Sio Your playingsasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
ni you are playing
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Your playingsasa hapo hizo sentensi zina kosa gani mkuu?labda we mwenzetu ni mwingereza halisi wa uingereza.
SikubeziMimi sijawahi kuandika Nina umuhimu ila nina toa ushauri kwa kile naona kesho. So hayo mengine sijuwi
Wewe unafahamu Kabendera kapata wapi hizi details unazomtuhumu nazo?? Hakuna marefu yasiyokuwa na ncha. Zama za Jiwe zimekwisha.Simtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate
Kete zinasukumwa pole pole Hadi FDR anaingia kitalani!!Afadhali umesema wewe Mwamba labda wataelewa sasa, state haichezewi wala kunajisiwa, nilionya watu wanabeza
Wewe si Mungu kuamua kama atasamehewa au la. Wewe ni marehemu mtarajiwa, ukilala ndo unafanya mazoezi ya kufa. Kila siku kukipambazuka unalikaribia kaburi. Wewe si Mungu bali ni lofa kama malofa wengine. Huna Mamlaka ya kusamehe. Akisamehewa dhambi zake basi chuki zako ni bure tu.Mwendazake atabeba msalaba wake hata baada ya kuwa kabulini,hakuna cha head of state Wala such upuuzi..
Hasamehewi Duniani na huko kaburini.,naona unajaribu kumtafutia huruma mhalifu kwa kisingizio cha deseased head of state..
Asante Sana Kabendera kwa kutufichulia ya sirini maana wewe pia ni mhanga wa Madhila ya Mwendazake..
Ukitaka kujuwa huyo Bendera na upepo wamemuingiza Chaka kaa kimya uwone huu Uzi utauwelewa. EndHoja inajibiwa na hoja.
Kabendera kaleta hoja zake kuwa kulikuwako na magenge yanayopokea order nje ya mfumo rasmi wa kiutawala kutesa na kupora mali za watu.
Je nani katika awamu ile hakushuhudia hayo.?
Tumeshuhudia Sabaya akiwa DC akifanya hadi mambo nje ya eneo lake la kazi tena kiholela na anatamba.
Kama ni kweli magenge hayakuwepo basi wafuasi wa aliyetajwa mlete hoja zenu kukanusha.
Hi sipo kwa system read well my words. Nimesema kile nakiona kesho ya Bendera. Either ametumwa au kajituma anacheza na asio wajuwa na mwisho atavuna mabuwa. Is better afunge mdomo asonge mbele.a asnateI told him the same. Huyu jamaa ni wale hopeless walevi kwenye system ambayo system hutumia ku-assinate anti-system. Anashindia pombe, mostly pombe kali.
Acha kutisha watu hapa acha aseme ukweli.Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
I'm marking this.Hi sipo kwa system read well my words. Nimesema kile nakiona kesho ya Bendera. Either ametumwa au kajituma anacheza na asio wajuwa na mwisho atavuna mabuwa. Is better afunge mdomo asonge mbele.a asnate
Kiongozi wa Malaika kawaacha kwenye Mataa 😂😂Wewe si Mungu kuamua kama atasamehewa au la. Wewe ni marehemu mtarajiwa, ukilala ndo unafanya mazoezi ya kufa. Kila siku kukipambazuka unalikaribia kaburi. Wewe si Mungu bali ni lofa kama malofa wengine. Huna Mamlaka ya kusamehe. Akisamehewa dhambi zake basi chuki zako ni bure tu.
[emoji1549][emoji1549][emoji1549]
Awe katuacha mataa au kwenye bypass, wewe si Mungu. Ni marehemu mtarajiwa. Muda si mrefu utakwenda kufanya mazoezi ya kifo(kulala).Kiongozi wa Malaika kawaacha kwenye Mataa [emoji23][emoji23]
Jibu swali magenge hayakuwepo au yalikuwepo?Ukitaka kujuwa huyo Bendera na upepo wamemuingiza Chaka kaa kimya uwone huu Uzi utauwelewa. End
Hiyo mambo ya kuwauwa watu kisa kutofautiana ni akili za magufuli na chawa wake...mmeuwa sana MUNGU akaamua kumla kichwa MAGUSimtishi mtu. Serikali ni ile ile na asukudanganye mtu some one in side same goverment with full details about u atakuunga mkono. Nakataa. Nakataa Kabendera anachokifanya ni hatari kwa maisha yake na hata kizazi chake. Nandio maana najiuliza why asikae kimya? Well basi nasubiri kusikia JK akisema kweli anacho sema Kabendera alfu tuone kama hakijanukishwa nataka kukuhakishia hakuna mahali JK atakubali hii Taarifa. Ikifokea let me know. Asnate