Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

You could be sick!! Trilioni moja unaijua wewe? Wacha ngano safi na makapi vitenganishwe!!

Magufuli alikua zaidi ya shetani ndio maana moyo wake ulishindwa hata kuhimili dhambi zake mwenyewe.
umejamba au umeongea!!! acheni uharo nyie vibwengo
 
Viongozi wanakaa vikaoo vya jinsi ya kubadilisha maisha ya wananchi wao. Hapa wanakaa vikao vya kuumiza na kutaka kuua na kuwafunga. Tuna tatizo sehem kama taifa.
 
Hoja inajibiwa na hoja.

Kabendera kaleta hoja zake kuwa kulikuwako na magenge yanayopokea order nje ya mfumo rasmi wa kiutawala kutesa na kupora mali za watu.

Je nani katika awamu ile hakushuhudia hayo.?

Tumeshuhudia Sabaya akiwa DC akifanya hadi mambo nje ya eneo lake la kazi tena kiholela na anatamba.

Kama ni kweli magenge hayakuwepo basi wafuasi wa aliyetajwa mlete hoja zenu kukanusha.
Magenge yalikwepo, Kuna genge lilikuwa linazunguka minadani kukusanya pesa kwa wafanya biashara wa Ng,ombe kwa kigezo Cha leseni ya kitaifa.ukiwauliza hio leseni inapatikana wapi? hawakupi maelekezo! Wanachofanya ni kuzuia Ng,ombe! au munaingia makunaliano ya kulipa Kila Ng,ombe elfu 50 yaliwahi tokea Mkongeni Dakawa na machinjio ya Morogoro mjini.
 
Kwa kuongezea tu ni kua Abdul Nondo aliomba kufanya ukaguzi kwenye tume ya maadili ya viongozi wa Umma aliomba kukagua daftari la mali za kiongozi mmoja aliyejipatia umaarufu ghafla na ukwasi wa kutisha ila hakufika mbali alipigwa stop kukagua mali za kiongozi huyo je kwa madai order imetoka juu je kikatiba ni sawa kama CCM wanahubiri demokrasia ?

Kwa kukukumbusha tu pia wengine tulikua tunaendesha biashara zetu halali kutokea uhamishoni na ninajua ugumu uliokuwako bila sababu za msingi zaidi ya chuki na propaganda za kishamba wengine walikuwako nyumbani huko nina marafiki 3 nao walifunga biashara zao nchini na kuhamia huku na hawana mpango wa kurudi na ukiletewa evidence na walichofanyiwa utakubali nchi iligeuka jehamanu.

Mleta mada naomba nikukumbushe huu msemo wa kimombo.

You can fool part of the people some of the time, you can fool some of the people all of the time, but you cannot fool all the people all of the time
haujui maudhui tulia hili ni andiko kubwa lenye taswira kubwa hamuwezi elewa kaeni kmya
 
Mkuu uandishi wako tu unadhihirisha kuwa hapo ulipo tayari umeshatumia kilevi. Kama nakosea samahani ila ndivyo mwandiko unavyosomeka, mwandiko una harufu za pombe.
I told him the same. Huyu jamaa ni wale hopeless walevi kwenye system ambayo system hutumia ku-assinate anti-system. Anashindia pombe, mostly pombe kali.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Trilioni moja mkuu unaijua kweli mkuu? Nani ampe malipo hayo tz hii?
Acha ateme nyongo tu mbona mpaka leo hitler anasemwa tu
 
Watoto wanafanya siri badayee Seeikali ikiwabana tu wazazi wao wanakufa kwa presha
 
Magenge yalikwepo, Kuna genge lilikuwa linazunguka minadani kukusanya pesa kwa wafanya biashara wa Ng,ombe kwa kigezo Cha leseni ya kitaifa.ukiwauliza hio leseni inapatikana wapi? hawakupi maelekezo! Wanachofanya ni kuzuia Ng,ombe! au munaingia makunaliano ya kulipa Kila Ng,ombe elfu 50 yaliwahi tokea Mkongeni Dakawa na machinjio ya Morogoro mjini.
wakamateni hao magenge wenu kama mnahasira na kama mnanguvu....kwa uharo huu wa kubweka, kubwata, na kubwaka mtaweza kweli!!!?
 
