndio maana tunawaona wale Military Police maarufu kama ma-MP.

Linapokuja suala la kina Adamoo,Luteni Urio sio mjinga kama wafuasi wa chadema mnavyojiamisha.

1 - Kwanza ni lazima atakuwa alitoa taarifa kwenye ngazi husika ndani ya jeshi alikoajiriwa.
Hii ndio maana haijamletea mgogoro kati yake na mwajiri wake.

2 - Lazima ieleweke kwamba suala la kina Adamoo wakati wa tukio hilo tayari walikuwa si wanajeshi.(kutokana na kufukuzwa).
Hivyo Walikuwa ni raia wa kawaida.
Na hivyo kulikuwa hakuna namna jeshi lingeanza kuhusika na ufuatiliaji wa mambo yaliyohusu kesi ya matukio ya uraiani.
Ambayo pia ilikihusu chama cha siasa nchini.

3 - Na hivyo hakuna kitengo sahihi kwa makosa ya Jinai ya uraiani zaidi ya ofisi ya DCI.

4 - Luteni Urio atakuwa alifanya hivyo kutokana na maelekezo toka uongozi wa pande mbili.na alipata ridhaa kutoka kwa viongozi wake pia.

Na ndio maana amekuja mahakamani kama Shahidi wa serikali,dhidi ya Aikaeli Mbowe na wenzake watatu.

Kama kina Adamoo wangekuwa wakipanga mipango ya kulihujumu jeshi moja kwa moja.
Pia kuna kitengo maalum jeshini ambacho kingehusika nao mpaka mwisho.

Ila mwisho wa siku kesi yao ingeangukia kwenye uhaini na wangeshitakiwa kwenye mahakama za kiraia.Sababu walikwisha poteza sifa kuu ya kushitakiwa kwenye mahakama za kijeshi.

5 - Nina amini kwamba hata Luteni Urio,baada ya kuripoti tukio hilo kwenye ngazi husika,lazima naye alibaki kwenye uchunguzi au ufuatiliwaji wa nyendo zake zote na vitengo husika toka ndani ya jeshi.

My take:

Sioni sababu ya kila mwanachama wa chadema kugeukia uanasheria,wakati chama kimeweka Mawakili Wasomi kazini.

Vinginevyo ni kujiumiza na kupoteza muda kwa mijadala isiyoweza kubadili ukweli halisi wa mwenendo wa mahakamani kuhusiana na kesi iliyoko kortini.
 
Nilichojifunza kwenye hii kesi so far ni kuwa CCM ni waoga na hawako tayari kuondoka madarakani iwe jua iwe mvua. Sasa kama kila uchaguzi wanashinda kwanini wanaogopa hivi?
 
Nilichojifunza kwenye hii kesi so far ni kuwa CCM ni waoga na hawako tayari kuondoka madarakani iwe jua iwe mvua. Sasa kama kila uchaguzi wanashinda kwanini wanaogopa hivi?
Jifariji kisha jioni ule ulale.
 
Wachangiaji wengi humu wanaendeshwa na mihemko ya ufuasi wa Mbowe.

Huku wakiwa hawajui mfumo mzima wa mambo mengi wanayoyajadili humu.

Wengi hawajui kwamba hata Jeshini kuna kitengo cha intelijensia za kijeshi.

Kitengo hiki kiko ndani ya makambi pamoja na uraiani pia.
Kinawajibika kuangalia na kufuatilia mienendo ya askari wake wote.
Tabia na Mienendo yao toka ndani ya makambi hadi huku uraiani,hufuatiliwa kwa umakini wa hali ya juu.
Na pale askari anapobainika kwenda kinyume na sheria za kijeshi,basi hukamatwa na kesi zao hufanyika huko huko jeshini kwenye mahakama zao za kijeshi.
Ndio maana tunawaona wale Military Police maarufu kama ma-MP.

Linapokuja suala la kina Adamoo,Luteni Urio sio mjinga kama wafuasi wa chadema mnavyojiamisha.

1 - Kwanza ni lazima atakuwa alitoa taarifa kwenye ngazi husika ndani ya jeshi alikoajiriwa.
Hii ndio maana haijamletea mgogoro kati yake na mwajiri wake.

2 - Lazima ieleweke kwamba suala la kina Adamoo wakati wa tukio hilo tayari walikuwa si wanajeshi.(kutokana na kufukuzwa).
Hivyo Walikuwa ni raia wa kawaida.
Na hivyo kulikuwa hakuna namna jeshi lingeanza kuhusika na ufuatiliaji wa mambo yaliyohusu kesi ya matukio ya uraiani.
Ambayo pia ilikihusu chama cha siasa nchini.

