secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 2,998
- 4,948
Mkuu we ni mwongo, duhSasa Kama Jiwe alimpiga mwanae wa kumzaa hadi kifo unategemea Azory na Saanane wawe hai ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu we ni mwongo, duhSasa Kama Jiwe alimpiga mwanae wa kumzaa hadi kifo unategemea Azory na Saanane wawe hai ?
Umejuaje kama hajakurupuka.Yule ni Mwandishi Mchunguzi (Investigative Journalist). Hajakurupuka na kitabu chake.
Mwambieni Gwajima awafufueErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Ndugu yangu hizi taarifa zipo akiwa waziri alipiga mpaka kifo. Hadi mke akakimbia kipindi anagombea alikuwa na Hawara mmoja akampa nyumba ya serikali Masaki. Wenzake zile nyumba waizouziana alikuwa wanakusanya kodi. Yeye akampa Hawara aishi. Nilisahau Jina. Jamaa hana roho kabisa ndugu yangu.Mkuu we ni mwongo, duh
Anayeaminika ana uhakika.Ila kuaminika na uhakika ni vitu viwili tofauti...ukisema una ushahidi wa kuaminika na ukisema una ushahidi wa uhakika ni tofauti ahahaha
😁😂😅🤣 Hii Sasa ni Ng0riNdugu yangu hizi taarifa zipo akiwa waziri alipiga mpaka kifo. Hadi mke akakimbia kipindi anagombea alikuwa na Hawara mmoja akampa nyumba ya serikali Masaki. Wenzake zile nyumba waizouziana alikuwa wanakusanya kodi. Yeye akampa Hawara aishi. Nilisahau Jina. Jamaa hana roho kabisa ndugu yangu.
Well news flash hawatorudi uraianiErick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Walifariki vipi mkuu?Hao wa kina beni saanane watakuwa walishafariki lakini kufariki kwao siyo kama alivyosema huyu muhuni na kibaraka wa wazungu kabendera kuwa amepigwa na mafufuli
Acha maigizo mbele ya uhai wa watu.Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
Mimi sijui.lakini alivyosema kabendera kuwa alipigwa risasi na magufuli mwenyewe haiingii akilini kabisa.Walifariki vipi mkuu?
Huyu Yoda nilikuwa namuonaga ana akili sana. Ila siku zinavyozidi kwenda mbele naanza kumuona kuwa kumbe nae ni walewale tu!warudishwe ,na kitabu hicho kitakuwa maarufu maradufu ...watu watafutwe miaka yote harafu waonekane baada ya kitabu
Atakuwa shujaa kwani kitabu chake kinefanya watokee!Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.
ila walifariki vipi na nini chanzo cha vifo vyao? Naje makaburi yao yako wapi ili sisi wanafamilia tukaweke maua?Hao wa kina beni saanane watakuwa walishafariki lakini kufariki kwao siyo kama alivyosema huyu muhuni na kibaraka wa wazungu kabendera kuwa amepigwa na mafufuli
Fatilia mambo ya MkiruHivi Azory aliandika Cha kukera kipi mpaka upotevu wake uonekane ni
Mbona waliuawa? Hivi kumbe kuna watu mnaamini kuwa kina Ben Saanane na Azory wako hai? Hivi undani Kabendera kajiandikia kama tunavyoandika tu hapa JF?Erick Kabendera amejiamini sana kusema Ben Saanane na Azory Gwanda wamekufa, hapo ni kwamba ameweka biashara yake yote ya kitabu chake rehani, pia ameweka hadhi yake yote rehani.
Ikitokea Ben au Azory wamerejea uraiani biashara ya kitabu chake itakuwa imekufa rasmi na yeye atakuwa mtu muongo kuwahi kutokea Tanzania.