Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Wewe nawe ni hamnazo.Kwahyo kwenye uzi ule hujatosheka umeamua kuanzisha uzi mpya angalia dogo walishatoa katazo na epuka hisia kali kwenye jambo kama hili ambalo wafanye wasifanye ww hautapungukiwa na kitu cha msingi kama una ndugu anashobo na gwanda mwambie akazisotee asivae kizembe atapata tabu sana
Sent from my V1901A using JamiiForums mobile app