JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

JWTZ kuwatesa raia wanaovaa nguo za Jeshi ni ukatili

Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Itakuwa aliyekutanishwa na vikombe ni huyu mleta uzi. Ametype kwa kutumia ulimi tena kwa uchungu sana
 
Low IQ, Majeshi mengi Duniani hufanya IQ testing kabla ya kuajiriwa Jeshini lkn Tanzania hakuna IQ testing matokeo yake ndiyo hayo Una Jeshi ambalo halijui hata jukumu lake ni lipi, hawajui hata kazi yao katika nchi ni ipi wanaishi kuleta ubabe kwa dala dala kwa raia wakati wamekuwa trained kuilinda nchi.

Mimi nimetembea nchi nyingi hata za Kiafrika hata hapo Kenya tu huwezi kuona Mwanajeshi anazurura mjini ukiona Mwanajeshi mjini wako kwenye gari na wana kitu wanafanya wakimaliza wanatokeamea hawana stori na mtu raia, Tanzania kila siku ugomvi na raia wanagombania wanawake, wakitoka mafunzoni wanaingia mtaani kupiga raia ambao walipaswa kuwalinda …
Hai wanao tudhulumu na kusema.
Pesa ya Kenya itabaki Kenya?
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania ?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao ?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi ?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
View attachment 2732721
N.b
NAOMBA MODS MSIFUTE WALA KUHAMISHA HUU UZI.
Dp world wanazitaka hadi sheria za nchi zibadilike kufuata mkataba wao; nadhani huko ndiyo unyama mkubwa kuliko wote uliyowahi kutokea tanganyika
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania ?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao ?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi ?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
View attachment 2732721
N.b
NAOMBA MODS MSIFUTE WALA KUHAMISHA HUU UZI.
Nilishawaambia tunatawaliwa kijeshi.

Tuendelee kula nyama mtori upo chini
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania ?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao ?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi ?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
View attachment 2732721
N.b
NAOMBA MODS MSIFUTE WALA KUHAMISHA HUU UZI.
Umeandika ujinga sana.Mi nilidhani mateso makali kumbe vitu vyenyewe kawaida vile?
Hajateswa hapo bado pengine huyajui mateso wewe!
 
Wao wametumia Sheria gani kutoa adhabj hiyo.

Wewe hujielewi hufai kuishi jamii ya iliyostaharabika.
Taifa likiwa na watu kama nyie tutakuwa na Taifa la watu wajinga
Nasemaje wapigwe tu, vijana ujuaji wa kijinga umezidi. Na Bahati mbaya wanafanya makusudi.

Tusitetee ujinga, wakiwa wanavaa nguo za Jeshi hatuwaoni mkijitokeza kuwakanya na mnajua ni kinyume cha sheria, wakipewa kipondo ndo mnajitokeza.

Waendelee kupigwa sana had huu ushamba wa kuvaa nguo za Jeshi uishe
 
Jeshi lenye poor training na vilaza wengi huwa linachukia raia na huwa linawanyanyasa, na ndio jeshi huwa linapokea kichapo likikutana na jeshi lenye maadili.

Sifa mojawapo ya nchi zinazoshinda vita ni muunganiko na kuelewana kwa wanajeshi na raia. Mwaka 1973 Israel ilipovamiwa na Waarabu ilikuwa kwenye sikukuu ya Yom Kippur ambayo ndiyo takatifu zaidi kwa Wayahudi na walikuwa mapumziko huku wakizingatia sheria kali za dini. Raia walipojua nchi imevamiwa haraka wakatoa magari yao sababu siku hiyo hakukuwa na safari ni siku takatifu.

Watu wakahamasishwa kuachana na sherehe wakapambane, reserves zikatumia magari ya kiraia kufika kambi zao na mambo mengine yakaendelea. Yani bongo tuseme daladala, Abood, Shabiby na makampuni yote yajiamulie yenyewe kubeba wanajeshi kuwawahisha Arusha mfano tumevamiwa na Kenya.

