JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Kwemye uwanja wa inteligency sio maneno maneno evidency ndio jambo la msingi. Kwa vyovyote walipaswa kupata sauti ya Mbowe na washirika wake wakipanga mkakati yao yote. Hilo halikufanyika aidha na Urio au hata watoa taarifa wake.

Wala hawakuzipata kwenye forensic investigation hivyo inakuwa ni maneno maneno. Na ndio inatupa picha kwamba

Vyombo muhimu vya ulinzi na usalama havikushirikishwa badala yake kuna watu walikaa na kujitungia tuhuma.
Ama Jeshi na vyombo vingine vilihusishwa kuona hakuna issue lakini kina Kingai et al wakaamua kivyao bila credible evidence
 
Hujaelewa hoja. Soma vizuri
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
 
Hh
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Akili zingine bwana! Katiba mpya LAZIMA. Samia alihojiwa BBC akasema Mbowe alijificha Nairobi na wenzake wameshahukumiwa. (It is in record Mbowe alipopata msiba Samia alimpa pole. Huyu rais gani anampa gaidi Salam a pole?)Nani ambae yuko jela kwa makosa ya ugaidi? Hiyo kesi iliendeshwa mahakama ipi? Mbowe kuitisha kongamano la katiba Mwanza ndio gafla akageuka gaidi? Na hapa namshauri Kibatala aitake mahakama imuite Samia aje athibitishe madai yake mahakamani. Alijaribu ku-influence mahakama. Kwa hiyo unapoambiwa kesi hi ni ya mchongo ni kwa sababu hizi na nyingine.
 
Hivi unaelewa kweli kazi za JWTZ na kazi za Polisi?? Kazi ya Polisi ifanywe na JWTZ kweli?? Hivi unajua kama Denis Urio mamlaka zake ni JWTZ na sio Polisi?? Hebu acha ujinga basi,usiwe na kichwa kwa ajiri yakufugia nywele
Usalama wa nchi ni jukumu la kila mtu. Urio akikutwa mtu anavamiwa hatofanya kitu kwakuwa yeye sio Polisi?
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Yaani hata baad ya cross examination za juzi na jana bado huoni kuwa Urio hana ushaidi wa kimahakama?. Mahakama haitoi hukumu kwa kuangalia kama unasema ukweli au uongo, bali kwa kuwa na vithibisho visivyoacha shaka juu ya huo ukweli au uongo wako.
 
Ndugu Missile of the Nation zipo undoubtful facts kadhaa zimefunuliwa na kesi hii;

1. Kuna uwezekano wa 99% huyu Denis Urio si askari wa JW bali alipandikizwa huko na kupachikwa uaskari wa JW na cheo just for a special mission huku CDF Mabeyo akiwa anafahamu fika au akiwa hafahamu kabisa kinachofanyika...

USHAHIDI:

Haya yanathibitishwa na circumstantial evidence inayomzunguka huyu shahidi, mathalani;

å Elimu ya huyu bwana kwa maelezo yake ni sekondari K.4 Haiwezekani mtu mwenye elimu level hii apate cheo cha "u - luteni" hata kama atakuwa mwanajeshi miaka 30 unless afanye K.6 kisha apate ingalau shahada ya chuo kikuu...

å Kama nilivyosema, alikuwa kule kwa kazi maalumu. Haijui basics za kawaida kabisa za kijeshi. Kaifanya hiyo kazi, kaimaliza lakini in a awful and very disgraceful end....

Hata alipokuja mahamakani kutoa huo ushahidi wake, hakutokea na hayupo kazini kitambo tu. Ametokea mafichoni...!!

2. Taasisi zetu (Executive, Judiciary & Parliament) by in large ndizo zimekuwa chanzo cha maovu ktk taifa letu. Yaani ile hali ya lawlessness katika nchi yetu inaanzia juu kwa wenye mamlaka ya kulinda na kutetea katiba na sheria za nchi kuja chini kwa raia Wa kawaida....

Kaatika mazingira tunadhani nini kitatokea huko mbeleni? Honestly, yeyote anaweza kuwa na correct prediction, kuwa tusipobadili hàli peacefully sasa kwaa kusema enough is enough, basi tutakuja kuibadilisha kwa kuamuliwa na wengine...!

Kwa mfano, katika sçenario hii ya mwanajeshi Denis Leo Urio, hebu tujaribu tu kufikiri hili...

Kwamba, iweje mwanajeshi mwenye mafunzo ya kulinda usalama na mipaka ya nchi anavuka mipaka ya majukumu yake na kuanza kushiriki uovu wa kuhujumu haki za raia wa kawaida huku vyombo vyenye mamlaka vikiangalia tu uchafu huu..?

Nani amchunguze nañi sasa kwa sababu the whole system is corrupted..?
Tunaposema the only remedy is 'The New Constitution' tunamaanisha yote haya.
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Kwa hiyo hizo chainsaw za kukatia miti, vilipunzi, silaha na video vikawashinda kuvipata. Na bado mtu awao anayimba tu. Ama kweli fumbo mfumbe mjinga lakini si mwerevu.
 
