Minjingu Jingu
JF-Expert Member
- Nov 2, 2023
- 1,072
- 2,384
Tapeli. Umeshtukiwa. Tapeli wewe.Siku zote shetani akimfunga mtu anaweka Walinzi na mlinzi wa kwanza anakuwa mtu mwenyewe akitaka kusaidika anakuwa kama kambale anateleza maneno yanakuwa mengi hili abaki kwenye hilo tatizo.
Ujumbe wangu umeandikwa kwa password kama huna Roho Mtakatifu utausoma kama Torati wakati kuna maana kubwa imeandikwa huko.
Narudia kwa sasa na hata Milele hakuna Taifa linaweza shindana na Tanzania hata wafanye nini. Sasa mtaanza kushuudia kwa macho ya nyama nyie mnaoitaji kuona kwa macho.
Hakuna anayeweza kubadili hilo hata waende wapi it is a done deal.
Asante Yesu.
Tapeli ndo maana wamekupuuzia.Mathayo 7:6'
6 Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Acha bangi.'Mathayo 7:6'
6 Msiwape mbwa kilicho kitakatifu, wala msitupe lulu zenu mbele ya nguruwe, wasije wakazikanyaga chini ya miguu yao, wakageuka na kuwararua.
Nyie si mnapenda maugomvi ugomvi yasiyo na faida kwa nchi. Haya ingieni msituni basiNimesoma paragraph ya kwanza ya haya mashudu nikaacha...
Jamaa ni Kanyarwanda kamekuja kujifanya kama intelligensia na namba ya simu kameweka eti kaongee na Rais wetu shenzi
Hili la Congo hata mara moja ungekua ulienda mission moja ya kongo au una ndg wa karibu akakusimulia yanayoendelea kati ya vikosi vya afrika UN na waasi wala msingejifanya political /Military analytical hzo ishu ni mambo ya wakubwa wa dunia wala jwtz haihitajikiNa hiyo UN inaongozwa na USA
Hapana Tanzania isiingie acheni kuchochea moto, itakuwa ni wastage of resources, wastage of money na wastage of men. Mbona vita ya russia-ukraine wako busy wanabondana na hakuna mtu ameingilia. Kwanini sisi tuwe na kiharoharo cha kuingilia migogoro ya nchi nyingine. Eti kwasababu tunawaogopa/tunawaonea wivu Rwanda.Umeongea ukweli mkuu na kadri lwanda itakavyo zidi kuwa kubwa ki intergensia na ki geography ndivyo itakavyo kuwa tishio kwa tz nz East Africa
Kina haja ya tz kufanya Jambo laziada katika hili badara ya kuwa busy na akina tundu
Makubaliano na wewe katika hoja hizo lakini Kwanza tukaweke mambo Sawa jeshi letu likatulize hali ya Amani ndipo tuangalie hayo mambo mengineUnafikiri Tanzania inaweza kwenda peke yake na kutia suluhisho la kudumu?
Kuna Wanyarwanda waliozaliwa DRC, walikuwepo kwenye utawala na jeshi la Kabila Senior baadaye wakafukuzwa. Sio rahisi kuwaua wote, wanaweza kukimbia misituni, Rwanda baadaye wakarudi.
Kwahiyo suluhisho pamoja na kuwa litahusisha jeshi lakini pia political and social, integration ya hawa Wanyarwanda waliozaliwa DRC wenye haki kama Wacongo wengine pamoja na kumbana Kagame, kuimarisha na kulijengea uwezo jeshi la Congo.
Itabidi Kudhibiti jeshi la Rwanda kuingia DRC, lakini pia kuhakikisha wazaliwa wa DRC wenye asili ya Rwanda hawabaguliwi.
Pamoja na mission za Siri za UN na mataifa mengine Bado tunahitaji kuweka mambo sawa ili Congo itulie na Maisha yaendeleeHili la Congo hata mara moja ungekua ulienda mission moja ya kongo au una ndg wa karibu akakusimulia yanayoendelea kati ya vikosi vya afrika UN na waasi wala msingejifanya political /Military analytical hzo ishu ni mambo ya wakubwa wa dunia wala jwtz haihitajiki
Hakuna undugu kwenye maslahi na kama mtu anatumia vita kujinufaisba Basi vita itumike kumwangamizaHapana Tanzania isiingie acheni kuchochea moto, itakuwa ni wastage of resources, wastage of money na wastage of men. Mbona vita ya russia-ukraine wako busy wanabondana na hakuna mtu ameingilia. Kwanini sisi tuwe na kiharoharo cha kuingilia migogoro ya nchi nyingine. Eti kwasababu tunawaogopa/tunawaonea wivu Rwanda.