Kwa upande mwingine, jeshi la Uganda kwenye vita ya Iddi Amin lilikuwa linachukiwa kiasi kwamba Tanzania ilikuwa inashangiliwa ikichukua mji. Na hapo kuna support kubwa tulipata kwa Waganda, na raia nchi nzima walilisusia jeshi wakati sisi huku bongo walikuwa wanapewa michele na ng'ombe bure na raia wapate nguvu. Kwanza Waganda walikuwa wanakimbia recruitment, si mnajifanya mna nguvu kapigane wenyewe wakati sisi huku raia alikuwa anakataliwa Mara kwa ubovu wa jicho anapanda basi anaenda kujiandikisha Mwanza ashajua namna ya kukwepa ukaguzi.

Ukishakuwa na wanajeshi wanajiona ni class tofauti na raia ujue kwenye recruitment unabeba vilaza wasiostahili na kwenye training unapwaya.
 
Low IQ, Majeshi mengi Duniani hufanya IQ testing kabla ya kuajiriwa Jeshini lkn Tanzania hakuna IQ testing matokeo yake ndiyo hayo Una Jeshi ambalo halijui hata jukumu lake ni lipi, hawajui hata kazi yao katika nchi ni ipi wanaishi kuleta ubabe kwa dala dala kwa raia wakati wamekuwa trained kuilinda nchi.

Mimi nimetembea nchi nyingi hata za Kiafrika hata hapo Kenya tu huwezi kuona Mwanajeshi anazurura mjini ukiona Mwanajeshi mjini wako kwenye gari na wana kitu wanafanya wakimaliza wanatokeamea hawana stori na mtu raia, Tanzania kila siku ugomvi na raia wanagombania wanawake, wakitoka mafunzoni wanaingia mtaani kupiga raia ambao walipaswa kuwalinda …
Tanzania ndio nchi pekee ambayo maswala ya akili hayajapewa kipaumbele.

Angalia tu mfano mdogo wakina Mwijaku na wenzake ambao ndio Machawa.

Hawa ndio wanaokubalika na ndio wenye nguvu kubwa ya ushawishi na serikali ndio inawatumia hawa kwenye propaganda zao.

Mfano leo hii upinzani wakaitisha mkutano Kariakoo kuelezea ubovu wa mkataba wa bandari kupitia vifungu vya katiba.

Serikali inaweza kuwatuma Mwijaku na Babalevo waende Kariakoo hapo hapo kufanya promosheni za kuwasifia Dp Wrld.

Si ajabu ukashuhudia wimbi la watu wengi wakajitokeza kuwatazama kina Mwijaku na Babalevo halafu mkutano wa kupinga mkataba ukakosa wahudhuriaji

Wale watu wote ambao ni conscious huwa hawafuatiliwi, jamii imewatenga wako isolated

Mawazo yao ambayo yanatija hayasikilizwi, ni watu ambao wanapuuzwa na kuchukuliwa poa kirahisi mno.

Kwasababu utamaduni tuliofikia sasa kama nchi ni kuwa watu hawapendi kuumiza kichwa kufanya tafakuri ya vitu.

Na ndio sababu watu hawa wenye akili waliopaswa kuwa asset wamejikuta wamepoteza ushawishi na kushindwa kukubalika.

Njoo kwenye mziki.

Leo hii hata uje na ngoma gani ambayo ni kali na yenye mafunzo lakini raia wataiacha yako watasikiliza "haaniiiiiiii"

Sasa unapokuja kwenye jeshi huko ndio kuna vituko.

Ukiachana na swala la kupeana shavu kwasababu ya undugu lakini jeshini kuna watu wanaweza kuajiriwa kwasababu wamejazia tu misuli.
 
