Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Sasa asiseme ukweli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umelewa? Mbona unashindwa hata kuandika?Ukitaka kujuwa huyo Bendera na upepo wamemuingiza Chaka kaa kimya uwone huu Uzi utauwelewa. End
Kwa hiyo mtafanya nini? Biswalo Jaji wa Mahakama Kuu mtamfanya nini? Kabendera anajihatarisha bila yeye na wapendwa wake bila sababu ya msingi.Mwendazake atabeba msalaba wake hata baada ya kuwa kabulini,hakuna cha head of state Wala such upuuzi..
Hasamehewi Duniani na huko kaburini.,naona unajaribu kumtafutia huruma mhalifu kwa kisingizio cha deseased head of state..
Asante Sana Kabendera kwa kutufichulia ya sirini maana wewe pia ni mhanga wa Madhila ya Mwendazake..
They are about to cross the line.Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
huna pesa kaa kimya tafuta pesa kwanza siongei na vibaka, tafuta pesa na tutawaburuza vibweka nyie, huyo nyau wenu kibend wenu achunge kidomo chake, he should focus on his next move not the foolish past.Kwa hiyo kama watu waliumizwa unfairly unataka wakae kimya!? Wewe bila shaka ndiye kibwengo mwenyewe hasaa.
Correction...He won 2 terms ...he served fully the first term...and he passed on on his second... unless I am getting the timing all wrong.A one term president. Mungu anaipenda Tanzania
AllegedlyViongozi wanakaa vikaoo vya jinsi ya kubadilisha maisha ya wananchi wao. Hapa wanakaa vikao vya kuumiza na kutaka kuua na kuwafunga. Tuna tatizo sehem kama taifa.
We syo malaika bana unatuwekea SHIT humuMimi sijawahi kuandika Nina umuhimu ila nina toa ushauri kwa kile naona kesho. So hayo mengine sijuwi
Enzi za diktetaNakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Huyo ni shetani sio Mungu tunayemfahamu sisi.MUNGU aliamua ugomvi wa watanzania dhidi ya shetani magufuli
Kwahiyo unapeleka ng'ombe ndio unauliza kibali kinapayikana wapi?Magenge yalikwepo, Kuna genge lilikuwa linazunguka minadani kukusanya pesa kwa wafanya biashara wa Ng,ombe kwa kigezo Cha leseni ya kitaifa.ukiwauliza hio leseni inapatikana wapi? hawakupi maelekezo! Wanachofanya ni kuzuia Ng,ombe! au munaingia makunaliano ya kulipa Kila Ng,ombe elfu 50 yaliwahi tokea Mkongeni Dakawa na machinjio ya Morogoro mjini.
Hebu mwache basi!Tumuache Kabendera aseme ya moyoni
Tatizo lako kubwa katika hii thread umeandika lugha kali ya kutisha. Mbaya zaidi unahalalisha kuwepo kwa miungu watu aka wateule/wasioguswa. Unaandika "my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen". Ni ujumbe gani unataka kuufikishia umma wa JF?Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?
Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.
Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.
Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Kwan kashogi yuko wap sasa hiviKabendera sasa hivi ni sawa na yule Msaudi Jamal Khasshogi, tayari ana network nyingi nje ya nchi. Mashirika mengi ya habari ya kimataifa yanamjua. Mguseni muone moto utavyowawakia.