JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

Eee nalilia nini...?🎶🎵🤣🤣🤣

Nalilia bakabakaaa...😭😭🎼🎼

Ee unalilia nini weeee...😠😠😎😅🎶🎶🎼🔊🔊🔊

Nalilia bakabakaaa.....🎵🎵

Kama mnataka gwanda karibuni sana jameni kozi ni fupi mno ulimaliza unaapa zako unapewa sare zako saafi kabisa
 
Hawa ndio Iron boy.
Ukiona upo jeshini maana yake uwezo wako WA akili no mdogo zaidi kuliko nguvu.
Hivyo tusiwalaumu SANA hawa maasikari huamini katika nguvu zaidi kuliko akili.

Kwa tukio kama hilo hata mtoto wa darasa la Kwanza atakushangaa wewe ni binadamu au mnyama?

Au huko jeshini hakuna kufuata Sheria.

Hao ni wapuuzi kabisa wawajibishwe
 
Piga sana hao washenzi, ujuaji wa kijinga umezidi.

Unatuuliza maswali gani ya kijinga, huyo raia ni sheria ipi imemruhusu kuvaa nguo za jeshi?
Wao wametumia Sheria gani kutoa adhabj hiyo.

Wewe hujielewi hufai kuishi jamii ya iliyostaharabika.
Taifa likiwa na watu kama nyie tutakuwa na Taifa la watu wajinga
 
Back
Top Bottom