3 - Na hivyo hakuna kitengo sahihi kwa makosa ya Jinai ya uraiani zaidi ya ofisi ya DCI.

4 - Luteni Urio atakuwa alifanya hivyo kutokana na maelekezo toka uongozi wa pande mbili.na alipata ridhaa kutoka kwa viongozi wake pia.

Na ndio maana amekuja mahakamani kama Shahidi wa serikali,dhidi ya Aikaeli Mbowe na wenzake watatu.

Kama kina Adamoo wangekuwa wakipanga mipango ya kulihujumu jeshi moja kwa moja.
Pia kuna kitengo maalum jeshini ambacho kingehusika nao mpaka mwisho.

Ila mwisho wa siku kesi yao ingeangukia kwenye uhaini na wangeshitakiwa kwenye mahakama za kiraia.Sababu walikwisha poteza sifa kuu ya kushitakiwa kwenye mahakama za kijeshi.

5 - Nina amini kwamba hata Luteni Urio,baada ya kuripoti tukio hilo kwenye ngazi husika,lazima naye alibaki kwenye uchunguzi au ufuatiliwaji wa nyendo zake zote na vitengo husika toka ndani ya jeshi.

My take:

Sioni sababu ya kila mwanachama wa chadema kugeukia uanasheria,wakati chama kimeweka Mawakili Wasomi kazini.

Vinginevyo ni kujiumiza na kupoteza muda kwa mijadala isiyoweza kubadili ukweli halisi wa mwenendo wa mahakamani kuhusiana na kesi iliyoko kortini.
Yeye ameshasema hajawaambia Viongozi wake jeshini, wewe unayehisi unasema una uhakika aliwambia Viongozi wake! Hapo hata kama si mfuasi wa Chadema kama nilivyo mimi, utagundua tu Kuna dosari! Unajua katika uongo lazima Kuna ukweli pia, na ukweli wenyewe ni Luteni kutowaambia viongozi wake!

Mfuatilie vizuri Kaka, utagundua Kuna shida katika ushahidi wake, kuanzia kazini kwake hadi anayoyasema kizimbani!
 
Gaidi

Umpe Gaidi miaka 12 anakuchekea tu siyo. Na Musa alipewa mda gani na Urio?. Kuwauwa wale Askari wetu?. Unalegeza pua anatumika kunasa waharifu. Unafikiri gaidi anaitaji kipele chako hicho hili kufanya Ugaidi. Ukijua Gaidi na tabia zao usingeongea upumbavu wa aina hii
ndio maana tunasema mnafikiria kwa kutumia kamasi, sio ubongo ninyi. akilini mwako umeweka kwamba gaidi ni yule anayevaa mabom, soma sheria ya ugaidi utaelewa vizuri kuliko kushika pua kama mwimba taarabu.
 
the
Kama hayo uliyoandika yangekuwa na ukweli,kusingekuwepo na kasoro nyingi hivi katika ushahidi muhimu wa Urio.
Walishindwa kurecord mazungumzo Kati ya Urio na Mbowe?Urio anakiri mahakamani kuwa hakuna neno ugaidi popote katika mawasiliano yao,sasa umuhimu wa ushahidi wake katika kesi hii uko eneo gani? Hivi mawakili wasomi wa serikali walijua kabisa Urio ataenda kusema alichokisema na bado wakajiridhisha?
the mere fact kwamba urio alikuwa na contact na mbowe, jambo ambalo hadi sasa halina ubishi, linatosha kumwamini urio kama mahakama itamwona credible. credibility of a witness inapimwa kwa vigezo vingi. ukitaka nikwambie hivyo vigezo lipia ada kabisa. sitakupa desa la bure. hujui kitu wewe.
 
Kwa hiyo hizo chainsaw za kukatia miti, vilipunzi, silaha na video vikawashinda kuvipata. Na bado mtu awao anayimba tu. Ama kweli fumbo mfumbe mjinga lakini si mwerevu.
hivi mnajua prosecution walimleta Urio kuja kuthibitisha nini? mnafikiri aliletwa kuja kuthibitisha kila kitu au pale tu walipoona pa kwake, kwengine kwa wengine.
 
Yaani hata baad ya cross examination za juzi na jana bado huoni kuwa Urio hana ushaidi wa kimahakama?. Mahakama haitoi hukumu kwa kuangalia kama unasema ukweli au uongo, bali kwa kuwa na vithibisho visivyoacha shaka juu ya huo ukweli au uongo wako.
mahakama haitoi hukumu kama mtu anasema ukweli au uongo? unajua unachoongea? unajua thamani ya oral evidence viz a vi exhibits etc? kwa taarifa yako, ushahidi wa mdomo una nguvu sana kuliko hata vithibiti. hasa kama Mahakama, kwa kumwangalia shahidi, kwa kuangalia mtiririko wa maneno n.k, itafikia conclusion kwamba hapa kwa kumwangalia tunaona anasema ukweli mtupu. ukiona mahakama imesema hivyo tu, basi, shahidi anakuwa credible, na credibility of a witness ni monopoly ya trial court. endeleeni kufikiri kwa kutumia kamasi.
 