Kwa kuongezea tu ni kua Abdul Nondo aliomba kufanya ukaguzi kwenye tume ya maadili ya viongozi wa Umma aliomba kukagua daftari la mali za kiongozi mmoja aliyejipatia umaarufu ghafla na ukwasi wa kutisha ila hakufika mbali alipigwa stop kukagua mali za kiongozi huyo je kwa madai order imetoka juu je kikatiba ni sawa kama CCM wanahubiri demokrasia ?

Kwa kukukumbusha tu pia wengine tulikua tunaendesha biashara zetu halali kutokea uhamishoni na ninajua ugumu uliokuwako bila sababu za msingi zaidi ya chuki na propaganda za kishamba wengine walikuwako nyumbani huko nina marafiki 3 nao walifunga biashara zao nchini na kuhamia huku na hawana mpango wa kurudi na ukiletewa evidence na walichofanyiwa utakubali nchi iligeuka jehamanu.

Mleta mada naomba nikukumbushe huu msemo wa kimombo.

You can fool part of the people some of the time, you can fool some of the people all of the time, but you cannot fool all the people all of the time
Mleta mada na mazezeta wenzake wanaomtetea Yule ibilisi ni wapumbav mno
Napata hasira nikifikiria upuuz uliofanyika na madhila walioyapata watu toka Kwa Yule ibilisi mwendawazimu
 
Wewe choko katiwe huko ,kvma wewe ,unanijua Mimi ? Au unadhani kila mtu ni zwazwa kama wewe humu .
Sikiliza dogo upuuz wako peleka Facebook huko unaongea na watu wazima hapa .
Simbilisi wewe
hujui kitu imeisha hio, sibishani na upepo
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Ukumbuke alimpoteza Mama yake kwa uzembe na ushuzi wa CCM...kwake kufa kwa sasa au kuishi ni jambo la kawaida so stop this nonsense ASAP
 
Mleta mada na mazezeta wenzake wanaomtetea Yule ibilisi ni wapumbav mno
Napata hasira nikifikiria upuuz uliofanyika na madhila walioyapata watu toka Kwa Yule ibilisi mwendawazimu
Ametupwa nje ya mfumo kama mwenzie yule anayetapatapa humu wakajiajiri tu sasa kutumikia serikali ya kidhalimu kuna mwisho wake.
 
Viongozi wanakaa vikaoo vya jinsi ya kubadilisha maisha ya wananchi wao. Hapa wanakaa vikao vya kuumiza na kutaka kuua na kuwafunga. Tuna tatizo sehem kama taifa.
Wajinga Sana hawa ,Kwanza nyuzi kama hizi ikibidi zipigwe ban na I'd kama za huyu mjinga zipigwe ban humu
 
Magenge yalikwepo, Kuna genge lilikuwa linazunguka minadani kukusanya pesa kwa wafanya biashara wa Ng,ombe kwa kigezo Cha leseni ya kitaifa.ukiwauliza hio leseni inapatikana wapi? hawakupi maelekezo! Wanachofanya ni kuzuia Ng,ombe! au munaingia makunaliano ya kulipa Kila Ng,ombe elfu 50 yaliwahi tokea Mkongeni Dakawa na machinjio ya Morogoro mjini.
Watu wanaambiwa wasiende Dar kama hawajaoga wala kunyoosha nguo ! Damn hiyo kauli anatoa kiongozi kabisa kwenye mkutano na wanahabari unajiuliza issue za msingi kujadiliwa zimeisha?
 
Back
Top Bottom