Igizo linapokuja kugoma ni pale Mbowe alikaa Dubai muda mrefu tu na hakukua na hati ya mashtaka kukamatwa na Interpol.

Mama yenu nae kameza script kaingia BBC kajichangaya.

Huwezi kuwa national threat ukaishi overseas muda wote ule usipokee hata vitisho vya kukamatwa.

Mbowe amerudi toka Dubai na agenda ya katiba mpya ndio akaanza kuzunguka mikoani hadi kukamatwa why hakuwa detained airport kama huyu mama yenu alivyosema wenzie walikamatwa tangu 2020?

Kesi ya Mbowe kuhusu ugaidi ilianza kama tetesi hapa JF na hatimaye ikawa kweli sababu it was staged from the grassroots.

For me am sick and tired of cock and bull stories.

I'm not boarding ,period!
 
Yaani hilo jitu ni takataka kabisa, anataka wote tuwe na akili finyu kama zake.
Utadhani hiyo kesi nasi tunasimuliwa wakati tunaifuatilia kwa umakini kabisa.
Angejiuliza jambo moja, inakuwaje washtakiwa Mbowe na wenzake wanaonyesha sura za bashasha mahakamani wakati Mawakili wa serikali na mashahidi wao sura zao zimesawajika utadhani wao ndio washtakiwa?
Ni dhambi inawatafuna na sio ajabu wakaanza kujifia hovyo hovyo kwa kihoro!
Hatari sn
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Kama hayo uliyoandika yangekuwa na ukweli,kusingekuwepo na kasoro nyingi hivi katika ushahidi muhimu wa Urio.
Walishindwa kurecord mazungumzo Kati ya Urio na Mbowe?Urio anakiri mahakamani kuwa hakuna neno ugaidi popote katika mawasiliano yao,sasa umuhimu wa ushahidi wake katika kesi hii uko eneo gani? Hivi mawakili wasomi wa serikali walijua kabisa Urio ataenda kusema alichokisema na bado wakajiridhisha?
 
Inawezekana Urio na genge lake walipata viushahidi ambavyo wao kwa akili zao nyembamba walihisi unatosheleza kumpeleka Mbowe Mahakamani kujibu mashtaka ya terrorism.

Ninachokiona it's either walidhamiria kumfunga wakiamini wamepata ushahidi wa kutosha kwa walivyojiaminisha na kumuaminisha Rais mpaka akajikuta nae amefedheheka alipohojiwa na BBC. Kiukweli Rais alijifedhehesha sana.

Pia yawezekana waliamua kumpa hayo mashtaka wakijua kabisa wanamkomoa tu akae ndani kwa muda mrefu ili suala la presha aliyokuwa anaiweka ya kudai Katiba mpya lipotee miongoni mwa watanzania wanaotaka hayo mabadiliko.

Hakuna mwanaCCM anayetaka Katiba ibadilishwe wanajua kabisa kwamba tukipata Katiba nzuri CCM inapotea kabisa kwenye duru za siasa ya Tanzania.

Kiukweli JWTZ wamedhalilika sana kukubali Urio kujiingiza kwenye siasa namna hii.

Nimewahi kuongea na Major mmoja wa Jeshi kiukweli alionyesha kutopendezwa na namna Urio alivyojiingiza kwenye hili suala na alisema wazi "wakubwa wao hawafurahishwi na kilichotokea" na kwamba aliamini wangelimaliza mapema ila alipoingilia Rais na kuliongelea wazi wakaamua kukaa kimya Ila wanamvutia kasi hiyo kesi imalizwe dogo watamalizana nae kambini maana kazi ya jeshi mambo humalizika kijeshi na hauna pa kulalamika zaidi ya kwa wakubwa zako wa jeshini.

Hii kesi haipo sawa kabisa especially inapohusisha taarifa na utendaji wa askari wa JWTZ ambaye anajua mipaka ya kazi yake inaishia wapi.

Kama ingepata baraka za kijeshi sitarajii kumuona Urio peke yake ndio akiwa ofisa kutoka JWTZ akitoa ushahidi pekee kuhusu hii kesi, natarajia kuona CO wake na wengine wakitoa ushahidi wa namna walivyopokea hizo taarifa na kuzofanyia kazi kwa Ile chain of command mpaka likatoka kwa MI na kwenda kwa DCI.

Tofauti na hapo ina maana hizo taarifa ni uzushi ambao Urio alitengeneza na genge lake ambalo halina baraka za JWTZ kufanya waliyofanya.

Sasa swali kuu ni kwa nini askari wa JWTZ avuke mipaka yake halali ya kazi????? Why???? Yani haraka ipi ilimsukuma kuwasiliana na DCI? Threat ipi?

Kama threat ya ugaidi kulingana na mashtaka inaonekana ilipangwa kutekelezwa wakati wa uchaguzi unajikuta unajiuliza mbona uchaguzi ulienda sawia na hakukuwa na hayo matukio?