Mataifa yanayoingiliaga migogoro hivyo ni Imperialist nations (Mabeberu) mmesahau falsafa ya pan-Africanism na itikadi ya Africa wote ni ndugu zangu siyo hizo mambo za ooh atatuzidi yule tumuharibie sijui nini.
Nenda jukwaa la dini hapa sio Mahal pakoLazima tusiende kwa kubahatisha nimeweka namba mfuate maelekezo piga simu kwa kujua zaidi
Issue hipo wazi Taifa la Tanzania lipo chini ya Uongozi wa Roho Mtakatifu ndio maana ya Rais mwanamke sasa kama wewe utaki kujua sheria za Rohoni tukusaidie je????
Ninacho zungumzia nikwamba apendaye madaraka hatoshiba madarakaHapana Tanzania isiingie acheni kuchochea moto, itakuwa ni wastage of resources, wastage of money na wastage of men. Mbona vita ya russia-ukraine wako busy wanabondana na hakuna mtu ameingilia. Kwanini sisi tuwe na kiharoharo cha kuingilia migogoro ya nchi nyingine. Eti kwasababu tunawaogopa/tunawaonea wivu Rwanda.
Mataifa yanayoingiliaga migogoro hivyo ni Imperialist nations (Mabeberu) mmesahau falsafa ya pan-Africanism na itikadi ya Africa wote ni ndugu zangu siyo hizo mambo za ooh atatuzidi yule tumuharibie sijui nini.
Mkuu umeleta uchambuzi sahihi Kwa wakati sasa TISS acheni kazi ya uchawa siasa imewalevya kuna mambo yako well programmed yanaendelea nchi inapoteza focus nyie mko bize na chademaHili jambo la Congo linanifikirisha sana tena kwenye mambo matatu!
a) Limepamba moto sana tukiwa tunaandaa mkutano wa Nishati hapa DSM,mpaka siku ya kufanyika kwa mkutano tarehe 27-28 waasi walikuwa wameshafika Goma. Sisi tuko busy na mkutano wa Wakuu wa nchi wa Afrika,Rwanda na M23 wako wanaitaabisha DRC.
Swali langu, kwanini iwe nyakati hizo?
b) Kabla ya mkutano wa Nishati kufanyika hapa DSM,kuna ugonjwa unaosemekana ni 'Marburg' umezuka eneo la Wilaya ya Biharamulo mkoani Kagera,umeua watu,ila inasemakana huu ugonjwa umetokea Rwanda.
Nchi ikawa busy kufuatilia huu ugonjwa,viongozi wengi wa ndani mpaka 'WHO'nao wako huko mpaka leo hii.
Swali langu,je, ni kweli umetokea Rwanda? Je, huko Rwanda huu ugonjwa upo? Na je, kama siyo 'Marburg' ni kirusi gani,na kwanini kitokee Rwanda,kwanini kitokee sasa hivi wakati Rwanda wako 'busy' kuitwaa Goma,wakati sisi tuko 'busy' na mikutano ya chama (CCM),CHADEMA,na NISHATI?
c) Watu wakijaribu kuhoji kwanini Rwanda anaisumbua Congo, kwanini Tanzania isiingilie kati kuwakomboa Wakongo, kwanini JWTZ isiwarudishe nyuma M23?
Angalia majibu kutoka kwa wachangiaji.
1.M23 ni jeshi imara sana Tanzania msiende mtakufa.
2.Kagame ni mzoefu wa vita Tanzania hamumuwezi.
3.Kagame ana Intelijensia kali ,ana silaha kali sana,ana drone ataiteketeza Tanzania na JWTZ.
4.Kwani tukipigwa na kufa lakini tumeikomboa Congo kwa faida kuna shida gani,mnatuonea huruma ya nini? Kwanini ikitajwa Tanzania na JWTZ kwenye mgogoro wa Congo watu mnatahayari? Hivi,Kinyago tulichokichonga wenyewe kinaweza kututisha kweli!?
Swali langu,tunauliza kwanini JWTZ isiwafurushe M23,wanaojiita Watanzania ndivyo wanajibu hivyo, tena wengine hawajui hata Kiswahili vizuri lakini eti nao wanajifanya ni Watanzania.
Kama Rwanda hahusiki, mbona likija jambo la M23 kupigwa anahusishwa Kagame? Kwahiyo Kagame siyo Mnyarwanda ila ni Kiongozi wa M23?
