but pls hebu anzisha tu uzi wa kutukusanya hata tujikumbushe VEROSSA!
wise words from our one and only DC originaleKumbe bado upo dogo???
Keep wishing boy!! ....by the way. "hamu ni tamu kuliko tamu yenyewe"!!!
mimi hapa mwalimu
Ahhaaaa! Nimekumbuka umemaliza juzi ule mtihani wa la Saba.Kaunga King'asti Kongosho
(an apology to th pervs who thought otherwise😕)
Hawa wadada/wabibi/wamama wananivutia sana na nimechoka kuunda illusions kichwani mwangu.
Kila mara nionapo comments zao mm huvutiwa tu na kujua wameandika nn yani.
Honestly kama ningeweza ningependa walau kuwaona in real life mlivyo...ningefurahi sana.
And that is my wish before 2013 knocks...good morning.
marahaba mdogo wangu!Hahahahah unantafutia ban naona!!!
Shikamoo tena na tena...
What!!!! Mkuu SMU wewe nawe umepotea sana humu sijui ni midlife crisis ama nini!????
missed yu kwa kweli hem njoo uniamkie kwanzamimi hapa mwalimu
Ni mimi hapa mwalimu, kwa maana umeniita.
ahahahhahahahha I MISS YOU SANA jamani,I miss our times na mawehu yale!Ni mimi hapa mwalimu, kwa maana umeniita.
Naahidi sitakuangusha, naomba watanzania waniombee
Tatizo mwalimu ulizidisha unoko wanafunzi tukaona isiwe tabu.... tukahamia st. mtakatifu international english medium kwa masista school.ahahahhahahahha I MISS YOU SANA jamani,I miss our times na mawehu yale!
ahahahah dah!
miaka inaenda hakika but wat u guys tulikuwa nayo asee stays forever!
Tatizo mwalimu ulizidisha unoko wanafunzi tukaona isiwe tabu.... tukahamia st. mtakatifu international english medium kwa masista school.
Kule hata Kaizer anafaulu hisabati hivi sasa....
Baada ya kusema hayo naomba nikufahamishe rasmi kuwa nilikumisi mpaka baioloji yangu ikagoma kufanya physical change.
Siwi mnoko tena eeenh,mwambie Kaizer nae arudiTatizo mwalimu ulizidisha unoko wanafunzi tukaona isiwe tabu.... tukahamia st. mtakatifu international english medium kwa masista school.
Kule hata Kaizer anafaulu hisabati hivi sasa....
Baada ya kusema hayo naomba nikufahamishe rasmi kuwa nilikumisi mpaka baioloji yangu ikagoma kufanya physical change.
Hhhhhahahahah huko sent mtakatifu goreti hakuna isssueee kitu kilo huku, pale kidumu pale Fagio LA chelewa kule ubuyu wa maji hapa sambusa za viazi!hivi hommie unaweza kuniambia kwa uhakika kabisa kwamba huu uhakiki wa snowhite haukuhusu kisa upo sekta binafsi ya masista?