Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Vitisho dot com
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ben sa8Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Usiwe unaandika nyuzo hapa JF ukiwa umelewa. Mara nyingi kwenye nyuzi zako sentensi haizoconnect wala aya hazikutani. Inaonesha unashindia gin. Mihemuko mingi mno.Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Unaandika utadhani uliombwa msaada kwa familia ya Kabendera...shutupKama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.
Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.
Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.
Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.
Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.
Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Braza, ndio useme YOUR PLAYING WITH FIRE🔥,?sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
Na Magufuli nae alipoonywa aache udikteta na kuua watu akapuuza ni nini kilimkuta ?🤣🤣Kama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.
Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.
Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.
Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.
Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.
Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
A one term president. Mungu anaipenda TanzaniaMwendazake anavuna alichopanda
Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. AsnateUkweli mtupu, jamaa anajipa umuhimu usiokuwanao
Badala ajibu hoja yeye analeta yale yale ya kutisha watu. Mimi nadhan ingekuwa bora kama angemfata yeye binafsi na kumpa huu ushauri wako
Kama hujaona kosa hapo mkuu kiingereza hukijui kabisa.sasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
Mkuu uandishi wako tu unadhihirisha kuwa hapo ulipo tayari umeshatumia kilevi. Kama nakosea samahani ila ndivyo mwandiko unavyosomeka, mwandiko una harufu za pombe.Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
Enzi za mauaji ziliisha tarehe 17/3/2021Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
We jamaa ni mpuuz SanaNakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Nyie ndio mbw@ Koko machawa na mssalia ya mwendawazimu Yule , natamani hata mpigwe na radi mfe kabisa , shenzyKama kawaida yake eric kabendera aliamini ye ni mkubwa kuliko nchi na tawala. Pamoja na kufanya kazi za kimataifa ila hakujua kuna sheria lakini dunia ina kanuni zake.
Alifurahia mamilioni ya pesa aliyokuwa analipwa kwa kuandika habari za taharuki zisizo na uchunguzi wa kina kuhusu serikali kiasi cha kuangusha kasri la nguvu kule mbweni.
Alipoonywa alijitia pamba sikioni, kina zitto wakamdanganya kuwa tupo na wewe, we fanya tu.
Kilichotokea baada ya kudakwa wote wakamkimbia. Hata mama yake alipoomba msaada wa panadol kina zitto waligoma kujitokeza. Si mahakamani wala nyumbani kumjulia mama hali.
Mwishowe alipoteza mama, akapoteza na kile alichokikusanya, akawapoteza na marafiki zake pendwa kina zitto.
Alitakiwa ajue kuwa dunia ina kanuni zake.
Afadhali umesema wewe Mwamba labda wataelewa sasa, state haichezewi wala kunajisiwa, nilionya watu wanabezaNakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
You could be sick!! Trilioni moja unaijua wewe? Wacha ngano safi na makapi vitenganishwe!!Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Nyie ndio mbw@ Koko machawa na mssalia ya mwendawazimu Yule , natamani hata mpigwe na radi mfe kabisa , shenzy