JWTZ msifanye makosa DRC, haya ndio yatakuwa madhara yake

Jamaa ni Kanyarwanda kamekuja kujifanya kama intelligensia na namba ya simu kameweka eti kaongee na Rais wetu shenzii
Lazima tusiende kwa kubahatisha nimeweka namba mfuate maelekezo piga simu kwa kujua zaidi
Issue hipo wazi Taifa la Tanzania lipo chini ya Uongozi wa Roho Mtakatifu ndio maana ya Rais mwanamke sasa kama wewe utaki kujua sheria za Rohoni tukusaidie je????
 
Kuna sehemu nimekusoma nikagundua wewe tapeli. Tanzania ndo taifa lenye nguvu Duniani? We jamaa unatuonaje lakini? Ndo maana umekimbilia kuweka namba za simu. Tapeli wewe. Ndo maana huyo jamaa alikusikiliza akakuona dogo hujui kitu akakupotezea. Maana unaandika pumba. Mleta mada ana kitu atafika mbali. WEWE TAPELI.
 
Warusi hawawezi enda kule watachapika. Kule mwituni kuna watu wake.
 
Nchi ilipofikia mijitu ya ajabu ndiyo wanapewa kipaumbele hapo unategemea nini!

Ova
 
Nimesoma paragraph ya kwanza ya haya mashudu nikaacha...
 
Siku zote shetani akimfunga mtu anaweka Walinzi na mlinzi wa kwanza anakuwa mtu mwenyewe akitaka kusaidika anakuwa kama kambale anateleza maneno yanakuwa mengi hili abaki kwenye hilo tatizo.
Ujumbe wangu umeandikwa kwa password kama huna Roho Mtakatifu utausoma kama Torati wakati kuna maana kubwa imeandikwa huko.
Narudia kwa sasa na hata Milele hakuna Taifa linaweza shindana na Tanzania hata wafanye nini. Sasa mtaanza kushuudia kwa macho ya nyama nyie mnaoitaji kuona kwa macho.
Hakuna anayeweza kubadili hilo hata waende wapi it is a done deal.
Asante Yesu.
 
Mental Health is Real!
 
Hili jambo la Congo linanifikirisha sana tena kwenye mambo matatu!

a) Limepamba moto sana tukiwa tunaandaa mkutano wa Nishati hapa DSM,mpaka siku ya kufanyika kwa mkutano tarehe 27-28 waasi walikuwa wameshafika Goma. Sisi tuko busy na mkutano wa Wakuu wa nchi wa Afrika,Rwanda na M23 wako wanaitaabisha DRC.

Swali langu, kwanini iwe nyakati hizo?

b) Kabla ya mkutano wa Nishati kufanyika hapa DSM,kuna ugonjwa unaosemekana ni 'Marburg' umezuka eneo la Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,umeua watu,ila inasemakana huu ugonjwa umetokea Rwanda.

Nchi ikawa busy kufuatilia huu ugonjwa,viongozi wengi wa ndani mpaka 'WHO'nao wako huko mpaka leo hii.

Swali langu,je, ni kweli umetokea Rwanda? Je, huko Rwanda huu ugonjwa upo? Na je, kama siyo 'Marburg' ni kirusi gani,na kwanini kitokee Rwanda,kwanini kitokee sasa hivi wakati Rwanda wako 'busy' kuitwaa Goma,wakati sisi tuko 'busy' na mikutano ya chama (CCM),CHADEMA,na NISHATI?

c) Watu wakijaribu kuhoji kwanini Rwanda anaisumbua Congo, kwanini Tanzania isiingilie kati kuwakomboa Wakongo, kwanini JWTZ isiwarudishe nyuma M23?

Angalia majibu kutoka kwa wachangiaji.

1.M23 ni jeshi imara sana Tanzania msiende mtakufa.

2.Kagame ni mzoefu wa vita Tanzania hamumuwezi.

3.Kagame ana Intelijensia kali ,ana silaha kali sana,ana drone ataiteketeza Tanzania na JWTZ.

4.Kwani tukipigwa na kufa lakini tumeikomboa Congo kwa faida kuna shida gani,mnatuonea huruma ya nini? Kwanini ikitajwa Tanzania na JWTZ kwenye mgogoro wa Congo watu mnatahayari? Hivi,Kinyago tulichokichonga wenyewe kinaweza kututisha kweli!?

Swali langu,tunauliza kwanini JWTZ isiwafurushe M23,wanaojiita Watanzania ndivyo wanajibu hivyo, tena wengine hawajui hata Kiswahili vizuri lakini eti nao wanajifanya ni Watanzania.

Kama Rwanda hahusiki, mbona likija jambo la M23 kupigwa anahusishwa Kagame? Kwahiyo Kagame siyo Mnyarwanda ila ni Kiongozi wa M23?

Mtoa hoja nakuunga mkono.Ila naongezea tena tuwe na mipango ya muda mrefu,Burundi awe sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo Zanzibar, halafu tuwe na 'access' ya kuingia Congo pasipokuwa na kuzuizi chochote.

Ahsante.
 
'Mathayo 7:6'
6 Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.

Kumbe issue sio Taifa ni watu wake kukosa maharifa ikimaanisha kumkosa Roho Mtakatifu.
 

..it is too late kushughulika na mgogoro huo.
 
Mathayo 7:6'
6 Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
 
Umeongea ukweli mkuu na kadri lwanda itakavyo zidi kuwa kubwa ki intergensia na ki geography ndivyo itakavyo kuwa tishio kwa tz nz East Africa

Kina haja ya tz kufanya Jambo laziada katika hili badara ya kuwa busy na akina tundu
 
Hii ni changamoto nyingine hii
Ila vijana wako na hari na morali kuingia uwanja wa mapambano
Shida wafanya maamuzi ni Pamoja na huyo ambae hatuelewi alipewaje Io nafasi
Jeshi sio NGo
Watu wanaoleta mchezo kwenye mambo serious dah,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…