Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Kabendera hata kwa trilioni moja, kazi hii unayofanya nakuhakikishia unacheza na usiowajua

Mwendazake atabeba msalaba wake hata baada ya kuwa kabulini,hakuna cha head of state Wala such upuuzi..

Hasamehewi Duniani na huko kaburini.,naona unajaribu kumtafutia huruma mhalifu kwa kisingizio cha deseased head of state..

Asante Sana Kabendera kwa kutufichulia ya sirini maana wewe pia ni mhanga wa Madhila ya Mwendazake..
Kwa hiyo mtafanya nini? Biswalo Jaji wa Mahakama Kuu mtamfanya nini? Kabendera anajihatarisha bila yeye na wapendwa wake bila sababu ya msingi.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
They are about to cross the line.
 
Kwa hiyo kama watu waliumizwa unfairly unataka wakae kimya!? Wewe bila shaka ndiye kibwengo mwenyewe hasaa.
huna pesa kaa kimya tafuta pesa kwanza siongei na vibaka, tafuta pesa na tutawaburuza vibweka nyie, huyo nyau wenu kibend wenu achunge kidomo chake, he should focus on his next move not the foolish past.
 
Kabendera sasa hivi ni sawa na yule Msaudi Jamal Khasshogi, tayari ana network nyingi nje ya nchi. Mashirika mengi ya habari ya kimataifa yanamjua. Mguseni muone moto utavyowawakia.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Enzi za dikteta
 

Attachments

  • Screenshot_20221015-030643.png
    Screenshot_20221015-030643.png
    67.7 KB · Views: 7
MUNGU aliamua ugomvi wa watanzania dhidi ya shetani magufuli
Huyo ni shetani sio Mungu tunayemfahamu sisi.

Mungu tunayemfahamu atawaondoa hawa wahuni waliopo sasa wanaopora rasilimali za Taifa hili bila aibu.

Muda unakuja na wala sio mbali.
 
Mi binafs japo nilikuwa cmuungi mkono Mh Magu kwa mambo mengine lakin ungeniambia nitoe ushaur kwa Kabendera ningemshauri the same way. Angekaa kimya tu kama atalipwa akachukue hela yake kimya kimya maisha yaendelee. Kifo cha Magu kiwe fundisho kuwa cc ni binadamu so unaemuona ni kinga yako leo kesho anaweza asiwepo huna sababu ya kujipa kundi katika mavita haya ya ccm humo ndan other ways labda utuambie ushachagua wa kula nae. Maisha ni kujifunza aisee kuna masleeping giant yamekaa na yalikuwa yanakubaliana na ngosha so ni kuwa makin ucje kupigana vitu isiyokuhusu.
 
Magenge yalikwepo, Kuna genge lilikuwa linazunguka minadani kukusanya pesa kwa wafanya biashara wa Ng,ombe kwa kigezo Cha leseni ya kitaifa.ukiwauliza hio leseni inapatikana wapi? hawakupi maelekezo! Wanachofanya ni kuzuia Ng,ombe! au munaingia makunaliano ya kulipa Kila Ng,ombe elfu 50 yaliwahi tokea Mkongeni Dakawa na machinjio ya Morogoro mjini.
Kwahiyo unapeleka ng'ombe ndio unauliza kibali kinapayikana wapi?
Kwa akiki zako finyu unadhani hao walitumwa? Au ni janja janja Yao?

Utakuwa mpumbavu wa Hali ya juu kufabya biashara bila kuwa na vibali na hujui vinatolewa wapi.
 
Nakuona nikijana nakuona bado una nafasi kulisaidia Taifa ila kama ilivyo kawaida ya sisi Mungu katupa ona kesho nataka kukwambia huyo Hayati Magufuli alisha lala either story yako yaweza kuwa na ukweli au uwongo nataka kuuthibitishia hata kama ni kwa malipo ya 1 trillion kufanya kazi unafanya my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen?