Urio angekuwa na baraka za jeshi MP (military police) angeenda mahakamani kutoa ushahidi.

Kifupi dogo kazi Hana tena Bora angekuwa other ranks lakini officer wa jeshi (comissioner) pumbafu sana unaenda kupeleka taarifa kwa raia police?

Kijeshi police ni raia mkakamavu
Polisi mkakamavu Ila cha ajabu anahenyesha makomandoo, Kuna haja ya kuangalia upya hizi training za Hawa makomandoo wetu Wa Jwtz
 
Hh

Akili zingine bwana! Katiba mpya LAZIMA. Samia alihojiwa BBC akasema Mbowe alijificha Nairobi na wenzake wameshahukumiwa. (It is in record Mbowe alipopata msiba Samia alimpa pole. Huyu rais gani anampa gaidi Salam a pole?)Nani ambae yuko jela kwa makosa ya ugaidi? Hiyo kesi iliendeshwa mahakama ipi? Mbowe kuitisha kongamano la katiba Mwanza ndio gafla akageuka gaidi? Na hapa namshauri Kibatala aitake mahakama imuite Samia aje athibitishe madai yake mahakamani. Alijaribu ku-influence mahakama. Kwa hiyo unapoambiwa kesi hi ni ya mchongo ni kwa sababu hizi na nyingine.
Samia sio mwanasheria, usitegemee mtu ambaye sio mwanasheria awe perfect kwenye kauli, kwa taarifa yako leo hii kuna watu huwa wanaamini ukifungua kesi polisi, imeshafunguliwa mahakamani. msishikilie bango kitu ambacho hakina hata mantiki.
 
Kwemye uwanja wa inteligency sio maneno maneno evidency ndio jambo la msingi. Kwa vyovyote walipaswa kupata sauti ya Mbowe na washirika wake wakipanga mkakati yao yote. Hilo halikufanyika aidha na Urio au hata watoa taarifa wake.

Wala hawakuzipata kwenye forensic investigation hivyo inakuwa ni maneno maneno. Na ndio inatupa picha kwamba

Vyombo muhimu vya ulinzi na usalama havikushirikishwa badala yake kuna watu walikaa na kujitungia tuhuma.
Ama Jeshi na vyombo vingine vilihusishwa kuona hakuna issue lakini kina Kingai et al wakaamua kivyao bila credible evidence
wangepata sauti ya mbowe, wangelazimika kupata voice expert. kikubwa ambacho nawasifu walifanikiwa kukifanya ni kupata print out za mawasiliano yake, ili kuthibitisha kwamba ni kweli aliwasiliana na urio na wengine, mitandao ya voda etc huwa haidanganyi. na urio ndicho alichokuja kuthibitisha zaidi ili akiweka msingi hapo basi maneno yake yanakuwa yanaaminiwa. sauti hata ingeletwa ni ngumu kuthibitisha kama ni ya kwake au ya kuiga, hata ukileta voice expert bado expert opinion does not bind the court, mahakama inaweza weka pembeni hailazimishwi kuutumia kama ikiona hamna kitu. hivyo ushahidi waliokusanya ni sahihi kabisa.si ulimwona urio akisoma msg walizokuwa wanawasiliana? au hukusikia.
 
Shahidi wenu muhimu ni huyu urio na huyu anapuyanga tu hana lolote analolijua sasa nenda na wewe ukapeleke uthibitisho urio hana
kesi haijafungwa, hao mawakili wa serikali naamini wataleta mashahidi wengine wengi tu, na mtaacha hata kujadili hii kesi muda si mrefu.wasingengángánia na kesi hii kama wangeona hawana ushahidi.
 
kesi haijafungwa, hao mawakili wa serikali naamini wataleta mashahidi wengine wengi tu, na mtaacha hata kujadili hii kesi muda si mrefu.wasingengángánia na kesi hii kama wangeona hawana ushahidi.
Hiyo akili hawana,watu wanapiga posho ndefu!Fikiria Jaji,Mawakili wa Serikali,waendesha mashtaka,maafisa mahakama,magereza nk,wanalipwa bei gani@moja kwa siku mara miezi kibao.Tozo zetu zinateketea!
Tunapodai Katiba Mpya tunamaanisha.
 
Back
Top Bottom