Jeshi lenye poor training na vilaza wengi huwa linachukia raia na huwa linawanyanyasa, na ndio jeshi huwa linapokea kichapo likikutana na jeshi lenye maadili.
Sifa mojawapo ya nchi zinazoshinda vita ni muunganiko na kuelewana kwa wanajeshi na raia. Mwaka 1973 Israel ilipovamiwa na Waarabu ilikuwa kwenye sikukuu ya Yom Kippur ambayo ndiyo takatifu zaidi kwa Wayahudi na walikuwa mapumziko huku wakizingatia sheria kali za dini. Raia walipojua nchi imevamiwa haraka wakatoa magari yao sababu siku hiyo hakukuwa na safari ni siku takatifu. Watu wakahamasishwa kuachana na sherehe wakapambane, reserves zikatumia magari ya kiraia kufika kambi zao na mambo mengine yakaendelea. Yani bongo tuseme daladala, Abood, Shabiby na makampuni yote yajiamulie yenyewe kubeba wanajeshi kuwawahisha Arusha mfano tumevamiwa na Kenya.

Kwa upande mwingine, jeshi la Uganda kwenye vita ya Iddi Amin lilikuwa linachukiwa kiasi kwamba Tanzania ilikuwa inashangiliwa ikichukua mji. Na hapo kuna support kubwa tulipata kwa Waganda, na raia nchi nzima walilisusia jeshi wakati sisi huku bongo walikuwa wanapewa michele na ng'ombe bure na raia wapate nguvu. Kwanza Waganda walikuwa wanakimbia recruitment, si mnajifanya mna nguvu kapigane wenyewe wakati sisi huku raia alikuwa anakataliwa Mara kwa ubovu wa jicho anapanda basi anaenda kujiandikisha Mwanza ashajua namna ya kukwepa ukaguzi.

Ukishakuwa na wanajeshi wanajiona ni class tofauti na raia ujue kwenye recruitment unabeba vilaza wasiostahili na kwenye training unapwaya.
Upo sahihi kabisa hasa kwa mfano uliotoa wa jeshi la Uganda na jeshi letu katika vita vya kagera wananchi wa Uganda kwa asilimia kubwa walikuwa against dhidi ya jeshi lao na walikuwa wanawachoma kwa JW kutokana na ubabe ubabe wa kipuuzi wa jeshi la amini
 
Hivi kwa huu unyama unaotendeka hapa chini hili linafaa liitwe jeshi la Wananchi wa Tanzania au jeshi la Maharamia dhidi ya wananchi wa Tanzania ?

CDF haya ndio mafunzo mnaowapa vijana wenu dhidi yetu Watanzania wenzao ?

Ni sheria gani ya nchi na hapo jeshini inaruhusu huu upuuzi unaofanywa na hawa makamanda dhidi ya huyu mtu ?

Hivi hawa askari wanatengeza chuki gani kati ya jeshi na wananchi ?

Naomba hatua za kisheria zichukuliwe kwa hawa makamanda wote waliofanya huu upuuzi.
View attachment 2732721
N.b
NAOMBA MODS MSIFUTE WALA KUHAMISHA HUU UZI.

Wewe ni mpumbavu! Tangu lini raia anaruhusiwa kuvaa au kuwa na mavazi ya jeshi? Huyo ni raia au jambazi? Kayapata wapi hayo mavazi? Jeshi lilitangaza kuwa mtu yeyote ambaye anayo au anamiliki mavazi ya jeshi isivyo halali ayarudishe jeshini au kama anaogopa basi ayatelekeze hata mahali popote ili yachukuliwe na kupelekwa jeshini! Kama kuna mtu alikuwa ana test mitambo ya jeshi basi ni vizuri akione chamtemakuni, ni wakati wake muafaka huo!
 
Sasa Mkuu utuambie ni sheria gani Hapa Tanzania inaruhusu Raia kuvaa sare za majeshi bila kibali maalumu...!!!!

Anyway wanaovaa Nguo Za Majeshi Hali ya kuwa wao sio Askari Basi Wachukuliwe Hatua za kisheria tu na sio kuwapiga na kuwashikisha Mioto
Ni sheria gani ya nchi inaruhusu hao wanajeshi kufanya hicho kitendo ?
 
Back
Top Bottom