Mtoa hoja nakuunga mkono.Ila naongezea tena tuwe na mipango ya muda mrefu,Burundi awe sehemu ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama alivyo Zanzibar, halafu tuwe na 'access' ya kuingia Congo pasipokuwa na kuzuizi chochote.
Ahsante.
Kwa sasa mambo haya ya kijinga yanaenda kukomeshwaAcha kuikuza bongo utadhani iko serious na mambo ya msingi. Nchi inayojua inayopoteza watoto wadogo kama Soka, ni nchi yenye IQ ndogo sana kufikiri mikakati ya Geopoliticia.
Muache Kagame atambe kwa sababu ana akili za kutosha kufanya hivyo.
Chatu hachoki kumeza zaidi atakua nankutaka kikubwa zaidiNinacho zungumzia nikwamba apendaye madaraka hatoshiba madaraka
Leo lwanda Wana taka kulifanya lwanda iwe naeneo mpaka huko goma
Nabaada ya goma wanaitaka kivu mwisho wa siku wataitaka Congo
Sasa je baada ya kuipata congonho mzima hawata itaka Tanzania?
Hapa ndipo tunapo uona umhimu wa kuingilia Jambo hili
Umeongea ukweli mkuu na kadri lwanda itakavyo zidi kuwa kubwa ki intergensia na ki geography ndivyo itakavyo kuwa tishio kwa tz nz East Africa
Kina haja ya tz kufanya Jambo laziada
Yesu alisema wasamee kwa kuwa hawajui watendalo..Acha bangi.
Tanzania ijenge military base mashariki mwa DRC, Tanzania inapaswa kulinda maslahi yake DRC kwa wivu mkubwa.Vita ya DRC imegeuka kutoka kuwa mgogoro wa kijamii hadi mgogoro wa kimaslahi ya ulinzi na uchumi, taifa letu likiwa eastern na southern Africa linapaswa kutambua yafuatayo.
Kama JWTZ haitaingilia Kati mgogoro wa DRC kama ilivyofanya mwaka 2012/13 madhara yake
1. Maeneo ya mashariki ya Congo yatakua chini ya uthibiti wa Rwanda chini ya M23 Kwa asilimia 100%.
2. Rwanda ataendelea kupata uungwaji Mkono wa mataifa wanufaika wa Rasilimali za madini na misitu in favour ya Ku exchange Rasilimali hizo na military items mfano makampuni makubwa yanayotegemea mgogoro kuiba madini Congo in exchange watampatia siraha na aircraft za mana Rwanda ambazo zitamwezesha kuwa dominant wa security east Africa Kwa maana hio kitendo cha kumuacha Rwanda kuiteka DRC ni kitendo cha kumkuza kiuchumi na in exchange kumkuza kijeshi
3. Rwanda kuwa hub ya mineral business Kwa maana ya kwamba Kigali Airport Ku connect na Dubai moja Kwa moja kufanya miji hii kuwa bussy na biashara ya madini Kwa kasi kuliko wakati wowote huku mgogoro ukikuzwa kuendelea ili biashara ziendelee kufanyika.
4. JWTZ inaenda kupoteza geomilitary influence na badala yake Rwanda anaenda kuchukua military influence ya technical skills, ability (siraha hatari) na kandarasi za ulinzi katika maeneo yenye migogoro tunaenda kutengeneza new Israel east Africa ambayo wazungu wataona inafaa kuwaunga mkono.
5. JWTZ itegemee statement yoyote ya kubezwa kutoka jeshi la Rwanda, kama ambavyo Kagame amemjibu Leo Ramaphosa
Afande CDF. Mkunda, Mama yetu yuko bize na Uchaguzi, intelligensia kubwa imeelekezwa kwenye siasa hilo liko wazi, Waziri wako nae ndio hivyo tena Sekta ngumu kama hii wanaleta mwanamama kazi kweli kweli, visingizio vitakua vingi
Hivyo nakushauri utumie ushawishi wako wakikushinda yupo Rais Jk, Mwamunyange, Mwakibolwa watume washawishi vijana waruhusiwe waingie kazini lakini tuwe na makubaliano yenye maslahi ya kiuchumi na DRC katika mgogoro huu.
Pia jeshi letu lisiwe tena chini ya command ya south Africa whether ni SADC au MUNUSCO tujitegemee bila kuwa chini yao bali tufanya exchange ya intelligence tuu katika operation zetu, jeshi la south Africa kwenye filed ni lelemama, hawawezi kitu dominate ati sababu wana technology wakati application ni zero
Nawasilisha: