JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

JWTZ ifanye uchunguzi dhidi ya tabia na mwenendo wa askari wake Denis Urio

Kwa upande mwingine hii issue imewathibitishia wenye akili timamu jinsi Mbowe alivyo kilaza.

Kipi kilimfanya amuamini Urio kiasi hicho? Kisa u-homeboy pekee?

Hivi kama ungesukwa mkakati wa kumpelekea watu wa usalama badala ya hao akina Lijenje angesanuka?

Hata jeshi letu la polisi halina tu watu makini,huyo jamaa alikuwa kajivisha kitanzi mwenyewe.
Hivi mtu mwenye nia ovu ya kufanya UGAIDI, kwanini haukusukwa mkakati wa kumpandikizia "wanausalama"?
 
Kwa hiyo makomando hao wameteswa hivyo na mwajiri wao ili wamtie hatiani Mbowe? inaingia akilini!?

Hayo yote ni hearsay tu! Au wewe umeshuhudia wakiteswa?

All in all, at this stage of the case, wangekuwa wametumika kama assets za Serikali, wangekuwa wameshakuwa mashahidi wa upande wa mashitaka!
 
Elimu ya huyu bwana kwa maelezo yake ni sekondari K.4 Haiwezekani mtu mwenye elimu level hii apate cheo cha "u - luteni" hata kama atakuwa mwanajeshi miaka 30 unless afanye K.6 kisha apate ingalau shahada ya chuo kikuu...
Kaka huu ni uongo na usirudie kudanganya.
Kuna wazee kibao tena darasa la 7 achana na kidato cha nne na wana hicho cheo walioanza kazi miaka ya 80 - 90 na ushahidi upo na wala sio dhambi.

Tuache upotoshaji
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Akifungwa Mbowe utanufaika na nini?Malipo ya ROHO MBAYA ni hapa hapa duniani Mwendazake yupo wapi na ROHO mbaya yake?
JamiiForums249808913.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Hyo una sema wewe
Ila ndo tayari imeshatokea amekwenda moja kwa moja kwa DCI..ishu ya msingi nu kujua Kama mbowe anafahamiana na kamanda urio,na Kama walikuwa wanakaa vikao,kupigiana simu,chats na miamala ya simu.
Zaidi ya hapo tukubali tu mwenyekiti alikosea sehemu.
No no mkuu urio alitakiwa apeleke taarifa hizi za kigaidi kwa MI ,ambao wangewasiliana na DCI for the way forward,tusiwe vihiyo hivi!
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Nikikuita jitu jinga nitakuwa sikosei maana wewe ni mjinga unayetaka kuweka theory ya kutoka kwenye kichwa chako kilicho jaa ujinga ili hapa JF kutupotosha kama vile hatufuatilii kesi mwenendo wake.
Ni ujinga ukiona mjinga akisema ujinga wake na ukamnyamazia, hatuwezi kuwa hivyo
 
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.

Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.

Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?

2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio

3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Dogo urio ni mla rushwa, alibongwa na DCI na Kingai
 
Hii kesi inayoendelea mahakamani imeufungua macho umma wa Watanzania juu ya tabia ya askari huyo.

Aina ya Ushahidi ambao komando Urio ameutoa mahakamani umeacha maswali mengi sana ya umma juu ya tabia ya askari huyu lakini pia hata kuathiri taswira ya jeshi mbele ya umma.

Kuna haya mambo yafuatayo:
1. Je, jeshi lina taarifa za askari wake Denis Urio kumtafutia Mbowe walinzi ambao yeye Urio anasema walipanga kufanya uhaini? Hata hivyo mahakamani Urio kasema hakuripoti Jeshini bali karipoti kwrnye mamlaka ya kipolisi. Je, hivi ndivyo askari wa JWTZ anavyopaswa kufanya pindi anapopata taarifa za uhaini?

2. Ushahidi wa Urio una matobo mengi, kuna kila sababu ya kudhani kuwa Urio anatoa ushahidi wa uwongo ili kuwaumiza raia wasio na hatia–Hapa JWTZ haina budi kufanya uchunguzi binafsi na kujiridhisha juu ya mwenendo na tabia za askari wake huyu Denis Urio

3. Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
Mbele ya jamii ni vigumu kwa JWTZ kujiweka pembeni katika hii kesi kwa sababu, wananchi wanapata taswira mbaya kuwa JW inatumika kisiasa kuumiza wapinzani. Kwa hiyo ipo haja kwa JWTZ kujisafisha dhidi ya tabia na mwenendo wa Denis Urio kama ulivyothibitika katika ushahidi anaoutoa mahakamani.
 
