JWTZ na Serikali waache kudanganya/Kuhadaa Vijana

Kwanini kila wanajeshi watano wawili Ni wakurya.?
Ni kwasababu wakurya wamelitaifisha Hilo jeshi Kama walivyotaifisha jeshi la polisi.
Angalia tu ma SACP and above wa kikurya vs a vs makabila mengine. Au angalia ma OCD na ma OCS utakuta zaidi ya asilimia 40 Ni wakurya au watu wa Musoma.
Kwanini hakuna hata RPC mmoja toka Tanga au Pwani ?
Angalia wakuu wa vikosi JW. Wangapi wanatoka Mara na wangapi wanatoka Lindi?
 
Kama mnataka kuwa wanajeshi nendeni kongo nafasi zipo,watu wanataka nafasi za jeshi kwa udi na uvumba na hali nchi yetu haina vita ,wanataka waende wakafanye nini,wakanenepe eeh.

Nafasi za jeshi kwenye nchi zenye migogoro zipo lukuki ,mnataka kuwa wanajeshi na wakati nchi haina vita ,nyie sio wazalendo kabisa,mnataka mkakae mnenepe tu.

Hamieni kongo nafasi za jeshi zipo wazi na watu wanahitajika kila kukicha
 
Wazee nina 1million nataka kutoboa hizi ,, ni kujibu op makoa makuu.
 
Yuvisisiemu ndio recruitment pool , just imagine .Kwa vilaza wale ndio unategemea kuzalisha Tiss
Hahaha.. Wacha waendelee kubebelea Mizoga.
Si jeshini si Huko UVCCM hakuna intellectuals.. Tuliombee Taifa.
 
Kwani tangazo lililotoka wameshamaliza meseji si Bado watapata wote adi wa maskini [emoji23][emoji23]
 
Usikae kulalamika
 
Course zao vipi wanaenda baada ya saili zote hizo au ni kulingana na mahitaji yao?
 
Pole kwa kukosa ajira za jeshi.
 
Nonsense
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…