Mwili wake bado haujapumzika acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako.
Siwezi andika zaidi japo nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru.

Niliwahi andika makala fulani juu ya what happen after head of state akifa akiwa madarakani. Naomba usome kwa faida yako.

Japo unaweza kuendelea kutafuta ukweli wa huj ushauri na unabii ktk maisha yako. End.
Tatizo lako kubwa katika hii thread umeandika lugha kali ya kutisha. Mbaya zaidi unahalalisha kuwepo kwa miungu watu aka wateule/wasioguswa. Unaandika "my dear Brother your playing with unknown and just think what will happen". Ni ujumbe gani unataka kuufikishia umma wa JF?

Unaendelea kuandika: "acha kuingia kwenye jambo litakusumbuwa wewe na uzao wako". Hivi unataka kutushauri wanaJF au watanzania wote kwa jumla tukae kimya kwa kuhofia maisha yetu kwa vile tutasumbuliwa na wanojiita wenye nchi/hati miliki ya nchi hii. Jitafakari!!

Unaendelea kuandika: "nakushauri haya mambo yanahusu head of state yaache baadae utanielewa na uwenda utarudi kunishukuru" Sijui umesahau kuwa hii si nchi ya Kifalme, pale ambapo mfalme ni kama Mungu wa taifa hilo. Huyu ni mtakatifu, hakosei na wala hahojiwi. Rafiki yangu; ushauri wako ungefaa zaidi kuutoa katka nchi za Kifalme. Tanzania ni nchi ya kidemokrasia na ina katiba yake japo ni dhaifu lakini kipengele hicho kipo bayana kuwa hakuna aliyekuwa juu ya sheria. Hata wakati wa Nyerere watu walihoji mambo mengi likiwepo la vyama vingi, iweje leo unatushauri kufyata mikia. Amka!!!!!
 
Hili ni onyo kwa viongozi wahalifu.
Hittler anasemwa vibaya mpaka leo kutokana na uharifu wake.

Na anasemwa na Wajerumani wenzake.
Sembuse hilo bwege chinjachinja

Tundu Lisu hata nyamaza kumsema
Na wahanga waliofiwa wapenza wao

Viongozi wasio semwa haimaniishi hawakutenda mabaya.
Ila huyo mwehu alikuwa zaidi ya Shetani Ibirisi Rusifer.

Binadamu huna mamlaka ya kuua watu wa Mungu kama amri ya Mungu inavyosema. USIUE. (who are you)
Are you semi god ?

Watu wasio na hatia waliuawa kwakuwa tu
Ni wa chama pinzani.
Ni waamegombea cheo flani
Ni kahoji jambo flani
Ni kaandika jambo la kijamii
Ni mtwasi mwenzake
Ni katengeneza pesa yake
Ni kaongea uhalali Bungeni
Nk.

Ni vitu vya kawaida sana katika jamii.

Wewe unayemtisha Kabendela utaondoka kabla yake.

Waache watu waseme ndivyo Mungu anataka.
Hili ni fundisho kwa viongozi washenzi ili huko waliko waendelee kuadhibiwa kwa ubaradhiri wao.
Na hawa waliopo waogope.

Na ukome kutisha watu walio umbwa kwa mapenzi ya Mungu.
Ila nakuhakikishia utatangulia wewe kama huyo kimungu chako.
 
Kabendera sasa hivi ni sawa na yule Msaudi Jamal Khasshogi, tayari ana network nyingi nje ya nchi. Mashirika mengi ya habari ya kimataifa yanamjua. Mguseni muone moto utavyowawakia.
Kwan kashogi yuko wap sasa hivi
 
Hata waliopigania uhuru wangekuwa na mitazamo kama yako bado tungekuwa utumwani
Jambo likiibuliwa linahitaji uchunguzi haya mambo ya kutishiana hayaonyeshi taswira nzuri
 
Back
Top Bottom