nitacheka sana siku nikija kugundua kuwa co-accuseds na urio wote walikuwa na lao moja, kumkamatisha mbowe aliyekuwa na uchu wa kufanya uovu. na mbowe pale alipo anaweza kuwa anaamini wale wenzie ni wenzie. na chadema wanawatetea kwelikweli. jueni hao ni makombandoo. au hamuelewi?
Umeona mbali mkuu hata mi nafikiria huo mchezo,hao jamaa washtakuwa watakuja kukiri kuwa waliambiwa wafanye jinai na mbowe baada ya kuwa recruited ,picha litaisha hapo na ndipo kutakuwa na kilio na kusaga meno
 
kama anatumika kunasa wahalifu, kuna shida gani hapo?
Yaani unavyofanya ni sawa na aliyeangusha taulo mbele ya wakwe zake kisha akabong'oa kuliokota bila hata kuona aibu.
Kesi hii sio aibu tuu kwa ccm tuu bali kwa Jeshi, polisi, ofisi ya DPP na nchi kwa jumla. Unless uwe hujui masna ya neno aibu
 
wewe ndio unasema ameshindwa, lakini wenye kesi wanajua kwanini wamemleta, ili aje aunganishe dot kwenye ushahidi wa yupi ambaye labda ameshatoa ushahidi au anakuja kutoa ushahidi baada yake. ndio maana tunasema msubiri hadi kesi iishe. msikurupuke.
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
 
We mpuuzi unadhani na sisi ni wajinga wenzako?
Yaani hilo jitu ni takataka kabisa, anataka wote tuwe na akili finyu kama zake.
Utadhani hiyo kesi nasi tunasimuliwa wakati tunaifuatilia kwa umakini kabisa.
Angejiuliza jambo moja, inakuwaje washtakiwa Mbowe na wenzake wanaonyesha sura za bashasha mahakamani wakati Mawakili wa serikali na mashahidi wao sura zao zimesawajika utadhani wao ndio washtakiwa?
Ni dhambi inawatafuna na sio ajabu wakaanza kujifia hovyo hovyo kwa kihoro!
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Acha wajadili wenye akili timamu na uelewa mkubwa. Wewe hujaelewa hata kinachojadiliwa.

Mleta mada anaongelea JWTZ, wewe unaongelea DCI!! DCI ni mwajiriwa wa JWTZ? Hata mambo madogo kiasi hiki hujui, halafu unaamini una akili ya kuweza kuchangia JF?

Inaonekana wajinga na wenye akili duni, mmeingia JF, mahali ambapo siyo kwenu wenye akili kidogo.

JF is misfit for you brainless.
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.

Ww lazima utakuwa ni mzee, au kijana mjinga. Nyie ndio huwa na uelewa mdogo hivi wa mambo.
 
Shida mnakuja hapa na kujifanya mnajua kumbe wasindikizaji tu. unafikiri kweli jeshi halina taarifa za kutosha na mtu wao hadi anakuja kutoa ushahidi? pia, tuchukulie mfano, Mbowe ambaye alikuwa anamwita urio "homeboy", ameamua kuingia kwake ili amtafutie walinzi na akaamua kumshirikisha huyo homeboy wake uovu anaotaka kuufanya akijua kwamba urio hatamsaliti kwasababu wametoka mbali na ni homeboy, urio akafikisha taarifa ile kwa wakubwa zake, lazima wakubwa zake watamwelekeza akende polisi, na akifika polisi lazima tu watamwambia "ili tumpate mbowe na uovu anaouwaza, jifanye kushirikiana naye".

Hapo watashirikiana hadi kuwapata hao walinzi na mambo yote yaliyoendelea mbowe akiamini kuwa urio yupo upande wake kumbe mwenzake ameshakuwa pandikizi. kumbuka kuwa hayo mambo ua uovu lazima yalikuwepo kitambo na serikali ilikuwa inatafuta namna ya kureveal kupata ushahidi. mbowe akaingia king...na ndio yupo hapo anashangaashangaa tu anatokaje, anasubiri tu huruma za wananchi na serikali. ukweli halisi anaujua mbowe, na Mungu anamuona.
Huoni kuwa hiyo njia waliyoitumia ni kipumbavu na haijawapatia positive result??
 
Chadema mnajitahidi sana kupotosha ili gaidi asifungwe lakini hamtafanikiwa.

Denis Urio alipewa ruhusa na DCI aendelee kusbirikiana na Mbowe ili mradi tu awe anatoa taarifa ya kila kitu kinachoendelea.
Jambo la kusikitisha ni kuwa wachawi, wenye roho mbaya na wauji huishi miaka mingi kuliko wenye haki
 
Kwa kweli inatafakarisha Sana hasa kwenye viapo haiwezekani komando afinywe kidogo aropoke Kila kitu je akitekwa na nchi jirani si atatuuza? Yaani hawezi kuifia nchi? Na kiapo chake? Itabidi jeshi liangalie hili jambo Kwa jicho la tatu
 
Back
Top Bottom