Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Ben sa8
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Usiwe unaandika nyuzo hapa JF ukiwa umelewa. Mara nyingi kwenye nyuzi zako sentensi haizoconnect wala aya hazikutani. Inaonesha unashindia gin. Mihemuko mingi mno.
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Unaandika utadhani uliombwa msaada kwa familia ya Kabendera...shutup
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Na Magufuli nae alipoonywa aache udikteta na kuua watu akapuuza ni nini kilimkuta ?🤣🤣
 
Ukweli mtupu, jamaa anajipa umuhimu usiokuwanao
Badala ajibu hoja yeye analeta yale yale ya kutisha watu. Mimi nadhan ingekuwa bora kama angemfata yeye binafsi na kumpa huu ushauri wako
Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
 
Hoja inajibiwa na hoja.

Kabendera kaleta hoja zake kuwa kulikuwako na magenge yanayopokea order nje ya mfumo rasmi wa kiutawala kutesa na kupora mali za watu.

Je nani katika awamu ile hakushuhudia hayo.?

Tumeshuhudia Sabaya akiwa DC akifanya hadi mambo nje ya eneo lake la kazi tena kiholela na anatamba.

Kama ni kweli magenge hayakuwepo basi wafuasi wa aliyetajwa mlete hoja zenu kukanusha.
 
Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
Mkuu uandishi wako tu unadhihirisha kuwa hapo ulipo tayari umeshatumia kilevi. Kama nakosea samahani ila ndivyo mwandiko unavyosomeka, mwandiko una harufu za pombe.
 
Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
Enzi za mauaji ziliisha tarehe 17/3/2021
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
We jamaa ni mpuuz Sana
 
Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.

Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.

Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.

Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.

Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.

Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Nyie ndio mbw@ Koko machawa na mssalia ya mwendawazimu Yule , natamani hata mpigwe na radi mfe kabisa , shenzy
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Afadhali umesema wewe Mwamba labda wataelewa sasa, state haichezewi wala kunajisiwa, nilionya watu wanabeza
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
You could be sick!! Trilioni moja unaijua wewe? Wacha ngano safi na makapi vitenganishwe!!

Magufuli alikua zaidi ya shetani ndio maana moyo wake ulishindwa hata kuhimili dhambi zake mwenyewe.
 
Kwa kuongezea tu ni kua Abdul Nondo aliomba kufanya ukaguzi kwenye tume ya maadili ya viongozi wa Umma aliomba kukagua daftari la mali za kiongozi mmoja aliyejipatia umaarufu ghafla na ukwasi wa kutisha ila hakufika mbali alipigwa stop kukagua mali za kiongozi huyo je kwa madai order imetoka juu je kikatiba ni sawa kama CCM wanahubiri demokrasia ?

Kwa kukukumbusha tu pia wengine tulikua tunaendesha biashara zetu halali kutokea uhamishoni na ninajua ugumu uliokuwako bila sababu za msingi zaidi ya chuki na propaganda za kishamba wengine walikuwako nyumbani huko nina marafiki 3 nao walifunga biashara zao nchini na kuhamia huku na hawana mpango wa kurudi na ukiletewa evidence na walichofanyiwa utakubali nchi iligeuka jehamanu.

Mleta mada naomba nikukumbushe huu msemo wa kimombo.

You can fool part of the people some of the time, you can fool some of the people all of the time, but you cannot fool all the people all of the time
 
Back
Top Bottom