Kama taarifa zilikuwepo mbona hawakumkamata mhusika kabla au wakati wa uchaguzi ambapo ndio ilikuwa lengo kuu la utekelezaji wa huo ugaidi kulingana na mashtaka yao???

Wanasema wengine walishakamatwa na Mbowe alikuwa anatafutwa eti aunganishwe, lakini wanasahau huyo Mbowe wanaosema walikuwa wanamtafuta mbona alikuwepo na alikuwa anazungumza kwenye makutaniko ya kudai Katiba mpya?

Pia mbona alifiwa na Rais akamtumia hadi salamu za pole? He alikuwa anatumia salamu kwa mtu asiyepatikana? Au asiyejulika???

This case is among the pathetic maliciously instituted na inapoteza muda wa Mahakama ambapo ingeweza kudeal na real isaues na kuachana na hii comedy inayotesa watu jela bila mashiko.
 
Inawezekana Urio na genge lake walipata viushahidi ambavyo wao kwa akili zao nyembamba walihisi unatosheleza kumpeleka Mbowe Mahakamani kujibu mashtaka ya terrorism.

Ninachokiona it's either walidhamiria kumfunga wakiamini wamepata ushahidi wa kutosha kwa walivyojiaminisha na kumuaminisha Rais mpaka akajikuta nae amefedheheka alipohojiwa na BBC. Kiukweli Rais alijifedhehesha sana.

Pia yawezekana waliamua kumpa hayo mashtaka wakijua kabisa wanamkomoa tu akae ndani kwa muda mrefu ili suala la presha aliyokuwa anaiweka ya kudai Katiba mpya lipotee miongoni mwa watanzania wanaotaka hayo mabadiliko.

Hakuna mwanaCCM anayetaka Katiba ibadilishwe wanajua kabisa kwamba tukipata Katiba nzuri CCM inapotea kabisa kwenye duru za siasa ya Tanzania.

Kiukweli JWTZ wamedhalilika sana kukubali Urio kujiingiza kwenye siasa namna hii.

Nimewahi kuongea na Major mmoja wa Jeshi kiukweli alionyesha kutopendezwa na namna Urio alivyojiingiza kwenye hili suala na alisema wazi "wakubwa wao hawafurahishwi na kilichotokea" na kwamba aliamini wangelimaliza mapema ila alipoingilia Rais na kuliongelea wazi wakaamua kukaa kimya Ila wanamvutia kasi hiyo kesi imalizwe dogo watamalizana nae kambini maana kazi ya jeshi mambo humalizika kijeshi na hauna pa kulalamika zaidi ya kwa wakubwa zako wa jeshini.

Hii kesi haipo sawa kabisa especially inapohusisha taarifa na utendaji wa askari wa JWTZ ambaye anajua mipaka ya kazi yake inaishia wapi.

Kama ingepata baraka za kijeshi sitarajii kumuona Urio peke yake ndio akiwa ofisa kutoka JWTZ akitoa ushahidi pekee kuhusu hii kesi, natarajia kuona CO wake na wengine wakitoa ushahidi wa namna walivyopokea hizo taarifa na kuzofanyia kazi kwa Ile chain of command mpaka likatoka kwa MI na kwenda kwa DCI.

Tofauti na hapo ina maana hizo taarifa ni uzushi ambao Urio alitengeneza na genge lake ambalo halina baraka za JWTZ kufanya waliyofanya.

Sasa swali kuu ni kwa nini askari wa JWTZ avuke mipaka yake halali ya kazi????? Why???? Yani haraka ipi ilimsukuma kuwasiliana na DCI? Threat ipi?

Kama threat ya ugaidi kulingana na mashtaka inaonekana ilipangwa kutekelezwa wakati wa uchaguzi unajikuta unajiuliza mbona uchaguzi ulienda sawia na hakukuwa na hayo matukio?

Kama taarifa zilikuwepo mbona hawakumkamata mhusika kabla au wakati wa uchaguzi ambapo ndio ilikuwa lengo kuu la utekelezaji wa huo ugaidi kulingana na mashtaka yao???

Wanasema wengine walishakamatwa na Mbowe alikuwa anatafutwa eti aunganishwe, lakini wanasahau huyo Mbowe wanaosema walikuwa wanamtafuta mbona alikuwepo na alikuwa anazungumza kwenye makutaniko ya kudai Katiba mpya?

Pia mbona alifiwa na Rais akamtumia hadi salamu za pole? He alikuwa anatumia salamu kwa mtu asiyepatikana? Au asiyejulika???

This case is among the pathetic maliciously instituted na inapoteza muda wa Mahakama ambapo ingeweza kudeal na real isaues na kuachana na hii comedy inayotesa watu jela bila mashiko.
Urio angekuwa na baraka za jeshi MP (military police) angeenda mahakamani kutoa ushahidi.

Kifupi dogo kazi Hana tena Bora angekuwa other ranks lakini officer wa jeshi (comissioner) pumbafu sana unaenda kupeleka taarifa kwa raia police?

Kijeshi police ni raia mkakamavu
 
Back
Top Bottom