Wabongo wanapenda kushobokea wanajeshi tu.Kwasababu hawana direct mission na raia, hata wao mngewachukia vibaya sana kama mnavyowachukia Polisi.
Sasa unatuitaje machoko mkuu..Amja onekana kwa wingi kama siku ya maandamano mna ogopa kupigana na gorofa
Sometimes we kumbe mkorofi..Wabongo wanapenda kushobokea wanajeshi tu.
Wanapenda ule muonekano wa kibabe.
Bila sabanu zaidi ya kupenda muoneoano wa kibabe.
Ahahah na wababe kweliWabongo wanapenda kushobokea wanajeshi tu.
Wanapenda ule muonekano wa kibabe.
Bila sabanu zaidi ya kupenda muoneoano wa kibabe.
Watanidaka wapi siku hizi hata likizo naenda Turks and Caicos?Sometimes we kumbe mkorofi..
Ngoja wakudake πππ
π ππ mnipeleke gogoni sioSasa unatuitaje machoko mkuu..
Hivo wewe ukiitwa hivo utafurahi..
MI SIJAPENDA MKUU ..
TAKUSAKA TAKUTAFUTA TU πππππππ
Je wewe unadunda mtaani kwasababu ya nani?Hawa michosho tu
Ndiyo wanafanya CCM wadunde mtaani! Machoko tu hilo jeshi
Hiyo nikasumba uliyo nayoWaTanzania ni wapumba wanajeshi hao ni CCM B machoko hao
Aman ya nchi inalindwa na nani? Msumbiji unajua kinachoendeleaKwasababu ya Mungu na akili yangu
Watu malimbukeni hawana kazi za kufanya ndiyo maana. Sehemu ya ajali inajaza watu wasio na kazi na wanasiasa wanaotoa hotuba za kipuuzi. Sijaona nchi yenye wapumbavu kama yetu.Kwa mtazamo wangu, Majeshi Yote Tanzania.
Jeshi linalopendwa sana na Watu Wengi ni Jeshi la JWTZ.
Walipopita Sehemu Lazima Watu Waonyeshe Furaha na Imani kwa Jeshi Lao.
Leo JWTZ walipofika Ktk Ghorofa lilianguka Raia wote wameonyesha wazi wazi Furaha na Imani yao wazi wazi kuwa Jeshi ni Imara na wanaweza.
Majeshi mengine Yajifunze kitu..Watu walilipuka kwa Miruzi na Makofi.
Dosari: Ndogo Ndogo kutokana hulka ya mtu binafsi isiwekwe hapa. Ila mi nimetazama Upendo wa Raia kwa Jeshi Lao kiujumla.
Wakulaumu ni viongozi wa serikali na CCM. Wanatumia polisi kama mbwa.Kwa sababu ya direct mission zao za kukutana na raia ndiyo walitakiwa wapendwe badala ya kuchukiwa.
Kukutana na raia ndiyoo waue, walambe rushwa, wabambikize watu kesi n.k?
Angekua anachukiwa mmoja mmoja mmoja hapo sawa, lakini kitendo cha kuchukiwa Jeshi zima hiyo ni kasoro kubwa.
πππππUtakuja uje tuu wewe....Watanidaka wapi siku hizi hata likizo naenda Turks and Caicos?
Hata mi pia nilikua natamani nipate antiel mmoja hv mjeda ila ndo hvo napata hawa wauza uremboNa SS wanawake tunawapenda sana nilitamani kuolewa na poti ila ndo hivo bas Tena nimeangukia kwa Hawa wavaa Makoti meupeπ
Unajua kuna watu ambao hawajui wakawa wanasema jeshi la polisi livunjwe na nafasi zao zilichukuliwe na JW eti hawali rushwa. Nlicheka sana. JW siyo kama hawataki rushwa ila kazi yao haiwapi nafasi ya kuomba rushwa kwa wananchi. Mfumo wetu wa jeshi la polisi hata ukichukuwa hawa wanaojiita walokole wawe polisi watachukiwa. Hii ni kwa sababu serikali ndiyo tatizo na siyo jeshi per se.Kwasababu kazi yao haiwakutanishi na raia moja kwa moja , wengine majukumu yao ni kudeal na wahalifu wa ndani kwahiyo lazima wachukiwe kama ulivyokua unamchukia Monitor na monitress darasani
Ikifika muda wa kuja nachukua nauli na mazaga natoa msaada vijana wasome wafute ujinga.πππππUtakuja uje tuu wewe....
We acha tu ila yote kheri π₯΄Hata mi pia nilikua natamani nipate antiel mmoja hv mjeda ila ndo hvo napata hawa wauza urembo